JINSI YA KUKUZA NA KUJAZA NYWELE, KUZUIA MBANA KUZUIA KUKATIKA NYWELE KWA KSTEAMING YA VITUNGUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Karibuni sana wapendwa muangalie video hii ambapo nimeelezea kwa undani faida ya kutumia steaming ya vitunguu kwa ajili ya kukuza nywele, kuzipa uimara, kuzuia kukatika na kuondoa mba.
    Kuangalia video zangu nyingine bonyeza link zifuatazo
    KWANINI NYWELE ZAKO ZIMEDUMAA HAZIKUI NA ZINAKATIKA | WHY YOUR HAIR IS NOT GROWING
    • KWANINI NYWELE ZAKO ZI...
    How to know your hair is damaged: Jinsi ya kujua nywele kavu na dhaifu. • How to know your hair ...
    #smallyoutuber #tanzanianyoutuber #4cnaturalhair # hairgrowth # hairgrowthchallenge #onionsteaming

ความคิดเห็น • 18

  • @ZabibuZabibu-te2js
    @ZabibuZabibu-te2js 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤asante sana

  • @Mariam-o5d
    @Mariam-o5d ปีที่แล้ว

    Shuqran ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ZakiaAlRamadani
    @ZakiaAlRamadani 11 หลายเดือนก่อน

    Yani mimibhazikui na pia zinawasha sana

  • @ronaboo2011
    @ronaboo2011 4 ปีที่แล้ว +3

    😍😍

  • @babynatural8397
    @babynatural8397 4 ปีที่แล้ว +5

    Good job 😍dear lakini mbona hujatuonesha jinsi ya kutengeneza ?

    • @prissykil
      @prissykil  4 ปีที่แล้ว +4

      Ntaandaa video yake soon dear usijali

    • @babynatural8397
      @babynatural8397 4 ปีที่แล้ว +2

      Prissy R nimeiona mpnz asante 🤗

  • @magrethngwira-ct4qm
    @magrethngwira-ct4qm ปีที่แล้ว

    Unaweza kutumia kwa nywele zenye dawa?

    • @prissykil
      @prissykil  ปีที่แล้ว

      Yes unaweza kutumia kwenye nywele za dawa

  • @rehemaboazi6918
    @rehemaboazi6918 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa unapotaka kuosha nywele je utaosha na shampoo au bila shampoo?

    • @prissykil
      @prissykil  4 ปีที่แล้ว +3

      Unaweza kutumia shampoo au conditioner. Pia hujali harufu ya vitunguu unaweza kuacha kichwani bila kuosha

  • @reendicutymremi
    @reendicutymremi 8 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo hat kam nyele iandawa inafaa

  • @gladysfuraha3961
    @gladysfuraha3961 2 ปีที่แล้ว +1

    Af waosha kwanza ama unaeka ki2nguu zkiwa chafu

    • @prissykil
      @prissykil  2 ปีที่แล้ว

      Unaweza kufanya vyovyote vile ila kwa mimi napendelea niweke vitunguu kabla ya kuosha ili nywele zisibaki na harufu ya vitunguu

  • @SubiraWilson-gv1mh
    @SubiraWilson-gv1mh ปีที่แล้ว

    Asa we unaongea tu hata huonyeshi vitendo

    • @prissykil
      @prissykil  11 หลายเดือนก่อน

      Angalia mpaka mwisho dear vipo vitendo

  • @AminaMuhammed-jc9ok
    @AminaMuhammed-jc9ok ปีที่แล้ว

    Mtot nae naweza kumpaka

    • @prissykil
      @prissykil  ปีที่แล้ว

      Ndio unaweza kumpaka kama ni mkubwa angalau miaka mitano