AHMED ALLY AONGEA KWA UCHUNGU CHAMA SIO MCHEZAJI WETU TENA SIWEZI KUMUONGELEA FEI NDIO MBADALA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 142

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 3 หลายเดือนก่อน +20

    Huyu jamaa yuko smart Sana siyo wale oya oya ndiyo maana halisi ya semaji la CAF nakubali semaji one love❤❤❤❤

    • @cosmasmwaitete5004
      @cosmasmwaitete5004 3 หลายเดือนก่อน +2

      Yuko smart anaacha kuhojiwa anaulizia kula hahahaaaa

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 3 หลายเดือนก่อน

      @@cosmasmwaitete5004 kajambe 😂

    • @CeciliaTimotheo
      @CeciliaTimotheo 3 หลายเดือนก่อน

      Simba nguvu moja, hata mm namkubali sana Ahmed Ally🦁💪🙏

    • @isakajunior7139
      @isakajunior7139 3 หลายเดือนก่อน +1

      Unajua maana ya smart? Huyu si ndo alimpromote Feisali kwenye page yake? Akamhoji mayele mchezaji wa timu nyingne? Huyo ni smart ktk level ya umbumbu kwasabbu huwa anakurupuka sana ktk vitu vingi sana

  • @milikimbembela8670
    @milikimbembela8670 3 หลายเดือนก่อน +8

    Unaongea kisomi sana bro nakubali✅✅✅

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 3 หลายเดือนก่อน +1

    Miaka 3 chama yuko simba hakufa chochote ila migongano na coacher au wachezaji bora ameenda ndo maana alitaka mkataba wa miaka 2 maana umri umeenda ale mshahara wa bure pesa aliyotaka yy tunaleta wachezaji 2 na vijana bado maana tumeondoa kirusi ktk simba utaona simba bila yy ni bora

  • @RamsonAloyce
    @RamsonAloyce 3 หลายเดือนก่อน +4

    J.mtale yupo msiwaze semaji liko sahihi.

  • @AmiriHamisi-s5z
    @AmiriHamisi-s5z 3 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂 zima mzk semaji linaongea

  • @RenatusFumbuka-gw4jo
    @RenatusFumbuka-gw4jo 3 หลายเดือนก่อน +12

    Ronaldo kaondoka Madrid na bado wanatamba TU sembuse chama

    • @skullboy_karimh
      @skullboy_karimh 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hili nalo limekuuma axee. 😂😂😂😂

    • @KakeSimba
      @KakeSimba 3 หลายเดือนก่อน

      Sembuse chama Hilo neno

    • @mabruckmohamed2699
      @mabruckmohamed2699 3 หลายเดือนก่อน

      Aondoketuu

    • @NasraSeleman-nr8el
      @NasraSeleman-nr8el 3 หลายเดือนก่อน

      Hahaha huna ishu

  • @EvaNtalwila
    @EvaNtalwila 3 หลายเดือนก่อน +2

    Semaji la chama langu, upo vizuri sanaaaa❤❤❤

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mi ni simba forever mie sio mshabiki wa chama mi ni shabiki wa simba

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 หลายเดือนก่อน

    Semaji uko vizuri ila tuna omba viongozi wawa sajili fesali na fisitoni mayele fuledi Hana uwezo wa kuchezea simba naye aende au mukopeshe kwa mkopo

  • @gnasnassary9475
    @gnasnassary9475 2 หลายเดือนก่อน

    Ase katika hatua Simba tuliyopiga ni hii ya kumnasa Ahmed Ally aka kispika 😅😅😅ana piga shuti la kuwanyamazisha midomo wapinzani lenye spidi ya treni sgr😂😂😂

  • @florianhaule4757
    @florianhaule4757 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali Sana mashine yetu ya kuongea

  • @bonifacemgaya3448
    @bonifacemgaya3448 3 หลายเดือนก่อน +3

    Acha aende kazingua sna, utaniambia mziki tulionao Simba usajili huu utafurahi mwenyewe, Kila dirisha ana oandisha dau, sasa uko alipo enda uta niambia!! Nipo palee nakaa

    • @JoslinMwakasonda
      @JoslinMwakasonda 3 หลายเดือนก่อน

      Ata kuandika aujui..ndo maana aueleweki

    • @bonifacemgaya3448
      @bonifacemgaya3448 3 หลายเดือนก่อน

      @@JoslinMwakasonda Bora wewe unae jua mungu amekubariki,

  • @SwafaaSaid-s5y
    @SwafaaSaid-s5y 3 หลายเดือนก่อน

    Wapo wapi kinaokwi kagere sembuse huyo chama aende tyuu

  • @Laurentjoseph2001
    @Laurentjoseph2001 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watakuja wengene tu na mtamsahau chama, Simba nguvu moja

  • @charlestesha4202
    @charlestesha4202 3 หลายเดือนก่อน

    Simba ndio imemtengeneza chama maana chama ametambulishwa na Simba naamini tutapata mfalme mwingine km chama wangap wamepita na bado Simba ipo imara Simba nguvu moja

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 3 หลายเดือนก่อน

    Mwacheni chama aende , kule yanga watu wanafuata pesa za tozo, zinazotolewa na waziri wa mshiko

  • @protaspessa8615
    @protaspessa8615 3 หลายเดือนก่อน +5

    Bora ameondoka kelele zipungue ndan ya simba
    Simba kubwa kuliko mchezaj yeyote

  • @EddyMundo-j5x
    @EddyMundo-j5x 3 หลายเดือนก่อน

    Siku zote hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho tupo kwa ajili ya kutengeneza timu na si kumnufaisha mtu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 หลายเดือนก่อน

    ILA NYIE MNASHANGAZA SANA KWANI CHAMA NIWAKWANZA KUHAMA TIMU?WAMEHAMA AKINA MESSI NA RONALDO NA MBAPPE HAO NI BAADHI TUU CHA AJABU NNN? WACHA WAPOTEZE MUDA WAO. HAWANA KAZI HAO. SASA ANGEKUWA MBAPPE BASI WAN NI MBAPPE INGEKUWAJE? C WANGETEMBEA NCHI NZIMA TUJIFUNZE KWA WENZETU HAWANA KELELE

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb 3 หลายเดือนก่อน +1

    watu wa mtaani kwangu nimewaambi yanga kumsajili chama ni mwanzo wa kuharibika kwa yanga ni mtazamo tu maana sajili yake ni ya kisiasa hivi.

    • @stellaassaa7141
      @stellaassaa7141 3 หลายเดือนก่อน

      unaweza kuwa na akili sana wewe na mtazamo wa mbali sana

  • @KisadoMasta
    @KisadoMasta 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kitu kibaya Kama kujikaza kwenye maumivu makolo kulia ni dawa sio majungu Kama mlimucha talabu za nini mwaka lobo

  • @FadhirHemedy
    @FadhirHemedy 3 หลายเดือนก่อน

    Wale walio haidi ahadi basi watekeleze ahadi zao chonde chonde

  • @AminaMohamedmgomba
    @AminaMohamedmgomba 3 หลายเดือนก่อน

    Mwache aende si kaamua mwenyewe habembeleze yeye nani ? Lakini atajuta

  • @BejaoneAtupele
    @BejaoneAtupele 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka wewe ndio fulaa yetukwasasa unatu weza😂😂zimamziki

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 หลายเดือนก่อน

    Mm nataka simba wahame wote wote wote libaki neno simba tu basi mm nabaki na simba

  • @DevidMarhias
    @DevidMarhias 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inabidi tumuache tu kwani hata yeye alikuwa na kero zake nyingi sana

  • @charlesmarera3497
    @charlesmarera3497 3 หลายเดือนก่อน

    Kwangu sina shida kabisa aende tu alikuwepo umefika muda wake sasa.

  • @oceanmarkcompanylimited4863
    @oceanmarkcompanylimited4863 3 หลายเดือนก่อน +6

    Umechemka sana. Kuondoka kwa Chama unakufananisha na kufa kwa Mtume Muhammad. Acha ujinga huo.

    • @saidsalum6101
      @saidsalum6101 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiyo mjinga wamwisho kwani chama nawachezaji wengine wanautofauti gani alikuwepo mwamba okwi na alikuwepo mbwana samata na kaipa pesa nyingi sana simba kauzwa mala mbili nzima nasimba ikafaidika kuuzwa kwake

    • @AllyHamisi-c7j
      @AllyHamisi-c7j 3 หลายเดือนก่อน

      Hujamuelewa alivyo ongea na alicho kimaanisha ahmedi,msikilize vizuri.

    • @mussakarata6650
      @mussakarata6650 3 หลายเดือนก่อน

      Mbn kaongea vizur kabsaaa na katoa mfano usio na haja ya swali Wala comment

    • @buruhanusongoro7535
      @buruhanusongoro7535 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo alichokosea ni kuwa alitakiwa kusema "aliyekuwa akimuabudu Muhammad (s.a.w), Muhammad amekufa na aliyekuwa akimuabudu Allah(s.w), Allah yupo na hafi milele kwa maana anayepaswa kuabudiwa kwa haki ni Allah pekee. Na msemo huu ulitolewa na Swahaba Abubakar(a.s) baada ya Mtume kufa na baadhi ya maswahaba wakitaka kukataa taarifa hiyo ya kifo.
      Hivyo mfano wa Chama hauingii hapo hata kidogo, chama ni mdogo mno na hajulikani na wengi pia hajafa

    • @ZachariaMalugu
      @ZachariaMalugu 3 หลายเดือนก่อน

      Ww kumbe ni chizi chama ni nani ww au chama na Simba Nan mkubwa usiishi kwa kukalili muache akatfte masilahi yake hata kama ungekuwa ww

  • @AthumaniKiyaka
    @AthumaniKiyaka 3 หลายเดือนก่อน

    Asei amedi aliy unajuwa kuongea we kwali mashine

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 3 หลายเดือนก่อน

    Nina imani na Simba yangu na sikuwa na imani kwa chama peke yake

  • @AbdullahChuma
    @AbdullahChuma 3 หลายเดือนก่อน

    Mue mnaelewa ni mfano katoa wa kidini kujenga hoja yake

  • @HgguHhij
    @HgguHhij 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂kaaaaa emmanuelmayunga 1518 nimecheka mbaka basi chama anakomwe kama kipaa kwakweli mwamba tunampenda tusijidanganye inatuumasema kujibalaguza

  • @TheobardMtakyara
    @TheobardMtakyara 3 หลายเดือนก่อน

    Semaji uko sahihi kwani wao mayere je

  • @kulwahemedi1110
    @kulwahemedi1110 3 หลายเดือนก่อน

    Dah uyu hanamfano hapa bongo apewe maua yake

  • @AbdullahChuma
    @AbdullahChuma 3 หลายเดือนก่อน

    Kuweni makini yule mungine ni oya oya

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 3 หลายเดือนก่อน

    Timu isiishi kwa kumtegemea mtu. Simba itakuwa bora tu hata bila chama

  • @MuhibuHaji
    @MuhibuHaji 3 หลายเดือนก่อน

    Kwele ndokwanzaleo umeongea p

  • @UbapaMchoroa
    @UbapaMchoroa 3 หลายเดือนก่อน

    Eilm ipo semaji ujawai kukosea

  • @IssaSeleman-b2t
    @IssaSeleman-b2t 3 หลายเดือนก่อน

    Msemaji mwenye akili timamu

  • @IddMMhina
    @IddMMhina 3 หลายเดือนก่อน +2

    Chama anaumuhimu wake Simba tumepoteza mtu sana..hata tusemeje lkn tumechemka.

    • @makejamaduhu7618
      @makejamaduhu7618 3 หลายเดือนก่อน

      Watu wanajifariji tuunila ukweli umesema na akitupiga TU hata goli Moja ndo tutakapoumia yaani wewe acha tuu. Sisi tuwabebea kichwa wao morson lakini wao wamepiga pakubwa

    • @andekisyenasibu312
      @andekisyenasibu312 3 หลายเดือนก่อน

      Chama ameisaidia nn ssc tangia arudi kutoka Rs Bekane? Mfate

    • @abiaslaurian9331
      @abiaslaurian9331 3 หลายเดือนก่อน

      Football ni biashara hizi mambo ni kawaida tu hakuna pengo wala mwanya

    • @somonmumba9577
      @somonmumba9577 3 หลายเดือนก่อน

      Maisha yanawezekana bila chama ndugu wacha kuishi kwa kukariri

    • @shaabanmaziku9045
      @shaabanmaziku9045 3 หลายเดือนก่อน

      Sema umepoteza sio tumepoteza.. kama vopi hameni nae

  • @BabamankerPresenter
    @BabamankerPresenter 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali semaji la caf

  • @Hbboban
    @Hbboban 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kumlilia chama tu kumlipa aaah😂😂

  • @suleimansalum4049
    @suleimansalum4049 3 หลายเดือนก่อน

    Huna lolote wewe mbona ulipokua misri ulimtafuta mayele na kuongea nae kwani yule alikua mchezaji wenu.....?????
    Inawauma..

  • @johnurassa3209
    @johnurassa3209 3 หลายเดือนก่อน

    Acha siasa mpira ni sayansi vunja mikataba mliowaleta kwa pacent zenu hatumtaki Jobe ,onana,abubakarsir,,Fred,kanute,

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika mwaka huu ligi ni ngum,simba fanyeni usajili kweli maana bila upendeleo yanga iko vizuri,kwa safu yao,ukiangalia Aziz k,pakome,chama,gwede,mzize,max,chama,hakika inatisha,sasa pamoja na kuleta dam changa lakini kama tutataka turudi kwenye ufalume wetu lazima kutafuta wachezaji wenye uzoefu na wenye uwezo wa hali ya juu,kwa hyo nilazima ufanyike usajili wa gharama.

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 หลายเดือนก่อน

    Kaondoka medi kageree

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 หลายเดือนก่อน

    Jobe hatumu taki eende

  • @KakeSimba
    @KakeSimba 3 หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu 1 chama ndonani

  • @richardmwaibula1582
    @richardmwaibula1582 3 หลายเดือนก่อน

    SIZITAKI MBIVU HIZI.

  • @SalumAbdallah-u8t
    @SalumAbdallah-u8t 3 หลายเดือนก่อน

    Acha kufuru wewe

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 3 หลายเดือนก่อน

    Timu kubwa sikuzote lkitaka mchezaji sehemu yyte anachukiliwa tu unasemaje??

  • @tobadinamhegele8055
    @tobadinamhegele8055 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inauma lakini mtasahau kama Sisi tulivyoumia kuhusu mayele, lakini ilifika mda tulikubali na kuelewa kua timu Ni kubwa kuliko mchezaji ..mjipe mda mtasahau tu

    • @KakeSimba
      @KakeSimba 3 หลายเดือนก่อน

      Nikweli mtani Hilo neno

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 3 หลายเดือนก่อน

    Kama jobe yupo Simba Amna kitu kwasasa wala sipati tabu yakushaingilia timu yetu ya wababaishaji

  • @aishakamota6012
    @aishakamota6012 3 หลายเดือนก่อน

    Wapo zaidi ya Chama Chama aliikuta Simba na ametoka atakuja mwingine atatoka mwingine tena atatoka kikubwa umakini kwenye usajiri ili kumsahau aliyepita unahitajika hatutaki kubahatisha usajiri huu

  • @yajuxFinaliste
    @yajuxFinaliste 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mbona sauti Dongo .nipe like zangu kwaza ,🇨🇩🇨🇩

  • @ElizabethSararajeck
    @ElizabethSararajeck 3 หลายเดือนก่อน

    Simba nguv 1 Simba nikubwa kuliko chama acha aende zake mbn Simba ijayo inafurahisha

  • @MashakaMaduhu
    @MashakaMaduhu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna. Noma. Shehe❤😂😢😮😂❤

  • @wambulamatale-ch5wj
    @wambulamatale-ch5wj 3 หลายเดือนก่อน

    Kiukwel mm binafsi chama kaniuma kwenda yanga Bora angeenda Azam au biashala au nje ya nchi kulko yanga dah yaan naskitika kama vile kaaga dunia😂😂😂😂😢😅

  • @lusajomwakajoka4955
    @lusajomwakajoka4955 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi nilisema simba ilitufke sehem nzur lazima cham aondoke amezeeka mguu mbovu kama majinjah aseeee anakimbia kama kilema na wakati n mzima

  • @YohanaMadaha-y8l
    @YohanaMadaha-y8l 3 หลายเดือนก่อน

    Sahivi unajishauaa tu ! Jana ulisemaje weeeee ! Hahahaha 🤣🤣 kolozidaaadi nyiee 🤣🤣

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa kakosea nin kwa kunukuu kauli ya saydina Abuu bakar sema yey kakosea sentence isimayo aliye kua anamubudu Allah Allah yu hai

  • @KarimMatua-u1d
    @KarimMatua-u1d 3 หลายเดือนก่อน +2

    Iila harmonize

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 3 หลายเดือนก่อน

    Chama ni binadam km wengine ,, hta asingetoka ipo siku angestaaf,,

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 3 หลายเดือนก่อน

    Yani mnamwachia chama kwenda kwa yanga mmenifanya nikumbuke zile gori 5 kila mda

  • @FadhirHemedy
    @FadhirHemedy 3 หลายเดือนก่อน

    Wale ambao walitoa ahadi tunaomba itekelezwe jamaniiiiiii!!

  • @stellaassaa7141
    @stellaassaa7141 3 หลายเดือนก่อน +1

    bila kuficha nimeumia sana na nadhani wapenzi wangu wameumia kama mm, lakini mwache aende japo tulimpenda sana, viongozi wanapaswa kulaumiwa kushindwa kumbakiza chama. yawezekana chama alichoka na kero za uongozi labda.
    lakini angalizo kwa chama wachezaji waliokuwa vipenzi vya timu hz 2 ukuhamia upande wa 2 mafanikio huwa kidogo. but tumtakie kila la heri huko mbele ya safari.YAKIMSHINDA TUMWAMBIE ARUDI SIMBA NI KWAKE

  • @CatherineJohn-co7lw
    @CatherineJohn-co7lw 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮

  • @EstherMagan-v1i
    @EstherMagan-v1i 3 หลายเดือนก่อน

    Tulimpenda lakini kaamua kuondoka imetosha tutafute mubadala wa kutuvusha

  • @EmmanueljalamoEmmanuel
    @EmmanueljalamoEmmanuel 2 หลายเดือนก่อน

    Kwel

  • @skullboy_karimh
    @skullboy_karimh 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwenye jina langu ongeza chama jr hapn mbelen🎉🎉🎉 I love you yanga 💚💛💚💛💚

  • @HancDeking
    @HancDeking 3 หลายเดือนก่อน

    Aende Simba ni kubwa kuliko yeye so
    Always simba❤

  • @NerriaGeorge
    @NerriaGeorge 3 หลายเดือนก่อน +1

    For real it's more pain Chama to go to Nyuma mwiko 😢😢but any way let us to forgot him

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 3 หลายเดือนก่อน

    Ila Ahmedally bana. Eti mashine ya kuongea😂😂

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 หลายเดือนก่อน

    we have failed greatly Ahmed;no chama the gap is obvious;bad enough :wale uliwaita Madeni Fc wametupiga mchana peupe

    • @BarakaBernado
      @BarakaBernado 3 หลายเดือนก่อน

      Ww mshamba wa mpira

  • @alikokayange1089
    @alikokayange1089 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli Kama anayempenda chama kuliko Simba ssc,amfuate Aliko hamia.

  • @mirajidrissa9139
    @mirajidrissa9139 3 หลายเดือนก่อน

    Ameingia kwenye kumi na nane ya watu😂😂😂😂

  • @SalminiMussa
    @SalminiMussa 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika simba kubwa kuliko chama

  • @CatherineJohn-co7lw
    @CatherineJohn-co7lw 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 3 หลายเดือนก่อน

    Unahojiwa unawaza kula Daah hili kenge kweli li Amed ally

  • @allykagawa
    @allykagawa 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila huyu jamaaa 🙌🙌

  • @erickmsigomba5340
    @erickmsigomba5340 3 หลายเดือนก่อน

    Aende tu akahongwe vizuri

  • @KaifaAlly-f4q
    @KaifaAlly-f4q 3 หลายเดือนก่อน

    Msimu ujao Simba itashika nafasi ya tano

  • @MerryGaspa
    @MerryGaspa 3 หลายเดือนก่อน

    Ongera sana semaji lakafu ❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @MohamedMustafa-id5gr
    @MohamedMustafa-id5gr 3 หลายเดือนก่อน

    Pa omar jobe bado yupo sana simba 😂😂😂 dah' simba yangu

  • @Itselars77
    @Itselars77 3 หลายเดือนก่อน

    Semaji kafurah chama kwenda yanga😂😂😊

  • @ibrahmenard
    @ibrahmenard 3 หลายเดือนก่อน

    nasibuu vipiii punguza mziki bhanaa😂😂😂😂

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 3 หลายเดือนก่อน

    Ishu ipo wazi..chama kwenda Yanga ndiyo inayosumbua.not otherwise

  • @RamadaniThabiti
    @RamadaniThabiti 3 หลายเดือนก่อน

    Muache aende kama ameamua kwenda .

  • @locksterabdon
    @locksterabdon 3 หลายเดือนก่อน

    kabisa

  • @MagaliAmani
    @MagaliAmani 3 หลายเดือนก่อน

    Chama siokitu acha aondoke

  • @amanifadhi
    @amanifadhi 3 หลายเดือนก่อน

    Huyujama anaakilikubwa

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 หลายเดือนก่อน

    Daa CHAMA NI KAMA MTUME MOHAMAD

  • @Aisha-h1t4e
    @Aisha-h1t4e 3 หลายเดือนก่อน +2

    Semaji Leo umeongea vzr San kwasababu yey ni Nani kwenye simba tuaze maisha mpy

    • @DidahsMisana
      @DidahsMisana 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yyy

    • @Aisha-h1t4e
      @Aisha-h1t4e 3 หลายเดือนก่อน

      @@DidahsMisana wangemuacha saidoo wamutoe Chama mim nimeumia na said huyo Cham aende 2 teen namtakia safari njeem

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 3 หลายเดือนก่อน

    Chama ndio kaamua kuondoka simba kuanzia viongoz, mashabiki na simba woote; hawakutaka kabisa chama aondoke kafuata mpunga mnene lkn wasijipe moyo wameumia sanaaaaa

  • @neemadaniel3173
    @neemadaniel3173 3 หลายเดือนก่อน

    Kila la kheriii kwake

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 3 หลายเดือนก่อน +1

    maskin umekuw mpoleee😂😂

  • @Shedrackh
    @Shedrackh 3 หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu moja

  • @RajabYussuf-m2m
    @RajabYussuf-m2m 3 หลายเดือนก่อน

    Mbape yupo free..

  • @AbrahmanSaid-v1k
    @AbrahmanSaid-v1k 3 หลายเดือนก่อน

    Jmn Nasibuuuuuu😂😂😂

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂mbn sion bwebwee😂😂😂😂