Mungu anisaidie kurejeshwa tena katika ari ya Kiroho nlyokuwa nayo wakati wa changamoto, Somo Hili limenigusaa, Nimeguswa na Roho Mtakatifu BWANA akubariki Pastor Mmbaga na Timu ya Mahubiri TV
Amen barikiwa sana mtumish wa MUNGU hii somo ni ala kwangu na limekunja kwa wakati BWANA naomba unienue tena kwa maana wew ni mwenye Rehema na neema nyingi jina la BWANA litukunzwe milele❤
Asante pastor, nimejifunza nguvu za asili na jinsi yakushinda kunena baraka / shukran tuu katika nyakat za shida, Nakukiri si kujitetea kuwa mkweli kwa dhambi zang na nimetubu , Na kuanzia Leo katikat ya magumu nitamshukuru Mungu na kumsifuu Mungu , maana nimejua Leo , anajua sababu na atanishindiaa milele 🙏♾️
Pastor,napitia changamoto ktk maisha yangu,Nina mawazo ila nilikuwa natafuta move Moja inaitwa snake boy Sasa nikakutana Tena na kichwa Cha mafundisho yako kina neno nyoka,bas snake boy haikupata Tena chance simaanish kwamba sitaitafut ila Nashukuru Mungu Kwa ajili yako.
"Chumvi ikiharibika itatiwa nini ikolee tena?? Mungu atusaidie kwakweli mana nyakati hizi ni ngumu sana bila kupata maneno ya kututia nguvu hiviii🎉🎉 Barikiwa sana Mtumishi wa Baba 🙏🙏
Pastor Mmbaga ni vizuri kumbariki muumini ambaye anashukiwa kuwa ni mchawi sana? Ana shida, kumtembelea na kumbariki na kuomba naye inampendeza Mungu kweli?
2 Timotheo 3:1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. This know also, that in the last days perilous times shall come.
Am much blessed, since I started following mahubiri t.v, God bless you
Mungu anisaidie kurejeshwa tena katika ari ya Kiroho nlyokuwa nayo wakati wa changamoto, Somo Hili limenigusaa, Nimeguswa na Roho Mtakatifu
BWANA akubariki Pastor Mmbaga na Timu ya Mahubiri TV
Amen barikiwa sana mtumish wa MUNGU hii somo ni ala kwangu na limekunja kwa wakati BWANA naomba unienue tena kwa maana wew ni mwenye Rehema na neema nyingi jina la BWANA litukunzwe milele❤
Unanibariki sana, tangu nianze kukusiliza nimekua tofaut sana, nimekua na ujasir hata katika maombi ninaamin maombi yangu yanafika juu kwa baba
Asante pastor, nimejifunza nguvu za asili na jinsi yakushinda kunena baraka / shukran tuu katika nyakat za shida,
Nakukiri si kujitetea kuwa mkweli kwa dhambi zang na nimetubu ,
Na kuanzia Leo katikat ya magumu nitamshukuru Mungu na kumsifuu Mungu , maana nimejua Leo , anajua sababu na atanishindiaa milele 🙏♾️
Kuna mambo makubwa nimejifunza hapa. Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kujifunza. Amina.
Pastor,napitia changamoto ktk maisha yangu,Nina mawazo ila nilikuwa natafuta move Moja inaitwa snake boy Sasa nikakutana Tena na kichwa Cha mafundisho yako kina neno nyoka,bas snake boy haikupata Tena chance simaanish kwamba sitaitafut ila Nashukuru Mungu Kwa ajili yako.
Mungu akutendee mema
@@MahubiriPrMmbaganakutafuta sana mtumishi Mungu akikupa kibali naomba niwasiliane na wewe 🙏
Mungu amekufungua kukutana na huyu mtumishi wa Mungu.
Simfagilii ila amenitoabali sana sana.
Hanijui Wala sijui ila nayaish masomo yake.
Barikiwa sana
Amen🙏
Amen pr mungu akubariki sana
"Chumvi ikiharibika itatiwa nini ikolee tena?? Mungu atusaidie kwakweli mana nyakati hizi ni ngumu sana bila kupata maneno ya kututia nguvu hiviii🎉🎉 Barikiwa sana Mtumishi wa Baba 🙏🙏
Ubarikiwe pastor namshukuru Mungu nimepitia hii ibada nimebarikiwa na kujifunza🙏
Pastor Mmbaga ni vizuri kumbariki muumini ambaye anashukiwa kuwa ni mchawi sana?
Ana shida, kumtembelea na kumbariki na kuomba naye inampendeza Mungu kweli?
Katika vita yoyote ni fahari kubwa kuteka nyara,kazi yetu ni kuteka nyara waje kumtii KRISTO. Ikiwa kumtembelea kuta kumuokoa,fanya hivyo
Amen,hakika nazidi kubarikiwa na mahubiri Yako pastor may God continue blessing you,unapoendeleya na Huduma ya Bwana
Pastor hili somo nimekutana nalo usiku, hakika linaenda kubadilisha kila kitu kwangu, Mwenyezi Mungu azid kukuinua zaidi, ubarikiwe sana mtumishi
Hili somo nilikuwa kwa ajili yangu nashukru Mungu nimeliona naamini Mungu amenisamehe na kusikia toba na maombi yangu pia barikiwa pastor kwa somo 😊
MUNGU MKUU JINALAKO LITUKUZWE MILELE Asante mchungaji kwakuniongezea ufahamu kila siku ubarikiwe
Mch mbaga Nakuombea sana Mungu wa mbinguni aendelee kukutumia vyema shmbn mwake kwn ninabarikiwa sana na masomo Yako Amina
Amen
Mm napenda mafundisho unayofundisha ila zaidi unavofundisha kujitegemea ktk maombi sio kuombewa kila ck.imani ya mtu binafsi ilalipa
Amen mungu akubariki sana hata kama napitia changamoto rakini naamini bwana atatenda🙏🙏
Amina mtumishi wa mungu uwa naelewa sana mafundisho yako
yourthe best
Ubarikiwe pastor l came from kenya
Pr barikiwa sana
Amen! Mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Shalom ! Nitapataje kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya Mung
Amen ubarikiwe pia Pastor.
Amen pastor
Ameen
Barikiwa pastor
Mungu akubaliki past amee
Nimepokea kwa nguvu mpya moyoni mwangu umenibariki sana kwa somo hili hakika Bwana amekuchagua ktk shambani mwa ke nakuombea mema mchungaji
Hakika mmbaga umetumwa na BWANA.
Amen 🙏🙏🙏
Mafunndiishoo yako ni Quality
Pr.naomba hilo SoMo utakaloanza Kesho huko bondeni liweke online Kila siku
hiyo tumechukua ,, jina la bwana libarikiwe
Bwana Yesu asifiw mtumishi wa MUNGU yaaan nimecheka kumbe wanga wa jua ulihingia ndani😅
Nahitaji kitabu cha pambano kuu
Hakika wewe mmbaga una MUNGU.
Hata me nilikuwa najiuliza maana ya nyoka alizunguka msalaba kwenye nembo ya hospital pharmacy ninini leo wacha nikusikilize
Niko babati
Kuna vipengele vimeluka
Bondeni iko hapa dodoma jaman
Iringa
Pastor kanisa limepatwa na nini mbona kashifa nyingi za kanisa kwa ajiri ya nembo ,wachungaji
2 Timotheo 3:1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. This know also, that in the last days perilous times shall come.
Amen
AMEN