Pr.Mmbaga Mungu akubariki sn.hubiri la kuelewa unapambana na shetani usimchukie mtu nililitumia likasaidia kuikomboa familia iliyokuwa ina migogoro ya ndoa nikawafundisha wanandoa wale waelewe wanapambana na shetani mpaka wakarudiana wakati kila mmoja hakuwa na hamu na mwenzake tena kuishi naye na walikuwa wametengana nikatumia hubiri lako waelewe wanapambana na shetani mpaka ile ndoa wakarudiana.Mkono wa Bwana ulionekana ktk ndoa ile na yule mwanaume akashukuru kwa ukombozi wa ndoa yake.Pr mahubiri yako yamenisaidia ht mm kunifanya niwe mpatanishi wa familia hiyo kupitia hubiri lako la juu ya kuelewa unayepambana naye ni shetani na si yule mtu.Ulitoa kisa cha shetani alivyoweka asali mpaka mbwa wa jirani na paka wa jirani kuleta uhasama kwa familia shetani akaanza kusema kwani mm ndo nimewagombanisha! nilitaka tu kukumbusha kuwa umenisaidia kwa kiwango kikubwa.Zamani nilikuwa nawachukia wanaoniudhi ila siku hz nimemgundua shetani.
Mmi niliwahi kuota YESU anakuja toka mawinguni ila nilikuwa nafuraha ya ajabu hadi machozi ya furaha yalinitoka je ndoto hii inanifundisha nni mchungaji je na mmi ni moja wao wa kwenda mbinguni au ni ndoto tyu
😂😂😂😂@pastor mmbaga watu wanakata tamaa huku kufufuka na maralia,ila kiukweli pr Mungu ameweka kitu ndani yako sii bure nabarikiwa saana,umenibadirisha saana,Mahubiri TV hunibariki saana nashukuru 🙏🏻🙏🏻Mungu akubariki saana mtumishi
Ubarikiwe mchungaji kwa somo hili ila swali ni 1) Roho Mtakatifu ni nani kwetu? 2) Unaweza kuwa na Roho Mtakatifu huku hujabatiwa kwa maji pia? 3) Anaye stahili kubatiza kwa maji ni nani maana tunaona wanafunzi wa Yesu walibatiza hali nao bado walikuwa hawajapokea ubatizo wa Roho. 4) ushirika gani uliopo kati Maji na Roho Mt
Aloyce samwel.Geita. Mimi paster kila nikitoka kanisani kujitakasa dhambi zangu kuelekea Katika mihangaiko ya Maisha najikuta nafanya maovu tena makubwa tu shida ni nini labda kwangu
Nashukuru kwa mafundisho ila Niko zambia na nilitamani kufunguriwa zaidi kwani huwa siendi kanisani kwashida ambazo nakutana nazo na utanisaidiaje nifunguriwe
Nakufuata katika mahubiri unayo toleya duniya nzima. Mungu Baba wa Mbinguni aku bariki na nyumba yako yote. Ila, hubiri hili ume weka nusu. Ikupendeze kui post yote. Mwanzo hadi mwisho.
Huenda wewe ndio umechanganya kusikia maana amemaanisha ufufuo kwa watu wa aina 2 na mitazamo tofaut, watakatifu wakifulahia ujio wa Yesu Na wadhambi watakapomuona wataogopa tukio litafanyika kwa wakati mmoja
Katoliki tunaamini ufufuo wa pili upo.pia kanisa hili ni watoa huduma.(hosptali,shule,maji)hawatuambii tutafute pesa.wanatuhimiza toba na kupokea Ekaristi.
I thank God for your truth of the Bible may God bless you and your family in Jesus name amen
Yananiimarisha sana pastor mmbaga nakuombea mungu akujalie uzima kila itwapo leo
Hallelujah am blessed with the preaching I can't wait to listen part B.Ubarikiwe sana
Asante mchungaji Mmbaga, Mungu akubariki kwa somo
Thank you pastor for the fundamental truths that I have learned...you have taught me more insights than when I went to church.
God bless you so much
Amina sana Mungu akubariki sana mchungaji na mwalimu
Amen, Mungu na akubariki kwa somo nzuri,limeniinua hadi nimejua penye sikua najua, God bless you Pr Mmbaga
Barikiwa sana mchungaji
Barikiwa sana pastor
Ameeeeen God bless you pastor 🙏🙏🙏🙏😍🥰💖💗
Ubarikiwe Pastor
Pr.Mmbaga Mungu akubariki sn.hubiri la kuelewa unapambana na shetani usimchukie mtu nililitumia likasaidia kuikomboa familia iliyokuwa ina migogoro ya ndoa nikawafundisha wanandoa wale waelewe wanapambana na shetani mpaka wakarudiana wakati kila mmoja hakuwa na hamu na mwenzake tena kuishi naye na walikuwa wametengana nikatumia hubiri lako waelewe wanapambana na shetani mpaka ile ndoa wakarudiana.Mkono wa Bwana ulionekana ktk ndoa ile na yule mwanaume akashukuru kwa ukombozi wa ndoa yake.Pr mahubiri yako yamenisaidia ht mm kunifanya niwe mpatanishi wa familia hiyo kupitia hubiri lako la juu ya kuelewa unayepambana naye ni shetani na si yule mtu.Ulitoa kisa cha shetani alivyoweka asali mpaka mbwa wa jirani na paka wa jirani kuleta uhasama kwa familia shetani akaanza kusema kwani mm ndo nimewagombanisha! nilitaka tu kukumbusha kuwa umenisaidia kwa kiwango kikubwa.Zamani nilikuwa nawachukia wanaoniudhi ila siku hz nimemgundua shetani.
Amen 🙏
Mmi niliwahi kuota YESU anakuja toka mawinguni ila nilikuwa nafuraha ya ajabu hadi machozi ya furaha yalinitoka je ndoto hii inanifundisha nni mchungaji je na mmi ni moja wao wa kwenda mbinguni au ni ndoto tyu
Pasta unafundisha vizuri sana
Nashukuru kua nimepita njia ya kufanikiwa n'a mafundisho mazuri. Mchungaji, ubarikiwe! Naandika kutokea Kinshasa DRC
Imeleweka kabisa pastor
😂😂😂😂@pastor mmbaga watu wanakata tamaa huku kufufuka na maralia,ila kiukweli pr Mungu ameweka kitu ndani yako sii bure nabarikiwa saana,umenibadirisha saana,Mahubiri TV hunibariki saana nashukuru 🙏🏻🙏🏻Mungu akubariki saana mtumishi
Barikiwa sana Pr, je na ombi langu unalikumbuka la Viziwi? Wasaidiwe Pr, watafsiliwe masoma mazuri haya, ili tubarikiwe wote pamoja
Barikiwa mchungaji
Amen
thanks mchungaji.
Imn pr mbona umetukatishia njiani.😂😂
Amina
Ameen
Asante sana tunaitajika kusikia neno la mungu akikuita usikatae pastor God bless you Amen Amen
Ameeeen
😃😃pr et siku yote nimfano tu
MUNGU akubariki
Nimemuona huyo alosoma mara ya pili alinifanya niwe msabato IRINGA kwenye efort
Amen
Ubarikiwe mchungaji kwa somo hili ila swali ni
1) Roho Mtakatifu ni nani kwetu?
2) Unaweza kuwa na Roho Mtakatifu huku hujabatiwa kwa maji pia?
3) Anaye stahili kubatiza kwa maji ni nani maana tunaona wanafunzi wa Yesu walibatiza hali nao bado walikuwa hawajapokea ubatizo wa Roho.
4) ushirika gani uliopo kati Maji na Roho Mt
Aloyce samwel.Geita. Mimi paster kila nikitoka kanisani kujitakasa dhambi zangu kuelekea Katika mihangaiko ya Maisha najikuta nafanya maovu tena makubwa tu shida ni nini labda kwangu
😂😂😂🙆♀️Oooh jamani somo zuri sana ila umetukatishia
Part B please
Nashukuru kwa mafundisho ila Niko zambia na nilitamani kufunguriwa zaidi kwani huwa siendi kanisani kwashida ambazo nakutana nazo na utanisaidiaje nifunguriwe
Pr. Natafta msaada.
Yes
Nakufuata katika mahubiri unayo toleya duniya nzima. Mungu Baba wa Mbinguni aku bariki na nyumba yako yote. Ila, hubiri hili ume weka nusu. Ikupendeze kui post yote. Mwanzo hadi mwisho.
Mchungaji nieleweshe, nauliza kwani watu watafufulia Mara mbili .
Mtumishi huburi tamu...lakini kuna mahali kachanganyikiwa....yesu kurudi mala ya pili....kumbe hatutamuona yesu sisi wote akirudi at same time...
Huenda wewe ndio umechanganya kusikia maana amemaanisha ufufuo kwa watu wa aina 2 na mitazamo tofaut, watakatifu wakifulahia ujio wa Yesu
Na wadhambi watakapomuona wataogopa tukio litafanyika kwa wakati mmoja
Mahubir tiv
pastor hapo kwa wale waliokufa wakiwa watakatifu wataenda mbinguni .hivi je ? wale wako hai wakiwa wenye dhambi watabaki duniani pekea yao na shetani
Katoliki tunaamini ufufuo wa pili upo.pia kanisa hili ni watoa huduma.(hosptali,shule,maji)hawatuambii tutafute pesa.wanatuhimiza toba na kupokea Ekaristi.
Nitayamc mahubir kwa mda nauza cm
Jamani unauza tena simu
Ubàlikiwe mchungaji
Amani
Mchungaji ni kweli na watoto walikuwa wakijipanga msitari na bibi arusi anagawa sent za pesa
Kwa hiyo mpumbavu ni mbishi na hataki kujikubali
Nimepitia comment ubaeikiwe Samwel Mungu azidi kuinua ndoto zako na kipaji hicho cha maombezi.Nami napenda sn huduma hiyo nisaidie ktk maombi.
Amen