Hii hadithi ni tamu na ya kuhuzunisha Wadada bora utumie nguvu zako na ule kwa jasho. Moscow haukujengwa kwa siku moja. Tafuta Mtu wa kaliba yako maisha mtafika. Mary tamaa ya Pesa nyingi na bado majuto wala hazikumtosha😭Thanks Anko Jay.
Kama kawaida ya huyu dada Lissa kuachia makombora ya maana juzi umetuletea doctor mayla p2 na shamba boy hatujakaa sawa artist tena uko vzur mno dada MUNGU akuweke na akuze kipaji chako asante kwa simulizi nzuri ❤️❤️❤️❤️
Wakati mwingine ya mfaa mtu angalie na kuwachambua marafiki alio nao maana mary aliponzwa na rafiki yake tatu pale alipo mshauri ujinga pia nikama tatu alimtaka mary awe kifaa chake chakukiongoza ila haikuwa hivyo ila pia mtu ajiweke tuu kwa MUNGU tuu maana maisha bila MUNGU nibure
Duu jamani Mery Anton amezidi mno mpaka kinyaa, atakufa vibaya na atakosa baraka, ndio maana kila mara majanga na anavyovipata vinaishia kupotea na kudhalilika juu
Plz plz plz anko jay naomba kama anaandika vitabu huyu lissa mwallla naomba ninunue vitabu plz plz plz nipewe contact zake niwasiliane nae nahitaji vitabu
Dah! Nmechelewa Leo, wachelewaji wenzangu mikono juu✋✋😅😅
Part 2 please 🙏 🙏 please
Lissa mwalla muandishi mzuri sana yan sana akiwemo na ali mbetu❤❤❤❤
Hii hadithi ni tamu na ya kuhuzunisha Wadada bora utumie nguvu zako na ule kwa jasho. Moscow haukujengwa kwa siku moja. Tafuta Mtu wa kaliba yako maisha mtafika. Mary tamaa ya Pesa nyingi na bado majuto wala hazikumtosha😭Thanks Anko Jay.
Daaaaah
Thanks LISSA MWALLA kwa kibao chengine kinachowakilishwa na AnkoJ...I'm no.1 thanks Smix pamoja sana 👍🏻
👌👌 big up to you lissa mwalla
Duh! Mary pole sana.....Bora uache kudanga
Alivyokuwa mdogo vile na kudanga tena?
Simulizi za lisa mwala zinarusha moyo sana kwa wasichana kudanga,na kufumaniwa khaaa,had moyo unapaa
Anadanga balaaa
Hi Anko Jay nimejifuza sana sana Mungu akumbaliki sana tena 🙏❣️❣️
Much love 💕🥰🥰 to my lovely Lissa mwala Vs Anko Jay be blessed always we have be learning alot from your stories 🙏🙏
Miko the badest, ilikuwa kilikua kitu moto sana
Wawawa daa Mary yko Kali🥰🥰
Asante sana Lisa mwala na Anko j kwa simulizi nzuri ingawa nimechelewa
Anko Jay we wamoto kwelikweli nakukubari Sanaa
Saaana namkubali sana
WHAT AN AMAZING STORY. THANKS ANKO JAY 🔥🔥👏👏👏👏
Kipenzi chetuu LISSA MWALLA 🥰🥰🥰 mis u LISSA MWALLA like kwa ajiri ya LISSA MWALLA🥰🥰🥰🥰
99999999⁹999⁹99⁹99999999999999999999999900000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000ⁿ⁰0⁰⁰⁰00⁰⁰0⁰000⁰000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000⁰00000000000⁰0⁰00⁰0⁰0000⁰0000000000000000000000000000000000000000000000000
@@demageraconstantine6823 jamani sasa ndo nini sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
@@demageraconstantine6823 the
Saf
Shukrani san da lissa mwala😍 gonja nisikilize kwanza anko jay miss you 😘
🎉🎉 yani nakukubali sana lissa mwalla
Kama kawaida ya huyu dada Lissa kuachia makombora ya maana juzi umetuletea doctor mayla p2 na shamba boy hatujakaa sawa artist tena uko vzur mno dada MUNGU akuweke na akuze kipaji chako asante kwa simulizi nzuri ❤️❤️❤️❤️
Yaan huyu dada nibalaaa kwa stor ukiunganisha na msiliz hapo anko j nihatariii
LISSA MWALLA😄wacha niskilize like zenu kwa smix tunawapenda sana😄😄😄
Jaman Anko jay Dizo Dizo utaniuaa weweee😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kheee
Wakati mwingine ya mfaa mtu angalie na kuwachambua marafiki alio nao maana mary aliponzwa na rafiki yake tatu pale alipo mshauri ujinga pia nikama tatu alimtaka mary awe kifaa chake chakukiongoza ila haikuwa hivyo ila pia mtu ajiweke tuu kwa MUNGU tuu maana maisha bila MUNGU nibure
Ngoma ikivuma sana vuuu ,vuuuuu,,vuuuuuu,mwisho wake hupasuka ndio hayo ya Mery
Ndo mnataka kutufanya kama ya doctor mayla. Ebu mtuwekee hapa TH-cam msituchoshe na app yenye hamuweki hizi zenye mmetuandalia TH-cam
Kweli maana tunalipa pia
Eenhee tuwekeeni hapa TH-cam
Jamani sijui nilikuwa wap siku zote 😍😍🥰🥰, simulizi nzuri Sana hii💗💗,
🤸❤🙏 asante simulizi mix
Asipo pewa anatoa bomba lamaji😜😘
Part two bas Jay😎
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tupooo hewani tena ❤❤❤❤❤
Lisa,Lisa wangu love you baby girl
Daah Mary umekuwa daladala kila mtu anakupanda hatari hiyo😅
Tena hatar sana sana
Aasanteee sanaaaaa kipenzi chetu lisa mwala na anko jay 😂😂🙌🙌 acha nisikilize nione kunanin Ila sehem ya pili msitusahau jamni
❤❤❤
Aaaa mr J bwana dah! 😅😂😅
Anko j, unakumbuka,usilie Rehema, ndio ilikuwa simulizi yangu ya kwanza, iliniguza sana
fyoko fyiki msukuma😂😂😂
Nzuriiii sana nimeipendaaa simulizi mix
Lissa mwala shukrani maana vitu vyako waah vinafundisha kerli na kuzidi kutupa akili ya kuishi
Nimemiss sauti ya huyu Kaka jamn anko j 🔥🔥Lissa mwalla ubarikiwe Sana mwaya🥰
Party 2 please
Huyu binti ana nguvu gani jaman,kutumika hivyo huo uchi au kitu gan khaaaaa
😂😂😂umalaya ni balaaa
Tafadhali sehemu ya pili usitucheleweshee musimuliaji wetu Anko J.
Asalamu
Merry acha kudanga c kuzur ridhika na kidgo tuu na bidiii yko ya kazi unabadilisha maisha kidgo kidgo
Daaaaaa merie naweye akuna mwenye ulikataliya 😂😂😂😂😂😂😂ulikuwa cha ote
Ndokuingia natumai sijacchelewa sana
Yaani napeda sana simulizi za Lissa mwala..alafu Sasa ankojay
❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉
Jamani nimeipenda sana seemu YAPILI priz
Duuuuh,mtoto tamaa ya hela za watu itakuponza yatakupata mambo ya kutisha,nakusaidia kuogopa
Aaekeuneme huyo😂😂😂😂😂😂😂❤❤
Daah. Uyu MERI kaniskitisha kwakweli
Isije ikawa Mery akawa kama Katrina jaman,alinichosha kwa tabia yake ya kuchanganya wanaume na huyu ni binti mdogo
🎉🎉
Hahahaaaaaa😅😅😅,anko j jaman,komesha,maembe 2 kwenye mti wenye majani mengi ,haki msukuma saluut na mdudu wako
Anko..nakupenda.sana
Duu jamani Mery Anton amezidi mno mpaka kinyaa, atakufa vibaya na atakosa baraka, ndio maana kila mara majanga na anavyovipata vinaishia kupotea na kudhalilika juu
Huyuu Mary nae umezidii Kutiwaa Kutiwaa tuuu khee🤔🤔🙄
Tujuane tuliokua uarabun uku tunaburudika
Anko jay mwendelezo tafadhariiiii
SmixApp mmetisha san man kaz hazikauki kabisa
Leo wa 4🇨🇨🇧🇮🇧🇮
Huo msitu wa kongo wa kifuani ndio ugonjwa wangu
😂😂😂
Jaman mbona mery amkekua kama barabara inayopitiwa na kila gari khaaa,huo umalaya sio kbs
Weweeee Asante Lisa na anko jay
Ya pili ilikua karma malipo ni hapahapa duniani ilikuwa kali sana
Anko jay miayo mingi😂😂😂 pole kaka
Tuleteeni huku u tube part 2
🔥🔥🔥👌
ANKO JAY mbna ww hauna mbyaa jamn
Anapenda unavyoongezea viuongo vyako kama ulikiwepo mmm😁😁
Kikweli hiii imenigusa snaaa kakaa
😍🙏🇰🇪🇰🇪🎧
Hongera Lissa na smixat large
Tuleteni party two jamaniiii tutasubir km doctor mayla
Alimkomoa 😂 😂
Simulizi tamuuuu jaman
Asant dj ancon
Anko jay unapenda mbeya story zote lazima zipite mbeya haya ngoja tuenjoy na iyo Artist tutacomment badae
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyo msanii wa bongo movie atakua .... PhD 😄😄
Plz plz plz anko jay naomba kama anaandika vitabu huyu lissa mwallla naomba ninunue vitabu plz plz plz nipewe contact zake niwasiliane nae nahitaji vitabu
Umeonaee maan ht me nataman
Minaona awe mwandishi atoe movie zake
Atakua kama lamata
Yaan mayra kapta bado stress Za artist🤣🤣🤣🤣
Kimeanza kuumana mapema hivyo ?Mery huku dady huku mzee macha umeme huo haya
Kuridhika na ulichopewa usiwe na tamaaa
Nasubiri part 2 jamani
Jmn bibi kufa sijapenda😭😭😭😭😭
😢😢
Jaman tufarijiane kwa msiba wa bibi
❤❤❤❤😂😂😂
muendelezo anko jay
uko mnapo sema kila tukijalibu inashindikana
Ahahaa mbona likajizoazoa😂😂😂😂
Bas anko j. Sehemu ya pili tutaisubir mpaka tuchoke kama dokta mayra
Weeeee anko j usichelewe jamani
Mary jamani tulia
Shukran san lissa😘😘
Mpaka Nika Cheka kwasaut ete usipo nipa mabomba yangu yote na toa
😅😅😅
No 2 leo nimewahi wacha nisikize comment badae
Na enjoy kuskia story zenu nikiwa kazini. Like za watu wa Marekani
Jaman Lisa tukumbuke jaman turudia hihiai mpk bc jaman tupe nyingine
Dizo jaman Dizo wewe,Dizooooo utaua mtu Dizooo weeee
Jaman tamu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉