Msifatishe hizi maana za ndoto mtakosa amani ya maisha hata Kama Ni ukweli..kikubwa ukiota ndoto mbaya muombe Allah akuepushe na Hilo balaa na ukiota ndoto nzuri mshukuru Allah (s.w)
sawa ndugu yangu sio ndoto zote unaweza kutangaza kwani si vizur kwa ilie ota , kama ndoto ni nzuri usimwanbie mtu kama mbaya na ukashtuka amka na kumlani shetan na kutema mara 3 kulia na kushoto alafu geuka upande wa pili ,shukran.
Asalaam alaykum naomba tafsiri ya hii ndoto nimelala nimeota imekuja radi kubwa sana baada ya hp ardh ikachanika ikawa nyekundu na kiama kikawa mm nalia na kuomba dua na kujiuliza mm nitakuwa katika kundi lipi natetemeka na nguv sina na watu wanapiga kelele na kuku zikipiga kelele nilivoamka nilistuka sana na moyo wnitetema
Sasa tupe dalili katika Quran ama sunnah kwa utabiri wako kama uloyasema ni tafsiri ya kweli. Sijaskia dalili hata moja kama ulotabiri imethibitishwa na Quran ama sunnah
Shekh ni kweli ulio sema mimi ni mzaliwa wa pemba siku moja usingizi ni nilota napaa kwenye eneo lenye milima mirefu iliopitiwa na nyaya za umeme nilipata uhamisho wa kikazi kutoka zanzibar mpaka mkoa wa Manyara wilaya ya Mbulu na yote niliota niliyaona
mm napenda kuwakumbusha tunaoandıka neno ma sha Allah napenda tuandke kwa kuachanisha ndıgu zangun yaan *MAA SHAA ALLAH* maa Sha Allah ma sha Allah ( sio mashallah) n makosa !
Mimi ndio ndoto zangu hizo lakini ni Kama flight Kama Ndege vile Kama helpcopter na maji naona chini bahari na milima na manyumba na hua natamani nisiamke ni ndoto nzuri ajabu saana
@@miryamsultannsultann5245 hapa hapa ndo sahihi pa kumzungumzia YESU, wewe kama nani utoe order kwangu. Yesu ndo jibu la ndoto za giza na majini, hahahaaaaaaa hahaaaaaaa YESU huyu jamani hatari sana
@@miryamsultannsultann5245 sehemu ya kumtaja YESU ni mpaka ndani ya moyo wako, nashukuru sikio lako limesikia habari za YESU na macho yameona jina lake YESU likiandikwa hapa
Sheikh me naona nakimbizwa huyo mtu namuona ila simjui lakini nakimbia nasimama naanza kusoma ayatu kurusiyu namwisho wasiku anapote .....njozi hiyo inamaana gani nanaota kila siku.nikianza kuota lazima nisome kwenye ndoto
Sheikh naomba kuuliza ukiota unapewa heshima kubwa na watu wanakuheshimu ila uku ww yani hakuna cheo chochote na at kwenu akuna kiongozi wa serikali mpo tu tu je maana yake nn?
A.a. asante sana kwa mafunzo yake sheikh, nakuwombeya heri wewe na familia. Nawomba usaidizi wako, mim nimewota nakaribiwa nawatu ambawo ni haghalifu nika amuwa niruke toka pale chini kwa kichwa juu migu chini bila mabawa nikafikia nuymba ya kwanza, badae nikaowona nikaribu nikarikuwa tena miguu chini kichwa juu nikapandisha sana kwenye gorofa mrefu sana. Kutokana na utafsiri wako sijajiweka mahala pake ndotoni. Tafadhali naomba kusaidiwa. Jina langu ni Rangmy Ridua From Mozambique
Maashaallah hii ndoto ya kuruka nakutua kilele cha mlima huwa ninaota lkn sijui na sikumbuki pia nn maana yake ila nashukuru kuijua Allah ndiyo mjuaji zaidi
Msafiri Afraha hapana sikuwa usingizini,wakati mwingine nakuwa nimeshika simu naangalia kitu,ghafla napata bumbuazi flani na hapo najikuta nipo nje juu,naona taa zote zipo chini mimi juu.
Ni hatar siku wawez paa kwa stail hiy ukaenda mbal ukapotelea uko mwil uliobak watu wakajua umefarik wakakuzik wngn huw inasemekan wamefia usingzn kwahy ajitahd kuizuia hiy hal isizoee kumtokea mara kwa mara
Mi naomba kuuliza shekh mi nakuwa naota nakimbizwa na watu wabaya nakuwa sina jinsi na yule mtu mbaya yupo karibu bas katika ndoto naruka ili kumkimbia tena nahisi naruka kabisa hii inamaana gani
Mniambie na mima jamani tafsiri ya hii ndoto ambayo ishanijia matatu nishawai kuota ndoto nikiwa nimeziokota diamond nikaziweka mfukoni zikiwa zinatupa mwanga mzito mpaka mwenyewe kwenye ndoto huko nakua na shindwa zuiya hiyo mwanga
Mh mitihani nipo omani niliota nimeruka juu ya ukuta natembea nyumba ya bosi mbele NIKAONA mtu kakaa juu ya ukuta akachinjwa nyuma ya shingo mm nikageuza nikiludi huku natembea juu ya huo ukuta nikachupa nikastuka
Mashaallah sheikh.mm nilikua naota hii ndoto ya kuruka tokea nikiwa mdgo sana nikimsimulia nyanyangu akaniambia kama ulivyo ileza sheikh na nikweli imekuja tokea sasa hvu nkiwa mtu mzima..shukran sheikh
A.a,n jee ukipaa n kuwe n vivuli upande wa kulia kivuli n wakushoto kivuli,vinapaa sambamba n ww yaan n vitu visovyoonekan lkn nkisema vivuli utanielewa kwa haraka, inaashiria nn shekhe?
Mm nimeota naruka angani kwa kupepesa mikono yangu mwenyewe Kama mabawa na wkt naruka nikakutana na nyoka akanirukia kwa lengo la kunidhuru nikampga akarud chini then nikatua kijjni kwetu
@Msafiri Afraha Assalam Alaikhum, mala ingine naota nko Kati Kati y msitu au zizi la wanyama wote wakali ksoro nyoka wnacheza nao Simba , kifaru n wngine mala ingine naota maraisi wengi Nchi tafauti wazungu n waswahili n mala nyingi nmuota magufuli annipa no ya cm
Mbona me namewah ota napaa kichwa juu miguu chin huku nimevaa nguo nyeupe inang'aa alafu naachiliaa km nguv Kwa watu walio chini,,,hii inaamaana Gani et shekhe
Shekh naomba unitafsirie maana yandoto unatoka nyumbani eiza kwausalama au umegombana namume wako alafu wakati unataka kurudi nyumba yako unaitafuta lakini hauoni au unaweza kupotea kabisa wakati unaitafuta nyumba yako hii ndoto huwainanisumbua mara kwa mara hebu nisaidie tafadhal
Nimeelewa lkn natamani kujua na mimi tafsiri ya ndoto yangu nimeota ninapaa nipo barabaran ila nikiwa huko juu nakimbia na mtu ananikimbizia yeye yupo na baiskeli kawaida na ni mwanaume
Shukrani sheikh, je inakuaje ukiota unapaa lkn ukiwa umeshikilia kitu kikubwa juu na nyuma yako unafuatwa na watu wengine wanapaa mnatua nchi nyingine sehemu ya starehe mnakusanya ela kwa watu alafu mnapaa tena kwa kujigamba inakuwa na maana gani?
Msifatishe hizi maana za ndoto mtakosa amani ya maisha hata Kama Ni ukweli..kikubwa ukiota ndoto mbaya muombe Allah akuepushe na Hilo balaa na ukiota ndoto nzuri mshukuru Allah (s.w)
😁😁😁
Nkwer
Ukweli kabisaa...
Kbs
sawa ndugu yangu sio ndoto zote unaweza kutangaza kwani si vizur kwa ilie ota , kama ndoto ni nzuri usimwanbie mtu kama mbaya na ukashtuka amka na kumlani shetan na kutema mara 3 kulia na kushoto alafu geuka upande wa pili ,shukran.
mimi naotaga nipo shule tu kila xiku
Hata nn sijui inamaanisha nn
Wachawi wanakurudisha nyuma kimaendeleo ndoto mbaya xana iyo
Ata mm ivo ivo
@@jamiestan7280 mungu wangu mmmh,nifanyeje my dear
Muombe mungu akuepushe na hyo ndoto wachawi wanaziba mianya ya mafanikio yakoo
Asalaam alaykum naomba tafsiri ya hii ndoto nimelala nimeota imekuja radi kubwa sana baada ya hp ardh ikachanika ikawa nyekundu na kiama kikawa mm nalia na kuomba dua na kujiuliza mm nitakuwa katika kundi lipi natetemeka na nguv sina na watu wanapiga kelele na kuku zikipiga kelele nilivoamka nilistuka sana na moyo wnitetema
Namm naota sana ndoto za hivyo mwisho leo lakini Hua naota wakati nikilala sana rabda sambili asubuh nikiwa bado nimelala
@@sikudhan3378 ni makumbusho hayo uamke umuabudu allah
Fanya sana ibada . Yaonekana Kuna madhambi unayafanya ambayo mungu hayapendi
Mimi huwa naota napaa huku nakimbia hewani, ina maana gani? Na nyingne naota huku nakimbizwa
Asee ata mm sana
Sasa tupe dalili katika Quran ama sunnah kwa utabiri wako kama uloyasema ni tafsiri ya kweli. Sijaskia dalili hata moja kama ulotabiri imethibitishwa na Quran ama sunnah
Kabisa
Namba tunaomba
Shekh ni kweli ulio sema mimi ni mzaliwa wa pemba siku moja usingizi ni nilota napaa kwenye eneo lenye milima mirefu iliopitiwa na nyaya za umeme nilipata uhamisho wa kikazi kutoka zanzibar mpaka mkoa wa Manyara wilaya ya Mbulu na yote niliota niliyaona
Bwana yesu asifiwe shikh umejifunza wapi elimu ya Ndoto maana sijakuelewa %85
mm napenda kuwakumbusha tunaoandıka neno ma sha Allah
napenda tuandke kwa kuachanisha ndıgu zangun yaan
*MAA SHAA ALLAH*
maa Sha Allah
ma sha Allah
( sio mashallah) n makosa !
shukran
kwa kwa kutukumbusha
Haha twaibu
Maa Shaa allah
Asante twaibu
He Kama unakimbizwa alafu katika kukimbia unajikuta unapaa nini maana yake
Asalam alaykum th-cam.com/video/P2cXoTn6QwM/w-d-xo.html jifunze kutengeneza visheti laini amazing😉 (vikokoto)
..safi..
Niliota niliwaona mwanaume wawili angani wa mbele anampa mwezake funguo kidogo tu nikaona ndege mbili zikifutana
Mimi ndio ndoto zangu hizo lakini ni Kama flight Kama Ndege vile Kama helpcopter na maji naona chini bahari na milima na manyumba na hua natamani nisiamke ni ndoto nzuri ajabu saana
😁 😁 😁
Hahahaaa
*je nikiwa nakimbizwa uku naruka natua naruka tena na kutua inamaana gani.............?!?!
He irudie tena video utaelewa nn inamaanisha
mbona aya alizotoa zote ni za manabii na mitume hakuna sehem imethibiti kuwa mtu akiota hivi inamaanisha hivi huo ni urongo umekosa kaz
If you have nothing to talk nyamaza plls
Ostaz je ukiwa umelala ukaota unakimbizwa harafu ukapaa inamaanisha mini shekh
Apa ndo nasubiria adi mm
Na mimi pia @@OmarMohamed-cb1tu
Mimi pia
Yesu tu anatosha kukuondolea ndoto za majinamizi kama hayo
Yesu hahusiki na hii mada tafuta sehem ya kumtaja yesu wako
@@miryamsultannsultann5245 hapa hapa ndo sahihi pa kumzungumzia YESU, wewe kama nani utoe order kwangu. Yesu ndo jibu la ndoto za giza na majini, hahahaaaaaaa hahaaaaaaa YESU huyu jamani hatari sana
@@miryamsultannsultann5245 sehemu ya kumtaja YESU ni mpaka ndani ya moyo wako, nashukuru sikio lako limesikia habari za YESU na macho yameona jina lake YESU likiandikwa hapa
@@usajiliusajili6511 kalale uko n yes wko, yesu uyo kwioooo
@@mwanakombogodoro141
Hahahaaaaa halafu wewe si ndo godoro njoo nilale usingizi mzuri, godoro weeeee karibu
Mashaa Allah....mie nimeziota saana allhamdulillah sas nipo ughaibuniii
duuuh bola uote unaenda mbingun kweli
Asalam aleikum,nishaota nimepaa nikadondoka kwenje gorofa juu kabisa mwisho alafu nikapaa kutoka kwahiyo gorofa Hadi nyingine ,hiyo yamaanisha nn
26:52 26:52 26:52
Niliota napaa kwenda chini nikiwa nimesimama juu Kwa blonde,chini zaidi hiyo nini
Sheikh me naona nakimbizwa huyo mtu namuona ila simjui lakini nakimbia nasimama naanza kusoma ayatu kurusiyu namwisho wasiku anapote .....njozi hiyo inamaana gani nanaota kila siku.nikianza kuota lazima nisome kwenye ndoto
Manshallah, ya Allah tunakuomba utupe katika ndoto nzuri Na utukinge Na ndoto ambazo zinazoweza kututisha
Niliota naongea na mzungu gafla nikapaa juu ila siyo juu saana niojikuta nasema asante mungu asante mungu
Tunaoota tunapaa tujuane
hakika kama ni kweli ina maana nitakuwa nasumbuliwa na mizimu na wachawi ee mola wangu ninusuru
Assalamu alaikum warah maturah wabarakatu ustadhi Allhamdilillah mm kunasiku niliota nakimbizwa na ng.ombe je, ndoto hii inamanisha nini shukurani
Ngombe nishetani
Duuh yan kalibia tafasir zote mm naziota jmn ila siku zote natengemea Allah yy ndo muweza wa yote
Kabisaaaaaa mamy
Mtegemee pamoja na kutafuta suluhisho la hilo
Ukiota upo darasan unafanya mtihan hi.inatafsiri gan
@@انسالحكماني-ك2ذ ufukara
@@انسالحكماني-ك2ذ ukiota unafny mtihan ni ufukara
niliota ndoto lakin siwez kuelezea hapa naweza pata no ya shekhe
Mm naota nikiwa nimelala ati naanguka chani enamanicha mini???
Sheikh naomba kuuliza ukiota unapewa heshima kubwa na watu wanakuheshimu ila uku ww yani hakuna cheo chochote na at kwenu akuna kiongozi wa serikali mpo tu tu je maana yake nn?
A.a. asante sana kwa mafunzo yake sheikh, nakuwombeya heri wewe na familia. Nawomba usaidizi wako, mim nimewota nakaribiwa nawatu ambawo ni haghalifu nika amuwa niruke toka pale chini kwa kichwa juu migu chini bila mabawa nikafikia nuymba ya kwanza, badae nikaowona nikaribu nikarikuwa tena miguu chini kichwa juu nikapandisha sana kwenye gorofa mrefu sana. Kutokana na utafsiri wako sijajiweka mahala pake ndotoni. Tafadhali naomba kusaidiwa.
Jina langu ni Rangmy Ridua
From Mozambique
Duh pole
Bro mtafute namba ipo hapo
Hiyo inaonesha unataka kuwa super man
mm nikilala naota kuwa watu wananikimbiza ila nakuwa naruka ila wanakuwa awanipat
Yaaan wewe ndoto zako zinafanana na mm uwa nakimbizwa. Then nalukuka juu
Hiyo inamaanisha kunawatu wanakuwangia , ukiota unapaa au nyoka
Wewe unakimbia hawakupati, jibu lake utakuja kumiliki pikpik mana ina spid
@@renatusyuda4230 hahaha
na mm ni hivyo hiyo ndugu yangu
Ukiota raisi amekuja kwako kukutembelea na mmekula pamoja manayake nini
Xheh me huota natumbukia kwenye xhimo refu Na hta iv kawaida nkipanda gorofan juu kabixa cwez nahic km kutok juu had chin km kweny ndoto
Itafuata siku si nyingi inshaallaah
Anima Hamad hutamiliki ghorofa
@@damianjeremia3821 xwa kwa gorofa cmilik je wajuwa me nxhadumbukia km mfano wa kicma iv Ila co kirefuu xnaa je ctomilik nn
Ht kwenda kicman me cwez kabixa
Amina swali sana Mungu anakupenda
Maashaallah hii ndoto ya kuruka nakutua kilele cha mlima huwa ninaota lkn sijui na sikumbuki pia nn maana yake ila nashukuru kuijua Allah ndiyo mjuaji zaidi
Hahahaha kwaiy ndo umedanganyika au? Ufukara huooooo
@@khumeinshawal6646😂😂😂😂
Nami naotaga ila nayoyaota nayaona kweli
Mimi huwa napaa,ila najiona live kabisa,na wakati mwingine naziba macho ili nisianguke,au tena huwa napaa chumbani kwangu tuu.ila najiona kabisa.
Msafiri Afraha hapana sikuwa usingizini,wakati mwingine nakuwa nimeshika simu naangalia kitu,ghafla napata bumbuazi flani na hapo najikuta nipo nje juu,naona taa zote zipo chini mimi juu.
Tena mara nyingi sana huko kupaa,ni kweli kabisa na wala sio kuota.
Uy anakua ametoka nje ya mwil wake halis
Kuna namna ya kutoka unauacha mwil halis nafs yako inakua nje unajion kama unapaa wawez ona vitu tofaut tofaut ukiw katik hal hiy
Ni hatar siku wawez paa kwa stail hiy ukaenda mbal ukapotelea uko mwil uliobak watu wakajua umefarik wakakuzik wngn huw inasemekan wamefia usingzn kwahy ajitahd kuizuia hiy hal isizoee kumtokea mara kwa mara
Mimi.uwanaota.napaa.juu.alafu.afukuziwa.watuwanatamani.kunishika.lakini.mm.nawakimbia
14 24 25 zote huwa zinanikuta mm jamni dah
Mi naomba kuuliza shekh mi nakuwa naota nakimbizwa na watu wabaya nakuwa sina jinsi na yule mtu mbaya yupo karibu bas katika ndoto naruka ili kumkimbia tena nahisi naruka kabisa hii inamaana gani
Kama mimi
Hivi haya maneno ao Tafsiri hizi Je! Kuna ithbaat yoyote ktk Qur'an ao Sunnah ya Mtume?
Ao nimaneno zetu tu ?
ulijuaje
Niliota nimeruka nikiwa juu nilikua nafanya dhikli nini maana yake
Katika uzee wako Utakua mganga wa kienyeji ndugu yangu, hongera sana...
Hiyo ni kweli kabisa shekhe wangu mimi yashanitokea nasipo nchini kwangu amina
Naukiotah Umepaah Angani Alaf Watu Wainchi Mbalimbali Wanakuangaliah Nah Kukushangiliah Wengineh Wanatakah Kupigah Pichah Nah Wewe Yamaniishah Nn?
Assalam aleikum Mimi naota maji sana nikiwa nanguka
Mniambie na mima jamani tafsiri ya hii ndoto ambayo ishanijia matatu nishawai kuota ndoto nikiwa nimeziokota diamond nikaziweka mfukoni zikiwa zinatupa mwanga mzito mpaka mwenyewe kwenye ndoto huko nakua na shindwa zuiya hiyo mwanga
Duh! msibah mkubwa jamani huu niuchawii niushirikinaa acha kupotosha watu! hayo nimaneno yako hayapo ktk quran wala sunna za mtume wetu shauri yako!
Mmmmh
wewe unachanganya kiarabu na kiswahili unafikili wote wanao angalia video yako na wahsram
Asalam alaykum th-cam.com/video/P2cXoTn6QwM/w-d-xo.html jifunze kutengeneza visheti laini amazing 😉 (vikokoto)
🤣🤣🤣🤣🤣out of lesson
asalamalekumu
Sawa bi vishet
@@nasraothoman1239 andika salamu hivi
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Mie nimota nimepata pessa dola 3000 nikafurah nikapaa natoka kwangu naenda kwa baba yangu kumuonesha
Sasa Hiyo Ni Ghaib? Ama ni Utabiri ama ni Kubahatisha Tu.
Kasome kk wengi tunangea tu. Ila tafsri ya coroan atuijui tumezoea kubishana ata kama aujui kitu
Mh mitihani nipo omani niliota nimeruka juu ya ukuta natembea nyumba ya bosi mbele NIKAONA mtu kakaa juu ya ukuta akachinjwa nyuma ya shingo mm nikageuza nikiludi huku natembea juu ya huo ukuta nikachupa nikastuka
Allah atuepushe na mitihani ya ndoto inshallah
Shida kishwaili kwani wewe mwarabu Soma kishwaili Kama upo Tanzania shehee
Mashaallah sheikh.mm nilikua naota hii ndoto ya kuruka tokea nikiwa mdgo sana nikimsimulia nyanyangu akaniambia kama ulivyo ileza sheikh na nikweli imekuja tokea sasa hvu nkiwa mtu mzima..shukran sheikh
Habari
Kimekutokea kipi Dada,hebu nijuze maana ni muhanga
Tujuze basi maan ake nn ukiota unapaa😂 plz
NAMI naota nakimbizwa na nimenfugwa ndani ya ni Sina Pali yakutoka kumefungwa
Mimi naota Kisha nasaau asubui
Unapoota ndoto unapokumbuka andika maana Kila ndoto ina maanayake
The answer is your IQ is low
Vp ukiota unaruka kutoka either juu ya mti au ghorofani na usifike chin ukashutuk hyo inamanisha nn???
Hyo ya 14 dah ninusuru mungu wangu
Ukiota wanakukimbiza watu wabaya kisha ujikute una paa ninjozi gani
Mm shehe hua naota kila mara napaaa angani same time napaaa nashinda kuruka sijui hii ina maana gan
Mimba hiyo
Weweee acha zambi mwizio anaitwa awath mimba hiyo kivipi Sasa..?😂😂😂 Nimechekaaaa
A.a,n jee ukipaa n kuwe n vivuli upande wa kulia kivuli n wakushoto kivuli,vinapaa sambamba n ww yaan n vitu visovyoonekan lkn nkisema vivuli utanielewa kwa haraka, inaashiria nn shekhe?
sheikh mmh mmi sikuerewi hata kidogo mwanamke akiota hivo unamaanisha ataolewa na huyo mwanaume kama ameorewa je?
Muongo uyu
Napia naota nafukuzwa lakini nikikimbia kidog tu nageuka namfukuza yule anae nikimbiza
Mungu nikomboe kutoka kwa hizi dhiki
Mm nimeota naruka angani kwa kupepesa mikono yangu mwenyewe Kama mabawa na wkt naruka nikakutana na nyoka akanirukia kwa lengo la kunidhuru nikampga akarud chini then nikatua kijjni kwetu
Mimi naota nipo ktk chumba kimewekwa maji na nyoka wa rangi togauti
Mimi nimeota niko piriod lakini kuna mabonge matatu yote yaka geuka inge inamaana gani
Shekhe Mimi huwa naota natembea ila naishiwa nguvu miguuni then napata uwezo wa kuruka kimo Cha wastani tu
Assalam Alaikhum, me mala nyingi naota nyota angani n mwezi afu napaa km naenda kuzishika zile nyota n kuona wtu wnataka npa mkono nastuka Sana
Shukran sana nmekuelewa vzli sana
@Msafiri Afraha assalam alaykum naomba namba zk sheikh wng
Assalam Alaikhum, naomba number zako Ankal
@Msafiri Afraha Assalam Alaikhum, mala ingine naota nko Kati Kati y msitu au zizi la wanyama wote wakali ksoro nyoka wnacheza nao Simba , kifaru n wngine mala ingine naota maraisi wengi Nchi tafauti wazungu n waswahili n mala nyingi nmuota magufuli annipa no ya cm
@Msafiri Afraha shukran sana,
Mimi. Naota. Nachomwa. Kisu. Ndoto. Hiyo. Ina. Maana. Gani
Mbaya
Me huwa napenda kuruka kama njiwa
Mi nimeona nshafika airport nasubiri ndege kwenda simiyu na ndege ikaniacha nipo hapo hapo maana Yake nini?
Kaswida
Sasa tumuombe allah atufanyie wepesi ktkt ndoto hizi
Shehe nisaidie maana ya hii ndoto naota natua lakini sehemu yenyewe napo tua spajui zulfa mm
Mimi niliota watu wananifukuza walipoa kuakaribu kunifikia nitokwa na mbawa nikapaa angani kama ndege
Sheikh me huwa naota napigana na watu lakini nawashinda na nikiwashinda ghafla mtu anageuka kuku na ananing'ata hii ina maana gani?
😂😂😂😂 maanyake utageuka kuku
😂😂🤣🤣 punguza kula mayai
Mbavu zangu jamani😂😂😂😂😂
Mimi niko safari iranipo kukazi rakini paka burirewo iyo ndoto nayipata kwasana badaaye nashuka taratibu iyo ndoto yakupaa nayipata sana
24 na 25 yangu hiyo ee Mwenyez Mungu wangu ninusuru
You tube
Mbona me namewah ota napaa kichwa juu miguu chin huku nimevaa nguo nyeupe inang'aa alafu naachiliaa km nguv Kwa watu walio chini,,,hii inaamaana Gani et shekhe
Asalam alayku.naomba kuuliza kuhusu ndoto ya kucheza mpira si kw ufanisi ila kwa shida nakosea kosea tu nini maana yake.
Bro huenda kuna mtihani mbaya mbele muombe Allah akunusuru,,hzo nikati ya ndoto zenye tafsiri mbaya mno
Na kuota kama ndege anavyoruka Mikono imenyooka kama mbawa za ndege mwisho kabisaaaa mbinguni na sijui anaemfukuuza ni nani hii inahashiria nn sheikh
Asalamualekum waramatulayi wabarakatu mm kilasiku naote safari ila safari aitimiyi nikwanini shehe
Ukiota unakimbizwa baadae unazama ardhin inakuwa ni nini
Jina zuri sana ulilolipa chanel yako
Mm nkifkuzwa napotea tsee😂 kma mchawi,ama nisimame mahali sjajificha lkn mm nawaona ila hao hwanioni
24 na 25 ni ndoto zangu hizo
Na je kuota kufukuzwa na mambwa then kuruka mpaka kutua nyumbani inahashiria nn sheikh
MAA SHAA ALLAH Naona ni kweli maana mm nilikua nikiota sanaa hizo ndoto zaangani na ndio nikasafiri shukran sheikh
Amina
Assalam alaeykum sheikh wangu mm nimeota ndoto wananimwangiya mikojo namm nikamurundishia kumwangiya mukojo nikafika naona ananikibiza nikafika naona nikapa ju
Shekh naomba unitafsirie maana yandoto unatoka nyumbani eiza kwausalama au umegombana namume wako alafu wakati unataka kurudi nyumba yako unaitafuta lakini hauoni au unaweza kupotea kabisa wakati unaitafuta nyumba yako hii ndoto huwainanisumbua mara kwa mara hebu nisaidie tafadhal
shekhe tupejibu
Nimeelewa lkn natamani kujua na mimi tafsiri ya ndoto yangu nimeota ninapaa nipo barabaran ila nikiwa huko juu nakimbia na mtu ananikimbizia yeye yupo na baiskeli kawaida na ni mwanaume
Daah allah ninusuru
Shukrani sheikh, je inakuaje ukiota unapaa lkn ukiwa umeshikilia kitu kikubwa juu na nyuma yako unafuatwa na watu wengine wanapaa mnatua nchi nyingine sehemu ya starehe mnakusanya ela kwa watu alafu mnapaa tena kwa kujigamba inakuwa na maana gani?
Na hii ndoto ya kuruka na kuingia kwenye shimo refu auekisima inamaanisha nini sheikh.
Umezini sanaaaa
Sheikh Assalamu alaikum. Mm ndoto zangu nyingi za naota nikiwa Nipo shule kila mara niposhule
ma sha Allah
shekh nmekuelewa sana
Allah akuhifadhi tuzdi kupata elimı
Shukran sana
Jenikiota msiba inamaana gani
Sheikh Assalamu alaikum. Mm ndoto zangu nyingi za naota nikiwa Nipo shule kila mara niposhule
Naam na mm pia naota napaa nawapa usafiri wengine kutoka inchi nyingine kwenda nyingine apo naomba uniasaidie kwahilo Tafadhali
Ukikua utanunua bombadia ndio maana yake
😂😂😂😂😂
Kuuota kiti namatunda maana yake ni nini 🙄🙄🙄🙄
Unamaneno mengi tatizo
Ukilala na uote unaona kondoo anapaa angani na amekuja ametua kwako ina maana gani
Mm nimeota napaa angani kutoka nyumba nisio ijuwa na nakudondokea nyumbani kwetu niambie shehe ndoto yangu inamana gan
Shehe mimi naota watu wananiambia alafu napaa hawanishiki