UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 02|MAGAMBO JOHN-HILI GARI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 มี.ค. 2021
- Hii ni TOP 30 ya Mashindano ya Unitalent show/ROBO FAINALI safari ni moja wanavyuo kutoka vyuo tofauti wanashindana kwenye stage moja wakiwa na vipaji tofauti ili kuibua vipaji vipya na kukuza soko la sanaa hapa nchini
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #starstudent #talentsearch
Sijawahi kucomment ila leo umenishika haswa sina budi kusema kweli wewe ni msanii, na sisi waarabu weusi uwa tunase mashallah pia mungu atupe mwisho mwema amiina👏👏👏👏🙏 naitwa BINAM RAJI a.k.a MUJWAU comedian 😂 and musician 🎼
Dah hakika umesema kweli, hilo gari halinaga kondakta, wala mpiga debe. Mungu atupe mwisho mwema. Ameni
Konda ni whozu huendi mbinguni😭😭😭😭😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂
Kabicaaaa yani
wangapi tupo huku baada ya kuona Tiktok?
Wanao jua maa kamuigiza ostadhi nipeni like 🙌
Aseeee Show yk ni AMAZING san 🔥🔥🔥
Inavuta hisia za maisha yetu ya kila siku ubunifu mzuriiii. Hongera sana kazi nzuri
Noma San kunawatu Wana vipaji jamani ♥️♥️🙏😭😭😭😭😭
Toutes nos félicitations.....aux jeunes..... talentueux....end NO BODY CAN SAY...☝️🔥
Magambo anamkopi Brooke mmoja hivi anitwa bajoun nenda utube andika jeneza bajoun utaona og yake.
Huyu jamaa mbunifu sana, kuna kitu anakumbusha watu. V.Good brother.
Kamkopy albajun sio mashair yKe
Wakwaza from Mozambique
Aaah Jamaa anajuwa sana much respect to you, umetisha sanaaaa
Daaa umenikumbusha mbali sana bro wangu alale mahari pema peponi😭😭😭🙏🙏
Umewakilisha vizuri mistari ya watu kaka hongera...... Inaitwa gari La mwisho
Mwanangu ww tayari ni star salute ila dah😭😭😭😭😭
Ili gali limebeba wazazi wangu wote😭😭😭😭😭😭
Al- bajoon... message sent
Al banjoon ndo mwenye nashide sio yey uyoo ila katisha Kali kinoma
Al bajoon ndo muhusika sio uyo mshkaj
Asaivi tunalijua yeye n muislam na watu wengi hawafuatilii mambo ya din
Daaaah walah vipaji vipo tz big up san broo🔥🔥🔥
Dah! Bro sio poa unanikumbuxha machungu ya mpenzi wangu Hilo GARI R.I.P MY LOVE AMANI.
Jamn pole
@@agnesakari3312 Asante ila bdo cjakufahamu we nani please km hutojali kuniambia
Pole broh😭😭😭
Rest in Peace Dr .JPM .... 😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
R.I.P dada zangu felista na neema hakika ilii garii jamanii silitamanii sister zangu wangekuwepo nisinge tesekaa kiasi hikii jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭 pumzikoo la amanii dada zangu 😭😭😭😭
Pole sana
Pamoja kaka,hilo gari ni nomaaaaa asee
Magambo, Much respect to u bro
Nakukumbuka baba yangu, Nakukumbuka sana kaka yangu, Nakukumbuka Mary my classmate kweli gari mmelipanda
😭😭😭
Mko juu sana kipaji chenu n kikali 💯
Jomba huna talent umemuiga albajouni muongo oya unitalent angalieni wakat mwengine wanatucopi
Allah amrehem mama yng na bibi yng tuliwapenda mno ila allah aliwapenda mno hatunabud kusema innalillah wainnaillah rajiun
Amiin
Ilo Gari Ni shidaa🙌🙌🙌
Kaka ww ni fundi..
Ka copy kwa albajun
@@khaulatmohammed3765 watu amkosi maneno kukopi iyo kwio
Daaah 😭😭 njaa wangu tony hiri gari ulilipenda asee mwanangu wa faida tony ulikuwa tayali kupigwa kwajili yangu baati mbaya daah😭😭😭😭😭hiri gar😭😭
kaka hii nzuri saana magambo
Kak unaweza sana hiyo ngoma ina ujumbe mzito sana
Daaaah kwel ilo gar namkumbuk San lfk Ang Hashim musa na John daaah 🥺😭😭😭
Copy and pesa ya albajun
Nakumbuka mama angu , kaka, classmate wenzangu r.i.p
Kaka magamba we noma
Malenga mwadilifu...😍
Nakubari. Unyama kabisaaaaaa
Sema g nako hamkubali huyu jamaa toka cku anaanza
Mungu utusaidie mwisho mwema
Uyu jamaa anaweza Sana kweli kaukonga moyo wangu
Umenikumbesha babangu kalipanda rip dady.nimekuti man 💪💪💪🤜🤛
Hilo Gari ni Letu Sote
Rest in peace,easily my blood bro Hemed
Nakukubar mwang
Funzo 🖐🖐🖐🔐
Rip in peace to all my beloved ones i miss u a lot darlings
It's more than pain
Kaka Hilo Gari linatungoja
Bonge Bonge la kipaji, kuanzia ubunifu daaaaa daaaa
Nimeangalia imenitoa machozi
Brooo umetshaaa hili gari kweli noma
R.i.p my sister 😭😭😭🙏
Ila umeingaaa jamn
Pure talent aisee
Hili gari 🙋♂️
Rip comrade Evans Njoroge aka masaai...
Talentiiiiiiiiiii
Rest easy my Father 😭😭❤❤
Daah...kwel Gari halina leseni na Gar halina hata vioo
Ili Gali linibeba baba Yangu Allah akulaze Mahali pemaa baba Yangu😭😭😭😭😭
Ubunifu .. dah .. hatari 🔥... Sijapata sikia idea kama hii. Ur da best bru🙏🔥🔥🔥🔥👑👌🇰🇪✅
Mtafute jamaa Anajiita Albajuni ameshafanya hii kitu inaitwa gari la mwisho
@@muhamedsaidsaleh1539 iki TH-cam?
Ka copy kwa albajun from Zanzibar
@@dadychaps7527 ndio ni mashair ya ALBAJUN KUTOKA ZANZIBAR
Nimeiona, Watu wanafikiria sana mistari. Hongera kwa wote.... 🔥🔥🔥💪🇰🇪✅
Nilijuwa Yule mwenyewe alieimba kumbe kakopi
Mungu akutie nguvu mwa jina hongera
Majina yetu hayo😁😁
Kabisaa Majina adimu sana, Majina ya Wahenga
@@magambojohn5712 😁😁
Rest in peace my mom and dad and young sister and young brothers 😭😭
Polee
Shairi liko njema
Amiin limetufika
Safi sana bro..
Bonge la ujumbe aiseee
Mwamba anajua 🙌
Aisee mwamba anajuaaah
True Brother 🙏
Hakika haswaaa
Nomaaaaaaah
R.I.P MY LOVER AMANI😭😭😭
Magambo ananitisha
Nakubali mwamba we unajua
Big up Magam o
REST IN PIECE MA MOM!😭🙏
Pole mpenziiii🎀😓
Polee
Poleee
@@happydepretty1817 thanks dear 🙏
@@christinajmnkenyi724 ahsante sana🙏
🙌🙌👏
Ujumbe mzitoooo
Talented
Rip my anko Geoffrey kelaty
Ukweli n kwamba Mwamba Anajua
Rest in peace Dady 😥😥😥
Waah hiyo ni noma
kinacho nishangaza watz lugha yao ya kiswahili ni ngumu kwao kingereza ndiyo sahihi wabongo
Mwamba anajua
Kayiranga didace
🔥
Rest in peace father 😭
Noma sana 🙏🙏
Rest in piece my dady
Talent boy 😢😢😭🙌
Hayo sio mistari yake ameichukuwa kwa albajoun kwa nasheed yake yaitwa Hili Gari basi hata haya hana hataji mwenye shairi
Weraver
Kwan akichukua Kuna ubaya gani, ndio maana ya mashindano
Sio Kama Kuna shida make unayemsema hatumujui tunamjua yule katuwasilishia
Yule kazungumzia mengine na huyu anazungumzia vingine kasikilize vizurii alizungumzia dhambi zake na huyo mwamba anazungumzia jeneza buddah
Kachukue na wewe
Very moving 😭😭😭😭😭😭😭😭
Hatarii mnoo
Unaweza mwamba
Huyu JAMAA ANASEMA AT SIJUI APUNGUZE AACHE IKO SAWA
R.I.P My sister
Rip my mama😭😭😭
Nimelia kiukweli
Mpooo vizur
Kazi nzuri
😭😭😭😭😭 R.i.P mpenz wang umeniacha mpweke hili gari 😭😭😭😭😭😭😭 nakumix Sana happy Wang
Pole sana budah.
@@evanceaboke9381 Ahxnt ndg yang
Pole sana ndugu
Pole sana
Iligali iligali jamani iligali liacheni