ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Thanks for your advice
Waoo nywele zako zimekuwa sana 🌸🌸
Thanks love❤
Asante Kwa maelekezo vivi
Nzur dear be blessed ❤️❤️
Da samahani naomba unisaidie kujua unaweza kuweka Stemingi kwanza alafu ukapakaa ayo mafuta Hinasaidia au
Welcome back sis🙏🏽👍🏿
So adorable.
🙏❤️
Yanauzwa bei gan?
Tofauti na dar tunapata wapi hayo mafutaaa
Uko vizuriii
Asantee dear
mi nikiweka maji zinzkatika sana
Looking good
Thanks dear
Mm huwa natumia nyuzi za kotosia kunyoosha nywele nayo n mbaya......?
Kama ni ule uzi mnene wa kufumia vitambaa ni sawa dear,hauna tatizo
@@Vivianatz asante, maana ndo wenyw nnao tumia
samahn mafuta yanapatikana wp
Kariakoo dear
@@Vivianatz bei gani
@@Vivianatz samahn yanaitwaje
nywele yangu ningumu hatari nikianza kuchana naumia sana naomba unisaidie
Bidhaa za mega napata wapi tafadhal,wanasema ingia ktk link lakin sion hiyo bio yao,msaada tafadhal
Kama upo Dar nenda maduka ya vipodozi utapata ,au kariakoo maduka ya vipodozi dear
Hello my hiyo kampuni ya mega Wana mafutaa ya nywelee au ww unatumia mafutaa gani dear
Yes dear wanayo, Mega growth revitaliser
Ndy unayotumia na ww
Nauliza nitumie gel gani nikitaka kusuka rasta za njia tatu
Ntaweka video dear, ntaweka gel zite nzuri na matumizi yake
@@Vivianatz spray bottle inapatikana wapii
Nimependa ngizi yako unatumia mafuta gani
Queen Elizabeth na bio oil tu dear
Thanks for your advice
Waoo nywele zako zimekuwa sana 🌸🌸
Thanks love❤
Asante Kwa maelekezo vivi
Nzur dear be blessed ❤️❤️
Da samahani naomba unisaidie kujua unaweza kuweka Stemingi kwanza alafu ukapakaa ayo mafuta Hinasaidia au
Welcome back sis🙏🏽👍🏿
So adorable.
🙏❤️
Yanauzwa bei gan?
Tofauti na dar tunapata wapi hayo mafutaaa
Uko vizuriii
Asantee dear
mi nikiweka maji zinzkatika sana
Looking good
Thanks dear
Mm huwa natumia nyuzi za kotosia kunyoosha nywele nayo n mbaya......?
Kama ni ule uzi mnene wa kufumia vitambaa ni sawa dear,hauna tatizo
@@Vivianatz asante, maana ndo wenyw nnao tumia
samahn mafuta yanapatikana wp
Kariakoo dear
@@Vivianatz bei gani
@@Vivianatz samahn yanaitwaje
nywele yangu ningumu hatari nikianza kuchana naumia sana naomba unisaidie
Bidhaa za mega napata wapi tafadhal,wanasema ingia ktk link lakin sion hiyo bio yao,msaada tafadhal
Kama upo Dar nenda maduka ya vipodozi utapata ,au kariakoo maduka ya vipodozi dear
Hello my hiyo kampuni ya mega Wana mafutaa ya nywelee au ww unatumia mafutaa gani dear
Yes dear wanayo, Mega growth revitaliser
Ndy unayotumia na ww
Nauliza nitumie gel gani nikitaka kusuka rasta za njia tatu
Ntaweka video dear, ntaweka gel zite nzuri na matumizi yake
@@Vivianatz spray bottle inapatikana wapii
Nimependa ngizi yako unatumia mafuta gani
Queen Elizabeth na bio oil tu dear