UKIOTA UNAKOJOA NDOTONI | NUKTA 27 ZA NDOTO NA TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • UKIOTA UNAKOJOA NDOTONI | NUKTA 27 ZA NDOTO NA TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
    #MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NdotoKukojoa

ความคิดเห็น • 135

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 ปีที่แล้ว +13

    Assalamu alakum yaa sheykh
    mashallah mashallah
    shukran namuomba allah akuzidishie nuur kifuani mwako pamoja na familia yako na akuhifadhini wote amiin amiin

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 ปีที่แล้ว

      Waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh. amina yaarabiy. amina yaarabiy. amina yaarabiy.
      naewe pia allaah akuzidishie yalokua mazuri hapa duniani na akhera inshallaah

    • @yusrahmachano6741
      @yusrahmachano6741 4 ปีที่แล้ว

      A/Asalàm Alaykum SJEIKH MMI NIIMEOTA NAJISAAIDIA NDANI YA GARI NA NIMESHUSHA KANZU KUJJISTIRI MAANA YAKE NINI?

    • @TessaTz
      @TessaTz ปีที่แล้ว

      Mm nimeota nimejikojolea

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 ปีที่แล้ว +3

    Shukran sheykh
    Jee ukiota unakojowa ndani ya nyumba na watu wapo wanakuona yaani hicho choo ni kama shimo hiv ila kimejengwa halafu lina uwazi mkubwa kama wa chemba vile upana wake

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 3 ปีที่แล้ว +2

    Asalaam aleykum,mashallah Allah akizidishie elimu zaidi na akijaalie yaliyo mema hapa duniani na kesho akhera inshallah,

  • @MwajumaOmary-v1r
    @MwajumaOmary-v1r ปีที่แล้ว +1

    Asalamualeykum shekhe ukiotaunakojoanaukakojoa nakukishtukaunakuta umekojoakweli dawayakeni ipi

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق ปีที่แล้ว

    Asante sana sheikhe

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 ปีที่แล้ว +1

    Assalamu alaykum sheykh
    Jee ukiota unakula chakula sahani.moja na sheykh jer inamasns gani

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 ปีที่แล้ว

      waalaykum salaam warahmatu llaah wabarakatuh
      hiyo inakujulisha kupata elimu kubwa maishani na utakua maarufu kwa elimu yako

    • @salimawishenga7588
      @salimawishenga7588 2 วันที่ผ่านมา

      Sahihi ​@@nyumbayatibanadua737

  • @cuteree1729
    @cuteree1729 2 ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh shekh ukiota unajsdia haja ndg chooni na wakt wa kujisadia umechutuma swa saw n bint mwenzk jee inaman ngni

    • @shalonbufabusha4535
      @shalonbufabusha4535 2 ปีที่แล้ว

      Ulipata maana ya hii ndoto maana nami nmeota ivi ivi leo

  • @aishaadam-xp7yl
    @aishaadam-xp7yl 2 หลายเดือนก่อน

    Mm nimeota nakojoa sehem hambay siijui na mkojo urikuwa unatoka sana pia unakat naham naenda sahem nying nakuanza kukojoa ,nn Mahan yake 😊

    • @salimawishenga7588
      @salimawishenga7588 2 วันที่ผ่านมา

      Utapata kheri sehemu hiyo ima unyumba au riziki Inshaa Allah

  • @ummusuleiman9404
    @ummusuleiman9404 4 ปีที่แล้ว +2

    Assalaam aleykum,shekhe Allah akuzidishie eilim pana, mtu akiota anapika samaki na mboga za majani

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 วันที่ผ่านมา

      Mda mwengine hua mnalala na njaa

  • @NajmaWendo
    @NajmaWendo 5 หลายเดือนก่อน

    Asalamu alaikum Na ukiota unakojoa kitandani Na usikojoe ugututuke usingizin inamaana gani

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 4 ปีที่แล้ว +5

    Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.shukran sana Allah barik.

  • @swafiaabdalla3897
    @swafiaabdalla3897 2 ปีที่แล้ว +3

    A.aleikm sheikh,mimi nimeota nakojowa lakini sijui wapi najisaidia nikajikuta nakojowa kitandani, ndio nikaamka nusu nikamalizia chooni

    • @lee-qo9ne
      @lee-qo9ne 11 หลายเดือนก่อน

      hello umepata majibu na dawa ya ii ndoto?

  • @mwanaidyibrahimu8861
    @mwanaidyibrahimu8861 4 ปีที่แล้ว +3

    Waalykum salaam warhmatulah wabarakatuh

  • @sisterttrouble4331
    @sisterttrouble4331 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @HedayaCorwa
    @HedayaCorwa 2 หลายเดือนก่อน

    Shekhe mimi wanamke nimeota najisaidiya ajandogo ila mkojo mwingi sana na unanuka sasa kama yayi viza

  • @salimosalimizyimo
    @salimosalimizyimo 2 ปีที่แล้ว

    Mbali na kua sijui kuandika kiswaili vizuri, lakini na kielewa vizuri sana kuasababu Mimi sio ntanzania , shekh , Mimi Nina suali, Ivi okiota unajisahidia kuenye utupu wa mwananke usiye mjua???, Mimi ni 🇲🇿

  • @athumanimihayo7100
    @athumanimihayo7100 ปีที่แล้ว +2

    Mihirabu siyo wote wanajuwa ongea Kila mmoja akuelewe

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @marionnthenya6182
    @marionnthenya6182 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nini maana ya kuota umevalia vazi la gunia

    • @maryjohn3651
      @maryjohn3651 10 หลายเดือนก่อน

      Maombolezo😊

  • @ameenabh3327
    @ameenabh3327 4 ปีที่แล้ว +1

    Warahmatullah wabarakatu

  • @leydaihal9332
    @leydaihal9332 ปีที่แล้ว

    Naomba unizaidie mm nimeota ninabanwa na mkoja Ghafla huo mkojo ukatoka nikadani hakuna m2 alieniina kumbe kuna kijana ameniona akaniambia kuwa ameniona nikaibika sana na huyo kijana walikuwa ni wa nyumbani kwetu alikuwa yy na dadake
    Kisha tukalala na dadake pia nikakojoa kwa kitanda nikawa na aibu kubwa sana 😢😢😢

  • @hajraernest1562
    @hajraernest1562 3 ปีที่แล้ว

    Asalam alykum, nimeota "nimelala ndotoni na mumewangu shuka moja likawa limeloa mkojo sehem 2 lakini kidogokidogo"

  • @sakinabakari9813
    @sakinabakari9813 4 ปีที่แล้ว

    Shehe mm sikuota ila mwenzangu aliniota nimekojoa sana hadi kitanda chake kikalowa kisha nikamwambia kuwa alete maji animwagie ili aokoe maisha yangu na akaniona eti kweli hali yangu inabadilika kisha akakimbia kuleta maji akanimwagia kisha nikarejea ktk hali yangu

  • @MwajumaMrisho-mw1pr
    @MwajumaMrisho-mw1pr ปีที่แล้ว

    Assalam alaikum ikiwa m2 ameota anajisaidia haja ndogo haliyakuwa Yuko kwenye mzunguko wa hedhi.
    Na anajisaidia nj'e kwenye mchanga.

  • @teresiakaluki7988
    @teresiakaluki7988 2 ปีที่แล้ว

    Niliota na osha kijana wangu na mgojo wangu kichwani

  • @fatmamussa5353
    @fatmamussa5353 2 ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum vipi hali sheikh mie naota nakojoa chooni nikishtuka najikuta kitandani kumeroa

  • @jamilaadamu5503
    @jamilaadamu5503 3 ปีที่แล้ว

    Me nimeota watu wengi walikuwa sehemu moja wanajisaidia haja ndogo kwenye michanga Tena ikawa inatoka nying sana mpk zikachanganyikana zote hii inamana gan

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق ปีที่แล้ว

    Allahumma Amiiin yarab

  • @elinazakyoma9898
    @elinazakyoma9898 4 ปีที่แล้ว

    Asamu aleikum nimeota namuona mwamke atoka akandogo

  • @mariamnyadzua6185
    @mariamnyadzua6185 3 ปีที่แล้ว

    Assalam aleikum sheik,m huota nakojoa n sehemu ni hiyohiyo kila nkiota

  • @sireliabasiimwe5826
    @sireliabasiimwe5826 4 ปีที่แล้ว +3

    Well Done Sir, Am In Somalia I Request You To Interpret Ma Dream, Yesterday I Received A dream In Night Hours When I Was With My Fellows Walking A Leafhopper Jumped To My Head Three Times, It Wanted To Go My Fellow Dodged It Then It Came Back And To My Head And Tried Go To One Again It Fails And Come Back To My Head. Sir What Does It Mean?

  • @ashurar2721
    @ashurar2721 4 ปีที่แล้ว +3

    Balaka llahu fiki

  • @MargaretKabibi
    @MargaretKabibi 10 หลายเดือนก่อน

    Nimeota nakojoa kitandani😊

  • @selemannassor7605
    @selemannassor7605 4 ปีที่แล้ว +2

    Assalam alaykum shekh ila muda mwengine ukiota unatoa haja ndogo muda mwengine unakua unatoa kwel ukiamka ushajikojolea😀

  • @mwanakombokingi4967
    @mwanakombokingi4967 2 ปีที่แล้ว

    Asalam, alaykum, warahamatullah,je,kwamfano,nimelala,nikamuota,baba,mzazi,nimgonjwa,aliyakua,amefariki,,,nababu,wakukulea,,amekuja,aliyakua,amefariki,pia

  • @fatumamwaveso247
    @fatumamwaveso247 3 ปีที่แล้ว +2

    Assalam alaykum ostadh, nn maan ya mihrabu

    • @hubbyemmanuel3267
      @hubbyemmanuel3267 3 ปีที่แล้ว +1

      Halijibug msg hum hili

    • @fatumamwaveso247
      @fatumamwaveso247 3 ปีที่แล้ว +1

      @@hubbyemmanuel3267 yan acha tu kaka anaomgea vtu ambavy sisi wengin nimafumb madrasa tumesom lakin hatuwez jua yot inawez kua mtu umeot Hy mihrab alaf hujui Kam ndio Hy akikaa kmy cjui anamaanish nn😭

    • @nyamwinukankwera3749
      @nyamwinukankwera3749 3 ปีที่แล้ว

      @@hubbyemmanuel3267 Hahaha

    • @AlissaHussei
      @AlissaHussei ปีที่แล้ว

      Mimbari ya imamu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw หลายเดือนก่อน

      ​@@fatumamwaveso247😂😂😂😂😂😂

  • @محمدسالم-ظ2ف
    @محمدسالم-ظ2ف 4 ปีที่แล้ว

    shukurani , Na jee ukiota mtoto kakukojolea mwili mzima, inamaa gani

  • @nailatanzania7376
    @nailatanzania7376 4 ปีที่แล้ว +2

    Walaikum msalam warahmatullah wabarakatul
    Je ukiota upo shule na ushamaliza kama miaka 10 iliyopita nn maana yake

    • @mtumwamtoo3199
      @mtumwamtoo3199 4 ปีที่แล้ว

      Unarudishwa nyuma kimaendeleo na wachawi

    • @sweetmeena5970
      @sweetmeena5970 4 ปีที่แล้ว

      @@mtumwamtoo3199 mimi naiota sana yani kila mwezi lazima niote mara moja au mbili nipo darasani yani nimechoka kweli

  • @tinaagnes2301
    @tinaagnes2301 3 ปีที่แล้ว

    Asalam alykum... Mimi Leo nimeona nakojoa mikojo mingi Sana na haiishi mpaka mwenzangu akawa yuataka kuoga nikamwamba njoo uoge mmi bado nakojoa.. Gafla nkashtuka nikajipata nakojoa kitandani nikatoka mbio huku mikojo ikimwagika kitandani... Inaashiria nini

    • @ramadragon
      @ramadragon ปีที่แล้ว

      WW NI KIKOJOZI

  • @magrethadam9467
    @magrethadam9467 ปีที่แล้ว

    Sheikh samahani mie nimeota najisaidia haja ndogo lakin pamoja na watoto wangu wawili wakike hii itakua na tafsiri gani ila wakat huyu mtoto mdogo wakati anakojoa yeye alikua analia mno

  • @asiakibali1253
    @asiakibali1253 3 ปีที่แล้ว

    Allah humaa amiina

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 3 ปีที่แล้ว +4

    Asalaam aleykum,Shekh na mtu akiota anaona matundu ya choo na anajisaidia je njozi hii yamaanisha nn

    • @ramadragon
      @ramadragon ปีที่แล้ว

      HYO NIMICHONGO YA KAZI ZINAKUANDAMA

  • @kidotitv5527
    @kidotitv5527 3 ปีที่แล้ว

    Mm nimeota mwenzangu anakojoa chini lkn namm mkojo wake ukanimwagikia mkonon kwangu wa kulia, nn maana yke shekh

  • @smsalama6540
    @smsalama6540 4 ปีที่แล้ว

    Shekhe mm nimeota nimempakata mtot wa kiume uku akiwa ananikojolea

  • @dab8859
    @dab8859 4 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alaykum shekhe naulza mihrabu nn

    • @WachajiWaForo
      @WachajiWaForo 3 ปีที่แล้ว

      Namimi nataka kujua Nini maana ya mihrab

    • @AlissaHussei
      @AlissaHussei ปีที่แล้ว

      Kwenye mimbari ya imamu

  • @pilimlenge1289
    @pilimlenge1289 ปีที่แล้ว

    Asalam alyk sheikh mm nmeota haja ndogo ndani mwangu nilpo maliza nikaifuta nn maana yake?

  • @stamilinsogolwa6979
    @stamilinsogolwa6979 4 ปีที่แล้ว

    Subhanallah

  • @shufaamakame5839
    @shufaamakame5839 2 ปีที่แล้ว

    Asalamu aleykum
    Shekh nimeota mdogo wngu wa kike anajisaidia sehemu ilokuwa sio sahohi kw kujisIdia afu hpa hapo akatokea mume wangu ela yule mume hajaniona mm kama nipo pembeni nikamuona mume wangu akicheke na mdogo wangu kimatani huku akizishikilia sehemu zake za siri bila kuzitowa akazitikisa
    Jeee nini maana ya ndoto hiyo tafadhwal

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 ปีที่แล้ว +1

    Waalaykumussalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @princessattush1145
    @princessattush1145 3 ปีที่แล้ว

    Asalam aleykum shekh.. Nauliza jee mtu akiota yuwakojoa chooni.. Ila Choo hicho kimejaa haja kubwaa hadi yuwaiona

  • @zenahhussein9318
    @zenahhussein9318 3 ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh.ukiota unakojoa mlangoni Kisha ukagundua Kuna watoto wanakuona Na mmoja yupo amechutama zizini yuamkama ng'ombe maziwa .Ina maanisha Nini?

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 ปีที่แล้ว +1

    Amiina yaarabbi

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 ปีที่แล้ว

    Aslm alkm jehukiota unakojoa ndani ya nyumba chumbani na umeinua godoro na hiyo haja ndogo inatoka ndefu

  • @ااجج-ط5د
    @ااجج-ط5د 4 ปีที่แล้ว +2

    Waalykum sallaam warahmatullahi wabarakatuh shukuran

  • @osinyoruth2769
    @osinyoruth2769 ปีที่แล้ว

    Kukojoa kwenye bahari

  • @ashahussein2734
    @ashahussein2734 2 ปีที่แล้ว

    Shiekh mi nishaota najisaidiya haja ndogo na Nimeolewa Maana yake Nini?

  • @halimagumbo7208
    @halimagumbo7208 3 ปีที่แล้ว

    Shekhe nime ota mwana mke mtumzima anaji saidia kwenye unga

  • @joharishabani8452
    @joharishabani8452 3 ปีที่แล้ว

    Asalamwa laiku shehe nimeota mtoto wangu kajikojolaa nini maana yake

  • @josephinenasimiyu2887
    @josephinenasimiyu2887 11 หลายเดือนก่อน

    Kuota unaona . Mwanaume anakojoa

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 6 หลายเดือนก่อน

    Nimeota najisaidia haja ndogo nyingi sana ila jikoni je Ina maana gani hiyo ndoto shekhe

  • @FatmaTalib-eb9ex
    @FatmaTalib-eb9ex ปีที่แล้ว

    Shekhe ukiota umekunya yai na ww ni mwanamke,ina maana gani

  • @zayoumaus8235
    @zayoumaus8235 4 ปีที่แล้ว

    Asalam Alleykum warahma tullah Wabarakatu sheikh
    Vipi ukiota kua umetumbukia kwenye shimo la choo alafu ikawa kuna watu wakusaidia kutoka kwenye shimo hilo

  • @veronicapeter1269
    @veronicapeter1269 ปีที่แล้ว

    Mimi nimeota jirani Yangu kakojolea kibakuli changu ,chombo cha Kulia nini maana yake

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 4 ปีที่แล้ว

    Aslkm she.tufafanulie vizuri mtu akiota ni ndoto mbili.kujisaidia kwenye kitanda na chooni.lkn sio vitu unavyouza kweli labda lkn sizani

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 ปีที่แล้ว

    Mimi nimeota na kojoa sebleni

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 3 ปีที่แล้ว

    Kuota umesimama unkojoa mkojo kwenye shimo lililojaa haja kubwa kwa maana chooni alafu unamilza unalala hapo hapo

  • @muniranassor9015
    @muniranassor9015 2 ปีที่แล้ว

    Sheikh uwe unatafsiri hayo maneno ya kiarabu. Mfano umesema mihrab ila sijaelewa

  • @zolle2200
    @zolle2200 ปีที่แล้ว

    Mihirabu nini shekhe

    • @zolle2200
      @zolle2200 ปีที่แล้ว

      mihirabu ni nini sijaelewa

  • @tausiathumani9408
    @tausiathumani9408 3 ปีที่แล้ว

    Je ukiota umemaliza Yani umepizi na unajikuta umepizi kweli maana yake nini

    • @ramadragon
      @ramadragon ปีที่แล้ว

      maana yake ww nikikojozi

  • @SaidKhalifa-mh5cn
    @SaidKhalifa-mh5cn 9 หลายเดือนก่อน

    Shekhe nimeota mtu kanikojolea mkojo njian nn maana yake

  • @jumamwilola3341
    @jumamwilola3341 2 ปีที่แล้ว

    Milihabu ndio nini?

  • @KisubiLesage-z9g
    @KisubiLesage-z9g 6 หลายเดือนก่อน

    Lakini Ukiwa ni wanamuke anajisaidia ajandogo na ni damu

  • @mafundaomarmakame8795
    @mafundaomarmakame8795 4 ปีที่แล้ว

    As alaykum sheikh, mtu akipta anajisaodia jhaja ndogo katika choo ila ni maeneo ya kazini kwake je?

  • @menginasma1479
    @menginasma1479 2 ปีที่แล้ว

    me niliota nimekojoa lkn nikaamka nimekojoa kwel kwenye godoro nn maana yake hii

  • @khuzaimathussein2813
    @khuzaimathussein2813 4 ปีที่แล้ว

    Shehe me nimeota mtoto anakojoa lakini mikojo ikanirukia nikamwambia anitie maji aliponitya mikojo

  • @asianurdin871
    @asianurdin871 2 ปีที่แล้ว

    Mihrabe maan yak nnn

  • @aminashabani9893
    @aminashabani9893 ปีที่แล้ว

    Ukiot unakojoa kitandan usingizini maana yake nini

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 3 ปีที่แล้ว

    Mh kweli ndoto ya kukojoa nyoka au samaki sizani kama ipo

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 ปีที่แล้ว +2

    Ha ha ha kumbeee Nukta ya 13😁😁😁

  • @swafiaabdalla3897
    @swafiaabdalla3897 2 ปีที่แล้ว

    Je tafsiri yake ni vipi ?

  • @robertnyelele9896
    @robertnyelele9896 3 ปีที่แล้ว

    Shehe ukiota kanisa manaake nin

  • @piterkosimasi6348
    @piterkosimasi6348 4 ปีที่แล้ว

    D

  • @magaombwana9397
    @magaombwana9397 2 ปีที่แล้ว

    Mini maanayakumuota mtu amelewa pombe

  • @mamsmariam6670
    @mamsmariam6670 3 ปีที่แล้ว

    Ukiota farasi amekufa alafu akafufuka ametiwa roho yake

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 ปีที่แล้ว

    Nini ni maana yake

  • @zakiaisangyo804
    @zakiaisangyo804 4 ปีที่แล้ว

    Naje ukiota unaokotahela

  • @فاطمهكينيا-ق4س
    @فاطمهكينيا-ق4س 4 ปีที่แล้ว

    Je ukiota wafanya aja ndogo jaani

    • @Naam3616
      @Naam3616 4 ปีที่แล้ว

      Sheikh pole watowa tafsiri ya ndoto. .lakini muhimu utowe dalil katika quraan tukufu au hadith za mtume Sallah Allahu Allehi Wasalam..Shukran

    • @batulimwammed2979
      @batulimwammed2979 4 ปีที่แล้ว

      Assalam alyekum mimi nmeota naendesha baskeli huku nibeba maziwa freshi napita sehem ambayo ina majimaji hapohapo mkojo ukanibana nikakojoa sehem kavile bafuni

  • @piterkosimasi6348
    @piterkosimasi6348 4 ปีที่แล้ว

    D