NORAH | SIMULIZI FUPI | ROMANCE ,COMEDY ,WIVU NA CHUKI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 เม.ย. 2024
- Kutana na NORAH & SELIM Hawa ni wanandoa wawili waliokutanishwa na familia zao na kuoana pasipo kupenda na hii ni baada ya familia zao kuwa na makubaliano ya miaka mingi kuwa watoto wao wakiwa wakubwa watakuja kuwaozesha ili kukuza urafiki wao , ila katika makubaliano hayo alielengwa kuolewa na SELIM ni NASRA pacha wake NORAH na si NORAH je kilitokea nini hadi kufanyika mageuzi hayo ambapo akaolewa Norah badala ya Nasra na mahusiano au ndoa hiyo itadumu?.
Songa nami katika kisa hiki kilichojaa ROMANCE ,COMEDY ,WIVU na CHUKI
SIMULIZI FUPI
SIMULIZI
LUCAS LUMBASI SIMULIZI - บันเทิง
Hahaha yaan kka ngu LUCAS LUMBAS nsiwe mrongo nmempensa sana 2 Norah kwan mziki wake utamu hady rahaa
🏃♀️🏃♀️na wahiiii jmanii nisije nikachelew kumsikiliza norah
Huuu kaka lucas tupe mwisho kabisa huuu maana sio kwa utamu huu😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉
My
Kaka Lucas lost dadaz jmn twasubiri muendelezo nimeshikilia maombi tesa asife i say mungu amlinde😢
Haki tesa asife Mnk akif utamu waisha😢😢
Mbona hii iliisha jmn tena vizuri sn jmn
Lukasi umekuwa mzabinazabina unaleta simulizi nyingi kwa wakat mmoja nyingine zinaishia njian mpaka zinatuchanganya
Nmedhani nmimi tu 😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 tuonane paradiso😂😂😂😂 norah hongera chidada wangu
Salim ety ukipata mda mpge ten bdo baba mkwe hajakupa hongera zko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tamuuu ta
Norah huyo ni kichwa kweli kuna wa mama wanastahili ivyo tu bila ivyo akuna amani kweli
Aman ya nn ndoa ya lazima hata mm siwapu aman
Norah omba namb ya SINTA kwa lucas umalizane na hii ndoa😂😂😂😂
😂😂😂😂
Wapi Kelele kwa Noroh ooooooyoo jamani huyu mdada apewe maua⚘️⚘️⚘️⚘️yake 😂😂😂😂
🎉🎉🎉
🎉🎉
Asante sana kaka Lucas Lumbas ❤❤❤
Norah eti nipe taraka nimempiga mama yako😂😂
🎉🎉🎉 asnt mboga saba😂😂❤❤
Nice story be blessed kweli hii simulizi tamu hadi tamu tena raha tupu pongezi kwa bwana Lucas Lumbasi ❤❤❤🎉🎉🎉
Ila Nora ni chizi fresh😅😅😅😂😂😂
Pongezi Norah kwa kumkanda mama mkwe🎉🎉
Mm ni wa pili leo😂😂😂 nipeni likes zenyu
Kazizuri kakayet kipenzi Mungu akupe💪💪
🤣🤣ila Lucas et itoshe kusema bwana ametoka bwana ametwaha 😂😂
Kaka wanimlz n hio sauti ila hongera Kwa kaz yako kaka🎉🎉🎉🎉
Lucas naulizia story ya ndoa yangu maana umetutosa
Kak Lukas naomba like me mchelewaji
😂😂😂 Norah jaman ukichwa ngumu kweli
Lucas me unanikoroga cjw wengine...maliza story moja baada ya nyengine ndio ithanoga😂ila nimependa hvo hvo 😘
Wajina wangu tena kulikon 🤣🤣🖐🖐🖐🖐wachatusikixee
😂😂kaka Lucas, umejua kunifurahisha na hii simulizi jamani😂😂😂 yaani ni hatariiii
Jamani mbn kipande Cha 2 kimechelewa Sana jmn ankoy wengine huku tunaiwaza tu hii simuliz
Lucas jamani mungu hazidi kukupigania kwa maishe yko🙏🙏🙏😘😘
Siko single nasiko namahusiani 😁
Acha niinjoi natak nisikilizi nikitu gani kilifanwa nisiwolew mimi nasla 😂😂😂😂
😂😂😂Norah shikamooo
Nakupenda sana sauti yako ni nzuri ninapenda kukusikiliza
Maua yaende kwa NORAY🎉🎉... Mpige mama mkwe lakini usimue 😂😂
🎉🎉🎉
Kaka lucasi Kesho tuachie ndoa yangu
😂😂😂😂 huyu Norah ni kiboko ya mama mkwe km Hawa 😂😂 harakisha kaka Lucas kutuma sehemu ya 2 pls
Nora apewe mauwayake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Luca mweundelezo please 😢😢
Here we go 🎉🎉🎉
Leo wakanza🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂waaa norah pongezi sana😂😂😂❤❤
Hahaha so happy
Tunaomba utumalizie lost dadaz jamani😢😢
🔥🔥🔥
Wa kwanza. Leo ❤❤❤❤ lucas
Jamani mbavuzang mie jamani uyukaka hajambo😀😀😀😀😀❤
😊😊😊
😂😂😂😂ukipata nafasi nikandie tena ila usiue nipo hoi hapo
Jaman norah kiboko eeeeeenh
Shukrani sana ❤❤
😂😂😂😂 Norah jamani daaaah upewe mauwa Yako 🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Tamu mno jamani upewe maua yako kaka 🎉🌹🥀
Jmn huyu norah ni me jmn nacheka mwenye hapa😅😅😅😅
mbn hana pt2 jamna😊
Tunataka ndoa yangu.acha hizi bhana
Ahasante sana anko Lucas kwasimulizi mpya ya Norah Niko single 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
kazi nzuri norah
Wazazi hawa niwakorofi wamefeli ndo wanakumbuka binti wawo mucharuko hatamimi sikubali Nashukuru lukas
Asante broo❤🇰🇪
Duuuh natamani mwendelezo wa Norah jmn
Storey motomoto ❤❤❤❤
Niko single ❤❤
😊😊😊
Acha nijue kilicho ndani ndio nicomment
Norah ww ni mm kbx huyuuu
😂😂😂ya Norah cukua mauwa yoko 🎉🎉🎉
Na wewe dada unaweza aiseei
Anko Lucas jitahidi kuweka Hadi mwisho
Bro unatutesa sana na ndoa yangu muendelezo😅😅😅😅
Mmi basi nasubiria kama nini
Lucas unatutesa na ndoa yangu simulizi nzuri ila unatuboa uko kimyaa mpaka tunaboleka
Nimecheka jmn
🎉🎉❤❤
dah unasimuliz bora nazina sisimua❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
Oyaa muhaligani wadau wa Lucas
Wazima tu
Oyoooooo😂😂😂😂😂Norah ni type yangu wweee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo sio Norah tu hata Mimi niliyapitia hayo kutoroka na kwenda Disco na part sikujua km nilikuwa najikomoa mwenyewe
🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉❤❤❤
😍😍😍😍😍😍❤❤❤❤❤
Ila mama mkwe anagubu bola Norah amemuzaba nanyumba yote wanamupongeza Norahkwakumpiga mama mwenye nyumba ata ingekuwa mimi ningemunyoosha tu maana sio kutumikisha watu huko, na kingine wazazi wanajidanganya ukiona mtoto ni mucharuko haimaninishi eti anatabiya mbaya na tena ogopa watu wako kimya yani hao matokeyo yao ni mazito,yaani wazazi wakiona unachaluka wanaanza kusema ukituletea mimba nitaitowa na mikono yangu au utatuleteya magonjwa nawakati wemwenyewe haufikili huko yani nimekumbuka mbali sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Kaka lucas Tuleteye Norah leo au lost DADAZ maani Ndoa Yangu Teddy amenichosha sana.😅😅😅😅😅😅
Jamn vipenz wa lukacy lumbas mpo
Tupo
Tupo
Norah 😂😂😂bikra ndo sasa damu ya 🐁
Jamani leo ni simulizi ya jina langu kumbe
Mashallah
Muzik si haramuu maan dini inaruhusu
Nimekumbuka odama jaman😂😂
Leo kavunjwa nyonga na swara jamani jamani jamani 😂😂😂😂😂😂😂
Nipo muisalam napenda stara
Mashallah
Lucas uko sawa lakini punguza kucheka unapo simulia tafadhal
😊😊😊ehe hujui unapocheka umri wako unaongezeka jmn
Katika kusimulia simulizi ni tofauti si kwa ubaya
That is artistic au hujui😒
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Duu,! umdhaniaye ndiye kumbe siye jamani,mimi niliacha kuwahukumu watu kwa kuwaangalia kwa macho zamani mno, nilishafundishika mno
😂😂😂😂😂 daa,uzazi huu jamani 😂😂😂 ila Norah ni kasheshe
Ila hii simulizi inaanza na vichekesho😂😂😂😂
Norah unachekesha🤣🤣
Akili zake kama zangu nilikua napenda harus Ngoma ikianza tu mm uwanjan ila uzir harus ikiisha tu mm nyumban na swali nilale na baba alivyo kuwa mkali 😊😊😊 alitulia tu mm ndio tuma rama wengine fotokop😊😊😊 msijal n utoto tu sikuhizi Niko bz Qatar na majukum ila nitawasimulia wajukuu zangu inshallah siwajua ujana n Moshi 😊😊
@@FatumaRamadan.Mwalim🤣🤣na wew nikama Norah♥️
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante ndugu Lucas na nura❤❤❤❤
❤❤❤🎉
Ma mkwe ana kihede kama mende aliedondokea kwenye chupa😂😂😂
Bona unatuacha in asuspence? Mara hatujamaliza zingine unatoa mpya.tueleweshe
❤❤
👌💚💛💚💛💚kama unasikia pwagu na pwaguzi ndo hii sasa anafanya nacheka mwenyewe ila nirah hatari 💛💚💛💚💛💚💛🫶💚💛👌🤝
😂😂😂😂😂ety damu ya panya😂😂😂😂😂 i nayo noma xana
🫢