FAHYVANNY Afunguka KUCHUKIWA na MAMA DANGOTE/ Awataja HAMISA, TANASHA/ Kuvaa KIGODORO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • FAHYVANNY amepiga stori na RICK MEDIA kuhusu
    kubebwa kwenye tuzo, uvaaji vigodoro , ukaribu na
    HAMISA MOBETTO, TANASHA, kutokubalika
    na MAMA DANGOTE n.k
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #FAHYVANNY #MAMADANGOTE

ความคิดเห็น • 180

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 3 ปีที่แล้ว +77

    Kama umesikia kuvaa kigodoro sio dhambi tupia like yako hapa😁😂😂😂

    • @deborasalum1015
      @deborasalum1015 3 ปีที่แล้ว

      Nikwer sio dhambi kama hujajaliwa

    • @divinebernard1047
      @divinebernard1047 3 ปีที่แล้ว

      Kawajibu nyinyi ambao amuchoki kutwa kumufatiliya

    • @royalkairo8819
      @royalkairo8819 3 ปีที่แล้ว

      Not sure if anyone cares but if you guys are stoned like me atm then you can watch pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. I've been binge watching with my girlfriend for the last couple of months :)

    • @huxleykylo5711
      @huxleykylo5711 3 ปีที่แล้ว

      @Royal Kairo yea, I have been using InstaFlixxer for months myself :D

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 3 ปีที่แล้ว +15

    Nampenda uyuu dada anayo tabia kama zangu za kuwa mpolee nakuwa wamoto motoo tenaaaa 💋♥️♥️♥️♥️

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 ปีที่แล้ว +1

    Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii NEXTl LEVO MISIC RAVNNYN macvoice NEXTI LEVO MISiC

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 3 ปีที่แล้ว +45

    Naona skuizii kaacha yale mambo yake yakusema no comment. Kama umegundua pia ww achaga like tukiendaga

    • @angelpritchard9399
      @angelpritchard9399 3 ปีที่แล้ว

      Aliekuwa anasem hiv ni tessy siy huy

    • @yunyun799
      @yunyun799 3 ปีที่แล้ว

      @@angelpritchard9399 yeye pia ali kuwa ana xema 😂😂

  • @ruthmusau5190
    @ruthmusau5190 3 ปีที่แล้ว +8

    Nampenda uyu dada..anaprotect familia yake sana

    • @divinebernard1047
      @divinebernard1047 3 ปีที่แล้ว

      Atari saaaaana uyu dada anaakili weacha tu

  • @perrygeorges2032
    @perrygeorges2032 3 ปีที่แล้ว +14

    Well done umejibu maswali vizuri sii kama Nana maringo tupu💕

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 3 ปีที่แล้ว +6

    🙄🙄🙄niulize nyie watangazaji Huw munatubeba aje kichwa cha habari n tofauti na mahojiano wololo.. ..all i love you 😘 ❤ favyvanny.🔥🔥🔥🔥🔥🔥majibu huwa unajibu vizur mpole all

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 3 ปีที่แล้ว

      Yani wanatubeba nyanya za kuoza sana😃😀😃😀😀

  • @RAYJAY-xy1jp
    @RAYJAY-xy1jp 3 ปีที่แล้ว +10

    Congrats 🥳🥳🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪

  • @katealias5255
    @katealias5255 3 ปีที่แล้ว +15

    Nakapenda sana haka kabinti

  • @emmagracerodgers2283
    @emmagracerodgers2283 3 ปีที่แล้ว +3

    Fayvanny❤️😍😍

  • @venicevicent9389
    @venicevicent9389 3 ปีที่แล้ว +25

    Leo akili imemkaa sawa kila swali anajibu kapunguza mashauzi mxeew

    • @angelpaul2048
      @angelpaul2048 3 ปีที่แล้ว +2

      Kuachwa sio mchezoo

    • @nyarkebs1569
      @nyarkebs1569 3 ปีที่แล้ว +1

      😄😄😃😃dunia duara

    • @venicevicent9389
      @venicevicent9389 3 ปีที่แล้ว

      @@nyarkebs1569 alijiona kafika

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 3 ปีที่แล้ว

      @@angelpaul2048 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani kuachwa kitu chengine aiseee ndo maana katulia mno yaani Kawa mpole

    • @halimahalima5802
      @halimahalima5802 3 ปีที่แล้ว

      Haha

  • @biaysha8553
    @biaysha8553 3 ปีที่แล้ว +2

    Msambaa girl mashaAllah

  • @jestinakanji8168
    @jestinakanji8168 3 ปีที่แล้ว +5

    Apo sasa kigodorooooo,🔥🔥🔥🔥🔥💃💃

  • @rosemarymushi6592
    @rosemarymushi6592 3 ปีที่แล้ว +14

    Ongera my pambana usikubali kukatishwa tamaa

  • @maliamhamdun3115
    @maliamhamdun3115 2 ปีที่แล้ว

    Fayma love you 💕👌 pend Sana 😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @enzompelasoka4929
    @enzompelasoka4929 3 ปีที่แล้ว +5

    Nice 👏

  • @suzienambugua6946
    @suzienambugua6946 3 ปีที่แล้ว

    Nampenda faymah ...u r the most beautiful baby girl

  • @irenemsumba6776
    @irenemsumba6776 3 ปีที่แล้ว

    Hongera mdogo angu umekua pia piga kazi mdogo angu

  • @fetty1571
    @fetty1571 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kurefusha nywele, kupunguza matiti, kuwa softi, n.k
    Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 3 ปีที่แล้ว +8

    Wa 4

  • @wemaomarywema6852
    @wemaomarywema6852 3 ปีที่แล้ว +2

    Umenenepa best

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakapenda aka ka dada jamani

  • @ivynzuki6708
    @ivynzuki6708 3 ปีที่แล้ว +2

    Smart lady

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 3 ปีที่แล้ว +3

    Yale mapicha uliyokuwa unapiga mbona hauyafanyi tena? Au dishi limeyumba.. maisha yanapanda na kushuka naona umenyooka kweli.

  • @okelinawilonja2490
    @okelinawilonja2490 3 ปีที่แล้ว +5

    Fahyma unapendeza 😍😍😍🧡🧡

  • @dianakaaya7983
    @dianakaaya7983 3 ปีที่แล้ว +1

    umejibu vzur sanaa yan

  • @fatmann6341
    @fatmann6341 3 ปีที่แล้ว +2

    Amenenepa mashallah pambana shost akuna kukata tamaa

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 ปีที่แล้ว

    Fai wake

  • @amourali242
    @amourali242 3 ปีที่แล้ว +6

    👋👋

  • @zulhatmsakuz1137
    @zulhatmsakuz1137 3 ปีที่แล้ว +17

    Baada yakuachwa kawampole mashauz yameisha mfyu

  • @josephkimogele3484
    @josephkimogele3484 3 ปีที่แล้ว

    This girl is smart

  • @angelbwija9547
    @angelbwija9547 3 ปีที่แล้ว +23

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umekuwa mpole sana sikuizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 3 ปีที่แล้ว +2

      Chezea wajumbe wewe🤣🤣

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 3 ปีที่แล้ว +1

      Alikuwa na majivuno sana wacha atuliye

    • @leticiaelias7543
      @leticiaelias7543 3 ปีที่แล้ว

      Umeona eeh?

    • @nurujuma5346
      @nurujuma5346 3 ปีที่แล้ว +1

      Ukiachwa alafu ukirudiwa lazima uwempole

    • @pili3750
      @pili3750 3 ปีที่แล้ว +4

      Alafu anamakengeza 😂😂😂

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 3 ปีที่แล้ว +2

    Nice interview fyvanny

  • @Kanicynjuguna
    @Kanicynjuguna 3 ปีที่แล้ว +7

    Aaaaiii Tanasha anafaa kigodoro wapi na hatuoni 🤣😅😅😅🤣🤣🤣lakini kwa hamisa tunaona tena 🤣

  • @restutaaloyce3972
    @restutaaloyce3972 3 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda huyu dada sijui kwann watu wanamchukia

    • @beatricemkinga3351
      @beatricemkinga3351 3 ปีที่แล้ว

      Roho mbaya tu zinawasumbua mdada yuko poa tu

    • @queen.christelle1
      @queen.christelle1 3 ปีที่แล้ว

      Chunguza interview zake za zamani wakati ana ishi na Rayvanny utajua ni kwanini wanamchukia

    • @queen.christelle1
      @queen.christelle1 3 ปีที่แล้ว

      ila kwasasa watu wemependa kumuona anaogea kwa upole na kujibu maswali vizuri kibinadamu kwa heshima

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 ปีที่แล้ว +8

    Dar, Kwani ulirudi pole pole Kwa Rayvanny

    • @mereyamhomesmariamhomes3464
      @mereyamhomesmariamhomes3464 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwani kunasehem wasema kama wameachana au yalikuwa maneno ya watu tuu

    • @nellyflo9736
      @nellyflo9736 3 ปีที่แล้ว +3

      @@mereyamhomesmariamhomes3464 🤣🤣🤣ya watu wawili ukiingilia yatakushinda

    • @pinkygrey3459
      @pinkygrey3459 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 ปีที่แล้ว

      Wameachana bado hawajarudiana ndio nataka no zafahyma nimuozeshe kakaangu wanaendana kbisa mana brother Wangu nimweeupee kisha mrefu nimzuri kbisa naombeni no zake

  • @beatricemkinga3351
    @beatricemkinga3351 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda dada Mungu akutunze na nyie mnaomchukia kafieni mbele uko mwacheni mtt wa watu

  • @jescanorbeth9891
    @jescanorbeth9891 3 ปีที่แล้ว +15

    Jamaniii mbonaa km anaaa makengezaaa au

    • @maryannqueen7356
      @maryannqueen7356 3 ปีที่แล้ว +2

      Leo yuko NATURAL naona.. hayuko mrembo kama nilivyo mzoea.... ama ni nywele

    • @zainabubakari8489
      @zainabubakari8489 3 ปีที่แล้ว +1

      Makengeza ndio anayo hadi nandy anayo

    • @everlineeverline105
      @everlineeverline105 3 ปีที่แล้ว

      Ni maringo anayo.

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 3 ปีที่แล้ว +8

    Naomba kuuliza hivi harmonize na harmorapa ni ndugu wa damu moja maana wamefanana

    • @asyamgeni9819
      @asyamgeni9819 3 ปีที่แล้ว

      Hawajafanana hata kidogo ukiwatizama kwa karibu msijidanganye sio ndugu

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaha

  • @shangwekamando2599
    @shangwekamando2599 3 ปีที่แล้ว +4

    Ila Hiyo miwani Kwenye macho vipi

  • @frederickkimweri1899
    @frederickkimweri1899 3 ปีที่แล้ว +4

    Duka lipo wapi wajamani

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 ปีที่แล้ว +9

    Kamrembo sana😍

  • @princess-uf5ux
    @princess-uf5ux 3 ปีที่แล้ว +10

    Naona umetulia

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 ปีที่แล้ว +10

    Fahma anajua kuvaa jamani mwacheni

    • @mutwalesylvie7443
      @mutwalesylvie7443 3 ปีที่แล้ว +5

      Kweli kabisa tena kwenye I m zuchu aliva kipekee sana watu awakuagi nakubali vyakwao sijuwi kwanini

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 3 ปีที่แล้ว +2

      @@mutwalesylvie7443 wivu wabongo huwa hatutaki kukubali kwamba alipewa kapewaaaa jamani""Mungu hawezi kukupa vyote"

  • @sakinahussein6656
    @sakinahussein6656 3 ปีที่แล้ว +4

    Duuuuuuu sikuhizi kawa mpoleeee

  • @Thesamdupendo
    @Thesamdupendo 3 ปีที่แล้ว +6

    Waoooo

  • @millicentayittah674
    @millicentayittah674 3 ปีที่แล้ว +9

    Interview in English pls 🙏🏾🙏🏾we don’t understand even thou we r funs 😟

  • @praxedadominic5193
    @praxedadominic5193 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakapenda sn aka kadada ❤️

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance4576 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona hamtuonyeshi hivyo vitu sasa

  • @maurineladasha9958
    @maurineladasha9958 3 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo sweeter ni pesa ngapi?

    • @husnaabdul8300
      @husnaabdul8300 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @mwanaharusialifakifaki8716
      @mwanaharusialifakifaki8716 3 ปีที่แล้ว

      Hawa wasanii huwa wananichekesha sana maana hapa bongo hakuna baridi ya kufaa swetar wengine huvaa viatu vya winter makoti ya winter bongo wanatafuta kuripuka🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😀😀😀

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 3 ปีที่แล้ว +5

    They don't know anything kuhusu mavazi (wa Tz)

  • @aminafarjala2578
    @aminafarjala2578 3 ปีที่แล้ว +3

    Akaa mjamzito

  • @esterkimario1126
    @esterkimario1126 3 ปีที่แล้ว +6

    kichwa cha habar na anachokiongea ni tofaut

    • @shakylahamad8326
      @shakylahamad8326 3 ปีที่แล้ว +1

      Ndoujinga wao hawa wandishi wetu

    • @ruthmusau5190
      @ruthmusau5190 3 ปีที่แล้ว

      Aki wanaeza kosanisha watu

  • @winfridapeter969
    @winfridapeter969 3 ปีที่แล้ว +2

    😍😍fayvan

  • @sirlankagirl6256
    @sirlankagirl6256 3 ปีที่แล้ว +6

    Mie kigodolo navaa sasa muniuwe eheee😁🤪🤪🤪

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim7828 3 ปีที่แล้ว +2

    Umejtahdi jmn Leo sjaskia No comment

  • @KIDEMA
    @KIDEMA 3 ปีที่แล้ว +3

    Tafadhali nawaomba ndugu zangu kwa Ku comment Ku Shea Ku like na Ku subscriber hakika ukifanya ivo utakua umenisaidia sana asante

  • @techy_jesse1514
    @techy_jesse1514 3 ปีที่แล้ว +6

    wa pili

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 ปีที่แล้ว

    I love her sana🤪🤪🤪🤪

  • @leticiaelias7543
    @leticiaelias7543 3 ปีที่แล้ว +11

    Yaani sahivi kisilani kimemuisha nyondo zote zimeisha kipindi yupo na ray alikuwa anajibu majivuno sana akiwa hivihv hadi raha

    • @khadijaabdallah8306
      @khadijaabdallah8306 3 ปีที่แล้ว +1

      Fayvan nakuoenda bule Dada angu usiskilize maneno ya watu fanya kazi mama

    • @kibadasda4395
      @kibadasda4395 3 ปีที่แล้ว +1

      Fahyma fanya shughuli zako tunza mwanao achana na hao wenye roho ya kwa nini halafu usiweke mambo yako kwenye mtandao wewe sasa hivi ni mama weka akiba unachokipata usijali mambo ya kwenye mitandao

  • @nuratysomji8145
    @nuratysomji8145 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmh

    • @sharonachieng3442
      @sharonachieng3442 2 ปีที่แล้ว

      I love you fayvany ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️wewe mzuri sana mwaaaaaah

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 3 ปีที่แล้ว +2

    👏👏👏👏

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 ปีที่แล้ว +4

    Uyu dem ninzuri sana na Amekua mpole

  • @xtashrayvash2996
    @xtashrayvash2996 3 ปีที่แล้ว +6

    Rayvanny kakwachua mtoto atali

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 3 ปีที่แล้ว +2

    Unaiga sauti ya mrembo mmoja acha ujinga huna lolote.

  • @Ron_cita
    @Ron_cita 3 ปีที่แล้ว +7

    Inchi za inje zipi ushawahi kwenda?kama sio SA na na nigeria?😃😃

    • @ummysalumu6606
      @ummysalumu6606 3 ปีที่แล้ว +2

      Ndo izo izo jamani si nchi za nje wabongo mnaboa sana

    • @Ron_cita
      @Ron_cita 3 ปีที่แล้ว

      @@ummysalumu6606 lol 😆 sasa nigeria na South Africa ni inchi za inje?

    • @juliejulie8704
      @juliejulie8704 3 ปีที่แล้ว +5

      @@Ron_cita hivi wewe Una hakili kweli sasa SA au Nigeria kwahiy nimikoa ya tz

    • @pinkygrey3459
      @pinkygrey3459 3 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ashuraussein7582
      @ashuraussein7582 3 ปีที่แล้ว

      @@juliejulie8704 🤣🤣🤣🤣

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว +9

    Duu kigodoro kilasiku ukipiga PC unakivaa wacha uwongo

    • @elibarikioloipukye6530
      @elibarikioloipukye6530 3 ปีที่แล้ว

      Ulimuvua ukamuona kavas

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว

      @@elibarikioloipukye6530 maranyingi tu

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 ปีที่แล้ว

      Wivu utakuuwa. na roho mbovu na chafu

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 ปีที่แล้ว

      @@elibarikioloipukye6530 Nimjinga sana nayye akanunue avae

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว

      @@aishaasumany561 sana kama mkundu wamamayako

  • @janembawala6009
    @janembawala6009 3 ปีที่แล้ว +12

    Wakisuka nywele mpya wanataka interview

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 3 ปีที่แล้ว +2

    haaaaaaa

  • @joycestephan3270
    @joycestephan3270 3 ปีที่แล้ว +2

    Huhuhuhu comment zenu konkiii

  • @nassorolaizer8486
    @nassorolaizer8486 3 ปีที่แล้ว

    Ana meno mengi au hiyo ongea vip

    • @nurumshindo8669
      @nurumshindo8669 2 ปีที่แล้ว

      Waja hamuishi maneno em chunguzen yenu kwanza kaz kusema ya w2 tyu utadhan nyny wakamilifu

  • @nusaybasaid3378
    @nusaybasaid3378 3 ปีที่แล้ว +2

    Dah kawa mpole km sio faima 2019 mwisho mwisho

  • @sumaboyclassic7071
    @sumaboyclassic7071 3 ปีที่แล้ว +2

    Amkome

  • @mercywamucii1786
    @mercywamucii1786 3 ปีที่แล้ว +6

    Lol

  • @silvesamweli7697
    @silvesamweli7697 3 ปีที่แล้ว

    Leo ushauli wake kwako uko wap

  • @neemacharles9878
    @neemacharles9878 3 ปีที่แล้ว

    Leo adabu mkononi dada hahaaaaaaa chezea mtanga kuachwa

  • @Excuvation04
    @Excuvation04 3 ปีที่แล้ว +1

    Hizi captions zenu za uongo zitafanya nisi-subscribe

  • @Sppah697
    @Sppah697 3 ปีที่แล้ว +6

    Kusema ukweli hata mimi nakuchukia sana wewe Fayvanny

    • @noorynmohammedy6063
      @noorynmohammedy6063 3 ปีที่แล้ว

      Mmmh 🙄

    • @teddysanga7451
      @teddysanga7451 3 ปีที่แล้ว

      Umepata faida gani?

    • @Sppah697
      @Sppah697 3 ปีที่แล้ว

      @@teddysanga7451 faida I hate her too! She looks like a Catoon! Yeah! You feel me?? Good! 💩

    • @teddysanga7451
      @teddysanga7451 3 ปีที่แล้ว

      Hongera

    • @tonianekesa342
      @tonianekesa342 3 ปีที่แล้ว

      so get a life.

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 3 ปีที่แล้ว +12

    Kumbe huyu bint anamacho ya kengeza🙄haraf kamevimbiana mashavu sijui kanabuga ugolo😂😂

  • @nassorolaizer8486
    @nassorolaizer8486 3 ปีที่แล้ว

    Ana makengeza eeh

  • @saudaahmed6818
    @saudaahmed6818 3 ปีที่แล้ว +2

    Caption ya uongo ata siezi subitu ku subscribe

  • @abbyjr164
    @abbyjr164 3 ปีที่แล้ว +2

    Tuonesheni bac ilo duka na sehemu gani

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen7356 3 ปีที่แล้ว +4

    Ni Mimba??? Ama kunenepa??

    • @nusaybasaid3378
      @nusaybasaid3378 3 ปีที่แล้ว +1

      Hata maziwa unahis yamejaa

    • @inteafrica6640
      @inteafrica6640 3 ปีที่แล้ว

      Kweli eti kawa bonge aiseer

    • @tonianekesa342
      @tonianekesa342 3 ปีที่แล้ว

      unataka akonde umpeleke wapi?

    • @maryannqueen7356
      @maryannqueen7356 3 ปีที่แล้ว

      @@tonianekesa342 Nimpe Tuzo.

    • @tonianekesa342
      @tonianekesa342 3 ปีที่แล้ว +1

      @@maryannqueen7356 End kwa chama chako cha roho chafu wakupe tuzo..