NDEGE KUBWA YA KIJESHI TOKA QATAR YATUA KIA KWA MARA YA KWANZA KWAAJILI YA TUKIO KUBWA LA HANANG

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 220

  • @jebace
    @jebace 8 หลายเดือนก่อน +8

    kwa wale wenzangu na mie,hiyo ndege inaitwa C -17 global master kutoka kampuni ya Boeing marekani.pia Kuna nyingine mkubwa kushinda hiyo inaitwa the galaxy C - 5 kutoka marekani kampuni inayotengeneza nimeisahau sina uhakika km ni Boeing au Lockheed Martin.

  • @JuliusYonah
    @JuliusYonah 8 หลายเดือนก่อน +18

    We huelew bhn hio ndege inaondoka nawanyama hio nimbuchuchu bhn

    • @suleimanahmadaali5989
      @suleimanahmadaali5989 8 หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu unauhakika, yaani baadhi ya sisi watanzania tunapenda kufikiria mambo kinyume tuu bila ya msingi, yaani watu wamejitolea kuwapa misaada ndugu zetu, eti wanakuja kuiba wanyama, ukiambiwa utoe ushauhidi utatoa

  • @Iam_mgahivevo
    @Iam_mgahivevo 8 หลายเดือนก่อน +6

    Hii ndege isipoondoka na wanyama sijui niko pale

  • @storytownTv
    @storytownTv 8 หลายเดือนก่อน +9

    Me na uhakika iyo ndege haiwez kuondoka tupu... Twiga kadhaa lazma wabananishemo tu hakuna cha bure Dunian #shtuken ma home pple

    • @htx1873
      @htx1873 8 หลายเดือนก่อน +1

      Exactly my point , think about it . Majanga yatokee few month ago halafu msaada watoe Leo ? Things just do add up , HIZI NDEGE HAZIONDOKI TUPU

    • @yousuphnzira3209
      @yousuphnzira3209 8 หลายเดือนก่อน

      Mawazo mgando.
      Mawazo Matakoni

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@yousuphnzira3209amka ndugu yangu hiyo imekuja kuchukua na sio kuleta watanzania tutaamka lini?

    • @htx1873
      @htx1873 8 หลายเดือนก่อน

      @@yousuphnzira3209 unavyoongea na kutukana kama serikali yetu haiibi au haifanyi corruption , you are so stupid followers , ndiomaana your broke and hungry. Kweni hawaibi?

    • @yousuphnzira3209
      @yousuphnzira3209 8 หลายเดือนก่อน

      @@htx1873 Unaushahidi Gani kua hizi ndege haziwezi kuondokea bila kubeba chochote kutoka Kwetu? .
      Acha kuleta dhana za kijinga.

  • @emanuelmselle637
    @emanuelmselle637 8 หลายเดือนก่อน +15

    Bure bure tuu😅😅😅

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mi naogopa misaada ya kutoka inje 😢😢😢😢

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน +3

    M.barikiwe mliotowa na naamini mmetowa kwa moyo na si kuwa matajiri

  • @abdulazizamani8103
    @abdulazizamani8103 8 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah Qatar 🇶🇦 ❤

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 8 หลายเดือนก่อน +9

    Hatari sana mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 8 หลายเดือนก่อน +3

    Wanaacha kupeleka misaada Gaza huko watoto wanakufa kwa njaa.
    Aiseee,if you know you know!

  • @magnetbaton
    @magnetbaton 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ila duh ni hatari kwanza Tanzania yetu ni tajiri tuna madini kama yote mbuga kama zote bahari mimea mbalimbali lakini bado misaada jamani ifike mahali watanzania tujikubali wenyewe kwanini tumekuwa watumwa wa misaada 😢😢😢 tutaja letewa na visivyotumika jamni tujikubali watanzania ebu tambueni umaridadi uficha umaskini Mungu ibariki tanzania Mungu waongoze viongozi wetu Amin #maget

    • @abelimwakijungu1226
      @abelimwakijungu1226 8 หลายเดือนก่อน

      Kwenye majanga kusaidiwa ni muhimu, ni vizuri kushukuru kwa msaada kwanza. Hata hivyo Una point muhimu kuhusu kujitegemea pia asante sana.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@abelimwakijungu1226hakuna msaada wa bure

    • @celifpower4993
      @celifpower4993 8 หลายเดือนก่อน

      @magnetbaton ata uturiki ni taifa kubwa ila ilipotokea mtetemeko wa ardhi walipokea misada kutoka nchii mbali mbali

  • @richardalex7296
    @richardalex7296 8 หลายเดือนก่อน +2

    Misaaada gan achaaa wabebe madini na wanyama2 akunaga msaada wa buree kutoka njeee

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 8 หลายเดือนก่อน

      Wagalatia ingekuwa condom za msaada mngefurahi sababu hampendi kuwazalisha wakina Maria 😢😢😢😢😢😢😢

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@OmmyJames-xn7j hakuna Cha bure kwani wameanza Leo kwenye ukweli tusimamie ukweli

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 8 หลายเดือนก่อน +2

    Alafu watu wanakufa huko Gaza kwa njaa wameshindwa kuwasaidia chakula ila mbongo ndiyo kaonekana wa maaana sana

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Kuna chenye wamekuja kuchukua kuharibu

  • @MussaSongo
    @MussaSongo 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hilo dege haliwezi kirudi tupu kuna mabadilishano ya maana hapo tanzanzanite inaondoka hiyoooo

  • @meshack3266
    @meshack3266 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hahaha tushapeleka madin upooooo acha tulipweee🎉🎉🎉🎉

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye hiyo msaada bado wakati kuitoa kuna watu wataiba hiyo misaada, ukiwa muakilishi wa nchi inayotoa huo msaada unajisikia raha sana, tuna washukuru kwa utu wenu na kwa msaada wenu Mungu awabariki sana

  • @RichadTenga-ze4vp
    @RichadTenga-ze4vp 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mh!tunashukuru.
    Eh Mungu,tunaombea faru zetu na tembo zenye vipusa,pamoja na twiga hata na swala,bila kusahau nyati.
    WOOTE wazid kustawi na kuokoka na mkono wa mjanja yeyote atakaekatiza.

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 8 หลายเดือนก่อน

    Maa shaa Allah poleni kwa walioathirika

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bora misada ya warabu haina masharit mzungu akikupa msada lazima mashariti mra watakwambia ushoga sasa huo sio msada wazungu hawafai

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Kwali usijidanganye

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mama apewe maua yk ifike kwa walengwa

    • @ototek8037
      @ototek8037 8 หลายเดือนก่อน

      Mama apewe mauwa yake, misaada inakuja kwetu, sisi ndo mafisadi.

    • @Gamba81
      @Gamba81 8 หลายเดือนก่อน

      Maua gani ya upupu au

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน +1

      Upupu mtupu tumepigwa na kitu kizito kichwa

  • @ahmadally2437
    @ahmadally2437 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona na sisi huwa tunapeleka sana misaada kwenye zingine kama malawi na nchi nyingine, ila tukipewa sisi mnaleta negativity sijui kuibiwa sijui nini,, muda mwingine tuache negativity watanzania...Japo ipo ambayo huwa na condition ya kuumiza nchi

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 8 หลายเดือนก่อน +9

    Hakuna msaada hapo. 😂😂😂😂😂😂

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 8 หลายเดือนก่อน +2

      Kwaio unatakaje

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 8 หลายเดือนก่อน

      @@magretangel5242 nikuulize ww vipi unatakaje

    • @NDEBILugalata
      @NDEBILugalata 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 tushaaa pigwaa sema tumesha zoea wanyongee wafanye tu wataenda kusemaa mbingunii

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 8 หลายเดือนก่อน

      @@NDEBILugalataNEXT ZINAKUJA CONDOM KUTOKA KWA PAPA WAGALATIA MSIZAANE MUWE MASHOGA 😢😢😢😢😢

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@OmmyJames-xn7jitulishaisha siku nyingi

  • @reymahassan9358
    @reymahassan9358 8 หลายเดือนก่อน +7

    Serikali ipimeni hiyo misaada, ipo salama? Kwa vijana/wanaume na wanawake

    • @hekehindo5928
      @hekehindo5928 8 หลายเดือนก่อน

      Najiuliza leo tunapokea je wao yakiwakuta tutaweza kuwapelekea?

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hao sio wazungu... ni watu wanaosifika dunian kwa kutoa bila kungojea Shukran

    • @reymahassan9358
      @reymahassan9358 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@mohamedaley5632 hakuna vya bure dunia hii, bure ni salaam tuu. Na salaam pia siku hizi inauzwa.

    • @ZaharaHassan-e8s
      @ZaharaHassan-e8s 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@mohamedaley5632
      Mmmmmmh point zerooo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@reymahassan9358Iko wazi misaada ndo umauti wetu

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 8 หลายเดือนก่อน +3

    Sio mara ya kwanza zilishatua kubeba wanyama

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 8 หลายเดือนก่อน +2

    kuna kitu si bure. mtaona watu wakilalamika sio muda.

    • @georgeurembo4553
      @georgeurembo4553 8 หลายเดือนก่อน

      Wanaondoka na wanyama hao

  • @ShabanSef
    @ShabanSef 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna Cha Bure mtanambia nimekaa pale

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 8 หลายเดือนก่อน

    Kuna kitu hakiko sawa😢

  • @salumNamgo1994
    @salumNamgo1994 8 หลายเดือนก่อน

    Asante mama kwa ushilikiano wako

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 หลายเดือนก่อน

    Wazungu ndio tabia yao ushoga huo msafa upo salama hao viongozi wenu kutoka magaribi ndio shuhuli yao ushoga leo watoto wangapi wamewaharibu mbuni hayo hamuyasemi mmekua mabubu

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 8 หลายเดือนก่อน +1

    Those tan for what, we have everything still there poor people so we need to be careful,

  • @HannaSamson-nq3hc
    @HannaSamson-nq3hc 8 หลายเดือนก่อน

    Nchi imesha uzwa 🎉

  • @pendaelyandrew7813
    @pendaelyandrew7813 8 หลายเดือนก่อน

    Tatizo sio kuja kwa msaada tataizo je zitawafiki walio asirika na majanga ayo .......? Maan hii nchi wapigaji ni wengi 😅😅

  • @dahlainismail6837
    @dahlainismail6837 8 หลายเดือนก่อน

    Saidieni Palestine

  • @paulndaki8423
    @paulndaki8423 8 หลายเดือนก่อน

    Duh bc tu!!. Pumzika kwa amani baba John

  • @Hellen-i2y
    @Hellen-i2y 8 หลายเดือนก่อน +1

    wakati waarabu wenzao wapalestina wanakufa njaa wanatusaidia sisi waafrika na watumwa wao kihistoria?ngumu kuwaamini!

  • @allenmwambuch3689
    @allenmwambuch3689 8 หลายเดือนก่อน

    Jidanganye😅
    Tz 🇹🇿 uwezo wa kuwalisha na kuwajengea hao Raia wa Hananj upo na ni mkubwa sana tu. Misaada ya nini .
    Kuna kitu mbele ya huo msaada kupoteza ni simple sana

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Point ☝️🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @mussajp8612
    @mussajp8612 8 หลายเดือนก่อน +1

    Aki mtu wangu
    Akili kumkichwa bureeeeeeeeeeee😔🙌🏼🤦🏼‍♂️

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 8 หลายเดือนก่อน +5

    Wajomba

  • @stephenkimani5503
    @stephenkimani5503 8 หลายเดือนก่อน

    If you know you know hii imeeenda hakuna cha buree hapa tena kwa mwarabuu 😢😢kwishaaaaa sisi

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bila Shaka ndege hii itapndoka na mzigo toka Tz

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 หลายเดือนก่อน

    Msada anatoa marekani ispokua mwanao wanataka wageuze awe shoga jee huoni nilaana hiyo hujui watu waliangamizwa wao mpaka vingozi wao ndio wameshika bango wanaume waolewe

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ikiondoka inabeba twiga,swala,nyati,chui,mamba,simba n.k
    Ok,nipe,nikupe!!!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน +1

      Umesahau na tanzanat,dhahabu na rubi

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona nchi ya Tanzania vyakula vipo vingi tuangalie na misaada mingine tunayoipokea

  • @swalehejuma6611
    @swalehejuma6611 8 หลายเดือนก่อน +2

    Tunawashukuru but why?! Hivi hawa waarabu wanatupenda sana, oky inaweza kuwa hivyo. Vp huko Ghaza?!

    • @hemedzahor2002
      @hemedzahor2002 8 หลายเดือนก่อน

      Bado mauaji ya watt wasio kua na hatia yanaendelea

    • @swalehejuma6611
      @swalehejuma6611 8 หลายเดือนก่อน

      @@hemedzahor2002 watu wanakufa kwa njoo Ghaza

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@swalehejuma6611huu sio msaada ni kiini macho wamekuja kuchukua kwenye shamba la bibi ni huzuni na aibu kubwa kwa viongozi wetu

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL 8 หลายเดือนก่อน

    Mmh atari 😢 r .i.p magu

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani Tanzania tunashindwa kuwalisha wenzetuu wakati maghala yetu yamefurika mpaka yana taka kupasuka mme amua kuwaletea ndugu zetu sumu za waarabu ilimuwamalizie siyoo niaibu kubwa sanaa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio vimeletwa kwa issue nzito kwa kisingizio Cha msaada kwa tanzania yetu hatuitaji chochote kutoka nche ni viongozi hawajielewi

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli watanzaniya wanataka waanziwe tu waseme hata wafanyiwe wema kiasi gani.kasoro zitaanza tu ivi tumerogwa na nani sisi tanzaniya?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Misaada kwa upeo wako Tanzania inahitaji misaada?

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 8 หลายเดือนก่อน

    Sy bre kunavitu wamekuja kuchukua

  • @dancerboy2686
    @dancerboy2686 8 หลายเดือนก่อน +2

    mmmmmh hii haiingii akilini kabisa lazima ilo pipa libebe wanyama

    • @khalidmohammed3396
      @khalidmohammed3396 8 หลายเดือนก่อน

      Nani anashida na wanyama wako wewe

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@khalidmohammed3396 wanabeba xana tuu tunajua

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tunapendwa jmn watanzania!! 😂😂😂😂😂😂😂!! All the all hongereni sana!!

  • @MerkizedeckChapakazi
    @MerkizedeckChapakazi 8 หลายเดือนก่อน

    msizani mnapendwa saana hapo ni win win situation

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน

    Mana jambo la ovyo itakuwa kama mlengwa hapati mtu kwa kuwa yeye kiongozi ajinufaishe hivo itkw is sawa

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 18 วันที่ผ่านมา

    Yaan nyieee wenzangu na mie huu ni ujanja wakuchukuliwa rasili Mali zetu kiurahis kabisaa..... Baba magu alikuwa hayatak haya na tulikuwa tunajiendesha vzr tuu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 8 หลายเดือนก่อน

    Wamekuja kuiba hatuwaamini

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi2187 8 หลายเดือนก่อน

    Sije kawa inaleta silaha😢

  • @-magicstory
    @-magicstory 8 หลายเดือนก่อน

    Nimeanza kukumbuka ilr video ambayo waarabu wameweka bendera ya tanzania kisha wanaimba kwa frah 😮😮😮impact

  • @raymond5175
    @raymond5175 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mwarabu!! mwarabu!! Mwarabu!!

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 8 หลายเดือนก่อน +1

    Waarabu aoooo...!!!

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 หลายเดือนก่อน

    Ndio tabia ya msuwahili ukimpa jeuri usipompa atalalamika ndio huluka yake hana shukurani huku ananjaa huku kejeli

  • @margaretmueni4595
    @margaretmueni4595 8 หลายเดือนก่อน

    Jamani watazania mambo gani mumeanza sasa? Mnadanganywa na waarabu eti misaada huo ni upuuzi mtupu wanataka kubeba wanyama pori wenu

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 8 หลายเดือนก่อน

    Boing 747

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 8 หลายเดือนก่อน

    Ayabwana wanatuletea mitumba ya marehemu tunafurahi kweli semeni ukweli wamekuja kuchukua wanyama pori wetuu na madini

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน

    Atakae chukuwa hizo vitu na yeye sio mlengwa basi mungu amuadhirishe

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 8 หลายเดือนก่อน

    Wazungu wanatuona sisi niwajinga sana

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 8 หลายเดือนก่อน

      Qatar sio Wazungu ni Waarabu. Pia hawana uwezo wa kuitengeneza ndege. Wamenunua kutoka Marekani

  • @kephathicke9452
    @kephathicke9452 8 หลายเดือนก่อน

    wananchi watazipokea ipasavyo? au ndo bora zimefika

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi silaumu naba tu ifile kwa walengwa

  • @josephguerino7416
    @josephguerino7416 8 หลายเดือนก่อน

    Jangwa linasaidia chakula n hi ya rotuba

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂 wamekuja kuchukua kwa vile wanajuwa watanzania walishaamka wakaja na kisingizio Cha misaada ili wasishtukuwe ila wapi

    • @josephguerino7416
      @josephguerino7416 8 หลายเดือนก่อน

      @@MiriamAbdallah nipe nikupe lkn sasa wao wanachukua yote na hatupati kitu😂😂😂😂 dah! Inasikitisha

  • @misomisomisoji7722
    @misomisomisoji7722 8 หลายเดือนก่อน

    Iyo ni danganya toto tu, awa warabu wamekuja kukwapua wanyama poli wetu,

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 8 หลายเดือนก่อน

    Hala Hala twiga zetu wajameni. Nothing for free.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Kwisha habari 😭😭😭😭😭

  • @SATZ-news
    @SATZ-news 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hara tunawapa matwiga na matembo si ndo?😅😅

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 8 หลายเดือนก่อน

      Bora tuwape maana hatufaidiki nayo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@adamhashim3352amka na wewe Cha kupenda usingizi

  • @asmaalghafri449
    @asmaalghafri449 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mna chuki na waarabu mwarabu hajawai kumpa mtu zawadi chakula au chochote akatia sumu mwarabu hana uwongo na kama hamvitaki tudisheni kweli masikini wengi wataingia motoni kwa kutoshukuru

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 8 หลายเดือนก่อน +1

      Mmoja wapo ni ww mwarabu mshenzi tu uyo mama kashauza loliondo

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 8 หลายเดือนก่อน +3

      Tofautisha Uarabu na Uislam. Waarabu ni wahovyo sana.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Hapa tusiongee swala la dini tuongee mustakabali wa taifa letu viongozi wetu wamepiga mnada nchi hiii

  • @binseif2216
    @binseif2216 8 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania wamejaaliwa midomo hata yafanyiwe nininlkn baadhi yao hayana shukran

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 8 หลายเดือนก่อน

      Kuletewa eti vitu vya usafi!!!? Msaada gani huo?

    • @binseif2216
      @binseif2216 8 หลายเดือนก่อน

      @@josephmasanja8584 Acha ujinga mtu akikukumbuka hata kwa kitu kidogo mshkuru mbona mataifa mengne hayakuwaza hili

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@josephmasanja8584yaani mijitu mingine haijatambui hapo hakuna kitu kinaitwa msaada

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 8 หลายเดือนก่อน

    Kwa Nini Wastoe cash kuliko vitu kama vyakula,

  • @RichardMlaguzi
    @RichardMlaguzi 8 หลายเดือนก่อน

    Washapata sababu ya kuuza wanyama

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 8 หลายเดือนก่อน

    Alafu hawa waarabu sindiyo wali wahasi mabubu zetu kwa kuwatoa pumbuzao bila hata kutumia ganzi kisa wasije wakazaa na wake zao nandiyi maana leo hakuna diaspora mwafrika mwarabu wakutoka enzizaukoloni

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 8 หลายเดือนก่อน

      Mwarabu sio mtu hat tone, angalia alichowafanyia babu zetu, angalia wanawake wanaokwenda uarabuni kufanya kazi za ndani, angalia walichokifanya huko Israeli octoba 7, na mengine mengi sana. Mwarabu sio mwanadamu kamili.

    • @hijamshamu873
      @hijamshamu873 8 หลายเดือนก่อน

      Mmekalilishwa sekula nyie acha mteseke na mawazo mgando,kuna watu washenzi kushinda wazungu na mayahudi duniani si ndio wamewaletea UKRISTO na sasa wanawataka muoane wanaume kwa wanaume.Hao wazungu si ndio watu wanao chocolate machafuko dunia mzima au hamuoni? Km macho makengeza masikio hamsikii.Sasa mkisikia waarabu roho zinawauma sana.Pingeni imani zenu za kupiga miziki ndio ibada yani wake kwa waume mnakata viuno hadharani eti oo tunaabudu😂.Nyie vp kukata viuno ndio kuabudu sass mtu km ww hivi unaweza kuwa na akili timamu kweli.Haya mie napita tu naendazangu.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli waliwafanyia mabaya yakuogomya sana

  • @MariamMasoud-r5y
    @MariamMasoud-r5y 8 หลายเดือนก่อน +2

    Tutapigwa tukiomojatu tanzania itabakijina

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 8 หลายเดือนก่อน

      Kwaio?

    • @Zuuh4286
      @Zuuh4286 8 หลายเดือนก่อน

      Me cjapenda kabsa Mungu atusaidie tz s masikin ila sisi wenye tz yetu ndo tunaifanya kuwa masikin😢😢😢

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Zuuh4286point

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 8 หลายเดือนก่อน

    Wabongo hamuwapendi waarabu wakiwa wazungu wanasifiwa wakiwa waarabu wanaambiwa wanakuja kuiba wanyama yani wewe unajifanya unauchuungu na wanyama wkt aliyewaumba hachukii unachukia acheni chuki na waarabu sisi wote tumetoka kwa adam sasa kama adam ni mzungu sawa wakataeni hao waarabu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Hakuna kitu kama hicho wabogo walishaamka buda

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 8 หลายเดือนก่อน

    Tunashkur kwa msaada

  • @gideonnzuzu5665
    @gideonnzuzu5665 8 หลายเดือนก่อน

    Sio kwa mara ya kwanza. Miaka ya 2004, 2005 hadi saba zilitua sana

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmh

    • @lodrickmwambene133
      @lodrickmwambene133 8 หลายเดือนก่อน

      Hapo wataondoka na chui na Simba kadhaaa 😁😁😁😁😁

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 8 หลายเดือนก่อน

    Tuombee Mungu atupe viongozi wanaojielewa siyo watembeza mabakuli

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 8 หลายเดือนก่อน

      Wale watu wote waliopewa dhamanA kusimamia maendeleo ya nchi wengi wao wezi vp nchi itaendelea angalia mikutano ya makoda utalia dhulma masikini hana haki kufungwa na kupotea kwa watu nani alaumie utasema Rais lkn nyinyi wenyewe mnauwa nchi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Viongozi wote wa afrika ni vibaraka vya wakoloni

  • @hekehindo5928
    @hekehindo5928 8 หลายเดือนก่อน

    Najiuliza leo tunapokea je wao yakiwakuta tutaweza kuwapelekea?

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 8 หลายเดือนก่อน

      Unaambiwa Ata wao wnakula vingi vya kwetu nyama wanchukulia uku kwetu

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 8 หลายเดือนก่อน

    Sio bure Kuna mkono wa shetani hapo siku inaondoka hawata aga

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 8 หลายเดือนก่อน

    Wanataka vita sio?

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ibia hao Wa TZ hawajielewag wanatakag kulelew na serikali mibaba mizima na midevu.. beba kila kitu wajing ndio waliwao.. endeleen kulalamika kwenye comments tu wa tz hamna lolote

    • @DanielKigesa
      @DanielKigesa 8 หลายเดือนก่อน

      Yakwenu yamekushinda utayaweza ya Tz

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂sasa si na nyiy kina nani wanaibiwa lipeni kwanza deni la China ndo ufuguo mdomo kwq nchi yetu hatuna made ni 😂😂😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@DanielKigesamajina ya magret hayajitambui😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅

  • @spabiton7989
    @spabiton7989 8 หลายเดือนก่อน

    ime iletea nani hatuna shida imekuja pakua wanyama wetu msaada gani sisis hatuna

  • @DaudiMollel-k3l
    @DaudiMollel-k3l 8 หลายเดือนก่อน

    Niwale walio munyima mchezaji wetu juis au ni wengine

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 8 หลายเดือนก่อน

    Waarabu wanarejea
    Sijawahi ona tukipewa msaada kutoka Uarabuni wana Aanang tumefanya nini kwa wenzetu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibarik Qatar 🇶🇦 na Kiongozi wao kwahakika ni watu wazuri saana

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 8 หลายเดือนก่อน

    Msubiri kulipa kupitia mikataba ya kuwa favour wanataka gesi yenu ya mtwara hamna cha bure duniani

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 8 หลายเดือนก่อน

    Ila, mmhhhhh!!!!!
    Kama Msaada wenyewe ni vyakula vya aina hiyo, na si ajabu ni tende!!! na vifaa vya usafi wa kinamama!!!!???? SIJUI

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 8 หลายเดือนก่อน

      Chakula si wapeleke Sudan na Congo kwenye vita?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@emmadora7848wanalao jambo

  • @adiliwasanga4521
    @adiliwasanga4521 8 หลายเดือนก่อน

    Hakuna cha bule

  • @macksokaempire5233
    @macksokaempire5233 8 หลายเดือนก่อน

    wakishusha misaada wanaondoka na twiga mmoja😅😅

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Mmoja hiyo wapi wanajaza na madini juu wamekuja na mpongo kabambe ati misaada

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 8 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo marecani hawajatoa msaada wowote

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 8 หลายเดือนก่อน

    Moja itabeba madini,na nyingine, itabeba wanyama!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Umeongea point ☝️❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Umeongea point ☝️❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 8 หลายเดือนก่อน

    Hawa sindo wale inaosemekana Kwamba wanataka uwanja pia?? Wamekuja kukagua Mali yao😂😂 pumbap Sana

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Walishachukua mbona

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 8 หลายเดือนก่อน

    Itaondoka na nini?

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 8 หลายเดือนก่อน

    Bora waarabu kuliko wazungu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Wote walewale kwani Kuna mkoloni nzuri au mwizi nzuri?

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 หลายเดือนก่อน

    Veeni mitandio basi mfiche hivo vichogo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Umeambiwa wote ni Muslim

  • @reginamlay5263
    @reginamlay5263 8 หลายเดือนก่อน

    Waarabu walivyo wabaguzi wanatuletea misaada!!!!!! MBURAAA NCHI IMEENDA 😢😢

    • @abrahmanifarouckissa5662
      @abrahmanifarouckissa5662 8 หลายเดือนก่อน

      Wanakuja kwa ajili ya mama haoo waarabu asili yao ni zanzibar

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@abrahmanifarouckissa5662madini na wanyama inahusu