UNABII || FARASI WAWILI KUELEKEA UCHAGUZI 2025 || Prophet Edmound Mystic
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW:
INSTAGRAM:
/ prophet.edmound_mys. .
TH-cam:
/ @edmoundmystic
AUDIO PODCASTS:
player.fm/seri....
FACEBOOK ACCOUNT
web.facebook.c....
him.or.tz
himchurch.or.tz
Barikiwa sana Nabii wa BWANA Yesu Kristo Edmound Mystic, napenda Sana huduma yako..!
Tunamuomba sana mora asiturudishie hiki chama tena,,ee mora tusikilize sara zetu, kapige teke shetani kira kona akanyagapo, akashindwe kabisa kwa kira kitu,ww ndo mtetezi wetu, tegemeo letu, na tumaini letu la mwisho, tunakutumainia ww kwa kira vita itakayo kumbana nayo,ww ndo ukawe nguzo ya moto mbele yetu aminaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tuna kazi ya kuomba kwaajili ya nchi Na uchaguzi mwakani
Mungu anakwenda kuokoa nchi
Mungu aliyehai akubariki Sana baba. Ninakufuatilia Kwa karibu na NINAAMINI Sana katika AHADI za MUNGU Kwa Manabii Amos 3:7& 2 nyakati 20:20
Mungu simama mapenzi yako yatimie❤
Tunahitaji kuomba sana jmn! Mungu atisaidie
Atashinda Rais kutoka CCM ila siyo Samia. Keep this comment.
Tuchukue kalamu kwa hiyo 😂
Kabisa tumemchoka
SURE, NAKUBALIANA NAWEWE
Kabisa ndivyo ilivyo
Ndicho nakiona moyoni mwangu
Mungu akubariki Mtumishi.
Amen Amen Prophet
Amen.Glory to God
Mungu akubariki baba
Mungu atusaidie atupe mtu sahihi
Mungu ajalie haya
Wakijichanganya ccm wakamuweka samia wamekishwa hii aina kipingamizi
Mapenzi ya Mungu yakatimie katika Jina la Yesu
Chakuombea HAPA ni Mungu Mwenyezi asimame kabisaa kwenye UCHAGUZI ili HAKI ISIMAME TU !! kwa vyovyote iwe kwa HAKI ili TAIFA LIKAINULIWE
Mungu akubariki Sana nabii wa Mungu
🇹🇿 Mungu atusaidie🙏
Mungu aliye hai atupe nguvu ya kusimamia hili
Ni lini MUNGU ataikumbuka Nchi yetu kwa kutupatia Rais kutoka chama tofauti na kijani?
Tumeibiwa sana BABA YETU WA MBINGUNI, naomba utuonee huruma!
Amen Amen Mpakwa mafuta
Mungu akubariki na kukulinda nabii wa Bwana
Bwana aingilie kati
🔥🔥🔥🔥🔥
Majaliwa i see akiwa presedent
EXACTLY
amina mtumishi
Tunamtaka Gwajima,Hamfrey polepole, tunamtaka speaker ndugai hawa watatu mmoja wapo akigombea tutashinda CCM.
Gwajima anachukua Amna wa kumzuia
Kwaiyo hata nyie hamumtaki kizimkazi
Mnamataka na nani? Nyie niakina nani ?
Ndugai hayuko strong, Mungu atusaidie
Prophet nakazana kuunganisha Unabii wa January na huu wa September. Kidogo nachanganyikiwa, kidogo tu, kidogo tu.
Ukiunganisha huu unabii na WA prophet Rolinga unajua kabisa Mungu yupo kazini! Ni wakati wa Mungu kulitembelea Taifa kwa habari ya kiongozi mkubwa wa nchi hii!
Amen Amen
Ameni ameni
Ameeen
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
namuona january makamba
AMEEEEEEEEEEEN
Mpinzani ambaye atatumika kuwauza wenzio ni Zitttttto.
Hata asipowauza wenzie bado Upinzani hawachukui Uraisi katika nchi hii kwa kipindi kirefu kijacho.
@@pastorgodwinchengula7848watachukua eventualy, ni suala la muda but si uchaguzi ujao
Mapenzi yako yatimie Bwana
Mimi simjui huyu Nabii,lakini hiki alichosema ni ukweli kabisa alichosema.Nimesikia kama manabii Sita ninao waamini duniani wanasema Mama apiti hata afanyeje kwa maana Mungu kamkataa
Kweli wakiristo mmevurungwa nashetani nakutafuta sifa
Mungu akusamehe maana hulijui usemalo
@@adrianomaulaga1599 ungelijua ungesema kpndi chemarehemu jp mbona mlikua hamuonekan
@@rukiaismail kipindi cha Magufuli kama hakuambiwa angesema ya kutoka wapi
Zitoooooo
Kwaakili zetu hatuwezi ila kwa neema yamungu tuta vuka
Ufunuo wa Yohana 6
Kwa kumbukumbu zangu Kuna unabii unafanana na huu kuhusu risasi na ulitolewa na yule nabii wa Iringa na alisema atakaepigwa nisasi ni PM
Duuuh! Ukisema hivyo tumbo linauma maana kuna kipindi mtumishi huyu hapa alisema anamwona huyo ulomsema akiwa dhaifu sana uwanjani! Mungu atusaidie, tusichoke kuomba Mungu atupe viongozi wenye hofu ya Mungu!
Msanii tu huyu hamna kitu unabii gan unausoma kwenye makaratasi badala ya kuutoa kichwani?
na wewe kasome ya kwako
@@emmanueljoseph3815 usingemjibu , bando lake na ufinyu wa kufikiri kwake😢
Ameandika aliyoyaona
😂😂😂😂watu bhn
Tuupe wakti muda
Sio kitambo waaala
Hakuna Nabii aliyewahi kutabiri urais na ukawa hivyo .Mrema walitabir atakuwa awe rais 1995 ,UKAWA ndo ilikuwa highest compitition lakin nae wapi licha ya Nabii wa Nigeria kuhiji hapa wapi .Hivyo hakuna interest ya kiroho ya Tanzania ktk Nabii hizi .
Kuna kupata maona na Kuna kuibiwa kura,,,yaani kwa uelewa wako unahs kabsa LOWASA 2015 alishindwa.
@@mayanmlingwa4250 kanuni ya kama ni Mungu amekutuma(nabii) ni kutokea jambo hilo. Kama haikutokea Mungu hakukutuma umetabiri kwa akili yako. Hivi Mungu ni mwanadamu hata aseme uwongo? TAFAKARI!
Ameeen