USHINDI UKIWA DHAIFU ( OFFICIAL VIDEO)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 77

  • @dianaelvas43
    @dianaelvas43 9 หลายเดือนก่อน +3

    Baba unanibariki sana 😢

  • @yuniahkonosi-hi8uh
    @yuniahkonosi-hi8uh หลายเดือนก่อน

    Waaaa mungu atubariki zote 🎉🎉🎉🎉

  • @CynthiaKwamboka-y4p
    @CynthiaKwamboka-y4p หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana mchungaji

  • @ElizaAnthony
    @ElizaAnthony 3 หลายเดือนก่อน

    Napataje Namba zake

  • @sillafihanga3899
    @sillafihanga3899 ปีที่แล้ว +1

    napata ujasiri wakusonga mbele nikisikiliza mahubiri yako Mungu azidi kukubariki

  • @irineDancan
    @irineDancan 2 หลายเดือนก่อน

    Amen and amen Mchungaji kwa mafundisho ubarikiwe

  • @gracetrophese7638
    @gracetrophese7638 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu azidi kukubariki kuna hatua umenivusha

  • @johnkaranja1278
    @johnkaranja1278 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi naomba Nishii kwangu....mungu naomba ani bariki

  • @MarryMwangolo
    @MarryMwangolo หลายเดือนก่อน

    Mungu wa mbinguni akubariki 🙏

  • @josephemmanuel3074
    @josephemmanuel3074 2 ปีที่แล้ว +2

    Naxhukuru kwamafundixho yko nazid kubalikiwa, Ila swali langu hya maombi uki wa unaomb najikabiz kwayo

  • @ziporamachilu6877
    @ziporamachilu6877 8 หลายเดือนก่อน

    Nabarikiwa sana na injili yako nakuombea mema mchungaji ww ni mtumishi sahihi shambani mwa Bwana

  • @everlynejenta6302
    @everlynejenta6302 10 หลายเดือนก่อน

    MCHUNGAJI,NAKUOMBA UJE KWA CONFERENCE YETU KENYA NRB MWEZI WA NANE TAFADHALI.
    HATA KAMA WEWE NI MU SDA BORA SOTE NIA YETU NI MUNGU ATUKUZWE.
    KARIBU MCHUNGAJI.NAPENDA MAHUBIRI YAKO SANA.
    WEWE NI MWALIMU WA NEEMA KUBWA SANA.
    UNAFUNZA POLEPOLE LAKINI INAELEWEKA SANA.BARAKA MCHUNGAJI

  • @AgnessMrutu
    @AgnessMrutu 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nabarikiwa hakika, kwani Mungu ananinoa kupitia wewe, Mungu akubariki na kukutunza na azidi kukupatia mafunuo kwa jina la Yesu Kristo

  • @esthermsemo3952
    @esthermsemo3952 ปีที่แล้ว

    Bwana abarikikazi zangu

  • @MamaNashoni
    @MamaNashoni ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe muchungaji

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana

  • @celinalyimo1870
    @celinalyimo1870 ปีที่แล้ว +1

    Sio Congo ttu wanaokuangalia bali na sisi tuloko Marekani tunakusikiliza au ninakusikiliza Mungu aniponye nitendee kazi fundisho hili ni langu barkkiwa mtumishi wa Mungu wetu aliye hai.

  • @johnkaranja1278
    @johnkaranja1278 2 ปีที่แล้ว +5

    Mimi ni Shuja in Jesus Name.

  • @lucynibogora2694
    @lucynibogora2694 ปีที่แล้ว

    Ubalikiwe mtu wa Mungu

  • @geophreykikoti192-sb5be
    @geophreykikoti192-sb5be 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Pastor

  • @pendophilipo131
    @pendophilipo131 11 หลายเดือนก่อน +1

    Namtukuza Mungu kwajili Yako, Bwana amenifanya mtu tofauti, kuptia ww Mungu awepmoj na weee sikuzote zamaisha Yako, nakupenda San, mtu wa daddy!🙏 May God bless you, and your family.!♥️

  • @ziporamachilu6877
    @ziporamachilu6877 11 หลายเดือนก่อน

    Namushukuru Mungu kwa hili some paster ubarikiwe sana .Kila nikisikiliza some lako Natoka na ushindi ktk Bwana hakika nabarikiwa sana

  • @HawaMaundi
    @HawaMaundi หลายเดือนก่อน

    Mungu akubalikisa

  • @bernadettemuzaliwa9792
    @bernadettemuzaliwa9792 2 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akubariki SANA mtumishi wa bwana

  • @mwassykayanda
    @mwassykayanda 10 หลายเดือนก่อน

    Pr mbaga niombee imani yangu kwa Yesu kristo iongezeke kila siku

  • @joycefrank9650
    @joycefrank9650 ปีที่แล้ว

    Kwa Imani mwananguataitwa kwenye usahili leo nami nitapata jibu nililo subiri kwa muda mrefu Asante MCH kwa fundisho la Imani

  • @phidesk2390
    @phidesk2390 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki aendelee kukutumia Mchungaji, umenifungua macho ya kiroho sana

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mchungaji lkn mm tuliachana juu niliambiwa kuwa si mume wangu na mtumishi yaani nabii so nko kivyangu je mungu anaeza kunipa mume mwengine

  • @BethLameck-sc9py
    @BethLameck-sc9py 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu anisaidie

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 ปีที่แล้ว

    I trust one day nitakuwa smart Kama ww acha nijfunze kwako

  • @hadijamlokakuzenza2146
    @hadijamlokakuzenza2146 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina mch,nabarikiwa sana

  • @joycefrank9650
    @joycefrank9650 ปีที่แล้ว

    Barkiwa pastor unanibarik Sana Mungu akulinde

  • @Kivukutv
    @Kivukutv ปีที่แล้ว

    mungu akubariki

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 ปีที่แล้ว

    Pastor mungu akubariki sana kwa neno la mungu

  • @julianapeter9893
    @julianapeter9893 2 ปีที่แล้ว

    asate mungu kwa kunifungua kupitia mahubili Aya mungu akupe maisha mengi tunazidi kubalikiwa san

  • @keziaranga6329
    @keziaranga6329 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimebarikiwa sana na somo la leo,nasimama upande wa ushindi sio kupambana ili tushinde

  • @nipamdingi9440
    @nipamdingi9440 2 ปีที่แล้ว +3

    Ninakushukuru Mungu wangu kwasababu ninaamini umenipa nyumba nzuri sana! Katika jina la Yesu.

  • @deborahmfinanga3991
    @deborahmfinanga3991 2 ปีที่แล้ว

    mungu azidi kukutunza mchungaji, kiukweli ninabarikiwa sana na maubiri yako.naomba uzidi kuniombea.

  • @mutsuvabienvenumuvunga9147
    @mutsuvabienvenumuvunga9147 2 ปีที่แล้ว +1

    asante sana kwa mafundisho.

  • @johnkaranja1278
    @johnkaranja1278 2 ปีที่แล้ว +1

    Aki sauti

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 2 ปีที่แล้ว

    Mbina mme mute sehemu muhimu jamani tunajifunza jinsi ya kuomba. Asante pastor Mmbaga kwa mafundisho mazuri sana🙏 Barikiwa 🙌

  • @StellaYohana-g7h
    @StellaYohana-g7h ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @zennamutani8231
    @zennamutani8231 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu anisaidie ñiache madeni

  • @isaaclogo1909
    @isaaclogo1909 2 ปีที่แล้ว +1

    God bless

  • @danielkilonzo6697
    @danielkilonzo6697 2 ปีที่แล้ว +2

    Unanibariki kila wakati pastor ..pia nawe barikiwa

  • @mwavitakipili5428
    @mwavitakipili5428 2 ปีที่แล้ว +1

    BWANA akuzidishie upako pastor ubarikiwe sana kwa mahubiri yako.

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 4 หลายเดือนก่อน

    Amen.🙏

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston116 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @johnkaranja1278
    @johnkaranja1278 2 ปีที่แล้ว +1

    Ndiyo

  • @alineriziki6756
    @alineriziki6756 2 ปีที่แล้ว

    Asante Mchungaji,
    Nina swali : Kuhusu kumujengea Bwana Mungu nyumba ao kanisa,kuna watu ambao wanamujengea kweli Mungu nyumba ila pesa zenyewe zimepatikana kwa njia isiyo halali,je Bwana Mungu uitika iyo zawadi?
    Kwa mfano pesa za rushwa???

  • @magrethsindabaha1851
    @magrethsindabaha1851 2 ปีที่แล้ว

    Namshukuru San Munngu amekuleta kwa wakati sahihi, umewaponya wengi , kiroho na kimwil pia

  • @johnkaranja1278
    @johnkaranja1278 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga9181 2 ปีที่แล้ว +2

    Nisaidie Baba nisimame katika ushindi siyo kupigana ili nishinde

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 2 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU azid kukupa Afya njema ile mataifa wazid libarikiwe kipitia mafundisho yak🙏🙏🙏🇴🇲

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 2 ปีที่แล้ว

    Aminaa Barikiwa pastor kwa mafundisho ya MUNGU umenigusa moyo wangu

  • @lizwabo9266
    @lizwabo9266 2 ปีที่แล้ว +3

    May God bless you pastor your teaching is supernatural from Almighty

  • @jeannekatembe6396
    @jeannekatembe6396 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana akubariki mchungaji

  • @raysibo5316
    @raysibo5316 2 ปีที่แล้ว +2

    Shukran sana Mchungaji.Ningeomba mtu ambae ana number yako anipe

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 2 ปีที่แล้ว +2

    God bless you pastor neno zuri.naomba ushauri mchugaji Mimi n dada Nina umri w miaka 33 nimekuwa na mausiano zaidi y 3 yakialimbika Kwa sasa nimeta mwingine, alipewa namba yangu week mbili sasa, kwa kuonekana kwake ako sawa na ako very serious, lkn nimechoka Kwa maneno yake y kipuhusi.nanikimwambi tubadiri ajenda anasema icho ndicho kinanifanya nikuoe.mimi nimeamha kumwacha ila sijamwambia. Nisaidie Kwa ombi Mungu anipe wa kwangu

    • @suzanmohere5311
      @suzanmohere5311 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu akupe aliye tayali aliyetayali haangalii yote hayoo na kukwambia upuuzi ni dhahiri unakoelekea si mazuri Omba sana mtu wa Mungu usiruhusu jambo lolote hapo litolewe

  • @OmanOman-gv8qb
    @OmanOman-gv8qb 2 ปีที่แล้ว

    Ameen mtumishi. Asante kwa somo Mungu aendelee kukutunia

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @javanmwebi5877
    @javanmwebi5877 2 ปีที่แล้ว +1

    ila message zetu hureply💔

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  2 ปีที่แล้ว

      Pole. Ni nyingi sana! Nachelewa kuona. Tuma whatspp number +255 755 932 283

  • @namrindawilfred4467
    @namrindawilfred4467 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe nguvu siku zote ili uzidi kumtumikia. Kweli nabarikiwa na nashukuru Mungu kwa ujumbe wake unaoendelea kutoa changamoto katika maisha yangu.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 ปีที่แล้ว

    Ameen 🙏🙏

  • @AgnessMrutu
    @AgnessMrutu 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nabarikiwa hakika, kwani Mungu ananinoa kupitia wewe, Mungu akubariki na kukutunza na azidi kukupatia mafunuo kwa jina la Yesu Kristo

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  10 หลายเดือนก่อน

      Amen! Mungu akutendee

    • @ElizabethMasambe
      @ElizabethMasambe 8 หลายเดือนก่อน

      111😮❤❤❤​@MahubiriPrMmbaga

  • @isaaclogo1909
    @isaaclogo1909 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 7 หลายเดือนก่อน

    Amen