Assalamu alakum yaa sheykh mashallah mashallah shukran namuomba allah akuzidishie nuur kifuani mwako pamoja na familia yako na akuhifadhini wote amiin amiin
Shukran sheykh Jee ukiota unakojowa ndani ya nyumba na watu wapo wanakuona yaani hicho choo ni kama shimo hiv ila kimejengwa halafu lina uwazi mkubwa kama wa chemba vile upana wake
Mbali na kua sijui kuandika kiswaili vizuri, lakini na kielewa vizuri sana kuasababu Mimi sio ntanzania , shekh , Mimi Nina suali, Ivi okiota unajisahidia kuenye utupu wa mwananke usiye mjua???, Mimi ni 🇲🇿
Naomba unizaidie mm nimeota ninabanwa na mkoja Ghafla huo mkojo ukatoka nikadani hakuna m2 alieniina kumbe kuna kijana ameniona akaniambia kuwa ameniona nikaibika sana na huyo kijana walikuwa ni wa nyumbani kwetu alikuwa yy na dadake Kisha tukalala na dadake pia nikakojoa kwa kitanda nikawa na aibu kubwa sana 😢😢😢
Shehe mm sikuota ila mwenzangu aliniota nimekojoa sana hadi kitanda chake kikalowa kisha nikamwambia kuwa alete maji animwagie ili aokoe maisha yangu na akaniona eti kweli hali yangu inabadilika kisha akakimbia kuleta maji akanimwagia kisha nikarejea ktk hali yangu
Me nimeota watu wengi walikuwa sehemu moja wanajisaidia haja ndogo kwenye michanga Tena ikawa inatoka nying sana mpk zikachanganyikana zote hii inamana gan
Well Done Sir, Am In Somalia I Request You To Interpret Ma Dream, Yesterday I Received A dream In Night Hours When I Was With My Fellows Walking A Leafhopper Jumped To My Head Three Times, It Wanted To Go My Fellow Dodged It Then It Came Back And To My Head And Tried Go To One Again It Fails And Come Back To My Head. Sir What Does It Mean?
@@hubbyemmanuel3267 yan acha tu kaka anaomgea vtu ambavy sisi wengin nimafumb madrasa tumesom lakin hatuwez jua yot inawez kua mtu umeot Hy mihrab alaf hujui Kam ndio Hy akikaa kmy cjui anamaanish nn😭
Asalam alykum... Mimi Leo nimeona nakojoa mikojo mingi Sana na haiishi mpaka mwenzangu akawa yuataka kuoga nikamwamba njoo uoge mmi bado nakojoa.. Gafla nkashtuka nikajipata nakojoa kitandani nikatoka mbio huku mikojo ikimwagika kitandani... Inaashiria nini
Sheikh samahani mie nimeota najisaidia haja ndogo lakin pamoja na watoto wangu wawili wakike hii itakua na tafsiri gani ila wakat huyu mtoto mdogo wakati anakojoa yeye alikua analia mno
Asalamu aleykum Shekh nimeota mdogo wngu wa kike anajisaidia sehemu ilokuwa sio sahohi kw kujisIdia afu hpa hapo akatokea mume wangu ela yule mume hajaniona mm kama nipo pembeni nikamuona mume wangu akicheke na mdogo wangu kimatani huku akizishikilia sehemu zake za siri bila kuzitowa akazitikisa Jeee nini maana ya ndoto hiyo tafadhwal
Asalam Alleykum warahma tullah Wabarakatu sheikh Vipi ukiota kua umetumbukia kwenye shimo la choo alafu ikawa kuna watu wakusaidia kutoka kwenye shimo hilo
Assalam alyekum mimi nmeota naendesha baskeli huku nibeba maziwa freshi napita sehem ambayo ina majimaji hapohapo mkojo ukanibana nikakojoa sehem kavile bafuni
Assalamu alakum yaa sheykh
mashallah mashallah
shukran namuomba allah akuzidishie nuur kifuani mwako pamoja na familia yako na akuhifadhini wote amiin amiin
Waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh. amina yaarabiy. amina yaarabiy. amina yaarabiy.
naewe pia allaah akuzidishie yalokua mazuri hapa duniani na akhera inshallaah
A/Asalàm Alaykum SJEIKH MMI NIIMEOTA NAJISAAIDIA NDANI YA GARI NA NIMESHUSHA KANZU KUJJISTIRI MAANA YAKE NINI?
Mm nimeota nimejikojolea
Shukran sheykh
Jee ukiota unakojowa ndani ya nyumba na watu wapo wanakuona yaani hicho choo ni kama shimo hiv ila kimejengwa halafu lina uwazi mkubwa kama wa chemba vile upana wake
Asalaam aleykum,mashallah Allah akizidishie elimu zaidi na akijaalie yaliyo mema hapa duniani na kesho akhera inshallah,
Asalamualeykum shekhe ukiotaunakojoanaukakojoa nakukishtukaunakuta umekojoakweli dawayakeni ipi
Asante sana sheikhe
Assalamu alaykum sheykh
Jee ukiota unakula chakula sahani.moja na sheykh jer inamasns gani
waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh
hiyo inakujulisha kupata elimu kubwa maishani na utakua maarufu kwa elimu yako
Sahihi @@nyumbayatibanadua737
Assalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh shekh ukiota unajsdia haja ndg chooni na wakt wa kujisadia umechutuma swa saw n bint mwenzk jee inaman ngni
Ulipata maana ya hii ndoto maana nami nmeota ivi ivi leo
Mm nimeota nakojoa sehem hambay siijui na mkojo urikuwa unatoka sana pia unakat naham naenda sahem nying nakuanza kukojoa ,nn Mahan yake 😊
Utapata kheri sehemu hiyo ima unyumba au riziki Inshaa Allah
Assalaam aleykum,shekhe Allah akuzidishie eilim pana, mtu akiota anapika samaki na mboga za majani
Mda mwengine hua mnalala na njaa
Asalamu alaikum Na ukiota unakojoa kitandani Na usikojoe ugututuke usingizin inamaana gani
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.shukran sana Allah barik.
Shukran sana. amina yaarabiy
A.aleikm sheikh,mimi nimeota nakojowa lakini sijui wapi najisaidia nikajikuta nakojowa kitandani, ndio nikaamka nusu nikamalizia chooni
hello umepata majibu na dawa ya ii ndoto?
Waalykum salaam warhmatulah wabarakatuh
Shukran sana
Je ukiota unakojoa kwenye shimo peke yako.alafu ukashtuka.
Asante
Shekhe mimi wanamke nimeota najisaidiya ajandogo ila mkojo mwingi sana na unanuka sasa kama yayi viza
Mbali na kua sijui kuandika kiswaili vizuri, lakini na kielewa vizuri sana kuasababu Mimi sio ntanzania , shekh , Mimi Nina suali, Ivi okiota unajisahidia kuenye utupu wa mwananke usiye mjua???, Mimi ni 🇲🇿
Mihirabu siyo wote wanajuwa ongea Kila mmoja akuelewe
😂😂😂😂😂😂
Nini maana ya kuota umevalia vazi la gunia
Maombolezo😊
Warahmatullah wabarakatu
Shukran sana
Naomba unizaidie mm nimeota ninabanwa na mkoja Ghafla huo mkojo ukatoka nikadani hakuna m2 alieniina kumbe kuna kijana ameniona akaniambia kuwa ameniona nikaibika sana na huyo kijana walikuwa ni wa nyumbani kwetu alikuwa yy na dadake
Kisha tukalala na dadake pia nikakojoa kwa kitanda nikawa na aibu kubwa sana 😢😢😢
Asalam alykum, nimeota "nimelala ndotoni na mumewangu shuka moja likawa limeloa mkojo sehem 2 lakini kidogokidogo"
Shehe mm sikuota ila mwenzangu aliniota nimekojoa sana hadi kitanda chake kikalowa kisha nikamwambia kuwa alete maji animwagie ili aokoe maisha yangu na akaniona eti kweli hali yangu inabadilika kisha akakimbia kuleta maji akanimwagia kisha nikarejea ktk hali yangu
Assalam alaikum ikiwa m2 ameota anajisaidia haja ndogo haliyakuwa Yuko kwenye mzunguko wa hedhi.
Na anajisaidia nj'e kwenye mchanga.
Niliota na osha kijana wangu na mgojo wangu kichwani
Assalam alaykum vipi hali sheikh mie naota nakojoa chooni nikishtuka najikuta kitandani kumeroa
Me nimeota watu wengi walikuwa sehemu moja wanajisaidia haja ndogo kwenye michanga Tena ikawa inatoka nying sana mpk zikachanganyikana zote hii inamana gan
Allahumma Amiiin yarab
Asamu aleikum nimeota namuona mwamke atoka akandogo
Nini manayake
Assalam aleikum sheik,m huota nakojoa n sehemu ni hiyohiyo kila nkiota
Well Done Sir, Am In Somalia I Request You To Interpret Ma Dream, Yesterday I Received A dream In Night Hours When I Was With My Fellows Walking A Leafhopper Jumped To My Head Three Times, It Wanted To Go My Fellow Dodged It Then It Came Back And To My Head And Tried Go To One Again It Fails And Come Back To My Head. Sir What Does It Mean?
Balaka llahu fiki
Amina yaarabiy. nakwako pia dadaa
Nimeota nakojoa kitandani😊
Assalam alaykum shekh ila muda mwengine ukiota unatoa haja ndogo muda mwengine unakua unatoa kwel ukiamka ushajikojolea😀
Mm yashanitokea
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂!!
Asalam, alaykum, warahamatullah,je,kwamfano,nimelala,nikamuota,baba,mzazi,nimgonjwa,aliyakua,amefariki,,,nababu,wakukulea,,amekuja,aliyakua,amefariki,pia
Assalam alaykum ostadh, nn maan ya mihrabu
Halijibug msg hum hili
@@hubbyemmanuel3267 yan acha tu kaka anaomgea vtu ambavy sisi wengin nimafumb madrasa tumesom lakin hatuwez jua yot inawez kua mtu umeot Hy mihrab alaf hujui Kam ndio Hy akikaa kmy cjui anamaanish nn😭
@@hubbyemmanuel3267 Hahaha
Mimbari ya imamu
@@fatumamwaveso247😂😂😂😂😂😂
shukurani , Na jee ukiota mtoto kakukojolea mwili mzima, inamaa gani
Walaikum msalam warahmatullah wabarakatul
Je ukiota upo shule na ushamaliza kama miaka 10 iliyopita nn maana yake
Unarudishwa nyuma kimaendeleo na wachawi
@@mtumwamtoo3199 mimi naiota sana yani kila mwezi lazima niote mara moja au mbili nipo darasani yani nimechoka kweli
Asalam alykum... Mimi Leo nimeona nakojoa mikojo mingi Sana na haiishi mpaka mwenzangu akawa yuataka kuoga nikamwamba njoo uoge mmi bado nakojoa.. Gafla nkashtuka nikajipata nakojoa kitandani nikatoka mbio huku mikojo ikimwagika kitandani... Inaashiria nini
WW NI KIKOJOZI
Sheikh samahani mie nimeota najisaidia haja ndogo lakin pamoja na watoto wangu wawili wakike hii itakua na tafsiri gani ila wakat huyu mtoto mdogo wakati anakojoa yeye alikua analia mno
Allah humaa amiina
Asalaam aleykum,Shekh na mtu akiota anaona matundu ya choo na anajisaidia je njozi hii yamaanisha nn
HYO NIMICHONGO YA KAZI ZINAKUANDAMA
Mm nimeota mwenzangu anakojoa chini lkn namm mkojo wake ukanimwagikia mkonon kwangu wa kulia, nn maana yke shekh
Shekhe mm nimeota nimempakata mtot wa kiume uku akiwa ananikojolea
Asalam alaykum shekhe naulza mihrabu nn
Namimi nataka kujua Nini maana ya mihrab
Kwenye mimbari ya imamu
Asalam alyk sheikh mm nmeota haja ndogo ndani mwangu nilpo maliza nikaifuta nn maana yake?
Subhanallah
Asalamu aleykum
Shekh nimeota mdogo wngu wa kike anajisaidia sehemu ilokuwa sio sahohi kw kujisIdia afu hpa hapo akatokea mume wangu ela yule mume hajaniona mm kama nipo pembeni nikamuona mume wangu akicheke na mdogo wangu kimatani huku akizishikilia sehemu zake za siri bila kuzitowa akazitikisa
Jeee nini maana ya ndoto hiyo tafadhwal
Waalaykumussalam warahmatullahi wabarakatuh
Shukran
Asalam aleykum shekh.. Nauliza jee mtu akiota yuwakojoa chooni.. Ila Choo hicho kimejaa haja kubwaa hadi yuwaiona
Umepata maana ya hii ndoto jaman
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh.ukiota unakojoa mlangoni Kisha ukagundua Kuna watoto wanakuona Na mmoja yupo amechutama zizini yuamkama ng'ombe maziwa .Ina maanisha Nini?
Amiina yaarabbi
Ahsant sana
Aslm alkm jehukiota unakojoa ndani ya nyumba chumbani na umeinua godoro na hiyo haja ndogo inatoka ndefu
Waalykum sallaam warahmatullahi wabarakatuh shukuran
Shukran sana
Kukojoa kwenye bahari
Shiekh mi nishaota najisaidiya haja ndogo na Nimeolewa Maana yake Nini?
Shekhe nime ota mwana mke mtumzima anaji saidia kwenye unga
Asalamwa laiku shehe nimeota mtoto wangu kajikojolaa nini maana yake
Kuota unaona . Mwanaume anakojoa
Nimeota najisaidia haja ndogo nyingi sana ila jikoni je Ina maana gani hiyo ndoto shekhe
Shekhe ukiota umekunya yai na ww ni mwanamke,ina maana gani
Asalam Alleykum warahma tullah Wabarakatu sheikh
Vipi ukiota kua umetumbukia kwenye shimo la choo alafu ikawa kuna watu wakusaidia kutoka kwenye shimo hilo
Hii nami naiota sana
Mimi nimeota jirani Yangu kakojolea kibakuli changu ,chombo cha Kulia nini maana yake
Aslkm she.tufafanulie vizuri mtu akiota ni ndoto mbili.kujisaidia kwenye kitanda na chooni.lkn sio vitu unavyouza kweli labda lkn sizani
Mimi nimeota na kojoa sebleni
Kuota umesimama unkojoa mkojo kwenye shimo lililojaa haja kubwa kwa maana chooni alafu unamilza unalala hapo hapo
Sheikh uwe unatafsiri hayo maneno ya kiarabu. Mfano umesema mihrab ila sijaelewa
Mimbarini
Mihirabu nini shekhe
mihirabu ni nini sijaelewa
Je ukiota umemaliza Yani umepizi na unajikuta umepizi kweli maana yake nini
maana yake ww nikikojozi
Shekhe nimeota mtu kanikojolea mkojo njian nn maana yake
Milihabu ndio nini?
Lakini Ukiwa ni wanamuke anajisaidia ajandogo na ni damu
Maana yake nini?
As alaykum sheikh, mtu akipta anajisaodia jhaja ndogo katika choo ila ni maeneo ya kazini kwake je?
me niliota nimekojoa lkn nikaamka nimekojoa kwel kwenye godoro nn maana yake hii
Shehe me nimeota mtoto anakojoa lakini mikojo ikanirukia nikamwambia anitie maji aliponitya mikojo
Mihrabe maan yak nnn
Ukiot unakojoa kitandan usingizini maana yake nini
Mh kweli ndoto ya kukojoa nyoka au samaki sizani kama ipo
Ipo
Ha ha ha kumbeee Nukta ya 13😁😁😁
Inanini hiyo nukta
Hata mie nimeiyona 😂😂😂😂😂😂
Je tafsiri yake ni vipi ?
Shehe ukiota kanisa manaake nin
D
Mini maanayakumuota mtu amelewa pombe
Ukiota farasi amekufa alafu akafufuka ametiwa roho yake
Nini ni maana yake
Naje ukiota unaokotahela
Je ukiota wafanya aja ndogo jaani
Sheikh pole watowa tafsiri ya ndoto. .lakini muhimu utowe dalil katika quraan tukufu au hadith za mtume Sallah Allahu Allehi Wasalam..Shukran
Assalam alyekum mimi nmeota naendesha baskeli huku nibeba maziwa freshi napita sehem ambayo ina majimaji hapohapo mkojo ukanibana nikakojoa sehem kavile bafuni
D