Video by -HMC DIGITAL VIDEO PROFESSIONALS Shooting Location-Nairobi /Kilimanjaro/Mwanza Directed by -Enos Masanja +255767319616 hmc2012production@gmail.com
huu wimbo maguru aliandika aisee dah wimbo una ishi Leo had kesho Remi pale ujawah angusha , baada ya hii albam vijana weng walihamia chang'ombe wakiongozwa na maguru na mkewe
Mungu awabariki sana kwa Kumwimbia Mzee aliyeshiba wingi wa siku. Mungu awape macho na ufahamu wa kutambua kuwa awainuapo viwango vya huduma analitukuza jina lake na taji yenu inakuwa kubwa Mbinguni. Lakini kwa haya mavazi wadada na wamama mnayovaa kwa sasa tofauti na hapo mwanzo kwenye albamu za kwanza yanawapeleka wanaume wengi jehanamu, nanyi pia mtawafata hukohuko, hyo Mbingu haitawafungukia siku hyo na hilo taji kubwa hamtaliona msipogeuka. Mungu atusaidie sana.
#acheni mungu wa Israel aitwe mungu....kiumweli wew dada ulichagua fungu Jema jamani...ungeimba nyimbo za kidunia hata shetani asingeruka...nabarikiwa sana na wew...Jamani mwenye namba za huyu mtu.....anisaidie na mimi nimbariki ....kwa baraka hizi....
Leo nimefurahi kuwaona ndugu ktk bwana jamani nisaidien number ya huyo solo napenda aimbe nyimbo hata 2 na mkewangu kwenye band ya mkewangu na mungu awabariki
Wow! Nilikuwa nimeisubiri sana hii album. Mungu awabariki sana watumishi, hamjawahi kumwaibisha Mungu katika kazi yenu. Hakika iko safi na shetani anaona wivu
African Inland Church (AIC) Nyakato Choir of Mwanza, Tanzania with a song : 'Asante Yesu' . Asanteni kwa kazi nyingine nzuri ya Kiroho kupitia wimbo huu.
kama mmebarikiwa kama mimi, twende na lik, hp chini
Wimbo nzuri sana mbarikiwe
Dààaah Nyimbo Hyo Hakika Iko vizury sàaan N8meipend sààn
2020 tunaongalia hii ngoma tusalimiane
Huu wimbo ni 🔥🔥 unanibariki sana jmn🙏🙏
Napenda mnavyo tabasamu
huu wimbo maguru aliandika aisee dah wimbo una ishi Leo had kesho Remi pale ujawah angusha , baada ya hii albam vijana weng walihamia chang'ombe wakiongozwa na maguru na mkewe
I must be honest and admit Tanzania are on another level especially gospel. Such uplifting and blessing song. Loving it from Kenya
Thanks for the love ❤️ brother
@@wilsonchishomi1083 You most welcomed bro
@Alice Lameck Wafikishie salamu zangu Kwa wingi
1
Waoo Nice ❤️❤️❤️
Jaman nampenda solo ameolewa
Amina sana watumishi mnanipa burudan sana nikisikiliza huu wimbo naona tiar amesha. Nijibu Mungu wangu
Mbalikiwe sana mungu azid kuwatumia
Mungu awabariki sana kwa Kumwimbia Mzee aliyeshiba wingi wa siku. Mungu awape macho na ufahamu wa kutambua kuwa awainuapo viwango vya huduma analitukuza jina lake na taji yenu inakuwa kubwa Mbinguni. Lakini kwa haya mavazi wadada na wamama mnayovaa kwa sasa tofauti na hapo mwanzo kwenye albamu za kwanza yanawapeleka wanaume wengi jehanamu, nanyi pia mtawafata hukohuko, hyo Mbingu haitawafungukia siku hyo na hilo taji kubwa hamtaliona msipogeuka. Mungu atusaidie sana.
Vijana wa MUNGU na hizi style pqmoja na sololist wenu ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kwa kweli
Jaman wapendwa naomba msaada kuudanlord huu wimbo ,maana unanibariki sana
Barikiwa kipenzi Cha Mungu kwa sauti zuri Sana Sana I love you
Amina mbalikiwe
Hakika wimbo umegusa maisha yangu sn mbarikiwe sn
Oooh nazid kubarikiwa kweli daaah MUNGU azidi kuwapa maono zaid watumishi kutoka nyakato
Mwimbo mzurii saaanaaa
nyimbo imegusa sehemu kubwa sana ya maisha yangu asanteni mbarikiwe ktk bwana
Napendaga huu wimbo jmn mbarikiwe mlioimba
Mungu simamia Waimbaji hawa wasije kutumikia bure
Nawapenda sana Watumishi wa Mungu, Kazi nzuri Mbarikiwe Na Jehova
Wivu tu
Asante mungu kwakujibu maombi yangu 👏👏💟💟
Asanteh kujibu shida yangu
big up dada lemi sichoki kusikilza:
From Kenya deliverance church eld nawapenda.
wana nyakato kwaya Elizah loves you all, baraka za Mungu zikamiminike kwa kila mmoja wenu. HMC thumbs up for well done job baraka tele kwako
Hongeren nice song.nampenda sana huyu kwa sauti yake
Jaman naomba msaada wa kumpata mwalimu wao wa kwaya!!👐Yesu unaimbiwa sana jmn,hakuna kama wewe
Amen
Barikiwa Sana Kwa nyimbo nzuri A. I. C. T nyakati
Mungu wa mbinguni azidi kuwa nanyi
Waoo naupenda sana huu wimbo
Saut ya Huyu dada n Kama kinanda....
Wimbo uko sawa kwa mtindo na kwa muziki ila mavazi ya wamama hayavutii kwa mushono wa skirt ni fupifupi.
Dada bonge uwaga nakupenda sana unasauti ya kipekeee
Yaani huu wimbo hata nikiusikiliza kila muda siuchiki. Mbarikiwe
We solo jmn😙😙😙unaimba vzr mpk nasisimka!Mungu aendelee kuwatumia
Hahahah step hii ndo naipenda
Kali sana hii
Bwana azidi kuwainua zaidi na zaidi katika hii huduma ya uimbaji
Amina, Ahsante yesu kwa ukombozi wa maisha yangu. shida kwangu zimeisha.
Naombeni Siri ya mafanikio yenu watumishi
Solo nakupenda saana umenkosha roho
Napenda kua kama remi
mbarikiwe watu wa mungu kwa kazi mnayoifanya kweli mnafanya vizuri mungu awatie nguvu
Nabarikiwa sana na hii kway
Amina amina sana Nyakato ni kazi nzuri sana nimebarikiwa na huu wimbo
Aamina mngu awabarik sana
Best song
Kama ww unatoka misungwi gonga like twende sawa
Sio siri huwa najisikia uwepo wa Mungu Sana kila ninapousikiliza huu wimbo napata nguvu za kuendelea mbele hata kama nina huzun
nyakato aict nawakubali sanaaaaaaa aa tenaa sanaaaaaaa
Shetani yule aliyenikamata, sasa ameniachilia. AMEN I love this song
Asnt yesu kwa kujibu shida yangu,haleluya!!!
Honger sana Dada unasaut nzur sana MUNGU azid kuw tia nguvu
pia masoro hngrn kwa sauti zenu nzuri mbarikiweee sanaaaaa
Mungu awatunze nabarikiwa sana.
daaaa sana jembe la yesu chana voko
Nawapend mungu awaongoze
mungu awabakili sana na dada remi uko vzr na ninauhakika na mm siku moja ntakua km
ww
Mbarikiwe sana Nyakato choir ninawakubali sana
Said mubarikiwe wapiganaji wa wa kazi ya mungu
Amen Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Huu wimbo sichoki kuuskiliza. Nabarikiwa sana.
Amina
Nice
Kazi nzuri Sana balikwa dada
Amina. Asante YESU pokea sifa na utukufu JEHOVAH. Umeskia kilio changu nashukuru. Be blessed brethrens.
Nawapenda xanaaaaaa
Mbarikiwe sana
WOW I LOVE THIS GIRL, SHE IS ANOINTED
Ikiwezekana muweke album nzima TH-cam
Safi sana endeleeni kupambana na shetani nae anaipatapata
Safiii sana..nawatamanije?... Mbarikiwe
Amina
So fantastic
nc nawapend batsman ningekuw kalb ningejung m naomb mung awatie nguv kweny udum ya wimbaj kalib morogor
Lemiiii fireeeee nabarikiwaa sana
wowoo barikiweni Nyakato kwaya
Wao nice
Asante Yesu kwa kujibu maombi yangu.
sololist ubarikiwe sana duuu saut iko mwakeee
Asante Yesu kwa kunibadilisha,kwa ukombozi ndani ya maisha yangu. Ninakushukuru mimi
Amen!!!
Hongera sana muhanganza kaka angu mungu akubariki
Mungu wabariki tena na tena
#acheni mungu wa Israel aitwe mungu....kiumweli wew dada ulichagua fungu Jema jamani...ungeimba nyimbo za kidunia hata shetani asingeruka...nabarikiwa sana na wew...Jamani mwenye namba za huyu mtu.....anisaidie na mimi nimbariki ....kwa baraka hizi....
Yaani nimebarikiwa na huyo sololisti mpaka basi Mungu aendelee kumtumia kama apendavyo natamani hata kupata namba yake ya simu
ahahahhahaha...karibu nyakato mwanza Neema
Glory glory ever
Leo nimefurahi kuwaona ndugu ktk bwana jamani nisaidien number ya huyo solo napenda aimbe nyimbo hata 2 na mkewangu kwenye band ya mkewangu na mungu awabariki
mmetisha sana wana nyakato Mungu awabariki na dada yangu remi umetishaaa hakika mungu amekubariki pongezi kwa mwl wa kwaya na wanakwaya wote.
Nguo za muanzishaji fupi sana... Ajitahid kutafuta Nguo za heshima wanaporekodi hata kama ni utamaduni .. Wakiisha rekodi waendelee kuvaa Nguo zao
@@tricykalukwa5697 lakini afadhali sio suruali🤣
Moyo wangu unatulizwa na wimbo huu Mungu awabaliki
Be blessed nyakato choir
🙏🙏🙏😃😀😆 congratulations
Wow! Nilikuwa nimeisubiri sana hii album. Mungu awabariki sana watumishi, hamjawahi kumwaibisha Mungu katika kazi yenu. Hakika iko safi na shetani anaona wivu
Hongereni. Nyimbo nzuri
Hongereni sana God bless aic nykt
African Inland Church (AIC) Nyakato Choir of Mwanza, Tanzania with a song : 'Asante Yesu' . Asanteni kwa kazi nyingine nzuri ya Kiroho kupitia wimbo huu.
Mtanzania Junior Hahahhaha...
nakubali hamwezekani
dah mnanigusa nyie wana nyakato nabarikiwa na nyie mno tunzwen na yesu jaman
Mmbarikiwe na bwana nyimbo nzur Sana 🙏
Asanteee yesu
Wimbo mzuri sana mungu awabariki sana aict nyakato
Jameni kazi njema watumishi wa Mungu
Waooh blessed you are tha great soloist ever seen before.am real blessed with this song.sichoki kuutazama wimbo huu.Mbarikiwe woote.Nawapenda.
Kwa yesu kuna rahaaa tele barikiwaaaa
Naupendaaaaa xnaaaa huuu wimbo,,, mungu awabarikii
Touching message ... Nice song
Mbarkiwe sana watu aic nyakato napenda sana nyimbo zenu zibanibariki saaaaaaaana
mbarikiwe. sana