ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mukwala ni mchezaji mzuri ,atawafunga yanga mabao yakutosha yanga wajipange.
Hapana jamaa Yuko vizuri
Hamna akili mnaowasifia wachezaji wakat timu wanalocheza nalo hamlijui ubovu wake😂😂
Hapa sasa naanza kumuelewa Mo,safi sana
mukwala ni shida
Mi najua . Mnao kejeli viwango vya wachezaji wa Simba sio shabiki wa Simba..ni wanafiki
Nawajuza tu style yake y kushangilia anaruka kavu,,,, style hiyo ya kushangilia wachezaji wanafunga sana
Ngoja tuone Stivin Mukwala
😃😃
Lazima 5 zirudi
Daaaa
Kuna jamaa namba nane nimemuona anajua sana uyo alitoa asist tungemchukua pia sa tunamleta peke😂 nan anamlisha ss
Nimtuuu✊✊
Jamaa anajua
Hatari
Uyo kibaca chura tuu
Eti job baca chura tuu
🎉🎉🎉🎉🎉
Simba mpya hyo aludi uchebe basi
MKWALA MZURI ALIKOKUWA LAKINI KWA SIMBA ATAFELI KWA SABABU SIMBA HAWANA UVUMILIVU MCHEZAJI AKIFANYA MAKOSA.
Mbele ya Bacca, Job, Kwasi na Boka, halafu wanalindwa Aucho, kazi atakuwa nayo, aje tu😂
Kweli Uto umeanza kutetemeka....yaani umeitaja safu yako yoooote ya Ulinzi kumkaba .😅😅😅 😅😅😅
Mm nakuambia kuweni makin hao waking job mtakuja kwakataaa
wachezaji wanaokuja simba ni wazuri ila wakishacheza na yanga tu, ubovu unaanza kuonekana🤓🤓🤓maana kipicho sa sahihi kwa vilabu za nje na ndani ya tanzania ni kucheza na yanga
Akili yako IPO matakoni
Nikajuwa unataka kusema yanga wachawi
MBONA HILO GOLI HATA MIMI MSHABIKI NAFUNGA! TUACHE KUWASIFIA SANA WACHEZAJI TUSUBILI LIGI IANZE NDIPO WACHEZE NASI TUTAONA KWA MACHO YETU
Nenda kafunge hilo goli😂😂😂
@@BenAman-cm5kx NIMEISHAFUNGA .
Mukwala ni mchezaji mzuri ,atawafunga yanga mabao yakutosha yanga wajipange.
Hapana jamaa Yuko vizuri
Hamna akili mnaowasifia wachezaji wakat timu wanalocheza nalo hamlijui ubovu wake😂😂
Hapa sasa naanza kumuelewa Mo,safi sana
mukwala ni shida
Mi najua . Mnao kejeli viwango vya wachezaji wa Simba sio shabiki wa Simba..ni wanafiki
Nawajuza tu style yake y kushangilia anaruka kavu,,,, style hiyo ya kushangilia wachezaji wanafunga sana
Ngoja tuone Stivin Mukwala
😃😃
Lazima 5 zirudi
Daaaa
Kuna jamaa namba nane nimemuona anajua sana uyo alitoa asist tungemchukua pia sa tunamleta peke😂 nan anamlisha ss
Nimtuuu✊✊
Jamaa anajua
Hatari
Uyo kibaca chura tuu
Eti job baca chura tuu
🎉🎉🎉🎉🎉
Simba mpya hyo aludi uchebe basi
MKWALA MZURI ALIKOKUWA LAKINI KWA SIMBA ATAFELI KWA SABABU SIMBA HAWANA UVUMILIVU MCHEZAJI AKIFANYA MAKOSA.
Mbele ya Bacca, Job, Kwasi na Boka, halafu wanalindwa Aucho, kazi atakuwa nayo, aje tu😂
Kweli Uto umeanza kutetemeka....yaani umeitaja safu yako yoooote ya Ulinzi kumkaba .😅😅😅 😅😅😅
Mm nakuambia kuweni makin hao waking job mtakuja kwakataaa
wachezaji wanaokuja simba ni wazuri ila wakishacheza na yanga tu, ubovu unaanza kuonekana🤓🤓🤓maana kipicho sa sahihi kwa vilabu za nje na ndani ya tanzania ni kucheza na yanga
Akili yako IPO matakoni
Nikajuwa unataka kusema yanga wachawi
MBONA HILO GOLI HATA MIMI MSHABIKI NAFUNGA! TUACHE KUWASIFIA SANA WACHEZAJI TUSUBILI LIGI IANZE NDIPO WACHEZE NASI TUTAONA KWA MACHO YETU
Nenda kafunge hilo goli😂😂😂
@@BenAman-cm5kx NIMEISHAFUNGA .