ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA azungumzia maisha yake baada ya MSAMAHA WA RAIS MAGUFULI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA azungumzia maisha yake baada ya MSAMAHA WA RAIS MAGUFULI
Ibara ya 45 ya katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alioitumia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John pombe Magufuli siku ya Tarehe 9.Dec.2017 siku ya uhuru alipowasamehe wafungwa zaidi ya elfu tatu ndiyo iliyotufanya Tukasafiri umbali mrefu wa zaidi ya kilometa 560 ili kumfikia Mzee Aloyce Mwalongo.
Mzee huyu ni miongoni mwa wafungwa watano waliohukumiwa kesi ya pamoja ya mauwaji yaliotokea usiku wa kuamkia tarehe 26.8.1974 Mkoani Njombe ambapo baadae walibadilishiwa adhabu na Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Baba waTaifa Mwl Julias Nyerere na kuwasainia adhabu ya kifungo cha Maisha jela,
Hata hivyo Tarehe 9.Dec.2017 Rais Magufuli aliwasamehe na wakaachiwa huru licha ya kuishi gerezani kwa miaka 43, Tazama video hii ujionee Mzee Mwalongo akisimulia maisha ya gerezani na changamoto alizopitia
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
www.youtube.co...
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825, +255 676 229628 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
Sawa
Dunia hiii😭 tujifunze kuishi kwa upendo
Posho zinapatikana
Design
Mungu ni mwema Sana Watanzania wenzangu ogopa sana Maisha ambayo mtu unakula kwa muda unalala kwa muda alafu kosa hauja lifanya Mungu Atunusuru sana nayale Maisha,Mungu akulaze Mahal pema peponi Rais wetu Hayti John Pombe Magufuli Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti....Aamiiin
Acheni Mungu aitwe Mungu,asante Dr.Magufuli,rais wa wanyonge baba yetu,Mungu akulinde sana
Amen
Kwa maneno yako mzee, ikiwa ndivyo endelea kumwamini Mungu, Mungu ni mwema ujapopitia taabu yeye anakukumbuka maana yeye anajua hata hesabu ya nywele zetu, pole sana BWANA ni mwema.
Pole sana Mzee.
Ashukuriwe mungu wetu aliye mtetezi wetu siku zote.barikiwa baba yangu
Dunia hii anayehukumu kwa haki ni Mungu. Pia maisha yetu yanategemea sana uhusikaji wa Mungu kututetea. Tusiache kumtegemea Mungu na kumuomba pia. Oooh Mungu tushike mkono...
Mungu alisimama na yeye huyu mzee hakutetewa na mwanadamu bali alitetewa Mungu.
Pole baba Aki ya MTU Aipotei
Namshukuru Mungu Kwa ajili ya muujiza kama huu, Mungu ambariki mh Rais,,
Mungu ambariki huyu baba amani yake irudi,,lkn pia Mtangazaji Mungu akubariki nimeyapenda maongezi yako
Pole xana mzee kwayaliyokukuta namwomba mungu akujalie maisha marefu na mema pia mung u akubaliki sana
Pole sana mzee ,,,,, Mtangazaji unamacho mazur sana I like u
Hahaha
Hadi chozi limenitoka
Pole sana Baba yangu
Mh Rais Magufuri ubarikiwe sana, maliio yako yapo kwa Mungu
Tz nomaaaaa viongz wanafanya kazi kwa ukomoaj
Wanawake Wa Zamani Bhana Wako Na Uvumilivu Wangekua Wanawake Wasasa Ungemkuta Na Mzee Mwenzio Ndani Mungu Ni Mwema Aliwapa Uwezo Mkubwa Wa Kuvumilia
Mtangazaji unaweza sana hongera kwako
ASANTE SANA DR JOHN POMBE MAGUFULI, KWA KUFIKIRI NA KUONA BINADAMU ANA UMHIMU WA KUWA HAI.. ASANTE MTANGAZAJI KWA KAZI NZURI...ROHO MBAYA INA MAVUNO YAKE HAPA DUNIANI KWANZA...
Pole sana baba, Mungu amekupigania kwa dhuluma hiyo.
Inahuzunisha sana kwa kweli lkn kwa Mungu utalipwa mzee uonezi ni mwingi mnoo mnoo, tunamshukuru mh rais
Mtangazaji uko vizuri, umeiva kitaaluma, hongera.
What do you mean??
Amepikwa😅😅🙌
Pole sana baba yetu
Hongera sana mamy wew ni mfn kwetu
Mungu ni mwema sana mzee ameharibiwa ndoto zake zote kisa binadam wenye roho mbaya inauma sana kwa kweli
mtangazaji hongera una kipaji good work
Serikal embu watoeni wazee gerezan hamuon hata aibu siku mkinyakuliwa kwa mungu mtaeleza nini embu fanyen muwezavyo muwatoe mungua awabarika
Yaan
president magufuli mungu akuzidishie milele ,mutetezi wawanyonge,mimi ni mu congomani lakini kuona mambo unayofanya juu ya rahia wako,mungu aendelee kukuzidishia miaka maelufu .
Daaah,,poleee sana mzee wangu,,, yadunia mengi umenigusa sanaaaa
Pole sana mzee kwa mateso uliyo yapata ila hatawale walio kuhukumu kwa uonevu leo hii hawako duniyani wamekufa nawanatakiwa wajib maswali yauonevyo walioufanya huku duniyani
Mungu ni mwema siku zote
Pole sana mzee
Pole asante rais wangu john pombe m. Unapashwa kuwashtaki hivi mahakimu kweli mlimuhukumu huyu baba kunyongwa ? Mbona hata mie asiyehakimu namwelewa . Ya nini kuwa na hakimu ?
Kama Mungu akisema ndiyo hakuna wa kuzuia,asante sana Rais Magu upo kwa ajili ya wanyonge
Daa mtangazaji kahabhi mbona unazidi kuwa mrembo hivyo macho kama mhindi duu jamsni
Pole sana ,mungu wetu nimwaminif
Pole Baba yangu, Mungu mkubwa
Jamani inauma Sana pole Sana Babangu
Bila shaka najuA sanA tabora naikumbuka
😭😭😭dah huyo mama anavyolia kiukwel kaniliza hadi mimi niwamama,wachache wanaovumilia,na kutokuolewa namwanaume mwingine pindi mumewe yupp kwenye,tabu inaonyesha,jinsi gani walivyokuwa,wanapendana hongera,mama
Pole baba yangu,ni mungu tu
Catherine kahabi, unajua sana, maswal yana hisia sana
pole babangu mungu akupe nguvu kwa wakati mgumu uliokuwa nao
Dada cathe nakupenda tu
Mwenyezi Mungu mbariki sana Rais Magufuri kwa kazi anazozifanya ikiwemo kuwaona watu waliofungwa jela bila makosa. Mhe. rais hii inaonesha mpaka sasa wapo watu wengi gerezani wasio kuwa na makosa hivo tunakuomba Mhe. rais uendelee kutembelea magereza ili kuweza kuwasaidia watu wasio kuwa na hatia kama Mzee Mwalongo inasikitisha sana. Mungu akutangulie sana Dr. Magufuri
Mashallah huyu dada power will lina mendoza sijui kaolewa
Jamani huyu dada meandishi ni mzuri Sana mungu apewe sifa
nakosa lakusema...Bali namtukuza Mungu juu ya hili
A leader must be like you his Excellency john Joseph magufuli,YOU A VERY GOOD EXAMPLE TO MANY AFRICAN LEADERS,A LEADER READY TO FORGIVE&BE A SERVANT TO OTHERS AS CHRIST JESUS TAUGHT,GENUINE KINDNESS,GENEROSITY,UNDERSTANDING,READY TO HEAR COMPLAINTS FRM THE PIPO WHO VOTED FOR YOU,LOVE&TOTAL CARE KWA WANYONGE,HON NAPE NAUYE ITS OVER FORGET ABOUT THE PAST LET WORK TOGETHER TUMUUNGE MKONO,RAISI WETU AMALIZE PALIPO BAKIA HONGERA SANA KWAKUA TAYARI KUTAMBUA UMEKOSEA NA READY KUOMBA MSAHAMA
Pole sana baba kwel Mungu wetu ni mkuu anafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya
Poleni Sana baba zetu
Maaskari wengi huwa wanaishia maisha mabaya sana sababu ya kuonea watu kama huyu mzee
Mungu adizi kukutetea .....
Wee dada umebobea kwa hii tasnia umetisha
Asante Catherine Kahabi nakuelewaga sana
Pole sana baba,ila we mtangazaji umenimaliza jaman sio kwa uzuri huooo Yani Kama wa bandia jaman
Nimepata somo kupitia maisha ya hyu mzee aliyoyapitia, niekwamba ktka maisha mtu unakuwa unapitia nyakati tofauti unapokuwa unaishi inakuwa tu ni njia zipi unapitia kufika unapokwenda.Huyu mzee kipindi kirefu cha maishayke kakitumikia akiwa jela na katoka kwa uwezo wake Allah lkni kunamtu mwingine yupo huru lkni kwasababu tu maishayke ni magumu anakata tamaa bila kujua ipo siku atatoka na kufikia mafanikio yke. Nipo uggaibuni maisha yaeutafutaji ni magumusana natafuta maisha ila naamini ipo siku kwa uwezo wa Allah nitatoka na kufikia pale ninapotaka kufika.
Tupo wote inshaallah mungu atasimama na sisi
@@bimsinani5944 amin
Mungu ndie akimu
Waandishi uwezo mdogo Sana, story nzuri lakini mwandishi mhh.
Pole sana mzee wetu
😭😭😭😭😭😭😭😭Allah awape subra watu wote waliokuwa ktk mtihani huu
Ameen
Du jamani sasa wanasheria huyu mzee halipyi hata kidogo toka ujana hadi uzee 😭😭😭😭inauma sana jamani
Ameteseka mzee mungu ni mwema
inasikitisha sana
Jaman hadi huruma unajua mimi niliwahi kwenda jela bila kosa mungu mwema
Polee
@@ibrahimbigilwa7150 asante
Journaliste nimuzuri sana anamacho mazuri
Pole baba
Daa maisha haya
Pole sana
Huyo Dada anaemhoji Huyu mzee ana sura nzuri
Magufuli ni rais mwenye hofu ya mungu
Stahimil Massawe kweli unase ukweli kabisa
Pole mzee na Dada upo sawa
😭😭😭😭😭eliye wadhulum inshaallah nayeye mungu atamdhulum polesana mzeewetu lakini kesho kwamungu watakulipeni dhulma waliyokufanyieni
Daaah huyo mtangazaji wa kike nimempenda sana jamani
Diamond Platnumz mzalishe
Mtangazaji yuko vizuri
Hiyo sound track bana inaamsha hisia za kulia banaaa na jinsi anavyosimulia mzee inasikitisha
Nimemuelewa huyu dada💙😘
Serekali za kiafrika hazina netwk hazichunguz mambo yapaswavyo watu wengi wamefungwa vifungo bila ya makosa yoyote lakini mungu nd kila kitu na ipo siku yeyote anaemuhukum mtu yeyote bila kosa ipo siku mw mungu atahukumiwa hapa hapa duniani
Pole sana baba😥🙏
Pole
Nimegushwa sana Moyoni Mwangu.
Huyo sister walay n smart girl
Alhmndulillah
Mungu ndio kimbilio lamwanadamu mtangazaji hupo poa sana
Pole baba..
Bole san baba angu pole mama angu polen familiy inaumiza ila mungu hamtup mcha wake asant rais wetu mungu akuongoz vyema 😭😭😭
Asnt
Maskini pole sana baba Mungu mwema kwakweli
Mtangazaji upo ok
Mtangazaji Pisi Kali aseee
Uyu mwanamke ni mzuri. Nilikuwa nakufuata bila sikukujua dada.
Aseeh adi mim nimemuona
Hawa ndio waliotuhumiwa kumuua mhindi kwenye nyumba ya Baba yengu. Kipindi hicho Baba yangu kanunua nyumba akampangisha mhindi Njombe mjini. Akaenda katafuta mtaji Zambia akarudi kutoka Zambia nakuona nyumba imechomwa Moto. Miaka ya 70s. Baba yangu Mzee Ufunguo alishatangulia mbele za haki. R.I.P. Ila wazee hawa waliotuhumiwa kumua mhindi kwenye nyumba yetu wapo hai wote
Danford Mwabena nikweli au
@@inosentrogat9624 ni ukweli Kwa jinsi nilivyoisikia Stori hii Stori nyumba iliyochomwaga Moto na mhindi wakamuua ni yetu wakati huo Yule mhindi alikuwa mpangaji wetu Mimi sijazaliwa. Na maeneo anayozungumzia kwamba ilikuwa jirani na Duka la Bora
Akiungana na yule aliekamatwa na kakaake?ila huyu alikuwa mlinz wa mbali kidogo na hiyo nyumbayenu
@@jacquelineadrian1112 nyumba zipo jirani kabisa nyumba ya tatu kutoka alipokuwa anailinda Duka la Bora . Mimi mwenye nimeisikia tuu hii Stori toka zamani Kwa maelezo hayo hii yenyewe.
@@masachihorticultureunitcol711 ni sawa but huyu kaz yake ilimponza
Duu,,inauma sana
Congrats to Global TV but mostly nimempenda huyu host Macho yake nung'unung'u akinitazama 😘👁️
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😂😂😂😂
Rais magufuli mungu azidi kukuongoza katika uongozi wako uendelee kuwatetea watu wanao onewa
Mtangazaji mzuriii
Wakawaida Jicho na Weupee Ndio Umemsaidiaa 😂😂😂
Big love to mama
Mungu mema.wengi walionewa kufugwa kwa ajili ya rushwa
Pole san babu yng
mtoto wa mzee ni kichwa
Catherine napendaga kisauti na njonjo zako, hongera
Sheria za Tanzania zina macho lakin hazion, nimesikitika sana unamfunga MTU maisha bila ushahidi kisa muhind mwizi wa Mali zetu Africa duu aibu sana
Asante sana
Ana sauti nzuri anatoa nyoka pangoni
WENYE MAMLAKA WANAJIBEBESHA LAANA KTK MIOYO YAO, NA FAMILIA ZAO HASA IKIWA KWELI WANAKUWA WAMEWABEBESHA MIZIGO WATU KAMA HAWA, POLISI. MAHAKIMU, WENYE MAMLAKA..
.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Oo
Oh
Daah jamani wakati mwingine mahama ifae kuangalia kabla ya hukumu
Daa mzee wewe ni zaid ya shujaa
Mungu yupo nawe
Catherine
Mungu yu mwema kwetu kila wakati