kwa wale wenzangu na mie,hiyo ndege inaitwa C -17 global master kutoka kampuni ya Boeing marekani.pia Kuna nyingine mkubwa kushinda hiyo inaitwa the galaxy C - 5 kutoka marekani kampuni inayotengeneza nimeisahau sina uhakika km ni Boeing au Lockheed Martin.
Ndugu yangu unauhakika, yaani baadhi ya sisi watanzania tunapenda kufikiria mambo kinyume tuu bila ya msingi, yaani watu wamejitolea kuwapa misaada ndugu zetu, eti wanakuja kuiba wanyama, ukiambiwa utoe ushauhidi utatoa
@@yousuphnzira3209 unavyoongea na kutukana kama serikali yetu haiibi au haifanyi corruption , you are so stupid followers , ndiomaana your broke and hungry. Kweni hawaibi?
Ila duh ni hatari kwanza Tanzania yetu ni tajiri tuna madini kama yote mbuga kama zote bahari mimea mbalimbali lakini bado misaada jamani ifike mahali watanzania tujikubali wenyewe kwanini tumekuwa watumwa wa misaada 😢😢😢 tutaja letewa na visivyotumika jamni tujikubali watanzania ebu tambueni umaridadi uficha umaskini Mungu ibariki tanzania Mungu waongoze viongozi wetu Amin #maget
Hapo kwenye hiyo msaada bado wakati kuitoa kuna watu wataiba hiyo misaada, ukiwa muakilishi wa nchi inayotoa huo msaada unajisikia raha sana, tuna washukuru kwa utu wenu na kwa msaada wenu Mungu awabariki sana
Mh!tunashukuru. Eh Mungu,tunaombea faru zetu na tembo zenye vipusa,pamoja na twiga hata na swala,bila kusahau nyati. WOOTE wazid kustawi na kuokoka na mkono wa mjanja yeyote atakaekatiza.
Mbona na sisi huwa tunapeleka sana misaada kwenye zingine kama malawi na nchi nyingine, ila tukipewa sisi mnaleta negativity sijui kuibiwa sijui nini,, muda mwingine tuache negativity watanzania...Japo ipo ambayo huwa na condition ya kuumiza nchi
Wazungu ndio tabia yao ushoga huo msafa upo salama hao viongozi wenu kutoka magaribi ndio shuhuli yao ushoga leo watoto wangapi wamewaharibu mbuni hayo hamuyasemi mmekua mabubu
Jidanganye😅 Tz 🇹🇿 uwezo wa kuwalisha na kuwajengea hao Raia wa Hananj upo na ni mkubwa sana tu. Misaada ya nini . Kuna kitu mbele ya huo msaada kupoteza ni simple sana
Msada anatoa marekani ispokua mwanao wanataka wageuze awe shoga jee huoni nilaana hiyo hujui watu waliangamizwa wao mpaka vingozi wao ndio wameshika bango wanaume waolewe
Yaani Tanzania tunashindwa kuwalisha wenzetuu wakati maghala yetu yamefurika mpaka yana taka kupasuka mme amua kuwaletea ndugu zetu sumu za waarabu ilimuwamalizie siyoo niaibu kubwa sanaa
Yaan nyieee wenzangu na mie huu ni ujanja wakuchukuliwa rasili Mali zetu kiurahis kabisaa..... Baba magu alikuwa hayatak haya na tulikuwa tunajiendesha vzr tuu
Mna chuki na waarabu mwarabu hajawai kumpa mtu zawadi chakula au chochote akatia sumu mwarabu hana uwongo na kama hamvitaki tudisheni kweli masikini wengi wataingia motoni kwa kutoshukuru
Alafu hawa waarabu sindiyo wali wahasi mabubu zetu kwa kuwatoa pumbuzao bila hata kutumia ganzi kisa wasije wakazaa na wake zao nandiyi maana leo hakuna diaspora mwafrika mwarabu wakutoka enzizaukoloni
Mwarabu sio mtu hat tone, angalia alichowafanyia babu zetu, angalia wanawake wanaokwenda uarabuni kufanya kazi za ndani, angalia walichokifanya huko Israeli octoba 7, na mengine mengi sana. Mwarabu sio mwanadamu kamili.
Mmekalilishwa sekula nyie acha mteseke na mawazo mgando,kuna watu washenzi kushinda wazungu na mayahudi duniani si ndio wamewaletea UKRISTO na sasa wanawataka muoane wanaume kwa wanaume.Hao wazungu si ndio watu wanao chocolate machafuko dunia mzima au hamuoni? Km macho makengeza masikio hamsikii.Sasa mkisikia waarabu roho zinawauma sana.Pingeni imani zenu za kupiga miziki ndio ibada yani wake kwa waume mnakata viuno hadharani eti oo tunaabudu😂.Nyie vp kukata viuno ndio kuabudu sass mtu km ww hivi unaweza kuwa na akili timamu kweli.Haya mie napita tu naendazangu.
Wabongo hamuwapendi waarabu wakiwa wazungu wanasifiwa wakiwa waarabu wanaambiwa wanakuja kuiba wanyama yani wewe unajifanya unauchuungu na wanyama wkt aliyewaumba hachukii unachukia acheni chuki na waarabu sisi wote tumetoka kwa adam sasa kama adam ni mzungu sawa wakataeni hao waarabu
Wale watu wote waliopewa dhamanA kusimamia maendeleo ya nchi wengi wao wezi vp nchi itaendelea angalia mikutano ya makoda utalia dhulma masikini hana haki kufungwa na kupotea kwa watu nani alaumie utasema Rais lkn nyinyi wenyewe mnauwa nchi
Ibia hao Wa TZ hawajielewag wanatakag kulelew na serikali mibaba mizima na midevu.. beba kila kitu wajing ndio waliwao.. endeleen kulalamika kwenye comments tu wa tz hamna lolote
kwa wale wenzangu na mie,hiyo ndege inaitwa C -17 global master kutoka kampuni ya Boeing marekani.pia Kuna nyingine mkubwa kushinda hiyo inaitwa the galaxy C - 5 kutoka marekani kampuni inayotengeneza nimeisahau sina uhakika km ni Boeing au Lockheed Martin.
We huelew bhn hio ndege inaondoka nawanyama hio nimbuchuchu bhn
Ndugu yangu unauhakika, yaani baadhi ya sisi watanzania tunapenda kufikiria mambo kinyume tuu bila ya msingi, yaani watu wamejitolea kuwapa misaada ndugu zetu, eti wanakuja kuiba wanyama, ukiambiwa utoe ushauhidi utatoa
Hii ndege isipoondoka na wanyama sijui niko pale
Me na uhakika iyo ndege haiwez kuondoka tupu... Twiga kadhaa lazma wabananishemo tu hakuna cha bure Dunian #shtuken ma home pple
Exactly my point , think about it . Majanga yatokee few month ago halafu msaada watoe Leo ? Things just do add up , HIZI NDEGE HAZIONDOKI TUPU
Mawazo mgando.
Mawazo Matakoni
@@yousuphnzira3209amka ndugu yangu hiyo imekuja kuchukua na sio kuleta watanzania tutaamka lini?
@@yousuphnzira3209 unavyoongea na kutukana kama serikali yetu haiibi au haifanyi corruption , you are so stupid followers , ndiomaana your broke and hungry. Kweni hawaibi?
@@htx1873 Unaushahidi Gani kua hizi ndege haziwezi kuondokea bila kubeba chochote kutoka Kwetu? .
Acha kuleta dhana za kijinga.
Bure bure tuu😅😅😅
Nani kasema
Hakuna bure😢😢😢😢
Mi naogopa misaada ya kutoka inje 😢😢😢😢
Mwarabu hana njaa
M.barikiwe mliotowa na naamini mmetowa kwa moyo na si kuwa matajiri
Masha Allah Qatar 🇶🇦 ❤
Hatari sana mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Wanaacha kupeleka misaada Gaza huko watoto wanakufa kwa njaa.
Aiseee,if you know you know!
Ila duh ni hatari kwanza Tanzania yetu ni tajiri tuna madini kama yote mbuga kama zote bahari mimea mbalimbali lakini bado misaada jamani ifike mahali watanzania tujikubali wenyewe kwanini tumekuwa watumwa wa misaada 😢😢😢 tutaja letewa na visivyotumika jamni tujikubali watanzania ebu tambueni umaridadi uficha umaskini Mungu ibariki tanzania Mungu waongoze viongozi wetu Amin #maget
Kwenye majanga kusaidiwa ni muhimu, ni vizuri kushukuru kwa msaada kwanza. Hata hivyo Una point muhimu kuhusu kujitegemea pia asante sana.
@@abelimwakijungu1226hakuna msaada wa bure
@magnetbaton ata uturiki ni taifa kubwa ila ilipotokea mtetemeko wa ardhi walipokea misada kutoka nchii mbali mbali
Misaaada gan achaaa wabebe madini na wanyama2 akunaga msaada wa buree kutoka njeee
Wagalatia ingekuwa condom za msaada mngefurahi sababu hampendi kuwazalisha wakina Maria 😢😢😢😢😢😢😢
@OmmyJames-xn7j hakuna Cha bure kwani wameanza Leo kwenye ukweli tusimamie ukweli
Alafu watu wanakufa huko Gaza kwa njaa wameshindwa kuwasaidia chakula ila mbongo ndiyo kaonekana wa maaana sana
Kuna chenye wamekuja kuchukua kuharibu
Hilo dege haliwezi kirudi tupu kuna mabadilishano ya maana hapo tanzanzanite inaondoka hiyoooo
Hahaha tushapeleka madin upooooo acha tulipweee🎉🎉🎉🎉
Hapo kwenye hiyo msaada bado wakati kuitoa kuna watu wataiba hiyo misaada, ukiwa muakilishi wa nchi inayotoa huo msaada unajisikia raha sana, tuna washukuru kwa utu wenu na kwa msaada wenu Mungu awabariki sana
Mh!tunashukuru.
Eh Mungu,tunaombea faru zetu na tembo zenye vipusa,pamoja na twiga hata na swala,bila kusahau nyati.
WOOTE wazid kustawi na kuokoka na mkono wa mjanja yeyote atakaekatiza.
Maa shaa Allah poleni kwa walioathirika
Bora misada ya warabu haina masharit mzungu akikupa msada lazima mashariti mra watakwambia ushoga sasa huo sio msada wazungu hawafai
Kwali usijidanganye
Mama apewe maua yk ifike kwa walengwa
Mama apewe mauwa yake, misaada inakuja kwetu, sisi ndo mafisadi.
Maua gani ya upupu au
Upupu mtupu tumepigwa na kitu kizito kichwa
Mbona na sisi huwa tunapeleka sana misaada kwenye zingine kama malawi na nchi nyingine, ila tukipewa sisi mnaleta negativity sijui kuibiwa sijui nini,, muda mwingine tuache negativity watanzania...Japo ipo ambayo huwa na condition ya kuumiza nchi
Hakuna msaada hapo. 😂😂😂😂😂😂
Kwaio unatakaje
@@magretangel5242 nikuulize ww vipi unatakaje
😂😂😂😂 tushaaa pigwaa sema tumesha zoea wanyongee wafanye tu wataenda kusemaa mbingunii
@@NDEBILugalataNEXT ZINAKUJA CONDOM KUTOKA KWA PAPA WAGALATIA MSIZAANE MUWE MASHOGA 😢😢😢😢😢
@@OmmyJames-xn7jitulishaisha siku nyingi
Serikali ipimeni hiyo misaada, ipo salama? Kwa vijana/wanaume na wanawake
Najiuliza leo tunapokea je wao yakiwakuta tutaweza kuwapelekea?
Hao sio wazungu... ni watu wanaosifika dunian kwa kutoa bila kungojea Shukran
@@mohamedaley5632 hakuna vya bure dunia hii, bure ni salaam tuu. Na salaam pia siku hizi inauzwa.
@@mohamedaley5632
Mmmmmmh point zerooo
@@reymahassan9358Iko wazi misaada ndo umauti wetu
Sio mara ya kwanza zilishatua kubeba wanyama
Hahaaa
kuna kitu si bure. mtaona watu wakilalamika sio muda.
Wanaondoka na wanyama hao
Hakuna Cha Bure mtanambia nimekaa pale
Kuna kitu hakiko sawa😢
Asante mama kwa ushilikiano wako
Wazungu ndio tabia yao ushoga huo msafa upo salama hao viongozi wenu kutoka magaribi ndio shuhuli yao ushoga leo watoto wangapi wamewaharibu mbuni hayo hamuyasemi mmekua mabubu
Those tan for what, we have everything still there poor people so we need to be careful,
Nchi imesha uzwa 🎉
Tatizo sio kuja kwa msaada tataizo je zitawafiki walio asirika na majanga ayo .......? Maan hii nchi wapigaji ni wengi 😅😅
Saidieni Palestine
Duh bc tu!!. Pumzika kwa amani baba John
wakati waarabu wenzao wapalestina wanakufa njaa wanatusaidia sisi waafrika na watumwa wao kihistoria?ngumu kuwaamini!
😂😂😂
Jidanganye😅
Tz 🇹🇿 uwezo wa kuwalisha na kuwajengea hao Raia wa Hananj upo na ni mkubwa sana tu. Misaada ya nini .
Kuna kitu mbele ya huo msaada kupoteza ni simple sana
Point ☝️🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤❤
Aki mtu wangu
Akili kumkichwa bureeeeeeeeeeee😔🙌🏼🤦🏼♂️
Wajomba
If you know you know hii imeeenda hakuna cha buree hapa tena kwa mwarabuu 😢😢kwishaaaaa sisi
Bila Shaka ndege hii itapndoka na mzigo toka Tz
Msada anatoa marekani ispokua mwanao wanataka wageuze awe shoga jee huoni nilaana hiyo hujui watu waliangamizwa wao mpaka vingozi wao ndio wameshika bango wanaume waolewe
Ikiondoka inabeba twiga,swala,nyati,chui,mamba,simba n.k
Ok,nipe,nikupe!!!
Umesahau na tanzanat,dhahabu na rubi
Mbona nchi ya Tanzania vyakula vipo vingi tuangalie na misaada mingine tunayoipokea
Tunawashukuru but why?! Hivi hawa waarabu wanatupenda sana, oky inaweza kuwa hivyo. Vp huko Ghaza?!
Bado mauaji ya watt wasio kua na hatia yanaendelea
@@hemedzahor2002 watu wanakufa kwa njoo Ghaza
@@swalehejuma6611huu sio msaada ni kiini macho wamekuja kuchukua kwenye shamba la bibi ni huzuni na aibu kubwa kwa viongozi wetu
Mmh atari 😢 r .i.p magu
Yaani Tanzania tunashindwa kuwalisha wenzetuu wakati maghala yetu yamefurika mpaka yana taka kupasuka mme amua kuwaletea ndugu zetu sumu za waarabu ilimuwamalizie siyoo niaibu kubwa sanaa
Ndio vimeletwa kwa issue nzito kwa kisingizio Cha msaada kwa tanzania yetu hatuitaji chochote kutoka nche ni viongozi hawajielewi
Kwa kweli watanzaniya wanataka waanziwe tu waseme hata wafanyiwe wema kiasi gani.kasoro zitaanza tu ivi tumerogwa na nani sisi tanzaniya?
Misaada kwa upeo wako Tanzania inahitaji misaada?
Sy bre kunavitu wamekuja kuchukua
mmmmmh hii haiingii akilini kabisa lazima ilo pipa libebe wanyama
Nani anashida na wanyama wako wewe
@khalidmohammed3396 wanabeba xana tuu tunajua
Tunapendwa jmn watanzania!! 😂😂😂😂😂😂😂!! All the all hongereni sana!!
msizani mnapendwa saana hapo ni win win situation
Mana jambo la ovyo itakuwa kama mlengwa hapati mtu kwa kuwa yeye kiongozi ajinufaishe hivo itkw is sawa
Yaan nyieee wenzangu na mie huu ni ujanja wakuchukuliwa rasili Mali zetu kiurahis kabisaa..... Baba magu alikuwa hayatak haya na tulikuwa tunajiendesha vzr tuu
Wamekuja kuiba hatuwaamini
Sije kawa inaleta silaha😢
Nimeanza kukumbuka ilr video ambayo waarabu wameweka bendera ya tanzania kisha wanaimba kwa frah 😮😮😮impact
Mwarabu!! mwarabu!! Mwarabu!!
Waarabu aoooo...!!!
Ndio tabia ya msuwahili ukimpa jeuri usipompa atalalamika ndio huluka yake hana shukurani huku ananjaa huku kejeli
Jamani watazania mambo gani mumeanza sasa? Mnadanganywa na waarabu eti misaada huo ni upuuzi mtupu wanataka kubeba wanyama pori wenu
Boing 747
Ayabwana wanatuletea mitumba ya marehemu tunafurahi kweli semeni ukweli wamekuja kuchukua wanyama pori wetuu na madini
Atakae chukuwa hizo vitu na yeye sio mlengwa basi mungu amuadhirishe
Wazungu wanatuona sisi niwajinga sana
Qatar sio Wazungu ni Waarabu. Pia hawana uwezo wa kuitengeneza ndege. Wamenunua kutoka Marekani
wananchi watazipokea ipasavyo? au ndo bora zimefika
Mimi silaumu naba tu ifile kwa walengwa
Jangwa linasaidia chakula n hi ya rotuba
😂😂😂😂😂😂😂 wamekuja kuchukua kwa vile wanajuwa watanzania walishaamka wakaja na kisingizio Cha misaada ili wasishtukuwe ila wapi
@@MiriamAbdallah nipe nikupe lkn sasa wao wanachukua yote na hatupati kitu😂😂😂😂 dah! Inasikitisha
Iyo ni danganya toto tu, awa warabu wamekuja kukwapua wanyama poli wetu,
Hala Hala twiga zetu wajameni. Nothing for free.
Kwisha habari 😭😭😭😭😭
Hara tunawapa matwiga na matembo si ndo?😅😅
Bora tuwape maana hatufaidiki nayo
@@adamhashim3352amka na wewe Cha kupenda usingizi
Mna chuki na waarabu mwarabu hajawai kumpa mtu zawadi chakula au chochote akatia sumu mwarabu hana uwongo na kama hamvitaki tudisheni kweli masikini wengi wataingia motoni kwa kutoshukuru
Mmoja wapo ni ww mwarabu mshenzi tu uyo mama kashauza loliondo
Tofautisha Uarabu na Uislam. Waarabu ni wahovyo sana.
Hapa tusiongee swala la dini tuongee mustakabali wa taifa letu viongozi wetu wamepiga mnada nchi hiii
Watanzania wamejaaliwa midomo hata yafanyiwe nininlkn baadhi yao hayana shukran
Kuletewa eti vitu vya usafi!!!? Msaada gani huo?
@@josephmasanja8584 Acha ujinga mtu akikukumbuka hata kwa kitu kidogo mshkuru mbona mataifa mengne hayakuwaza hili
@@josephmasanja8584yaani mijitu mingine haijatambui hapo hakuna kitu kinaitwa msaada
Kwa Nini Wastoe cash kuliko vitu kama vyakula,
Washapata sababu ya kuuza wanyama
Alafu hawa waarabu sindiyo wali wahasi mabubu zetu kwa kuwatoa pumbuzao bila hata kutumia ganzi kisa wasije wakazaa na wake zao nandiyi maana leo hakuna diaspora mwafrika mwarabu wakutoka enzizaukoloni
Mwarabu sio mtu hat tone, angalia alichowafanyia babu zetu, angalia wanawake wanaokwenda uarabuni kufanya kazi za ndani, angalia walichokifanya huko Israeli octoba 7, na mengine mengi sana. Mwarabu sio mwanadamu kamili.
Mmekalilishwa sekula nyie acha mteseke na mawazo mgando,kuna watu washenzi kushinda wazungu na mayahudi duniani si ndio wamewaletea UKRISTO na sasa wanawataka muoane wanaume kwa wanaume.Hao wazungu si ndio watu wanao chocolate machafuko dunia mzima au hamuoni? Km macho makengeza masikio hamsikii.Sasa mkisikia waarabu roho zinawauma sana.Pingeni imani zenu za kupiga miziki ndio ibada yani wake kwa waume mnakata viuno hadharani eti oo tunaabudu😂.Nyie vp kukata viuno ndio kuabudu sass mtu km ww hivi unaweza kuwa na akili timamu kweli.Haya mie napita tu naendazangu.
Ni kweli waliwafanyia mabaya yakuogomya sana
Tutapigwa tukiomojatu tanzania itabakijina
Kwaio?
Me cjapenda kabsa Mungu atusaidie tz s masikin ila sisi wenye tz yetu ndo tunaifanya kuwa masikin😢😢😢
@@Zuuh4286point
Wabongo hamuwapendi waarabu wakiwa wazungu wanasifiwa wakiwa waarabu wanaambiwa wanakuja kuiba wanyama yani wewe unajifanya unauchuungu na wanyama wkt aliyewaumba hachukii unachukia acheni chuki na waarabu sisi wote tumetoka kwa adam sasa kama adam ni mzungu sawa wakataeni hao waarabu
Hakuna kitu kama hicho wabogo walishaamka buda
Tunashkur kwa msaada
Sio kwa mara ya kwanza. Miaka ya 2004, 2005 hadi saba zilitua sana
Mmmmh
Hapo wataondoka na chui na Simba kadhaaa 😁😁😁😁😁
Tuombee Mungu atupe viongozi wanaojielewa siyo watembeza mabakuli
Wale watu wote waliopewa dhamanA kusimamia maendeleo ya nchi wengi wao wezi vp nchi itaendelea angalia mikutano ya makoda utalia dhulma masikini hana haki kufungwa na kupotea kwa watu nani alaumie utasema Rais lkn nyinyi wenyewe mnauwa nchi
Viongozi wote wa afrika ni vibaraka vya wakoloni
Najiuliza leo tunapokea je wao yakiwakuta tutaweza kuwapelekea?
Unaambiwa Ata wao wnakula vingi vya kwetu nyama wanchukulia uku kwetu
Sio bure Kuna mkono wa shetani hapo siku inaondoka hawata aga
Wanataka vita sio?
Ibia hao Wa TZ hawajielewag wanatakag kulelew na serikali mibaba mizima na midevu.. beba kila kitu wajing ndio waliwao.. endeleen kulalamika kwenye comments tu wa tz hamna lolote
Yakwenu yamekushinda utayaweza ya Tz
😂😂😂😂😂😂😂😂sasa si na nyiy kina nani wanaibiwa lipeni kwanza deni la China ndo ufuguo mdomo kwq nchi yetu hatuna made ni 😂😂😂😂😂😂😂
@@DanielKigesamajina ya magret hayajitambui😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅
ime iletea nani hatuna shida imekuja pakua wanyama wetu msaada gani sisis hatuna
Niwale walio munyima mchezaji wetu juis au ni wengine
Waarabu wanarejea
Sijawahi ona tukipewa msaada kutoka Uarabuni wana Aanang tumefanya nini kwa wenzetu
Mungu ibarik Qatar 🇶🇦 na Kiongozi wao kwahakika ni watu wazuri saana
Msubiri kulipa kupitia mikataba ya kuwa favour wanataka gesi yenu ya mtwara hamna cha bure duniani
Ila, mmhhhhh!!!!!
Kama Msaada wenyewe ni vyakula vya aina hiyo, na si ajabu ni tende!!! na vifaa vya usafi wa kinamama!!!!???? SIJUI
Chakula si wapeleke Sudan na Congo kwenye vita?
@@emmadora7848wanalao jambo
Hakuna cha bule
wakishusha misaada wanaondoka na twiga mmoja😅😅
Mmoja hiyo wapi wanajaza na madini juu wamekuja na mpongo kabambe ati misaada
Kwahiyo marecani hawajatoa msaada wowote
Wao wana subiri vita
Moja itabeba madini,na nyingine, itabeba wanyama!
Umeongea point ☝️❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Umeongea point ☝️❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hawa sindo wale inaosemekana Kwamba wanataka uwanja pia?? Wamekuja kukagua Mali yao😂😂 pumbap Sana
Walishachukua mbona
Itaondoka na nini?
Bora waarabu kuliko wazungu
Wote walewale kwani Kuna mkoloni nzuri au mwizi nzuri?
Veeni mitandio basi mfiche hivo vichogo
Umeambiwa wote ni Muslim
Waarabu walivyo wabaguzi wanatuletea misaada!!!!!! MBURAAA NCHI IMEENDA 😢😢
Wanakuja kwa ajili ya mama haoo waarabu asili yao ni zanzibar
@@abrahmanifarouckissa5662madini na wanyama inahusu