Ukihitaji msaada wangu kuhusu : 1. Kufungua channel ya youtube 2. Kama unayo channel tayari (Unataka niipitie na kuirekebisha ikae kibiashara) . Wasiliana nami sasa kwa whatsapp namba (+255)759191076 . TH-cam ni biashara nzuri sana kama ukiianza na kuifanya kwa usahihi. Karibu sana!
brother yaani unafanya kitu kizuri sana kwa watanzania na watu wengine ambao wanaangalia channel yako ... kwa mara ya kwanza naangalia video yako yaani zile point ambazo ulizokuwa unazielezea zimenifanya ni.subscribe kabla hata haijaisha video... tunakushukuru... ila usituangushe na sisi kwa kutuletea video nzuri kama hizi ... Respect...
Thank you xo much my young brother! Really you are given us a good lesson! From to day I want to change and I will teach my all friends to follow this way.
Mengi mazuri hapa. Lakni nashauri vijana wenzangu. Kufika kwenye ndoto zako ni kumcha Mungu, Acha pombe, sigara na uzinzi.
Kaka Allah akujalie uendelee kutupa masomo mzuri kila kukicha good job brother💪👍👏👏👏👏👏
allahumma aamiin
Nakukubali sana broo pa1
Punguza uzungu bro ss ni waswahili
Bro nafurahi kwa kunipa hope ya maisha..
A
Asante sana unatuelimisha mm najiona Niko tofaut sana najua kuweka akiba mungu akubarik umetujenga sana
Mungu akubarik Kaka kwa Mafuzo yko Mazury Sana TNA Sana Mung Atusaidie Kwakwer
Mashaallah darsa
Twashukuru Mungu kwa mafundisho yako
Napenda mafunzo yako naona yatanifungua macho
Ahsante kwa Elimu hii mkuu Ubarikiwe
Shukran Kwa mafunzo mazuri Allah akubariki
Asante,sana,kwa,mafundisho,yako,mazuri,yanatusaidia
manshallah Allah akupe umri mlefu wenye manufa kwa kuelimisha jamii
Thnkx my broo sir gody blessed u much more
Makini sana
Much love you
Umetisha be blessed
Mafundisho mazuri sana endelea kutufundisha mengi kuliko ya leo big up
Ubarikiwe Sana 🙏🙏🙏
Hujawahi Kuniangusha Mr. Ezdeez , Ahsante Sana Brother. @Each one Teach one
Thanks bro kazi yako ni nzuri mno ubarikiwe
Asante sana nafatilia video zako na joel Nanauka for real I got something from you guys I appreciate what you guy's are doing thanks
Big up i will be following you
Asante Sana umenifungua kiasi chake
Kaka kwanza unasuti nzur hauchoshi kusikilizwa .... kama na wew umeona like
Thanks for your advice, Your a great teacher brother. Be bleassed
Thanks bro......💯💯💯💯
Mungu akubaliki mm nimejifunza vitu vingi sasa
Asante sana kaka, mafunzo yako yananipanua akili zaid.
Allah akujaaliye umri mrefu.
Thank my brother for you lesson I can change for all my live
Great advice! Eloquent speaker
Mungu akujalie maisha malefu
Brother God bless you aisee katika maisha yangu kunakitu nimekipata tangu nifahamu hii elimu yako unayoitoa
Asante sana aisee nimejifunza aswaaa
Ahsante endelea kutufunza
Asante sana umenifungua ubongo wangu
Ndugu yangu sate kwakunipa ujasili vitus vingi najifunza kupitia vidio unazo zitoa asate sana mungu akuzidishie
Nakushu kulu sana kaka Mungu akubaliki
Asante sana ndugu kwa ushauri ulio bora
Thanks bro ulizaliwa wewe kusudi wengine tuishi nabarikiwa nazidi kujifunza God bless you
Kaka asante kwa somo zuri, nimejifunza jinsi ya kuweka akija, kumbe hata kidogo inawezekana kuweka.
Safi sana ukopoa sana IRA jitahidi uwe unaanda mada fupifupi hats za dakika kumikumi best mungu akubariki na kukuzidishia
Shukran sana brother kwa taaluma hii Allah akuzidishie
I decided to subscribe, you're pouring wisdom, gottaa!
naamin ktk kujifunza bro thnks so much
Bongexi Mr kwa funzo nzuri
mashaa Allah, Allah akuzidishie in shaa Allah
Mashaalah nimekuelewa sanaaa mzee.
Of course Mimi nimfatiliaji wa kipindi chako kwa umakini na nimefanikiwa kwa asilimia kubwa mungu akubariki kaka endelea kutulisha madini
Kaka nimefurahi sana na nimejifunza sana ctabaki nyuma barikiwa sana
That is Very True Brother ...
Ezden jumanee we jamaaa akili nyingii my mentor
Kweli kabisa mola akuhifadhi tudhidi kunufaika nawewe
Mashallah Allah akuhifadhi nipo tofaut sasa nashukuru kwa ajir yako
Mungu akup uhai zaid kufundxh jamii
Kweli mkuu ubalikiwe sana
Dah! nionyeshe rafik zako ntakwambia wewe ninan nime ipenda sana hiyo ya 6 brother asante sana
Naam...karibu
Nakushukuru sana kwa mafundisho mazuri
Asee shukrani sana kaka Ezden,,,,,,,each one teach one
Stepping stone l like that #succes path #
Nakuelewa sana kaka @Ezdenjumanne
Great
Ukihitaji msaada wangu kuhusu :
1. Kufungua channel
ya youtube
2. Kama unayo channel tayari (Unataka niipitie na kuirekebisha ikae kibiashara)
.
Wasiliana nami sasa kwa whatsapp namba (+255)759191076
.
TH-cam ni biashara nzuri sana kama ukiianza na kuifanya kwa usahihi. Karibu sana!
Oooh
M Mimi ninahitaji kuifungua TH-cam ila bado sijajua inakuwaje kaka angu nisaidie
sirri
Nifanyeje ili niweze kuwa msikivu
1
Asante I hope sijachelewa kujifunza, maana nimepita Maputo sana, ubarikiwe,
Hongera
Masha allah tabarakallah shukran kwa kutuelimisha.
Very nic
Ni muhimu Sana kufatalia maongezi Kama haya Allah akujaze Kheri bro
Asante sana mwalimu
Wewe Ni wathamani Sana thanks brother
Asant bro kwasomo lamana unatuandalia
asante. sana kaka nakuelewa sana
Uko sawa sana.
Kweli kabisa shukran
Nimekuelewa sana kaka 😍😍😍acha nizidi tu nizidi kupambana 💪💪ipo siku nitaweza tuu
My economically daddy my mentor... Can't explain how I appreciate ya.... More love
Thank you. Karibu sana
Great mafunzo bora
asantesana najifunza mambo mengine nikukusikiliza
Asante kwa somo zuri kaka ezdon mungu mwema akubariki
Mansha ALLAH kaka yani unaongea point sana!!!
Thank you BIG Brother
Thankx brooo ezden
Great lesson
Thanks for your lesson bro,Be blessed
Every check you get keep 10% of it
Hii huwa inanishinda sana kila nikijarbu
brother yaani unafanya kitu kizuri sana kwa watanzania na watu wengine ambao wanaangalia channel yako ... kwa mara ya kwanza naangalia video yako yaani zile point ambazo ulizokuwa unazielezea zimenifanya ni.subscribe kabla hata haijaisha video... tunakushukuru... ila usituangushe na sisi kwa kutuletea video nzuri kama hizi ... Respect...
Somo nzuri sana Bro
GOD BLESSS U BROTHER🙏
Daahh kubalika sana mzee,mi nipo Bujumbura apa ila nakufuata kwa sanaa tu
Kumbe siko pekeyangu
uko good sana to me to you michael mshana
Nimekuelewa.
Thank you xo much my young brother! Really you are given us a good lesson! From to day I want to change and I will teach my all friends to follow this way.
Respect Brother..I can do
Respect bro
BE BLESSED BROTHER.
Eka na namba yako basi da winny kuna mambo nataka tudiscuss kuhusu biashara!..
Mafunzo ni mazuri kwakweli ,tunashukuru
Ezdens jumanne wew nimwamba sana
Amiiin....pamoja sana
I like it
ahsante kaka kwa mafundisho yako mazur mm Joachim
Thank you very much bro 🙏
Thank for reprogrammed and rewired our ethical and formal educational mind
Barikiwa baba shukran kwa ushauri wako God bless you
Saaafi umenifumbua
Binafsi nashukuru saaana!
Bro mungu Akubariki umeongea point
Thanks alot for your advice bro
Mawazo swadakta, elimu muhimu.. Pamoja sana
Vzr Sana brother
Asante kaka..
Ansante kaka kwa hii elimu