Mwaka mmoja nyuma wenzio walisema niongee taratibu ili wazingatie sasa hapa napata shaka kama ule mkasa wa punda mtoto na baba wa mtoto, sijui niongee aje kila mtu aridhike
ha haaa haaaa sasa ukija kama hivi njoo na dalili ya kuharamisha mziki ambao hauna maudhui mabaya ambayo sharia inakinza ya uisilamu, ila ukija kama hivyo naona tu unayo shida ya kielimu, lete aya ya quran au hadithi sahihi ndio tuzungumze uharamu wa mziki kijana
Pole sana kama imekukwaza lakini huo mziki duniani una elimu ya kujua haramu au laa kama yupo sheikh asema ni haramu kwa hali yoyote huyo anashida ya ufahamu ila mziki kuna unaofisha moyo na unaohuisha moyo, so itakufaa ujue kwanza kuhusu mziki kisha ndio tuujadili kasome Luqman Allah asema na katika watu kuna wanunua maneno ya upuuzi (ili) kupoteza watu kwenye njia ya Allah. Sasa kama hiyo ili ikiwa ni kinyume chake je???? Na hakuna aya ingine utaletewa kuja kuuzungumzia ila hiyo na ile isemayo "wanasikiliza maneno na kufuta mazuri yake" lakini hadeeth sahihi ya kuharamisha ala za mziki hakuna kabisa
Shee uko sawa ndio lakini kuwa serious basi upunguze majiono, nyodo na kujisikia bana shee wangu, ujue uko katika somo unatazamwa na dunia yote, watu wanahitaji kujifunza vitu kutoka kwako, kingine wewe na huo mziki hamuendani bana shee wangu, zima,
Usiige tabia za watu hawa Ulinzi Urafiki wa uwongo Uadui Na tabia mbaya kifupi ni kwamba jichunguze katika tabia zako kina jambo jipya haitakikani uwe nalo hilo
inaonyesha unaelimu ya kutuambia uharamu wa mziki jitahidi uchukue namba uje whatsapp useme mtazamo wako , soma dini acha ushabiki na ubabaishaji Mungu sio mpuuzi kiasi hicho halali ipo wazi na haramu ipo waz na baina yake kuna mambo yenye kutatiza, NA MIONGONI MWA WATU WAPO WENYE KUNUNUA MANANE YA KIPUUZI "ILI KUPOTE WATU KUTOKANA NA NJIA YA ALLAH" ZINGATIA HAYA MANENO
Assalam aleykum shekh mimi nliota tupo kweny mkusanyiko wa watu weng wakinamama tumekaa mimi nlikuwa nmekaa na bint yang mdogo wa miaka 3 basi rais Samia suluhu akawa amefika pale akakaa pamoja nasi ila akampenda sana mwanang had akaulza wazaz wahuyo mtt wapo wap nkasimama bc akafrah sana kuniona hii inamaansha nn
Bora wewe umeuliza, huo mziki kwanza mtu lazima ajue hukmu zake kisheria na ajue asili ya neno lenyewe kisha aujue mziki huo unaotumika hapo na hukmu zake, sasa basi jibu fupi yu ni kwamba HUO HAUFISHI MOYO.
Kaka mi sijaoa lakin nimeota nipo na Rais wa nchi yangu kitandani kama vile ni mke wangu lakin alikuw kapoa hajachangamka na wala sikufanya nae k2 chochote, hii ina maana gan?
Mimi nimeota nimejifungua mtoto wa kiume pia nimunene sana ira sijajisikia maumivu yoyote wati mtoto ni munene sana pia nimeonana nalaisi kwenye fulaha sana pia kanipa ukipaubele sana inamaana gani ?
Nilimuota raisi Mara mbili kwa sasa... all we na mwanangu..niliona nko hali ya kutafta motto amwpotea..mwishowe nkampata ako katikati ya uhuru na ruto kwa jukwaa
itategemea hali ya siku hiyo huu mziki huwa unaficha kelele au miziki ya watu isiingie youtube yetu au kusikika kwenye channel yetu kwasababau youtube hufunga chanel zinazoiba haki za wengine na kuzitumia kamali yao hivyo tutaweka kukiwa na ulazima na kwaajili ya kuficha vitu tusivyo vihitaji, samahani sana kwa hilo mutavumilia ndugu
Unaongea Vizuri sana Lakini Uzo biti za Mziki Nauongeaji Wa kukata kata Sio mzuri Pia samani badilisha Mipangilio yako weka mizuri watoto vitu vinajigonga gonga Unaondoa Umakini Wa wanaokutazama Na hata soko lako litakuwa Halikuwi
Nimeota nimemuona mama samia rais wa nchi anatembea alizin kwenye mimea mizuli na kuna mtoto wa kike wa shule ana muimbia nyimbo za kumsfu akampa kisi cha shlng 60 kuna miatano za kalatasi elfu moj na elf 2 yule mtoto akaja niliko mm alikuwa anataka hela ya pamoja nikapaneee
Nimeshajibu hilo, ikiwa kutatokea kelele zozote wakati wa video ili youtube wasione kama kosa huwa tunaficha hiyo sauti na mziki usio haramu, au ikiwa kuna shida ingine 👍
Habari, nimetafuta hii sbb siku ya jana juma pil asubuhi nimeota naongea na rais kwa simu na ghafla tukaonana ana kwa ana kisha akawa anaongea maneno siyakumbuki vzur mwisho tukacheka sana na kuagana kwa vicheko ila asubuhi ya leo juma3 kwenye mida ya saa kumi alfajir nmota nimeona nyuka mkubwa sana wa rang nyeus kwa mbal na amejaa tang ya kahawia ananitaza sana bila kunidhuru halafu akanipita na kuondoka zake na hata nlvyotaka kumpiga hakuonyesha ishara ya kuniuma,,namaliza koment na off data naenda mishe
Shekh mim nimemuota rais ambaye amefariki alikuja kwenye shule yake kisha akasema wajitokeze ambao hawakwenda shule mimi nikajitokea akaniongelesha kwann sijaenda shule kisha akachukua fimbo na kunichapa kidogo tu nini maana yake shukran.
Asalamu Alaykum shekhe mm nimeota nimekaa na raisi tunaongea kwa kunong'ona namuuliza kuhusu kazi kisha akanipa namba zake za sm nisaidie shekhe maana yake
Mim nimemuota rais Samia akiwa kweny kundi la watu wengi ila nimepenyeza katikat ya watu nimeenda nikakumbatiana nae Kwa furaha kubwa sana tukacheka than tukaanza kuzunguka kweny majumba ya watu wengne ndoto yngu imeishia apo tafathar nisaidie
Shekhe Mimi nimeota nipo na Rais Samia suluhu Hassan tupo tunatembea tukiwa wawili tu na pia tukaenda sehemu Moja kukagua. Pia nilimuota hayati JPM kabla hajafa nae nilimuota tukiwa pamoja na nikawa namjibu maswali then akaniomba niende ikulu. Ivo hizi ni ndoto kwangu zinazojirudiarudia Sasa sifahamu maana yake ni Nini?au inahashiria Nini?
Waalekum ssalaamu
Wewe ni mtu mmoja hatari sana kwenye hii fani sheikh Wallahi unasema vitu vinatokea Allahu akupe baraka sana
Punguza mapozi basi dahh😊😊😊nmeota mama samia amefurahi na ametugawia mifuko Ina nyama ya kukausha na biskuti
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.Masha Allah tabaraka Allah.karibu sana kwa kupotea.
Allah akuzidishie mzee
Allaahumma aamiyn. Nawe pia
Shukraan
Lkn ondoa mzikiiiii sauti mbaya
Shukran ila toa mziki
Lazima uwepo ili maelezo yasichoshe
Asante sana 🙏 mwenyezi Mungu awabariki
Nimemuota rais mara mbili mfululizo ya kwanza naongea nae na ya pili yeye ni mchumba mpenzi wangu
Duuh mwanangu mashauzi mwachie aisha Una bowa
Mapozi mengi tatizo
Mapozi mengi sana bwana yani unaham ya kuskiliza lkin mwenzio ana maringo aaaaah, atutaki ivo bhana
Mwaka mmoja nyuma wenzio walisema niongee taratibu ili wazingatie sasa hapa napata shaka kama ule mkasa wa punda mtoto na baba wa mtoto, sijui niongee aje kila mtu aridhike
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkorofi we
Sas uo mzik unahusian na nn broo Leng tuskiliz mzik au ww
@@MTAVASSYTvukiota uko na msanii maarufu sana mnazungumza nini maana yake shekh
Waalkumusalumu warhamtulhi wabarktu alhamudullh shekh mim nimi ota rahisi anaumwa. Nisaidiy mana yak
Jua litakuwa kari au baridi 🤔🤔🤔🤔 hii ndoto kimsingi inaongelea mazingira ya dunia, au kama ikiwa kama ilivyo basi haitaki tafsiri
Masha allah shukulani sana
Niliota Jana Niko kiko na Biden. Insh ALLAH natarajia mema Biithni LA
A alaikum mbona umeka miziki shekh wangu
Allah akuzidishie amin
Sheikh tengeneza sauti mzuri za video
Mapozi mengi sana
Mi nimeota namemshika raisi wa nchi Mabega nikimfanyia maombi, na yy alikuwa amekaa kwenye kiti amenyosha miguu...naomba unisaidie
Shukuran❤❤❤
Sikuami kwa music 🎶 😢 shehe wa mchongo
ha haaa haaaa sasa ukija kama hivi njoo na dalili ya kuharamisha mziki ambao hauna maudhui mabaya ambayo sharia inakinza ya uisilamu, ila ukija kama hivyo naona tu unayo shida ya kielimu, lete aya ya quran au hadithi sahihi ndio tuzungumze uharamu wa mziki kijana
Unapotabiri ndoto unaweka mziki wa nini
Ustadh kaa kishekh basi
Thanks 😏🤗
Punguza vinqnda
Nakweli vinanda vinafanya tusimsikie vizuri
Mazunguzo na miziki pembeni,wapi na wapi?.
Anazingua Sana
Barikiwa sana kaka
Samahani lakni
Pole sana kama imekukwaza lakini huo mziki duniani una elimu ya kujua haramu au laa kama yupo sheikh asema ni haramu kwa hali yoyote huyo anashida ya ufahamu ila mziki kuna unaofisha moyo na unaohuisha moyo, so itakufaa ujue kwanza kuhusu mziki kisha ndio tuujadili kasome Luqman Allah asema na katika watu kuna wanunua maneno ya upuuzi (ili) kupoteza watu kwenye njia ya Allah. Sasa kama hiyo ili ikiwa ni kinyume chake je???? Na hakuna aya ingine utaletewa kuja kuuzungumzia ila hiyo na ile isemayo "wanasikiliza maneno na kufuta mazuri yake" lakini hadeeth sahihi ya kuharamisha ala za mziki hakuna kabisa
@@MTAVASSYTvukiona uko na mtu maarufu sana mnazungumza nini maana yake shekh
una jitaidi Allah akulipe ila punguza nyodo mwalim
😅😅😅😅😅😅 mkorofi we
Mimi sijaolewa nilimuota raisi
Utapata mume inshaallaah, au mipango yako itafanikiwa maashaaallaah
@@MTAVASSYTvukiota uko na mtu maarufu nini maana yake
Hapo ndo unaumwa Leo unaturingia kumbe unamapozi shekhe.je ungekuwa na afya njema.leo umejua kutupiga mapoz
Naona leo unafuraha shekhe
Alafu anaongea kwa maringo
@@tatuaamuuinyi9633 🤣🤣🤣🤣🤣
Shehe Asalaam aleykum Mimi nimekuona raisi samia akinielekeza niwakusanye watu aongee nao kisha akawa anawapatia pesa
Walekum salam nimefurahi sana wajibu comment hilo jambo zuri kujibu comment naomba uwe hivyo hivyo Allah barik
Hhhhhhh😂😂😂😂😂
Mimi ni mcongomani niliota niko na moto wa rais wetu
Baada ya muda mambo yako utayapata yametulia inshallaah
@@MTAVASSYTvukiota uko na mtu maarufu mnatembea mnazungumza nini maana yake
Asalam alayk mie nimeota nmeenda haja ya nyama mithili ya ng'ombe ina maana gani naomba unifafanulie
Muda wote unaumaliza kwakuelezea jambo moja iloilo
Shee uko sawa ndio lakini kuwa serious basi upunguze majiono, nyodo na kujisikia bana shee wangu, ujue uko katika somo unatazamwa na dunia yote, watu wanahitaji kujifunza vitu kutoka kwako, kingine wewe na huo mziki hamuendani bana shee wangu, zima,
Waaleykum salaam sheikh..samahani naomba unitafsirie hii.....Mimi nimeota namchora mmbwa ilhali mimi sijui kuchora wanyama
Usiige tabia za watu hawa
Ulinzi
Urafiki wa uwongo
Uadui
Na tabia mbaya kifupi ni kwamba jichunguze katika tabia zako kina jambo jipya haitakikani uwe nalo hilo
@@MTAVASSYTvkuota uko na msanii maarufu sana mnazungumza huku mmeshikana mikono mnakwenda pahala nini maana yake shekh
Mm niliota niko na Rais makuful tuko kwenye msafara na mm ndio kiongoz wa msafara huo
Bado hujatulia wewe mziki unautaka na kutafsiri ndoto unataka amua jambo moja alafu unajiita shehe pole baba😢😢😢
inaonyesha unaelimu ya kutuambia uharamu wa mziki jitahidi uchukue namba uje whatsapp useme mtazamo wako , soma dini acha ushabiki na ubabaishaji Mungu sio mpuuzi kiasi hicho halali ipo wazi na haramu ipo waz na baina yake kuna mambo yenye kutatiza, NA MIONGONI MWA WATU WAPO WENYE KUNUNUA MANANE YA KIPUUZI "ILI KUPOTE WATU KUTOKANA NA NJIA YA ALLAH" ZINGATIA HAYA MANENO
@@MTAVASSYTvukiota uko na msanii maarufu sana nini maana yake. Mnazungumza
Shekh nimeona nimekutana na raisi nikamuomba atujengee mskiti
Miziki yann mpuuuzi wew
kazana bado
Asalamu alaykum Mimi nliota nimeona mwaume anazaa Kisha ilipomaliza kuzaa yulemtu aliekua anamzalisha akanipa mm Yule mtoto nimshika Mimi ikawa nakataa kumsHika yulemtoto naogopa mana Yule mtoto alikua kajaa damu mwili mzma dam znafanya kutiririka Basi nlivyo mshika Yule mtt alikua mzito Yan mzito ajabu mpaka nikashindwa kumbeba nikamuangusha njini hii inamaana gani Ustaadhi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Salam aleykum warahmatullah warakatu sheikh aki mimi niliota nikizungumza na wasichana wa Rais
mambo yako mbioni kukamilika inshaallaah
@@MTAVASSYTvukiota uko na mtu maarufu mnazungumza nini maana yake
Assalam aleykum shekh mimi nliota tupo kweny mkusanyiko wa watu weng wakinamama tumekaa mimi nlikuwa nmekaa na bint yang mdogo wa miaka 3 basi rais Samia suluhu akawa amefika pale akakaa pamoja nasi ila akampenda sana mwanang had akaulza wazaz wahuyo mtt wapo wap nkasimama bc akafrah sana kuniona hii inamaansha nn
Punguza mashauzi yaan kua gentle man alafu toa huo mziki walau weka qaswiida kwa mbaaaliii
Nilimuota mama samia
Me pia my dia nimemuota mama Samia akiwa amekuja kwenye sherehe amekaa
Mi nimeota niko na rais na namuomba pesa kanambia nimpatie namba yangu ya sim anitumie nikashituka kabra hajatuma
Natulikuwa tunapiga stor
Kutafsiri pamoja music ni sawa?
Bora wewe umeuliza, huo mziki kwanza mtu lazima ajue hukmu zake kisheria na ajue asili ya neno lenyewe kisha aujue mziki huo unaotumika hapo na hukmu zake, sasa basi jibu fupi yu ni kwamba HUO HAUFISHI MOYO.
shukran
She mi naotaga Niko mshauli wa lais
Mambo yako yatakuwa kwa uhakika inshaallah
Nimeota niko na Rasi wa nchi yetu tukiwa pamoja hata ilabaki kidgo tulikuwa nituoige picha
Kaka mi sijaoa lakin nimeota nipo na Rais wa nchi yangu kitandani kama vile ni mke wangu lakin alikuw kapoa hajachangamka na wala sikufanya nae k2 chochote, hii ina maana gan?
Nenda direct usijivute
Waooo
Una nyodo
😅nashukur nikiwai kumuota mama samia mara mbili mara mwisho nilimuota kanipa mkono msafar umepita ukaja kwangu akanipa mkono
Assalam alaykum vipi hali baba yangu alinihadithia kaota kamuona mtoto halafu kageuka mauwa
ni ishara njema kwa muisilamu kwani itajulisha neema ama kwa mkristu atazika mwana wake
Mimi nimeota nimejifungua mtoto wa kiume pia nimunene sana ira sijajisikia maumivu yoyote wati mtoto ni munene sana pia nimeonana nalaisi kwenye fulaha sana pia kanipa ukipaubele sana inamaana gani ?
Maelezo mazuri lakini mbona unajivuta navkujinyongowa sana
Nilimuota raisi Mara mbili kwa sasa... all we na mwanangu..niliona nko hali ya kutafta motto amwpotea..mwishowe nkampata ako katikati ya uhuru na ruto kwa jukwaa
A.aleikum....mm nmeota nmemuona rahisi wa kenya .tulikua n marafiki zangu ila kaniita jina kanisalimia...maana yke n nn
mimi nimeota nimemuona rais Pia tumeongea mengi mnoo kuhus nchi ytu then nikamuombea dua lakin tuliku tumept chomb kimoj mimi na Raisi
Nimemuota mke wa raisi afu nikamuona amenenepa sanaa
Kama upo kwenyee mausiano maana yakee upo karibu kuolewa na kama upo kwenyee ndoa maana yake utapata mtoto hivi karibuni na atakua mkubwaa WA mwili
NDOTO hio hawezi kukutafsiria huyu shehee vitabuni wao ni vilivyo andikwa tuu vya kaleee Sasa kuna doto Za kisasa
Aslaam alaikum w w
Shekh ni me ota nguo zangu zimeja maji?
Wewe unapenda kujitenga na wengine katika kipindi hiki ulichoona hii ndoto na kuhitaji kuwa peka
Kwa hayo mapozi ni ngumu kukusikiliza hadi mwisho.
Shekh wangu ss tunaokuskiliza.ni watu wenye akili timamu embu acha makuz kwanza.toa izo kelele shekh wangu plz.
Punguza saiz ya ledio
Umekua nikiota atii our president has called me and requesting me to bring my family to him and introduce to his family
Maashaallaah unajuzwa kwamba mambo yako yatapanhilika inshallaah
@@MTAVASSYTvukiota uko na msanii maarufu sana mnazungumza nini maana yake shekh
Mm naota Niko na watu maarufu na hii ndoto inajiridia sana
Ina maana nzur na wee utafanikiwa kwa kiwango Cha watu hawao maarufu uliowaona
Unakera mziki jaman mpaka kuelewa ngum
Mimi niliota rais magufuli kanialika nyymbani kwake kwa chakula cha mchana, tumekaa tunakula pamoja tena mara mbili
Mbona maneno mengi mno na yakurudia rudia du mb zetu zinaliwa
Waleykm Salam shehe mim nimemuota mama Samia anatugawia pesa mm na rafik zangu je? Hii ndoto inamaana gan
Mambo yako yatatimia jitahidi kutaka msaada kwa marafiki na watu wa karibu yako ili mambo yako yafanikishiwe
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@@MTAVASSYTv nimeota queen Elizabeth kanipa pesa mimi na baba yangu maana yake nini
Hizi kama ni tafsiri za kiislamu mbona utie music kwenye background?
😅😅
Kwani huo unafisha moyo au unahuisha moyo au ndio haupo kote ili tutafute hukmu yake ?
Siku nyingine usituwekee limziki lako
itategemea hali ya siku hiyo huu mziki huwa unaficha kelele au miziki ya watu isiingie youtube yetu au kusikika kwenye channel yetu kwasababau youtube hufunga chanel zinazoiba haki za wengine na kuzitumia kamali yao hivyo tutaweka kukiwa na ulazima na kwaajili ya kuficha vitu tusivyo vihitaji, samahani sana kwa hilo mutavumilia ndugu
Na nilimuotaga magu akiwa kanisan na kulikua na wanakway weng
Mambo yako yatanyooka baada ya muda au utafanikiwa mpango wako
Unaongea Vizuri sana Lakini Uzo biti za Mziki Nauongeaji Wa kukata kata Sio mzuri Pia samani badilisha Mipangilio yako weka mizuri watoto vitu vinajigonga gonga Unaondoa Umakini Wa wanaokutazama Na hata soko lako litakuwa Halikuwi
Ukiwa unajirekod jaribu kutoa mziki
Shekhe mim nimeota nimembeba Raisi samaia alikuwa mjamzito nikampeleka kwa mwalimu wangu wa chuoni KUJIFUNGUA
io inamaanisha nini sheikh wangu please.
😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeota nimemuona mama samia rais wa nchi anatembea alizin kwenye mimea mizuli na kuna mtoto wa kike wa shule ana muimbia nyimbo za kumsfu akampa kisi cha shlng 60 kuna miatano za kalatasi elfu moj na elf 2 yule mtoto akaja niliko mm alikuwa anataka hela ya pamoja nikapaneee
Volume
Mie siku ya Alhamis nimemuota rahis nyerere
😂😂😂😂😂😂
Nilshawai kuota nimeiba begi lenye sarafu za zaman nyiiing mnooo, nikawa nakimbia kila mtu akawananitafuta walichukue
Niliota namwambia raisi jambo langu na akanipa funguo nikachukue kitu nilichomwambia
Sasa mziki wa nn shekhe
Nimeshajibu hilo, ikiwa kutatokea kelele zozote wakati wa video ili youtube wasione kama kosa huwa tunaficha hiyo sauti na mziki usio haramu, au ikiwa kuna shida ingine 👍
Tunatumia bando jarib kufupisha mambo jmn
ili uelewe? au nifasiri uliloona wewe tu ndugu?
Sasa mziki ni ya nn shekh
Zulfa ndoto ya kuota hivyo ni nzur sana ata mimi naotaga watu maarufu au rais
Nenda kwenye point
Hahaha
Habari, nimetafuta hii sbb siku ya jana juma pil asubuhi nimeota naongea na rais kwa simu na ghafla tukaonana ana kwa ana kisha akawa anaongea maneno siyakumbuki vzur mwisho tukacheka sana na kuagana kwa vicheko ila asubuhi ya leo juma3 kwenye mida ya saa kumi alfajir nmota nimeona nyuka mkubwa sana wa rang nyeus kwa mbal na amejaa tang ya kahawia ananitaza sana bila kunidhuru halafu akanipita na kuondoka zake na hata nlvyotaka kumpiga hakuonyesha ishara ya kuniuma,,namaliza koment na off data naenda mishe
Mziki wa nn jamani. Dah
Shekh mim nimemuota rais ambaye amefariki alikuja kwenye shule yake kisha akasema wajitokeze ambao hawakwenda shule mimi nikajitokea akaniongelesha kwann sijaenda shule kisha akachukua fimbo na kunichapa kidogo tu nini maana yake shukran.
Ndoto inakutaka uzinduke, ungekuwa mwamke basi ningekwambia acha uzinifu kabisa
🤣🤣🤣🤣
@@MTAVASSYTvkuota uko na msanii maarufu saana mnazungumza nini maana yake shekh
Asalamu Alaykum shekhe mm nimeota nimekaa na raisi tunaongea kwa kunong'ona namuuliza kuhusu kazi kisha akanipa namba zake za sm nisaidie shekhe maana yake
Njaaa hio ina kunyomelea uta fukarika mpk kuomba, muombe Allah akuepushe fitina hio
Asalam Aleykum warahmatullah wabarakatuh.shekhe Mimi nimemuona Rais kaja nyumbani tukala nae matunda nini maana yake nisaidie shekhe
Wa,salaamu warahmatullahi wabarakatuh, pesa hiyo au maisha yatakaa sawa kidogo
Shukran Sana shekhe Allah akulipe kila lenye kheri In shaa Allah
Shukran Sana shekhe Allah akulipe kila lenye kheri In shaa Allah
@@MTAVASSYTv mie nimeota queen Elizabeth kanipa pesa
Mim nimemuota rais Samia akiwa kweny kundi la watu wengi ila nimepenyeza katikat ya watu nimeenda nikakumbatiana nae Kwa furaha kubwa sana tukacheka than tukaanza kuzunguka kweny majumba ya watu wengne ndoto yngu imeishia apo tafathar nisaidie
hapo inshaallaah mambo yako yatatimia inshaallaah
P
Shekhe Mimi nimeota nipo na Rais Samia suluhu Hassan tupo tunatembea tukiwa wawili tu na pia tukaenda sehemu Moja kukagua.
Pia nilimuota hayati JPM kabla hajafa nae nilimuota tukiwa pamoja na nikawa namjibu maswali then akaniomba niende ikulu.
Ivo hizi ni ndoto kwangu zinazojirudiarudia Sasa sifahamu maana yake ni Nini?au inahashiria Nini?
mipango yako itahakikika inshaallaah yaani utapata mafanikio jitahidi usikate tamaa katika majambo yako so unahusudiwa lakini hautofeli
Amina,
Inshallah m/mungu azidi kuniwekea wepesi na kutimiza ndoto zangu katika maisha yangu.