Aliyemuona Rais katika ndoto Sheikh :Jafari Mtavassy mfasiri bingwa wa ndoto

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 227

  • @kiamanitv5728
    @kiamanitv5728 2 ปีที่แล้ว +3

    Waalekum ssalaamu
    Wewe ni mtu mmoja hatari sana kwenye hii fani sheikh Wallahi unasema vitu vinatokea Allahu akupe baraka sana

  • @JohainaHakim
    @JohainaHakim หลายเดือนก่อน

    Punguza mapozi basi dahh😊😊😊nmeota mama samia amefurahi na ametugawia mifuko Ina nyama ya kukausha na biskuti

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 ปีที่แล้ว +2

    waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.Masha Allah tabaraka Allah.karibu sana kwa kupotea.

  • @SadaJuma-k8o
    @SadaJuma-k8o หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuzidishie mzee

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  หลายเดือนก่อน

      Allaahumma aamiyn. Nawe pia

  • @ummusalim5088
    @ummusalim5088 2 ปีที่แล้ว +3

    Shukraan
    Lkn ondoa mzikiiiii sauti mbaya

  • @salimawishenga7588
    @salimawishenga7588 2 ปีที่แล้ว +12

    Shukran ila toa mziki

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 ปีที่แล้ว +1

      Lazima uwepo ili maelezo yasichoshe

  • @BettyKaneza-sd1mj
    @BettyKaneza-sd1mj 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana 🙏 mwenyezi Mungu awabariki

  • @suleimanmashombo7841
    @suleimanmashombo7841 ปีที่แล้ว +1

    Nimemuota rais mara mbili mfululizo ya kwanza naongea nae na ya pili yeye ni mchumba mpenzi wangu

  • @SolmSwaleh
    @SolmSwaleh 27 วันที่ผ่านมา

    Duuh mwanangu mashauzi mwachie aisha Una bowa

  • @jumbemaalim4250
    @jumbemaalim4250 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mapozi mengi tatizo

  • @aminambukuzi999
    @aminambukuzi999 2 ปีที่แล้ว +4

    Mapozi mengi sana bwana yani unaham ya kuskiliza lkin mwenzio ana maringo aaaaah, atutaki ivo bhana

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว +1

      Mwaka mmoja nyuma wenzio walisema niongee taratibu ili wazingatie sasa hapa napata shaka kama ule mkasa wa punda mtoto na baba wa mtoto, sijui niongee aje kila mtu aridhike

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkorofi we

    • @HarounAli-rl3uc
      @HarounAli-rl3uc 5 หลายเดือนก่อน

      Sas uo mzik unahusian na nn broo Leng tuskiliz mzik au ww

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvukiota uko na msanii maarufu sana mnazungumza nini maana yake shekh

  • @waridi9250
    @waridi9250 2 ปีที่แล้ว +2

    Waalkumusalumu warhamtulhi wabarktu alhamudullh shekh mim nimi ota rahisi anaumwa. Nisaidiy mana yak

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว +1

      Jua litakuwa kari au baridi 🤔🤔🤔🤔 hii ndoto kimsingi inaongelea mazingira ya dunia, au kama ikiwa kama ilivyo basi haitaki tafsiri

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 10 หลายเดือนก่อน

    Masha allah shukulani sana

  • @ibrahimetale9999
    @ibrahimetale9999 ปีที่แล้ว

    Niliota Jana Niko kiko na Biden. Insh ALLAH natarajia mema Biithni LA

  • @NassirAbdullah-z6e
    @NassirAbdullah-z6e 24 วันที่ผ่านมา

    A alaikum mbona umeka miziki shekh wangu

  • @saraimohamed2778
    @saraimohamed2778 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuzidishie amin

  • @tojotv6414
    @tojotv6414 3 ปีที่แล้ว +4

    Sheikh tengeneza sauti mzuri za video

  • @JumaGambe
    @JumaGambe 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mapozi mengi sana

  • @malkiamushy1923
    @malkiamushy1923 2 ปีที่แล้ว +2

    Mi nimeota namemshika raisi wa nchi Mabega nikimfanyia maombi, na yy alikuwa amekaa kwenye kiti amenyosha miguu...naomba unisaidie

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukuran❤❤❤

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu6 7 หลายเดือนก่อน

    Sikuami kwa music 🎶 😢 shehe wa mchongo

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  7 หลายเดือนก่อน

      ha haaa haaaa sasa ukija kama hivi njoo na dalili ya kuharamisha mziki ambao hauna maudhui mabaya ambayo sharia inakinza ya uisilamu, ila ukija kama hivyo naona tu unayo shida ya kielimu, lete aya ya quran au hadithi sahihi ndio tuzungumze uharamu wa mziki kijana

  • @N_kali
    @N_kali 4 หลายเดือนก่อน +2

    Unapotabiri ndoto unaweka mziki wa nini

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 หลายเดือนก่อน

    Ustadh kaa kishekh basi

  • @hill-topboy7647
    @hill-topboy7647 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks 😏🤗

  • @aishaally8796
    @aishaally8796 10 หลายเดือนก่อน +3

    Punguza vinqnda

    • @fatumamazul4411
      @fatumamazul4411 7 หลายเดือนก่อน

      Nakweli vinanda vinafanya tusimsikie vizuri

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 ปีที่แล้ว +1

    Mazunguzo na miziki pembeni,wapi na wapi?.

  • @timothysalehe402
    @timothysalehe402 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana kaka

  • @troubleabhat2190
    @troubleabhat2190 ปีที่แล้ว +1

    Samahani lakni

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว +1

      Pole sana kama imekukwaza lakini huo mziki duniani una elimu ya kujua haramu au laa kama yupo sheikh asema ni haramu kwa hali yoyote huyo anashida ya ufahamu ila mziki kuna unaofisha moyo na unaohuisha moyo, so itakufaa ujue kwanza kuhusu mziki kisha ndio tuujadili kasome Luqman Allah asema na katika watu kuna wanunua maneno ya upuuzi (ili) kupoteza watu kwenye njia ya Allah. Sasa kama hiyo ili ikiwa ni kinyume chake je???? Na hakuna aya ingine utaletewa kuja kuuzungumzia ila hiyo na ile isemayo "wanasikiliza maneno na kufuta mazuri yake" lakini hadeeth sahihi ya kuharamisha ala za mziki hakuna kabisa

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvukiona uko na mtu maarufu sana mnazungumza nini maana yake shekh

  • @mvanobilali8502
    @mvanobilali8502 2 ปีที่แล้ว +2

    una jitaidi Allah akulipe ila punguza nyodo mwalim

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅😅😅 mkorofi we

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Mimi sijaolewa nilimuota raisi

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      Utapata mume inshaallaah, au mipango yako itafanikiwa maashaaallaah

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvukiota uko na mtu maarufu nini maana yake

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 ปีที่แล้ว

    Hapo ndo unaumwa Leo unaturingia kumbe unamapozi shekhe.je ungekuwa na afya njema.leo umejua kutupiga mapoz

  • @saraimohamed2778
    @saraimohamed2778 2 ปีที่แล้ว +2

    Naona leo unafuraha shekhe

  • @hidayabantulaki2229
    @hidayabantulaki2229 8 หลายเดือนก่อน

    Shehe Asalaam aleykum Mimi nimekuona raisi samia akinielekeza niwakusanye watu aongee nao kisha akawa anawapatia pesa

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 3 ปีที่แล้ว +1

    Walekum salam nimefurahi sana wajibu comment hilo jambo zuri kujibu comment naomba uwe hivyo hivyo Allah barik

  • @shaabanbindawood6538
    @shaabanbindawood6538 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hhhhhhh😂😂😂😂😂

  • @raheemdag6905
    @raheemdag6905 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ni mcongomani niliota niko na moto wa rais wetu

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว +1

      Baada ya muda mambo yako utayapata yametulia inshallaah

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvukiota uko na mtu maarufu mnatembea mnazungumza nini maana yake

  • @pilimlenge1289
    @pilimlenge1289 ปีที่แล้ว

    Asalam alayk mie nimeota nmeenda haja ya nyama mithili ya ng'ombe ina maana gani naomba unifafanulie

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 ปีที่แล้ว

    Muda wote unaumaliza kwakuelezea jambo moja iloilo

  • @AndrewKanyika-t9s
    @AndrewKanyika-t9s หลายเดือนก่อน

    Shee uko sawa ndio lakini kuwa serious basi upunguze majiono, nyodo na kujisikia bana shee wangu, ujue uko katika somo unatazamwa na dunia yote, watu wanahitaji kujifunza vitu kutoka kwako, kingine wewe na huo mziki hamuendani bana shee wangu, zima,

  • @fatumamhina4622
    @fatumamhina4622 3 ปีที่แล้ว

    Waaleykum salaam sheikh..samahani naomba unitafsirie hii.....Mimi nimeota namchora mmbwa ilhali mimi sijui kuchora wanyama

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 ปีที่แล้ว

      Usiige tabia za watu hawa
      Ulinzi
      Urafiki wa uwongo
      Uadui
      Na tabia mbaya kifupi ni kwamba jichunguze katika tabia zako kina jambo jipya haitakikani uwe nalo hilo

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvkuota uko na msanii maarufu sana mnazungumza huku mmeshikana mikono mnakwenda pahala nini maana yake shekh

  • @EshaShamu
    @EshaShamu หลายเดือนก่อน

    Mm niliota niko na Rais makuful tuko kwenye msafara na mm ndio kiongoz wa msafara huo

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 ปีที่แล้ว

    Bado hujatulia wewe mziki unautaka na kutafsiri ndoto unataka amua jambo moja alafu unajiita shehe pole baba😢😢😢

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว +1

      inaonyesha unaelimu ya kutuambia uharamu wa mziki jitahidi uchukue namba uje whatsapp useme mtazamo wako , soma dini acha ushabiki na ubabaishaji Mungu sio mpuuzi kiasi hicho halali ipo wazi na haramu ipo waz na baina yake kuna mambo yenye kutatiza, NA MIONGONI MWA WATU WAPO WENYE KUNUNUA MANANE YA KIPUUZI "ILI KUPOTE WATU KUTOKANA NA NJIA YA ALLAH" ZINGATIA HAYA MANENO

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvukiota uko na msanii maarufu sana nini maana yake. Mnazungumza

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 ปีที่แล้ว

    Shekh nimeona nimekutana na raisi nikamuomba atujengee mskiti

  • @RAHIMULEMU
    @RAHIMULEMU 7 หลายเดือนก่อน

    Miziki yann mpuuuzi wew

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  7 หลายเดือนก่อน

      kazana bado

  • @mwanamkasishabani522
    @mwanamkasishabani522 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalamu alaykum Mimi nliota nimeona mwaume anazaa Kisha ilipomaliza kuzaa yulemtu aliekua anamzalisha akanipa mm Yule mtoto nimshika Mimi ikawa nakataa kumsHika yulemtoto naogopa mana Yule mtoto alikua kajaa damu mwili mzma dam znafanya kutiririka Basi nlivyo mshika Yule mtt alikua mzito Yan mzito ajabu mpaka nikashindwa kumbeba nikamuangusha njini hii inamaana gani Ustaadhi

  • @susanenterpreneur
    @susanenterpreneur ปีที่แล้ว

    Salam aleykum warahmatullah warakatu sheikh aki mimi niliota nikizungumza na wasichana wa Rais

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      mambo yako mbioni kukamilika inshaallaah

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvukiota uko na mtu maarufu mnazungumza nini maana yake

  • @IssaSalim-kv4gr
    @IssaSalim-kv4gr 6 หลายเดือนก่อน

    Assalam aleykum shekh mimi nliota tupo kweny mkusanyiko wa watu weng wakinamama tumekaa mimi nlikuwa nmekaa na bint yang mdogo wa miaka 3 basi rais Samia suluhu akawa amefika pale akakaa pamoja nasi ila akampenda sana mwanang had akaulza wazaz wahuyo mtt wapo wap nkasimama bc akafrah sana kuniona hii inamaansha nn

  • @hamishatibu1007
    @hamishatibu1007 ปีที่แล้ว

    Punguza mashauzi yaan kua gentle man alafu toa huo mziki walau weka qaswiida kwa mbaaaliii

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Nilimuota mama samia

    • @vickywingstone3551
      @vickywingstone3551 9 หลายเดือนก่อน

      Me pia my dia nimemuota mama Samia akiwa amekuja kwenye sherehe amekaa

  • @PendoKapten
    @PendoKapten หลายเดือนก่อน

    Mi nimeota niko na rais na namuomba pesa kanambia nimpatie namba yangu ya sim anitumie nikashituka kabra hajatuma

    • @PendoKapten
      @PendoKapten หลายเดือนก่อน

      Natulikuwa tunapiga stor

  • @arjenarjen6718
    @arjenarjen6718 2 ปีที่แล้ว +2

    Kutafsiri pamoja music ni sawa?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Bora wewe umeuliza, huo mziki kwanza mtu lazima ajue hukmu zake kisheria na ajue asili ya neno lenyewe kisha aujue mziki huo unaotumika hapo na hukmu zake, sasa basi jibu fupi yu ni kwamba HUO HAUFISHI MOYO.

  • @maryammarjan4015
    @maryammarjan4015 2 ปีที่แล้ว +1

    shukran

  • @samirisadiki67
    @samirisadiki67 2 ปีที่แล้ว +2

    She mi naotaga Niko mshauli wa lais

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Mambo yako yatakuwa kwa uhakika inshaallah

  • @AHMADSUDI-e8x
    @AHMADSUDI-e8x 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nimeota niko na Rasi wa nchi yetu tukiwa pamoja hata ilabaki kidgo tulikuwa nituoige picha

  • @edsonlukuba9290
    @edsonlukuba9290 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka mi sijaoa lakin nimeota nipo na Rais wa nchi yangu kitandani kama vile ni mke wangu lakin alikuw kapoa hajachangamka na wala sikufanya nae k2 chochote, hii ina maana gan?

  • @KwakakomboDzillambe
    @KwakakomboDzillambe 6 หลายเดือนก่อน

    Nenda direct usijivute

  • @anithamallya1104
    @anithamallya1104 ปีที่แล้ว +1

    Waooo

  • @ShelaRashid-fo2rx
    @ShelaRashid-fo2rx 2 หลายเดือนก่อน

    Una nyodo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    😅nashukur nikiwai kumuota mama samia mara mbili mara mwisho nilimuota kanipa mkono msafar umepita ukaja kwangu akanipa mkono

  • @gharibasalim2511
    @gharibasalim2511 ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum vipi hali baba yangu alinihadithia kaota kamuona mtoto halafu kageuka mauwa

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  8 หลายเดือนก่อน

      ni ishara njema kwa muisilamu kwani itajulisha neema ama kwa mkristu atazika mwana wake

  • @merryagustino3508
    @merryagustino3508 10 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimeota nimejifungua mtoto wa kiume pia nimunene sana ira sijajisikia maumivu yoyote wati mtoto ni munene sana pia nimeonana nalaisi kwenye fulaha sana pia kanipa ukipaubele sana inamaana gani ?

  • @Tima-g4d
    @Tima-g4d 7 หลายเดือนก่อน

    Maelezo mazuri lakini mbona unajivuta navkujinyongowa sana

  • @aishajiji3331
    @aishajiji3331 ปีที่แล้ว

    Nilimuota raisi Mara mbili kwa sasa... all we na mwanangu..niliona nko hali ya kutafta motto amwpotea..mwishowe nkampata ako katikati ya uhuru na ruto kwa jukwaa

  • @jamilashaban3901
    @jamilashaban3901 2 ปีที่แล้ว

    A.aleikum....mm nmeota nmemuona rahisi wa kenya .tulikua n marafiki zangu ila kaniita jina kanisalimia...maana yke n nn

  • @AkhiymbwanaAbdallah
    @AkhiymbwanaAbdallah 2 หลายเดือนก่อน

    mimi nimeota nimemuona rais Pia tumeongea mengi mnoo kuhus nchi ytu then nikamuombea dua lakin tuliku tumept chomb kimoj mimi na Raisi

  • @jolieingabire1992
    @jolieingabire1992 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimemuota mke wa raisi afu nikamuona amenenepa sanaa

    • @hajikhamis3288
      @hajikhamis3288 10 หลายเดือนก่อน

      Kama upo kwenyee mausiano maana yakee upo karibu kuolewa na kama upo kwenyee ndoa maana yake utapata mtoto hivi karibuni na atakua mkubwaa WA mwili

    • @hajikhamis3288
      @hajikhamis3288 10 หลายเดือนก่อน

      NDOTO hio hawezi kukutafsiria huyu shehee vitabuni wao ni vilivyo andikwa tuu vya kaleee Sasa kuna doto Za kisasa

  • @aminamukantabana8241
    @aminamukantabana8241 2 ปีที่แล้ว +1

    Aslaam alaikum w w
    Shekh ni me ota nguo zangu zimeja maji?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Wewe unapenda kujitenga na wengine katika kipindi hiki ulichoona hii ndoto na kuhitaji kuwa peka

  • @honestakitomari7048
    @honestakitomari7048 หลายเดือนก่อน

    Kwa hayo mapozi ni ngumu kukusikiliza hadi mwisho.

  • @HajiMasmenti
    @HajiMasmenti 5 หลายเดือนก่อน

    Shekh wangu ss tunaokuskiliza.ni watu wenye akili timamu embu acha makuz kwanza.toa izo kelele shekh wangu plz.

  • @elizaClaus-wk5kw
    @elizaClaus-wk5kw หลายเดือนก่อน

    Punguza saiz ya ledio

  • @danielkariuki1911
    @danielkariuki1911 ปีที่แล้ว

    Umekua nikiota atii our president has called me and requesting me to bring my family to him and introduce to his family

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      Maashaallaah unajuzwa kwamba mambo yako yatapanhilika inshallaah

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvukiota uko na msanii maarufu sana mnazungumza nini maana yake shekh

  • @zulfamnanga123
    @zulfamnanga123 ปีที่แล้ว

    Mm naota Niko na watu maarufu na hii ndoto inajiridia sana

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

      Ina maana nzur na wee utafanikiwa kwa kiwango Cha watu hawao maarufu uliowaona

  • @estergordian-vv9jx
    @estergordian-vv9jx 6 หลายเดือนก่อน

    Unakera mziki jaman mpaka kuelewa ngum

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew หลายเดือนก่อน

    Mimi niliota rais magufuli kanialika nyymbani kwake kwa chakula cha mchana, tumekaa tunakula pamoja tena mara mbili

  • @sambokadigi8427
    @sambokadigi8427 2 ปีที่แล้ว

    Mbona maneno mengi mno na yakurudia rudia du mb zetu zinaliwa

  • @jafaribashiri791
    @jafaribashiri791 2 ปีที่แล้ว +1

    Waleykm Salam shehe mim nimemuota mama Samia anatugawia pesa mm na rafik zangu je? Hii ndoto inamaana gan

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว +1

      Mambo yako yatatimia jitahidi kutaka msaada kwa marafiki na watu wa karibu yako ili mambo yako yafanikishiwe

    • @jafaribashiri791
      @jafaribashiri791 2 ปีที่แล้ว

      🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      ​​@@MTAVASSYTv nimeota queen Elizabeth kanipa pesa mimi na baba yangu maana yake nini

  • @AishahMuigu
    @AishahMuigu 3 ปีที่แล้ว +1

    Hizi kama ni tafsiri za kiislamu mbona utie music kwenye background?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      😅😅

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Kwani huo unafisha moyo au unahuisha moyo au ndio haupo kote ili tutafute hukmu yake ?

  • @nasramdachi2972
    @nasramdachi2972 5 หลายเดือนก่อน +1

    Siku nyingine usituwekee limziki lako

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 หลายเดือนก่อน

      itategemea hali ya siku hiyo huu mziki huwa unaficha kelele au miziki ya watu isiingie youtube yetu au kusikika kwenye channel yetu kwasababau youtube hufunga chanel zinazoiba haki za wengine na kuzitumia kamali yao hivyo tutaweka kukiwa na ulazima na kwaajili ya kuficha vitu tusivyo vihitaji, samahani sana kwa hilo mutavumilia ndugu

  • @tamarimahega7384
    @tamarimahega7384 2 ปีที่แล้ว +1

    Na nilimuotaga magu akiwa kanisan na kulikua na wanakway weng

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      Mambo yako yatanyooka baada ya muda au utafanikiwa mpango wako

  • @HadinanKimimbi
    @HadinanKimimbi 3 หลายเดือนก่อน

    Unaongea Vizuri sana Lakini Uzo biti za Mziki Nauongeaji Wa kukata kata Sio mzuri Pia samani badilisha Mipangilio yako weka mizuri watoto vitu vinajigonga gonga Unaondoa Umakini Wa wanaokutazama Na hata soko lako litakuwa Halikuwi

  • @EshaShamu
    @EshaShamu หลายเดือนก่อน

    Ukiwa unajirekod jaribu kutoa mziki

  • @hussnahussen8073
    @hussnahussen8073 2 ปีที่แล้ว

    Shekhe mim nimeota nimembeba Raisi samaia alikuwa mjamzito nikampeleka kwa mwalimu wangu wa chuoni KUJIFUNGUA
    io inamaanisha nini sheikh wangu please.

  • @SofiaUmande-ss1zj
    @SofiaUmande-ss1zj 6 หลายเดือนก่อน

    Nimeota nimemuona mama samia rais wa nchi anatembea alizin kwenye mimea mizuli na kuna mtoto wa kike wa shule ana muimbia nyimbo za kumsfu akampa kisi cha shlng 60 kuna miatano za kalatasi elfu moj na elf 2 yule mtoto akaja niliko mm alikuwa anataka hela ya pamoja nikapaneee

  • @johnbaluku6149
    @johnbaluku6149 2 ปีที่แล้ว

    Volume

  • @gharibasalim2511
    @gharibasalim2511 ปีที่แล้ว

    Mie siku ya Alhamis nimemuota rahis nyerere

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @tamarimahega7384
    @tamarimahega7384 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilshawai kuota nimeiba begi lenye sarafu za zaman nyiiing mnooo, nikawa nakimbia kila mtu akawananitafuta walichukue

  • @AsiaSaid-p9y
    @AsiaSaid-p9y หลายเดือนก่อน

    Niliota namwambia raisi jambo langu na akanipa funguo nikachukue kitu nilichomwambia

  • @radhiaibrahim2951
    @radhiaibrahim2951 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa mziki wa nn shekhe

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  6 หลายเดือนก่อน

      Nimeshajibu hilo, ikiwa kutatokea kelele zozote wakati wa video ili youtube wasione kama kosa huwa tunaficha hiyo sauti na mziki usio haramu, au ikiwa kuna shida ingine 👍

  • @Angel-do2lb
    @Angel-do2lb ปีที่แล้ว

    Tunatumia bando jarib kufupisha mambo jmn

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  10 หลายเดือนก่อน

      ili uelewe? au nifasiri uliloona wewe tu ndugu?

  • @RahmaIdo
    @RahmaIdo หลายเดือนก่อน

    Sasa mziki ni ya nn shekh

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Zulfa ndoto ya kuota hivyo ni nzur sana ata mimi naotaga watu maarufu au rais

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka3447 2 ปีที่แล้ว

    Nenda kwenye point

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 ปีที่แล้ว

    Habari, nimetafuta hii sbb siku ya jana juma pil asubuhi nimeota naongea na rais kwa simu na ghafla tukaonana ana kwa ana kisha akawa anaongea maneno siyakumbuki vzur mwisho tukacheka sana na kuagana kwa vicheko ila asubuhi ya leo juma3 kwenye mida ya saa kumi alfajir nmota nimeona nyuka mkubwa sana wa rang nyeus kwa mbal na amejaa tang ya kahawia ananitaza sana bila kunidhuru halafu akanipita na kuondoka zake na hata nlvyotaka kumpiga hakuonyesha ishara ya kuniuma,,namaliza koment na off data naenda mishe

  • @khadijajuma7873
    @khadijajuma7873 ปีที่แล้ว

    Mziki wa nn jamani. Dah

  • @علياحمد-د3ش2م
    @علياحمد-د3ش2م 2 ปีที่แล้ว

    Shekh mim nimemuota rais ambaye amefariki alikuja kwenye shule yake kisha akasema wajitokeze ambao hawakwenda shule mimi nikajitokea akaniongelesha kwann sijaenda shule kisha akachukua fimbo na kunichapa kidogo tu nini maana yake shukran.

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Ndoto inakutaka uzinduke, ungekuwa mwamke basi ningekwambia acha uzinifu kabisa

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MTAVASSYTvkuota uko na msanii maarufu saana mnazungumza nini maana yake shekh

  • @kuthumhamdan1043
    @kuthumhamdan1043 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalamu Alaykum shekhe mm nimeota nimekaa na raisi tunaongea kwa kunong'ona namuuliza kuhusu kazi kisha akanipa namba zake za sm nisaidie shekhe maana yake

    • @salummzee9739
      @salummzee9739 ปีที่แล้ว

      Njaaa hio ina kunyomelea uta fukarika mpk kuomba, muombe Allah akuepushe fitina hio

  • @khadijaabdallah3074
    @khadijaabdallah3074 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalam Aleykum warahmatullah wabarakatuh.shekhe Mimi nimemuona Rais kaja nyumbani tukala nae matunda nini maana yake nisaidie shekhe

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว +1

      Wa,salaamu warahmatullahi wabarakatuh, pesa hiyo au maisha yatakaa sawa kidogo

    • @khadijaabdallah3074
      @khadijaabdallah3074 2 ปีที่แล้ว

      Shukran Sana shekhe Allah akulipe kila lenye kheri In shaa Allah

    • @khadijaabdallah3074
      @khadijaabdallah3074 2 ปีที่แล้ว

      Shukran Sana shekhe Allah akulipe kila lenye kheri In shaa Allah

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      ​@@MTAVASSYTv mie nimeota queen Elizabeth kanipa pesa

  • @joanithaedsoni6987
    @joanithaedsoni6987 2 ปีที่แล้ว +1

    Mim nimemuota rais Samia akiwa kweny kundi la watu wengi ila nimepenyeza katikat ya watu nimeenda nikakumbatiana nae Kwa furaha kubwa sana tukacheka than tukaanza kuzunguka kweny majumba ya watu wengne ndoto yngu imeishia apo tafathar nisaidie

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      hapo inshaallaah mambo yako yatatimia inshaallaah

  • @adidjamusabwasoni6694
    @adidjamusabwasoni6694 ปีที่แล้ว +1

    P

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe Mimi nimeota nipo na Rais Samia suluhu Hassan tupo tunatembea tukiwa wawili tu na pia tukaenda sehemu Moja kukagua.
    Pia nilimuota hayati JPM kabla hajafa nae nilimuota tukiwa pamoja na nikawa namjibu maswali then akaniomba niende ikulu.
    Ivo hizi ni ndoto kwangu zinazojirudiarudia Sasa sifahamu maana yake ni Nini?au inahashiria Nini?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      mipango yako itahakikika inshaallaah yaani utapata mafanikio jitahidi usikate tamaa katika majambo yako so unahusudiwa lakini hautofeli

    • @smartonlinetv5144
      @smartonlinetv5144 2 ปีที่แล้ว

      Amina,
      Inshallah m/mungu azidi kuniwekea wepesi na kutimiza ndoto zangu katika maisha yangu.