Thanks Nyakato kwaya! Kwaya ya kanisa langu la kuzaliwa, huwa nafarijika sana! Barikiwa Lemmy unaitendea haki kwaya tangu enzi za kina mama ikeresho wewe umekuja kuziba pengo
nawapenda mnoo,nitawaalika siku moja asee kwenye kwaya yetu mtupe maarifa kidogo,huyu Dada Lemi jamani Mungu akulinde ilikuwa utoe chote alichowekeza kwako kwaajili ya kanisa lake,chunga kiburi,shuka kabisa Mungu azidi kukutumia,nawapenda sana
Najitahidi kurudia nakutafuta mwingine Sion Jaman Mungu awape kibali mtoe mwingine tena Lemi hiyo sautu imeshachuujwa na Mungu akaiweka mahali pake mbarikiwe sana jamani
Nawaelewa. Sana watumishi wa mungu
Kwakweli hua nabarikiwa sana na uimbaji wenu! Sololist bonge nakupenda mnoooo!! Naninakuelewa sanaaaa!!!! Natamani sana kufikia ulipo!
Fantastic my nyakato choir 😍😍😍😍 love you all , mama G Mungu azidi kukuinua zaidi
Thanks Nyakato kwaya! Kwaya ya kanisa langu la kuzaliwa, huwa nafarijika sana! Barikiwa Lemmy unaitendea haki kwaya tangu enzi za kina mama ikeresho wewe umekuja kuziba pengo
nawapenda mnoo,nitawaalika siku moja asee kwenye kwaya yetu mtupe maarifa kidogo,huyu Dada Lemi jamani Mungu akulinde ilikuwa utoe chote alichowekeza kwako kwaajili ya kanisa lake,chunga kiburi,shuka kabisa Mungu azidi kukutumia,nawapenda sana
Amina
Mungu Awabariki sana Kazi nzuri mnafanya
Absolutely excellent! Proud of you Lemmy... And the entire Nyakato choir.
Seriously looking for producer Warez.
So nice msalimien mwalimu Jacob mwambie n God wa meru
Nawapenda jaman
Mungu mwema ubarikiwe sana
Nakupenda lm na sauti yako Mungu akupandishe kiwango
Big up sana kwa mwalim wa hii kway kama walim wot wa kway ya aic wangekua kam huy ingependeza san
Kuna karama kila mtu kapewa yake Amen sana
Nyakato nawakubali huyu Lemi George ninomaaaa
Sauti nyororo job,,,,lemiiiiiii salimika
Dada lema uko vizuri mnooo natamani kuonana na wewe dada nataka kujifunza kitu kwakooo
Nawapenda sana nyakato mungu awabarki,lemii upo vzur dada yangu mungu akutangulie sana mwaaaaaaa
Jaman lem unanikosha kumoyo kwa voice nzuri na ujumbe mzuri sana mungu awalinde nyote
Najitahidi kurudia nakutafuta mwingine Sion Jaman Mungu awape kibali mtoe mwingine tena Lemi hiyo sautu imeshachuujwa na Mungu akaiweka mahali pake mbarikiwe sana jamani
Nawapenda nyakato kwaya nimebarikiwa Sana na ujumbe mzur wa kuadhimisha mateso ya Kristo mungu azid wainua kila iitwapo leo!
Huu wimbo unanibariki sanaaa aiseeee
Kweli yesu anatupenda. May you all be blessed.
Amen Caro
Nabarikiwa sana na utumishi wenu,Mungu awainue daima,mmependeza pia
❤❤❤❤❤
mnanibariki sana aisee,nawaombea sana msiachane kamwe mzidi kuwa na umoja
Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ya uimbaji wenu. Nimebarikiwa sana na wimbo wenu wa pasaka. haleluya !!!!!!!!!!
Jamani kazi nzuri inasisimua
Hongeren Sana kwa ujumbe mzuri
Tuko pamoja nimeipenda mubarkiwe
Mungu awabariki sanaa kwa kaz njema
Mungu awabariki sana nyakato mtalipwa msipo zimia roho
MUNGU awabariki sana aic nyakato
sauti nzuri sana. twalibariki jina la Yesu
Mungu awabariki Sana kwa kazi nzuri wana Nyakato,watching u from Nairobi
Barikiwa sana...!!
kazi njema jamani Mwenyezi Mungu na akazidi kuwabariki na kuwainua ...
Nmekosa kizuri cha kuandika ila Mbarikiwe sana
Lemi unatisha sana na Mungu azidi kukubarik
Amen
Mungu awabariki sana,naupenda huu wimbo,
Dada lemi mungu akulide Sana kwa kaz kubwa Kama hyo
Yaan lemi🔥🔥🔥🔥
Huyu Dada Lemi kwa kweli Mungu kambariki na sauti na yeye anaitumia vzuri, Mungu awainue
Naipenda sauti ya huyu Dada Mungu azidi kumtetea
Joyous 23 : ~ Ingumlilo ( Lento)........Safi nimependa Utulivu wa Vocal..!
Jastin Ruhele I figured too😊
Napedaga wimbo huo Kaka ... wa londiwe cele from JC23
Huyu dada ananibariki
Wimbo mzuri sana
Hi, wimbo mzuri Sana. Unabariki moyo wangu
Jameni wimbo mtamu nyakato mwanibariki
NYAKATO MPO JUU SANA HUKU KENYA NYAKATO MAMBO SAWA MAY ALMIGHTY GOD LEAD YOU THROUGH AMEN AMEN
LOVES TO LISTEN YOUR SONGS THEY MENTOR ME MUCH@KENYA THIKA
Waooooh mbarikiwe jamani muwe na viwango vya juu
Nawapendaa moakaa naihisi kuumwa
Great work wazee safi naona mnachange game la gospel
Mungu aendelee kuwai nua
Love this choir ----good voice
Mungu awabariki
Jaman LM mungu akubaliki sana
Jamani kweli mwanza mnaipa haki yake
Barikiwa saaaaana
Kazi nzuri
wimbo una baraka nyingi
CONGRATS NICE SONG MAY GOD CONTINUE TO UPLIFT YOU MUCH
Uyu sololist anaitwa nani?
Hakuwa na hatia mwana wa mungu🙏🙏🙏🙏
nawa penda sana
Dada iyo sautiiii lemii 😍
Iko vzur
Amen
Mpo vzr
Beautiful. Glory to God
Amen Amen
napenda nyimbozenu zinanibariki
❤❤❤❤
nawakubali sana
Amen Amen
Haaaapo
Hongerenil
Imeshutiwa kigalilaya...iyo inaitwa anonymous shots
Who is this lady with a powerful voice?
Huyu ni mtumish wa Mungu kutoka Mwanza
Penda sana uimbaji wenu hususani mdada wewe jamani duuh penda sana uimbaji wenu
Love you guys may God bless you 🙏 all.
Nawapenda paka naumwa
🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞
Location n super sana
Sweet ,, lovely
Good my kaka
Mziki mtulivu
Nawapenda nyakato Mungu awasamamie
Aminaa mbalikiwe
lemi.nakupenda bule.huwa natamani niwe mwimbaji km wewe huwa unanibaliki sana na sauti yako.mungu akupe uzima.kalibun bwanga
Hii nyimbo imebadiliki jamani
Motoooooooooooooo
Yes
Niwapenda pamoja na Neema kwaya
You Tube
Nawaelewa. Sana watumishi wa mungu
MUNGU awabariki sana aic nyakato
Tuko pamoja nimeipenda mubarkiwe
Mungu awabariki sana nakuja uko tuko pamoja
Nice song