ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2022
  • ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #AbigailChams #Closer
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 195

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 8 หลายเดือนก่อน +3

    Wasafi mrudisheni Alya katika utangazaji. Mnakosea sana kunuweka benchi

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 3 หลายเดือนก่อน +1

    You present Tanzanians artists around the globe 🌎🌍 big up Abbigail

  • @remarkable_reene
    @remarkable_reene ปีที่แล้ว +25

    yaan amenifurahisha sana reaction yake alipoulizwa habari za cjui kikuku kuhusishwa na udangaji, this is a perfect and clear mindset ya kwamba yupo busy na kufanya mambo yake yanayomwingizia kipato kiasi kwamba hana muda wa kujua upumbavu wanaowaza watu mitaani.

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว

      Angekuwa gigi najua asingeulizwa maana ni mambo yake.....🤣

    • @Paplick9
      @Paplick9 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂 kama vile havimshtui

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 6 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda kanvyoongea🥰🥰🥰🥰😘😘

  • @user-kn5ep9ek6c
    @user-kn5ep9ek6c 10 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri sana, ila tatizo ni moja tu kuvaa uchi na kushikwashikwa na wanaume hadharani dunia nzima inakuona. amua moja kubaki na yesu tu au kubaki na dunia.mama ABY unaonekana hutaki mwana adhalilike , vipi hayo mavazi ya ambayo hayamsitiri mwili wake?

  • @FatmaMikidadi-uw6pq
    @FatmaMikidadi-uw6pq ปีที่แล้ว +3

    lov u abby na ni kwl dada

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 ปีที่แล้ว +13

    this girl is 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 ปีที่แล้ว +4

    19 ans petite fille 😍😍😍 vizuri zaidi umshukuru mzazi wako alokuweka shule mapema👍🤲🤲🤲

  • @user-fn6sw3ey5r
    @user-fn6sw3ey5r ปีที่แล้ว +2

    Nakakubali sanaa love u more mummy❤❤

  • @kevinmugambi9914
    @kevinmugambi9914 ปีที่แล้ว +18

    she is remarkable. I'm officially her first kenyan fan

    • @sheeba8334
      @sheeba8334 ปีที่แล้ว +2

      I have been looking for this song and the artist
      .. finally...I have never heard of her but am here for it..so mature eloquent...love her.
      And her vocals.. love love her

  • @harymo-by8gh
    @harymo-by8gh ปีที่แล้ว +2

    sure i salute you ukipata mtu wa ku vibe nae just vibe tuuu 💕💕

  • @josephswai921
    @josephswai921 ปีที่แล้ว +15

    She is very impressive

  • @adinasii
    @adinasii ปีที่แล้ว +8

    UnaOngea harakaaaaa duhhh

  • @beautifulafrika
    @beautifulafrika ปีที่แล้ว +15

    New Vanessa in Town 🤗🥰

    • @andromedagalaxy8627
      @andromedagalaxy8627 ปีที่แล้ว

      Hell nooooo ..... Vanessa was never this dumb.

    • @mercynnko3416
      @mercynnko3416 ปีที่แล้ว

      She is nowhere near being Vanessa, hold your horses

    • @Azaleasky-dn3kb
      @Azaleasky-dn3kb 10 หลายเดือนก่อน

      @@mercynnko3416 you bitter AF

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 ปีที่แล้ว +8

    Niliyategemea hayo 🥺 wokovu sio lele mama (yesu n mzito wa pendwa habebeki Ovyo ovyo

    • @giftgodson5603
      @giftgodson5603 ปีที่แล้ว

      Hakika

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 ปีที่แล้ว +2

      Acha dharau, Kama unaona Yuko dhaifu muombee sio kumsimanga

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 ปีที่แล้ว

      Wewe Kama Nani? Watabiri wachawi Kama wewe, eti ulitegemea😳

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 ปีที่แล้ว

      @@sheckycobb5240 mimi kama mm.ulitaka niwe vp.alafu mchaw mwenyewe

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 ปีที่แล้ว

      @@sheckycobb5240 hata wewe unaweza kumuombea huna imani au.kuwa na hakili wewe mazingira yanachangia Sana kuleta vishawishi.umeokoka halafu inaenda baa utadanga tu 😒

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa2503 ปีที่แล้ว +4

    Daaaaaah kweny mia nasikia moja anaongea uyu duuuuh😀😀😀😀😀😀

  • @RukaiyaShaban-zk8pg
    @RukaiyaShaban-zk8pg 10 หลายเดือนก่อน

    napenda sana mwana music msomi kama wwe😘😘

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 ปีที่แล้ว +3

    Huyu dada ana ishi maisha tofauti na sisi wengi😂😂😂 hajui neno kudanga

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 ปีที่แล้ว +6

    Abby i love you so much don't listen to people do your life and follow your dreams always stay true to your self bcz watu wataongea lakn ukwel unaujua mwenyew

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 ปีที่แล้ว +14

    No one should judge her, unless u are God, however, she's just a young girl who wants to experience the world she is a lost Christian but God still loves her. And we pray that she goes back to Jesus.

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 ปีที่แล้ว +5

      You judged her already said she is a lost Christian!

    • @shau78
      @shau78 ปีที่แล้ว

      @@johnmichaellukindo21 saying the status of someone's Christianity is not judging. it is like when you are driving. if you are not on the right lane that is quite clearly visible.

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 ปีที่แล้ว +1

      @@shau78
      Whichever way you're trying to twist it, it's still judging.

    • @itstwinshi2179
      @itstwinshi2179 ปีที่แล้ว

      @@unclepwechnov1381 So tell us how you will say then!

    • @ndimubhanziteze5842
      @ndimubhanziteze5842 ปีที่แล้ว

      Eimen

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 ปีที่แล้ว +37

    She has a colonial mind. Being a community member of a certain people, language is identifying factor. But yes, you have to disown who you are for you to be a little bit fashionable or uniquely accepted in certain society.
    On the other side, watanzania ni watu flani wanaojudge watu sana, mwonekano wa mtu, maisha ya mtu, maamuzi ya mtu kwenye maisha etc. Watanzania tuna ushamba mwingi sana wa kutaka mtu aishi vile tunavyoona ni sahihi machoni petu. Kitu ambacho sio nzuri. Tuna tamaduni zetu hapa Afrika za kuvaa mikufu, ushanga na haina maana hiyo hasi ambayo hii jamii hasi imejiaminisha nyakati za sasa.
    Anyway all in all kama asemavyo babalevo, yote ni maisha na kila la kheri

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 ปีที่แล้ว +1

      Yaani mpaka mi ndio naona aibu yaani wanakataa tamaduni zao mpaka lugha zao .
      Kuna wakati waziri wa uvivu alikuja TZ yaani alikuwa akiongea kichana chake nyie wenywewe mlete mkalimani wa kiswahili , yaani hiyo inaonyesha vile lugha zao, majina yao vyakula vyao kwamba ni muhimu sana

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 ปีที่แล้ว +2

      @@samiraabdimahamed4449
      Huwezi kukataa asili.
      Kusoma ni kustarabika na kutafuta namna ya kujiunga na jamii yako zaidi. Sisemi kingereza ni kibaya hapana ila kuwa mtanzania inajumuishwa na tamaduni zake, kanuni zake na mila pamoja na desturi zake. Ila utumwa na ukoloni umemwadhiri zaidi mtu mweusi kisakolojia katika kiwango cha yeye kujikataa zaidi.
      MalcomX alilalamikia chuki iliyoko kwenye Black Community wanaolimana marisasi na kukataa asili yao ya uweusi. Fratoz Fanon aliandika kitabu kinachoitwa Black Skin White Mask, hii kitabu kimemwonesha msichana mmoja aitwa Mayote Kapsia anayejidai kuwa yeye hatataka kumdate mtu mweusi, hatawahi mkumbatia wala kumbusu mtu mweusi lakini yeye msungumzaji ni MWEUSI KAMA MKAA!
      Ndio maana Walter Rodney aliandika pia, wimbo unaimbwa London, Paris na Newyork ila mtu aliyeko Legos, Kampala, Nairobi na Dar wako busy wakiicheza balaa! Fikria logic in it.
      Mungu aione tuu Afrika kwa jicho la huruma. Ndio maana Ngungi wa Thiong'o aliandika kitabu kiitwacho REMEMBERING AFRICA, na kingine DECOLONIZING THE MIND!
      Tuna ujinga mwingi sana!

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 ปีที่แล้ว +1

      @@samiraabdimahamed4449 sio kweli Hawa watoto wanaanza kujifunza kingereza watoto wadogo sana anakua ni kama lugha yake hawezi kuongea sentensi bila kuongea kingereza.mimi mwanangu anamiaka nane lakini kiswahili anaongea na kumix na kingereza Sababu ameanza mdogo sana so akifika umri huo nadhani atakuwa Ivo

    • @Silvia-su2vg
      @Silvia-su2vg 3 หลายเดือนก่อน

      True

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 ปีที่แล้ว +8

    Tunahitaji mwana music msomi kama wewe. Dada mzuri sana

    • @bekatv1009
      @bekatv1009 ปีที่แล้ว +1

      Kuongea kizungu haimaanishi ni msomi mamaa

    • @FatmaMwinyi-jt2rr
      @FatmaMwinyi-jt2rr ปีที่แล้ว +1

      ​@@bekatv1009Ongea na ww bila kusoma mbona kama imekukera Kingereza mchezo

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 ปีที่แล้ว +1

      @@FatmaMwinyi-jt2rr 😂😂😂😂😂fatima umeuwa unamauwa yako mbinguni mama kizungu mchezo 😂😂😂😂😂

  • @NaphyMacmillan-jh3vc
    @NaphyMacmillan-jh3vc ปีที่แล้ว

    Kwaiyo ww ujawahi kudangaa Dada acha uongo mungu anakuona

  • @jlove5238
    @jlove5238 ปีที่แล้ว +6

    I think media is putting too much pressure on her to an extent she's been exposed to things she actually never cared. Imagine sasa anklet/kikukuu it's a just a body make up or accessory lakini watu kila mara ooh uko na mahusiano ooh uko na mdangaji that's not profession guys yaani interview yoote umbea tu .
    why not supporting her na kuuliza kuhusu kazi zake watu wapate wapi kumsapoti and all kinder stuffs, gladly she's having a very strong foundation on what she believes, hope media spotlights won't confuse her in anyway. God protect her 🤍🫶🏾

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 ปีที่แล้ว +2

    You are my strong woman I love what you do

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 ปีที่แล้ว +7

    Kila kitu Kiko sawa
    Ila hiyo speed ya kuongea ni kutoka sayari ya Mars...

  • @veronicamgeni9414
    @veronicamgeni9414 9 หลายเดือนก่อน +1

    She is very smart

  • @taitadollnicky273
    @taitadollnicky273 ปีที่แล้ว

    Kanajua kujieleza Sana🥰

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 ปีที่แล้ว +4

    Kama kuna wadada mchaga anawazimia hapa Tanzania huyu hapa number1

    • @husnamusa3178
      @husnamusa3178 ปีที่แล้ว

      Sio mchaga n mbondei wa muheza huyu hnanaa

    • @nelsonproches3682
      @nelsonproches3682 ปีที่แล้ว

      @@husnamusa3178 mchaga huyo wew

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 ปีที่แล้ว +7

    MAMA USIWASIKILIZE TAFUTA PESA KWANI UKIWAAMBIA WAKUPE PESA HAWATAKUPA? JIBU NI HAPA..
    PIA USIPANGIWE NAMNA YA KUISHI

  • @rebeccalyimo4707
    @rebeccalyimo4707 ปีที่แล้ว +8

    Very impressive young girl

  • @rehemambedule7531
    @rehemambedule7531 7 หลายเดือนก่อน

    Wakenya wanasema watanzania 😂❤hatujui kingereza hiki ni nini

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 ปีที่แล้ว +12

    Kikuku!?kichiken!?😂 Interview ya huyu mtoto kila wakati inaradha mpya.Nakupenda little sis

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 ปีที่แล้ว +4

    Brava cute girl

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 ปีที่แล้ว +6

    Dada kameza CD

    • @DABBIE
      @DABBIE ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂

    • @claramboya2018
      @claramboya2018 ปีที่แล้ว +1

      Tena cd mbili

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 ปีที่แล้ว +2

    Kazuri kajanja sana

    • @rayanndizeyes3161
      @rayanndizeyes3161 ปีที่แล้ว

      Iyo ni watoto waleo wakisoma izo luga wanaujaja sana ,walimu wanawafuza mambo yote bila kuwafisha, iyo nikawaida nikurukaruka tu.utudu tuko naho ulaya wegi

  • @nameless533
    @nameless533 ปีที่แล้ว +12

    Katoto kanaongea kiswahili kwa tabu sana.

  • @praxedamzena3712
    @praxedamzena3712 4 หลายเดือนก่อน

    Interview ya kimbea sana😢

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 ปีที่แล้ว +1

    Ongea taratibu kidogo.....!!!!

  • @adinasii
    @adinasii ปีที่แล้ว +4

    Sema umechangamkaa

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv8630 ปีที่แล้ว

    Very smart

  • @reganshao
    @reganshao ปีที่แล้ว +4

    You know kikuku😀😀😀😀

    • @biancashamra1761
      @biancashamra1761 ปีที่แล้ว +2

      Chicken 😹😹😹😹😹😹

    • @reganshao
      @reganshao ปีที่แล้ว +2

      @@biancashamra1761 yan nimecheka mno😀

  • @starmakervideos1984
    @starmakervideos1984 ปีที่แล้ว

    hamna noma.

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 ปีที่แล้ว +6

    Tunakupenda sana .tunapenda mziki wako . Tatizo katika kuongea uwe unaongea umetuliya apana kurapuwa 👈 ongea umetuliya kama mtoto wakike .usiwe kama HAMISSA MOBETO 😋😋😋

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mtt mstaarabu mana interview za kwetu hata maji huekewi utapaliwa mpaka ujambe hakuna maji wala juice juu ya meza

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 ปีที่แล้ว +2

    Unaonea kama wafaransa . Mbiyo mbiyo kama mwenye kachelewa gari

  • @rithamabdulrahman2648
    @rithamabdulrahman2648 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ila Abbay alisema anataka kuwa pediatric cardiac surgeon what happened mpaka amebadilisha kusoma businesses and finance can she please tell us

  • @elizaeliza4369
    @elizaeliza4369 ปีที่แล้ว +11

    nakapenda ila kwa jinsi ulivyojichanganya mambo yako sikubali na maono yako

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 ปีที่แล้ว +1

    Unamuacha Yesu .......pole sana

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 ปีที่แล้ว +1

    😍😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰😍😍

  • @EmanuelNicholaus-ru6bt
    @EmanuelNicholaus-ru6bt 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani kiswahili sihiko unaongea wasanii mma mbwembwe duuh

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 ปีที่แล้ว +1

    Anaongea speed sana but smart

  • @lisaulimali-be9dd
    @lisaulimali-be9dd ปีที่แล้ว

    Abigail Wewe sio mwimbaji wa bongo Wewe Ni mwimbaji wa dini

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 ปีที่แล้ว +3

    Demu anaongea kwa kiingereza kwa jazbaaa hadi mtangazaji mchaga OG anatoka jasho anajifutaaa

  • @athanasjoseph9529
    @athanasjoseph9529 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU anajitegemea na hajachanganywa na stuffs nyingine zozote. Kama ukiamua kuwa moto kuwa moto kweli kweli na kama unakuwa baridi uwe baridi kweli kweli. 😂😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @wing9762
    @wing9762 ปีที่แล้ว +1

    Unasema huna mpenzi unavyoshikwa kwenye video huko upati nyege

  • @zuberiabdalah5056
    @zuberiabdalah5056 ปีที่แล้ว +1

    kwakwer kanaongea point tu

  • @naomiqueenelizabeth5069
    @naomiqueenelizabeth5069 ปีที่แล้ว +1

    Jmn yani kwenye mia nime elewa moja 2 , khaa ongea kama mtoto wakike Aby

  • @markwafula2282
    @markwafula2282 11 หลายเดือนก่อน

    Uyu ni mkenya au tz?..

  • @Cariz90
    @Cariz90 10 หลายเดือนก่อน +1

    Interesting people to be clear 😅

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mishgaa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂😂 Kina itwajae kwa kingereza 😂😂😂 Kikukuuuuuuu 😂💦😂💦

  • @patrickndayishimiye9451
    @patrickndayishimiye9451 ปีที่แล้ว

    nauliza kipindi kilikuwa chakiswahili ao kingereza naomba kutafsiriwa

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ni muongo anajua kikuku vzr na mdangaji. Lazima amekutana na hayo maneno mtandaoni.

    • @millymilly7244
      @millymilly7244 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @isunga1964
      @isunga1964 ปีที่แล้ว +3

      Kikuku ni urembo tu mpendwa nilikuwa naogopa kuvaa lakini sasa hivi navipenda sana

    • @FatmaMwinyi-jt2rr
      @FatmaMwinyi-jt2rr ปีที่แล้ว

      unamjua kumbe hatar yaan kuna watu bwana

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว +9

    Sidhani kama ni sawa kupost vile na unaongoza worshiping unapokuwa na kanisani. Wakristo tusifanye ukristo kuwa mwepesi sana. Ina maana utembee uchi halafu useme mi sina boy friend?

    • @remarkable_reene
      @remarkable_reene ปีที่แล้ว +3

      jamani sasa kutembea uchi kuna husiana nn na kuwa na boyfriend?? Mtu akiamua kukaa uchi hata awe na boyfriend au la atakaa tu uchi muwege mnajitahidi kufikiri kabla ya kutoa hoja hahahahaaaaaa

    • @itstwinshi2179
      @itstwinshi2179 ปีที่แล้ว +1

      In other side I can support you, Iam not perfect either so I can not judge anyone. Lakini kuwa mkristo halisi inahitaji kujitoa asilimia 100%.
      Wakristo wengi now tunakuwa vuguvugu (warm) not hot or cold. Hili kweli sio jambo zuri, ila ndo hivyo Kila mtu na maamuzi yake, Ndo maana hata Abby ukimsikia anasema "Mbinguni nitaenda Peke yangu" kwa hiyo Kila mtu anajua anachokifanya.

  • @josephchiluka9357
    @josephchiluka9357 ปีที่แล้ว +5

    Nakipenda hiki

    • @mmn7480
      @mmn7480 ปีที่แล้ว

      😁😁😁sijependa

  • @kulway4669
    @kulway4669 ปีที่แล้ว +1

    hata kama

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 ปีที่แล้ว +4

    bwana kingeleza kingi sana yani sijaelewa k2 utazan umetusomesha wewe kwan wewe sio mtanzania

  • @saudamayowela7636
    @saudamayowela7636 ปีที่แล้ว

    Kwani hajui kiswahili,nahisi kuumizwa maskio hivo anavoongea

  • @wairimu9113
    @wairimu9113 ปีที่แล้ว +1

    Kama bintiye Christina shusho 😊

  • @bestonmambo2623
    @bestonmambo2623 ปีที่แล้ว +5

    Closer video is coming soon x harmonize

  • @omarymhina6268
    @omarymhina6268 ปีที่แล้ว +5

    Kininda iki anaongea kma mashine

  • @Binti-wakinyakyusa
    @Binti-wakinyakyusa ปีที่แล้ว +1

    Akikuwa ataacha!!! Atamrudia mungu.. bado teenager…

  • @abinelikagezi9217
    @abinelikagezi9217 ปีที่แล้ว +11

    Hii nayo kenge tu kama kina Paula UTOFAUTI ni elimu...hii imesoma Paula kichwa maji( mbumbumbu)

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 ปีที่แล้ว +3

    Yani mtangazaji adi akumbuki maswali mengne kwa kuchanganywa na hii cheleani ya English

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 ปีที่แล้ว

    Ndio anakuwa 19 yrs akionja boloconsss atao na utam atakuwa kama Gigy

  • @neemasamwel8968
    @neemasamwel8968 ปีที่แล้ว +1

    😂😂

  • @bakthirian
    @bakthirian 11 หลายเดือนก่อน

    Kwani dini ya kikristo inaruhusu mtu kuvaa nusu uchi na kushare na watu picha kama hizo?….naomba kufahamu hili tafadhali

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 ปีที่แล้ว

    Anatuchoshaaa na kizunguuu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly ปีที่แล้ว

    Huyu naye atupishe

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo ngeli nyingi

  • @magrethmhando5966
    @magrethmhando5966 ปีที่แล้ว +1

    Mbona wa masai wanavaa vikuku na hawaitwi wadangaji ndo kwanza mnawataka wavae kama sehemu ya kupresent tamaduni also wahindi wanavaa vikuku pia people are ignorant.

  • @pendokileo7882
    @pendokileo7882 ปีที่แล้ว

    Mkuku😃😀😃😀what is mkuku???

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo ปีที่แล้ว

    Married to work

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 ปีที่แล้ว

    Tutafute hela tuu.

  • @irenedamas4806
    @irenedamas4806 ปีที่แล้ว +3

    Unaongea kama mzaramo😂😂😂au ume share ndugu uzaramoni lakini unaongea umechangamka mpaka raha

  • @Danyota18
    @Danyota18 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂

  • @iambaizo
    @iambaizo ปีที่แล้ว +3

    Mezaga mate na wewe utakuja kupaliwa !

  • @danreborn8231
    @danreborn8231 ปีที่แล้ว

    Huyu anatoa Paula nje mara ishirini

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 ปีที่แล้ว

    Unaongea sna mbk una boa akiii duuu

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 ปีที่แล้ว +1

    😅😅😅😅😅😆😇🥰

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l ปีที่แล้ว

    Anaongea englesh mtangazaji anashindwa kuhoji make aelewi

  • @RechoMsuya-fq1yp
    @RechoMsuya-fq1yp ปีที่แล้ว

    Hv huyu ni mtanzania au

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 ปีที่แล้ว

    Unaongea haraka

  • @johnnytravo
    @johnnytravo ปีที่แล้ว

    Mwanamke anastahili heshima
    th-cam.com/video/iYjijfV-YRw/w-d-xo.html

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 ปีที่แล้ว

    Anaongea duh

  • @januarykasongo9298
    @januarykasongo9298 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaj kaishiwa had pozi..dada anaongea kama upepo

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 ปีที่แล้ว

    Kenge maji wewe

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 ปีที่แล้ว +2

    ni mzur lkn mavaz yko na unavyojiweka inavunja ile utu wako unakaa uchi mm sion km umejistir yani unaonekana muhun kweli mungu hakupi vyote waswahili wamesema hvo