And this man must be very bright. The way he is flawless in his Swahili speech. Very deep and insightful. To God be the glory and honor. Keep on brother, through you the Church should know a lot to be vigilant.
Huyu mtumishi anaongea kweli sana na alikuwa kweli kwenye ulimwengu huu wa giza! Ni bahati mbaya sana Wakristo wengi hawafahamu vizuri nguvu ya Kristo. Kimsingi vitu vingi anavyovisema kama vile kubadilika kwenye roho, n.k vimeandikwa kwenye Biblia isipokuwa hatusomi. Mungu akubariki sana mtumishi🙏
Eeeeeeeee kwa hiyi siri kubwa zaidi mwambie huyu ndugu asimame imara imara kweli ,akipepesuka kadogo tuu atajikuta wanamchukuwa tena.Mungu amjalie neema na ushindi. Asante JACKTAN
Jina la YESU KRISTO jina lenye nguvu kupita majina yote,MUNGU atuwezeshe kumtumaini yeye peke yake katika maisha ya ulimwengu huu tukiongozwa na Roho mtakatifu hakika tutayashinda ya dunia hii iliyojaa kila aina ya uhalibifu
Waah ulimwengu wapili unamambo kweli mungu atusaidie, nami sitawai kumwacha mungu hata siku moja, alafu Jacktan haya mambo yanatisha kwani wewe hauogopi jamani mimi nimeanza kuogopa sana, kumbe warogi wanatuchunguliaga kama tumelala, waa maajabu hayo.
Ungesema hizo mbinu 30 Za kujikinga na walokole, pia ni vyema kueleza kila jambo pasipo kusita, elimu hio itatusaidia jinsi ya kupambana kimaombi, kama hio jini vina saba vile latengenezwa, kafara ya hio meli ilkua ya tawala gani etc
Promover mbarikiwe Sana kwa kuturushia habari hizi zimetufungua macho ya kiroho lkn shetani hapendi tuzijue nimeshagundua lkn Damu ya Yesu Kristo ni moto,napenda kujua Mch Amiel sasa hivi anasubiri wapi ili niendeko
Neno linasema kesheni mukifunga na kuomba kwa kumaanisha hakuna jambo gumu na lolote muombalo kwa JINA LA,YESU mtapewa na BABA YANGU WA MBINGUNI sasa hapa nikukaa karibu kwa MUNGU kwa uwaminifu
Kwa muda mrefu nimekua nkiota dada flani tulisoma pamoja.Aliaga 2018 but kwenye ndoto kila nikimtambua ama nikigundua amekufa.Anakimbia mbio sana haniangaali Mara mbili.Hunisumbua sana.
Sasa muulize zile shanga anazozivaa mkono wa kulia zinamaanisha nini ??? Mambo makubwa anayaeleza lakini anabaki na kachombo ka ibilisi? wachawi watampata tena kwa hako hako.
@@Faraja2023 Asante ila maandiko yanatueleza upendo unaonekana kwa matendo sio nembo .Na nembo ya MKRISTO ni BIBLIA . Waganga , wachawi na wale wasio mwamini YESU ndio vitu vyao . Na wengine waliisha shuhudiaga shanga zinatumika kuzimu.
Amina nimebarikiwa na nimejifunza ila jactan mwambie huyu mtumishi avue hiyo shanga mkononi ili huu ushuhuda ufike moyoni mwetu moja kwa moja bila shaka lolote
@@kennethogonda2947 preach my brother!! That’s nothing but the TRUTH!! John 14:6!! Jesus is the WAY, THE TRUTH AND THE LIFE!! Blessings always in Jesus name Amen 🙏
Msukule si zombie. Ni mtu aliyedhaniwa amekufa ila huwa hajafa, amechukuliwa kichawi hadi kuzimu kuenda kuteswa. Huko kuzimu mara nyingi wanakatwa ulimi na kufanyishwa kazi usiku. That is what msukule means.
So you can pray for the captives and Our Lord Jesus Christ can bring them back? So is it right to pray and fast for some of our family members who died in mysterious situations? You wonderful man of God,the Lord had hand picked you to educate us for the Bible says that my people perish for lack of knowledge!! God bless you mightily! like why didn’t we know this before Lord? Why nobody ever said pray for the dead because some of them aren’t even dead they’ve been taken into captivity? But you know what God makes everything beautiful in His Time. Maybe we still have a chance to pray for them. I always stood with this word, that it is ordained for a man to die then judgment! So now this is a game changer in our prayer life, the lord will always leave for himself a witness who comes to reveal the great and unsearchable things we do not know! So glory be to His name for His mercies endures forever!
Waah makubwa hayo vipi mimi baba yangu kakufa 2008 ila jana nikamuota eti alikua amekufa na ako kwenye sanduku sasa anasema mikono yake yaugua na mimi nikimgusa hiyo mikono anaskia afadhali ama mama yangu mzazi nikawa nimeamka hivo na pia alipokufa watu wa upande wake walikua wakiingia kuona mwili angefura afike kwa kioo hivi wakitoka tu anarudi kuwa wa kawaida inamaana pia alichukuliwa msikule?
Hivi kuwa mkristo vuguvugu na bado hujachukuliwa msukule... Ni neema ya Bwana... Mungu tusaidie
Lazima unapelekwa bila kujijua
BARIKIWA . NATAMANI ANGETUAMBIA MBINU ZA NAMNA WANAVYOWAFATILIA WALOKOLE NA KUWAANGUSHA
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine
Damu ya Yesu itufunike aki. Asante kwa ushuhuda huu unazidi kutufungua Kiroho🙏🇰🇪
Duuu! Mambo haya yanatisha, ila sasa Mwokozi wetu Yesu Kristu anatupenda na ana nguvu Sanaa
And this man must be very bright. The way he is flawless in his Swahili speech. Very deep and insightful. To God be the glory and honor. Keep on brother, through you the Church should know a lot to be vigilant.
All of them are good Swahili speakers. I mean all Tanzanians.
Huyu mtumishi anaongea kweli sana na alikuwa kweli kwenye ulimwengu huu wa giza! Ni bahati mbaya sana Wakristo wengi hawafahamu vizuri nguvu ya Kristo. Kimsingi vitu vingi anavyovisema kama vile kubadilika kwenye roho, n.k vimeandikwa kwenye Biblia isipokuwa hatusomi. Mungu akubariki sana mtumishi🙏
Yesu ni mfalme wa wafalme Moto ulao
Eeeeeeeee kwa hiyi siri kubwa zaidi mwambie huyu ndugu asimame imara imara kweli ,akipepesuka kadogo tuu atajikuta wanamchukuwa tena.Mungu amjalie neema na ushindi. Asante JACKTAN
Asante Mungu kwa kuwa umetupatia Jina lilokubwa zaidi ya majina yote duniani
Linalotushindia..Amen
Walokole tishio la kuzimu...tuombe sana aisee
Emungu wetu tunaomba utusaidie,kwasababu dunia hii inamambo mengii kabisa amina.
Jina la YESU KRISTO jina lenye nguvu kupita majina yote,MUNGU atuwezeshe kumtumaini yeye peke yake katika maisha ya ulimwengu huu tukiongozwa na Roho mtakatifu hakika tutayashinda ya dunia hii iliyojaa kila aina ya uhalibifu
Ina details nzuri na articulate safi hii itakuwa ya mwaka maaana imetufunza sana
Mungu akubariki mtumishi napenda sana shuda zako tangu nimeanza kusikiliza ushuda wako much amieli nimejifunza mengi kuhusu maisha ya kiroho
MUNGU atusaidie Sana tuishinde Dunia ktk ulimwengu wa ROHO Kuna Mambo mengi sana.
BWANA YESU ATUWEZESHE KUYASHINDA YA DUNIA HII .
Mungu wangu nisaidie inua kiwango changu cha maombi hili nikaweze kushinda hila na nchama za muovu shetani,barikiwa kaka Jacktan
Amen
Huu ushuhuda ni wa maana Sana kwangu nazidi kuelewa vita za kiroho Asante Sana promoter TV mkiongozwa na jactan God bless you
Promover sio promoter
☑️☑️☑️☑️😋 hallelujah Hallelujahs hallelujah ‼️
Siri nzito za shetani ,zinafunuliwa. ASANTE YESU!!
Amen Mungu ni fundi.
Ushuhuda mzuri sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu jactan kutuletea ushuhuda
Habari Inasisimua,nimejifunza vitu vingi
utukufu kwa Bwana Yesu mwokozi wa maisha yetu hakika nisingeokolewa na BABA ningekua nyama ya shetani ila Yesu ashaniokoa eee Mungu utusaidie
Mungu akulinde mtumishi wa mungu.
Ushuhuda mkubwa, ambia mtumishi utuonyeshe mbinu za kupambana na wachawi,barikiwa
Asante Jacktan naendelea kujifunza Sana......Bibi yangu ameaga juzi lakini kifo chake naamini si cha kweli.....🇰🇪🇰🇪
Asante Yesu kufunua sri za adui
Ushuhuda wa sheikh Omar niliuona kweli
Waah ulimwengu wapili unamambo kweli mungu atusaidie, nami sitawai kumwacha mungu hata siku moja, alafu Jacktan haya mambo yanatisha kwani wewe hauogopi jamani mimi nimeanza kuogopa sana, kumbe warogi wanatuchunguliaga kama tumelala, waa maajabu hayo.
hahaha usiogope mpendwa Yesu yupo nasi
Ukiwa na Yesu kweli hayo hayakupi shida.
Mungu akubariki endelea kutufundisha tunaomba party 4
The world is weaked...May God help us
Hakuna Jambo lisilostirika ambalo halitafunuliwa yesu ni jiwe kuu Lina ponda ponda
Ndgu watumishi wa mungu nisaidieni kujua kutokana na mafundisho haya ni nini faida na hasara ya kuwapa vichaa na wale omba omba pesa Kwa huruma
Ahsante kwa mtumishi wa Mungu. Lakini usitucheleweshe sana hivyo
Mungu akutie nguvu
Much love💖
Uwiii jamani ningetamani izo mbinu 21 nizijue wachawi wanazo tumia kuturaghai walokole
Ungesema hizo mbinu 30 Za kujikinga na walokole, pia ni vyema kueleza kila jambo pasipo kusita, elimu hio itatusaidia jinsi ya kupambana kimaombi, kama hio jini vina saba vile latengenezwa, kafara ya hio meli ilkua ya tawala gani etc
Amen nawafuatilia sana watumishi BWANA awabariki
Promover mbarikiwe Sana kwa kuturushia habari hizi zimetufungua macho ya kiroho lkn shetani hapendi tuzijue nimeshagundua lkn Damu ya Yesu Kristo ni moto,napenda kujua Mch Amiel sasa hivi anasubiri wapi ili niendeko
Yesu Christo ananguvu zakuokowa anayependwa
asante Mungu kwa uxhuhuda unaojenga
Mwambie atuambie kuhusu mbinu za kupambana na walokole, atatusaidia tuliokoka kuwashinda.
Neno linasema kesheni mukifunga na kuomba kwa kumaanisha hakuna jambo gumu na lolote muombalo kwa JINA LA,YESU mtapewa na BABA YANGU WA MBINGUNI sasa hapa nikukaa karibu kwa MUNGU kwa uwaminifu
Unataka ukaloge??omba saana
@@trophywilson7211 nikamroge nani.? Nataka kuwashinda wachawi kama wewe😂😂 rudia kusoma uelew sio kukurupukia kujibu, yy kasema walifundishwa mbinu zaidi ya 30 za kuwashinda walokole, biblia inasema watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa sio kukosa kuomba. Binafsi hizo mbinu zingenisaidia kuzijuwa hila za shetani na kuziepuka.
Yaan anaongea ukweli mtupu juzi juzi nilisikia watu wanalalamika maiti inatokwa jasho
Kwa muda mrefu nimekua nkiota dada flani tulisoma pamoja.Aliaga 2018 but kwenye ndoto kila nikimtambua ama nikigundua amekufa.Anakimbia mbio sana haniangaali Mara mbili.Hunisumbua sana.
Mungu atusaidie
Eeeeeh MUNGU wangu tusaidie kwa kila jambo,,mbona ii inatisha🙏🙏🙏🇰🇪
Ajali ya roli Morogoro lwanda magere ndie aliyeisababisha. Malori na mabus mengi ni ya mawakala wao
Mara nyingi watu wanasema ooh ng'ombe pia analia marehemu kumbe ni haya
Mmh simama sana
Waaah
Sasa kutokana na hayo mafundo uliyokuwa unawafunga watu,kwasasa unaweza kuwasaidia VP?
Sasa muulize zile shanga anazozivaa mkono wa kulia zinamaanisha nini ??? Mambo makubwa anayaeleza lakini anabaki na kachombo ka ibilisi? wachawi watampata tena kwa hako hako.
Hahahaha anasali makanisa yanayotumia vifaa vya Kiroho kwanza hao huwa wengine wametumwa ili mjimwage
Amesema ni nembo ya kuipenda Tanzania
@@Faraja2023 Asante ila maandiko yanatueleza upendo unaonekana kwa matendo sio nembo .Na nembo ya MKRISTO ni BIBLIA . Waganga , wachawi na wale wasio mwamini YESU ndio vitu vyao . Na wengine waliisha shuhudiaga shanga zinatumika kuzimu.
Mungu wangu, mbona dunia hii ni mtego?
Amina nimebarikiwa na nimejifunza ila jactan mwambie huyu mtumishi avue hiyo shanga mkononi ili huu ushuhuda ufike moyoni mwetu moja kwa moja bila shaka lolote
Haha atisikue anakumulika Yesu ni mkuu atatutetea hawatatuona wataona moto vile alisema hehee
@@millicentnaliaka wanaona saana tu walokole tunajichanganya mno hivyo kupotexa line ni vyepesi tu ,uongo tu unafuta nguvu
@@trophywilson7211 kweli kaka
@@millicentnaliaka ni Mama mimi,Barikiwa
@@trophywilson7211 ooh samahani mama asante kwa kunifahamisha
Au ni yule Omary mnyashani
Kweki kabisa niyuleyule Mnyeshani Omari !!!
@@simonnsengiyumva1000 uyo uyo
😂😂I Never heard about that one, Mnyeshani could be Mushetani 😁, I am still learning! Thanks Odhia odhia!
Yes ndio yeye
Jacktan mwambie aandike kitabu asije akayasahau mambo haya na siri hizi nilimsikia sheikh Omar akisema amesahau mambo mengi
Shekh omary yupi mkuu
Waislamu wanabisha tu kumbe dini yao inafundisha na kufuga uchafu wa Roho
Ni dini ya Shetani. Kwani hujawahi kujua. Mohammed alikuwa nabii wa Shetani na Allah si Mungu wa kweli wa Israeli.
@@kennethogonda2947 sasa wafuasi zinawatosha kweli??
Wafuasi wao wote hawataingia mbinguni wasipotubu na kuwa wafuasi wa Yesu Kristo
@@kennethogonda2947 preach my brother!! That’s nothing but the TRUTH!! John 14:6!! Jesus is the WAY, THE TRUTH AND THE LIFE!! Blessings always in Jesus name Amen 🙏
Uislam ni dini ya ibilisi hyo Haina ubishi. Watakuja kugunduwa muda ushaenda
Anaongea vitu vya kweli mno
Ndugu tuombe
shetani anatesa watu sana lakini Yesu anaweza hakika
Funguka mtumishi tunaendelea kujifunza
Endelea kuwadanganya baba😅
Du kumbe kuna siri kubwa hivi wakati wa msiba?
Eeeh Yesu tutetee
Huu ndo ushuhuda wa maana
Waaah!! This is an eye opener. Walokole needs to be in prayer in and out of season.
Msukule should be a zombie right?
Msukule si zombie. Ni mtu aliyedhaniwa amekufa ila huwa hajafa, amechukuliwa kichawi hadi kuzimu kuenda kuteswa. Huko kuzimu mara nyingi wanakatwa ulimi na kufanyishwa kazi usiku. That is what msukule means.
But even zombies are as a result of the work of the Devil. They have been bewitched.
So you can pray for the captives and Our Lord Jesus Christ can bring them back? So is it right to pray and fast for some of our family members who died in mysterious situations? You wonderful man of God,the Lord had hand picked you to educate us for the Bible says that my people perish for lack of knowledge!! God bless you mightily! like why didn’t we know this before Lord? Why nobody ever said pray for the dead because some of them aren’t even dead they’ve been taken into captivity? But you know what God makes everything beautiful in His Time. Maybe we still have a chance to pray for them. I always stood with this word, that it is ordained for a man to die then judgment! So now this is a game changer in our prayer life, the lord will always leave for himself a witness who comes to reveal the great and unsearchable things we do not know! So glory be to His name for His mercies endures forever!
Msikilize josephat gwajima
no
Mnisaidie na namba yake
Jesus Christ
Waah makubwa hayo vipi mimi baba yangu kakufa 2008 ila jana nikamuota eti alikua amekufa na ako kwenye sanduku sasa anasema mikono yake yaugua na mimi nikimgusa hiyo mikono anaskia afadhali ama mama yangu mzazi nikawa nimeamka hivo na pia alipokufa watu wa upande wake walikua wakiingia kuona mwili angefura afike kwa kioo hivi wakitoka tu anarudi kuwa wa kawaida inamaana pia alichukuliwa msikule?
Ndiyo
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 naomba namba ya mtumishi wa Mungu
Fatilia mpaka tamati utapata
Ameeeeeeen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sanaaaaa
Je shetani akishindwa mtu wako anaweza rejea duniani??Namtaka Baba mkwe wangu jamani
Shalom pasta nahitaji namba yako
Vina saba ni nini?
Nitapataje namba ya huyu mtumishi wapendwa?
Endelea kufuatilia mpaka tamati ya ushuhuda wake atataja
Maneno mazuri Sana
Number yako please