UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 02|UNITED KINGS|DANCERS WAMOTO TANZANIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 มี.ค. 2021
- Hii ni TOP 30 ya Mashindano ya Unitalent show/ROBO FAINALI safari ni moja wanavyuo kutoka vyuo tofauti wanashindana kwenye stage moja wakiwa na vipaji tofauti ili kuibua vipaji vipya na kukuza soko la sanaa hapa nchini
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #starstudent #talentsearch #maroontv
Hawa wasiruhusiwe kushiriki mashindano yote kuna watu wengine pia wanataka kushinda 😂😂
Wasiposhinda hawa tutakao andamana tujuane hapa tuanze mipango mikakati 👇
Kweliii wasipo shindaaa tuandamaneni
mmoja wapo mm nitakaeandamana
Nakubaliana na wewe
Kudadadeki wasiposhinda hawa tuandanane jamaaniiiiii eeeeeeeeeee
Unistue tunaweka vurugu kutakuwa hapakaliki kabsa naja na vilipuzi kabsa
I enjoy watching this fro..kenya wapi likes za kenya
This is really encouraging this boys will go far..wapi likes kutoka Kenya lakini
Noma saana
😂😂
Vijana hawa ni Hatariii sanaaaaaa. Jamani Wadau Wote tuwape Support ktk Vipaji hivi vya Tanzania. 🤴🤴
Yan mm nailudia kila muda gonga like ambao tunailudia hii
Tuko pamoja n mm nailudia
Daaaah hizi jamaa ziko Moto 🔥🔥🔥, balaaaaaaaaaaaa UNITED KING YOUR THE KING BR🤙🇹🇿🤙
Much love from Kenya🇰🇪
From 🇰🇪🇰🇪love this guy 💯✌️
Joining from Kenya. I swear I love you guys. Tanzania got talent. Big up
An amazing dance guys,,,but kwa maoni yangu before the end "samapangala song vunja mifupa" would have killed it even more,,,😃😃 mob love from 🇰🇪
Yaani hadi majaji wanakosa la kusema😂😂😂 hongera kwao, kazi nzuri ila wajiepushe na vijimakosa vidogo vidogo🇰🇪
Niwabunifu ...Mara nying mnakuja na story..mpyaaa ....you guys n 🔥🔥
Hamna mpinzan yaan BIG YES
Old is Gold aseee yaan Mziki tu mtu unaanza kutabasamu kabla ya shoo kuanza🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Wanangu fanyeni zaidi ya mlichofanya apo,,,, ndy principle ya kaz na mafanikio for sure nyie ni international levels Tanzania to the world
Watching frm babatiii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣these guys killed it, mob love from Kenya.
Mjumbe niletee hao wote kwenye harusi yangu jumamosi ijayo
I came for sth else in TH-cam but after i found an Update for these guys..Hail To them..I Bow×3
They Really Nailed It.
Yan kiukwel hawa jamaa wanajua san zaidi ya sana yenyewe,natoa TAMKO RASMI hawa jamaa wasiposhinda naandamanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥 me kama jaji mkuu sina la kusema tukutane FINAL 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
They are amazing talented 💪👏👏👏👏👏
Hongeren kwa ushindii big up san tok pande za mara borega city
these guys deserve a perfomance on america got talent🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimerudilia mal kumi ❤😍😍😍😍
Daaaa wauni wanawezaaaaa
hii shoo ni kali ilitakiwa kupigwa mambelee aisee hii show ni fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
What a good performance....😍😍
OMG very impressed for sure...big up.💪💪🙌
I really enjoy you guys you are the really Kings...keep it up..UNITED KINGS ..much love frm 🇰🇪🇰🇪wapi likes jamani....👊👊👊
🇨🇩👁️👁️SAFI SANA THAT ONE IS 🔥 FIRE BRO
United kings of African sincerely i real appreciate your performance
Mmmmmm hawa jamaa ni world classic, Tanzania tujivunie kuwa na treasure like this, kama sio mabigwa hawa basi sio bahati yao tu nawafatilia sana ndio maana wanaongoza kwa views wanatushawishi mashabiki, daaaa Good luck
Sikupingi Mr ibr, guys are very talented,, apa naludia kuiangalia
Kwel kumbe umeliona hilo
Whaaaaaaaaat I've been waiting this for so long its really amazing united kingz 👑 u killed it one love unitalent u brought us the really dance kings
Kwanza naomba jina kamili la jina mliloanza nalo 😁😁 sanguloo mamaaa hatari sanaa 🔥🔥 U deserve to win
@@johnnkya8839 for sureeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sio India tu hata tz kuna vpaj🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿love my country
Congratulations we are waiting for finals 🔥🤗
Na watolea Kofia Aya Maajama ni Mabonge kwa juuku la Dance love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Madogo wako vizuri!!💥💥💥🚀
G.O.T dancers you deserve United Kings of Africa 👑
From Uganda.....these young guys are good👌
Wow I mean I really appreciate you guys for your nice talent thanks for your ambition God bless you Africa heartful kids
Hawa ndo top yaooooooo
Wah💯💯💯litt
This guys are really amazing for real I love them
Amazing talents in Africa.🤗👌😱😱😱
Wawoo am from Saudi Arabia bat i love you so much guys 👆👈👈👈👈
Aaaah wanangu eeeh ... Mmeua sanaaa mmetishaaa... Endeleeni hivo hivo wanangu ... Big up sana 👍
I have been waiting for this homies. Msilale vichwa visivimbe mkairithika keep on woking hard its not over yet i really wish u bring it all in the finals,i really hope u win thissssss ish dont relax until its finaly done. Respect
i guess Im asking randomly but does anybody know a way to log back into an Instagram account..?
I was dumb forgot my account password. I appreciate any assistance you can offer me.
Daah hawa jamaa wanauwa sanaaaa hongerenii sanaaa
Wanyama sana 🔥🔥🔥🇰🇪✅
This show deserves more viewers, these people are awesome
N amaizing awa guys wapo gud xana ad me nataman niwe nadance Kama wao
Washkaji wapo creative kinoma. Real talent 🔥🔥👍
And this one is really amazing 😍😍😍 cheers ❤️ keep the fire 🔥 burning young ones
Very very very Talented.!!!
AFROCONGO 🇨🇩👀 MUSIC IS FIRE 🔥😎🇨🇬
Aisee Hawa madogo ma King 👑 of dancer Africa
Hakuna Kama HAWA Tanzania ata kina moze iyobo wa wcb hawawez wafikia hawa jamaa ata robo
Iyobo hii show haiwezi,,, yeye akakate Mauno mabichi TU😂
Hawa ni kisanga Tz nzima hakuna wakuwafikia wako firee ile mbaya
Ndugu msiseme tz nzima kwani kabla ya hii show mlikuwa mnawajua tembeeni muone wapo wengi tu zaidi ya hao sema hawana sehemu ya kuonesha kipaji chao
Wcb ata wasisubutuu kujifananisha wee
Ww acheni mambo yenu nyinyi mmezunguka Tanzania nzima?
Men at work
Fireeee
From 254 mauwezo wadau
This boys nah kill me oooh. ...no wahala. ..big up guys
T.I.D ni judge mzuri.
Zaidi ya hawa vijana sioni, Mungu Tu🙏🙏🙏🇰🇪✅🔥🔥🔥
I’M PROUD💪
WELL DONE
Am proud of yoh for making them who they're today....I love the spirit yoh gat dada zawadi🥰🥳
Hongera kwa kuunganisha masuper ster wa dancing
Bon travay timesye SPH 509 avèw
It said a picture is a thousand of words,I say a dance particularly these is a thousand of words raised to power of infinity.
My kind regards from Nairobi.
Love ❤️ from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
Aki your talented guys penda nyinyi sana
Frenkkk naonaa kiwango chako keep it up brother
Dr. Tuuga from Kenya. Love it guys.
Ohhhooo guys u always make us proud 😫🥰🥰
Good job me amours😘😘😘😘😘
Siwapewe tu hizo milion hamsin tunasubiri nn wanajuaa
Kweliii maana na ona Kama mpira league ingekua washa chukua kombe
Akiiii 😊😊jamaa wanajua had wanakeraaaaaaa🙌🙌much love
noma sana mabroo wanaijua Kaz nzur sana
🔥🔥🔥 this made my day better😅
Wueeeh..you people manzeee 💖💖💖💖lots of loveee .you killed the show❣️❣️💯💯
Invisible dance moves cool than never
Holly shiet💥💥💥I love this
I have already copy paste some of the moves🤭 I wanna meet you guys
Noma sana na ajira wapate vijana wana vipaji
Hongereni Mungu awatangulie hichi ndicho madamu Vanessa mdee ankiitaka
We.. Nitakupiga wewe.. More fire
Nice men I know u will go far🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ur group title hold it all❤️# kings#❤️💪💪💪
That's really amazing
Kenya massive,tuko ndani ndani,straight fire
Wow trop forts ce qui m'étonne c comment ils ont fait pour se retrouver et former ce groupe de choc
This is pure talent.......much love ❤ 😍 💖
Jmn wasiposhinda hawa kuna figisu 😂 😂
You are the best of all
I feel like you guys deserve to be on the biggest stage which AGT. @AGT
MA BOYZ
🔥🔥🔥🔥🔥
Mmmmh mnaweza sanaaaa
Safii sana wana iko poa hiyo
Wameuwa much love
I would like to thank zawadi ( zagotora ) who made them who they're today.....we enjoying from yoh guys ,I love the energy♥️🥳
Thanks for watching
Real sarki yafi sarki ✅
Mmetisha Sana kazi safi sana
I like that creativity
Any Ugandan here🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Wameuwaaa 🔥🔥🔥🔥
Congratulations 🙏🙏💯💯