The way You Elaborate the story it is amazing plus the introduction nd graphic; Excellent research Mr Jamal, one thing which make this more excellent is your voice , big up 🤝💯...
Ile ufundi uko hati hizi hadithi za jamal ziko kwenye hadhi yakipekee.sikudhani nitawahi kaa kusikiza simulizi za kiswahili hivi. Shukrani sana professor 🎉🎉🎉
Thank you! I never knew the real story behind yummy. First time i heard this name was from an interview from the late greate makaveli 2pac shakur 👊🏽 greate job indeed mr jamal 🤌
Hiii n fact kubwa bro ujue tuweza laumu watu alf kumbe hatujui kmewakuta nn huko nyuma na kiukwl taasi za kulnda haki na watoto wafalie hilooo bro sema mm cna madaraka nngejarbu angalia hloo kwa kina zaid
Everyone who read this,we don't know each other and probably never will but i wish you all the best in life and all success and happiness in this world and hereafter.❤
Tuzidi kuwaunga mkono wenzetu waafrika bana ,masimulizi yana mashiko,yanatukuza lugha yetu ya kiasilia na kuchimuza burudani na makini.Ba mkubwa unahitaji tuzo la kimataifa,napenda kazi yako kutoka kwenye kilindi changu cha moyo.
Assalam alaikum warhamatullah wabarakatu how you Jamal ! I listen to you and watch yr video the story book beleave me more bless so manythings l learned from u .
Roho mbaya wanatufundisha wenyewe. Sometime. Maisha yanakua magum unatamani upate kitu flani na hakiji inafika mda unaona wacha tu liwalo na liwe. nasema hivi na maanisha mie mwenyewe siwezi kua tofauti na Robart😭😭😭😭 Mungu ampe wepesi wa azab zake.
Ndoo maana malezi bora ni mhimu kwa watoto ila sababu ya ubinafsi wa watuu wengi wanazaa bila bila upendo kwa wazazi wenzao na watoto 😢😢na wanajitenga na majukumu ya kulea 😢😢halafu mtoto anageuka mhuni na jambazi 😢malaya etc 😢😢 , eeh mola nijalie bahati nilee watoto wangu vizuri. Yummy was too young to become a gangster 😭😭 yani mtoto anaependa biscotti na pipi 😢😢 baado ni mchanga kabisa 😢😢 ila ndoo maisha hata na mimi nilianza ku hustle on 9 years old 😂😂😂
mmh labda nitakuwa tofauti na wengine lakini mimi nilichokiona jamal april kwamba watu wa karibu waliomjua vyema huyo mtoto hawakumuelezea vibaya tofauti na vibaka wetu tulionao mitaani hata kwa wazazi wao utapata sifa zile zile tunazozijua as we know our parents was so hash linapotokea umefanya kosa utotoni,hii story ni kweli umeielezea vyema but ni kutokana na chanzo cha story ulichokipitia haipo kwenye ukweli kamili.
Kama alikuwa anapenda kula vitu vimu alikuwa ni Teja la Eroini na Craki Ushaidi ni sura yake tu na wakati huo vikundi vya kuuza madawa walikuwa wanawatumia vijana wadogo sana kuwatia Uteja na kuwatumia
Kwa watoto wa Afrika wengi wao wanapokosa matunzo toka kwenye familia zao wanakuwa vibaka, ila kwa Marekani wanajiunga na GANGS maalum kwa kufanya shughuli zote za kihalifu, drugs, stealing, killings, owning territories. Magangs maarufu ni kama BLOODS And Crips. Ingia TH-cam andika "Crips and Bloods Made In America" kama lugha inapanda uta enjoy sana hiyo Docu.
Good work bro. Ila umenipoteza kidogo........mtoto Robert alimpigia mkewe simu kabla asepe mji mwingine? Miaka 11 alikua na mke?........Cragg Hardaway alihukumiwa miaka 60 akaachiliwa 2020? 1994 tuongeze 60 ?
wahuni mitaa imetuleaaa tujuane hapa 😍😍gonga like kama unamkubali professor jamal
Ww muhun basi😂😂
Uhuni so ujanja ni moto tu mamamake
Yaani 💯
Nakubali
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Omg guys let's keep our hand tougether and congratulate this man coz he did hard work
Asante sana jamal.nakufwatilia kutoka Congo DRC 🇨🇩. Tuandalie makala mengine kuhusu inchi ya Congo. Tafadhali 🙏🙏 jikaze
Daaah professor , una tumia creativity nzuri sana, Kila story na creativity Ake, nimependa ukivyo enda mtaani Mzee big up
Tumeitikia wito wa Masai
👇🏼
th-cam.com/video/jfAtIdp7K00/w-d-xo.html
Wazazi kwa maana ya baba na mama, wanamchango mkubwa wa kujenga jamii iliyo njema
th-cam.com/video/1SOVp_xbhL4/w-d-xo.html
th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Indeed
Exactly
@@binhussain3445 Tumeitikia wito wa Masai
👇🏼
th-cam.com/video/jfAtIdp7K00/w-d-xo.html
The way You Elaborate the story it is amazing plus the introduction nd graphic; Excellent research Mr Jamal, one thing which make this more excellent is your voice , big up 🤝💯...
th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Good one
Ile ufundi uko hati hizi hadithi za jamal ziko kwenye hadhi yakipekee.sikudhani nitawahi kaa kusikiza simulizi za kiswahili hivi.
Shukrani sana professor 🎉🎉🎉
Jamal bishoo unatupa vitu adimu sana mzee wangu
Nice story and rythm of the songs JAMAL APRIL u teach me more my Professer
Thank you! I never knew the real story behind yummy. First time i heard this name was from an interview from the late greate makaveli 2pac shakur 👊🏽 greate job indeed mr jamal 🤌
,❤🎉😢dokya dule🎉😂😢
Docter sure
Hakika wewe unatujuza tusiyoyajua ki ufupi nikwambie ahsante 👏🙏 uendelee hivyo tujue mengi jamani
Sound effects tu inashawishi kusikiliza mwanzo mwisho ,💪💪
Naam ndoo inayonifanya niendelee kufatilia hii story book hata kama hmn video mpy Huwa nasikiliza za zmn
Nakukubali sana broo Jamal Kaz nzuriiii❤
Hiii n fact kubwa bro ujue tuweza laumu watu alf kumbe hatujui kmewakuta nn huko nyuma na kiukwl taasi za kulnda haki na watoto wafalie hilooo bro sema mm cna madaraka nngejarbu angalia hloo kwa kina zaid
Much love i appreciate you brother ⭐ ⭐⭐💥
marekani ubaguzi mwingi sana 🗽🗽🗽
nice story nice voice good arrangements🔥🔥
Thank you so much dear 🙏🙏🙏🇺🇬
Everyone who read this,we don't know each other and probably never will but i wish you all the best in life and all success and happiness in this world and hereafter.❤
Tuzidi kuwaunga mkono wenzetu waafrika bana ,masimulizi yana mashiko,yanatukuza lugha yetu ya kiasilia na kuchimuza burudani na makini.Ba mkubwa unahitaji tuzo la kimataifa,napenda kazi yako kutoka kwenye kilindi changu cha moyo.
Hakuna hodari wa kulea bali ni MUNGU mwenyewe. Lkn wazazi (walezi) wanachangia kwa 65% kutengeneza au kuharibu makuzi na maisha ya mtoto.
Kweli ❤️
Interesting story indeed brother 💯💯 You are on another level 👌👍 Keep up with the great work brother 💪✌️ Peace and love ❤️
Assalam alaikum warhamatullah wabarakatu how you Jamal ! I listen to you and watch yr video the story book beleave me more bless so manythings l learned from u .
Jamaaaaaaallllll 🙌🏻🙏🏻
Kaka unaweza aloooh. Dah
Unahitajika upewe tuzo, umeongea kitu point na muhim sana
The professor Jamal 💪💯
Roho mbaya wanatufundisha wenyewe. Sometime. Maisha yanakua magum unatamani upate kitu flani na hakiji inafika mda unaona wacha tu liwalo na liwe. nasema hivi na maanisha mie mwenyewe siwezi kua tofauti na Robart😭😭😭😭 Mungu ampe wepesi wa azab zake.
The real professor story teller, keep up brother
Congrats 👍👏 Jamal April unafunza mingi shukran
Najifunza mengi kwako Jamal hakika umebarikiwa plz tunaomba uzidi kutupa mengi na meng hongera pia kwamama aliekuweka miez 9
i always watch your shows everyday,am in kenya, can you look for a station here in kenya to be airing your shows because they love you
Star africa tv
Chicago, Milwaukee na Detroit siwezi kubali mtoto wangu ahishi mu hizo cities Cz thuggish cities in us
The storybook 🔥🔥❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Professors upo juu Zaid nakukubali sana
Ndoo maana malezi bora ni mhimu kwa watoto ila sababu ya ubinafsi wa watuu wengi wanazaa bila bila upendo kwa wazazi wenzao na watoto 😢😢na wanajitenga na majukumu ya kulea 😢😢halafu mtoto anageuka mhuni na jambazi 😢malaya etc 😢😢 , eeh mola nijalie bahati nilee watoto wangu vizuri. Yummy was too young to become a gangster 😭😭 yani mtoto anaependa biscotti na pipi 😢😢 baado ni mchanga kabisa 😢😢 ila ndoo maisha hata na mimi nilianza ku hustle on 9 years old 😂😂😂
mmh labda nitakuwa tofauti na wengine lakini mimi nilichokiona jamal april kwamba watu wa karibu waliomjua vyema huyo mtoto hawakumuelezea vibaya tofauti na vibaka wetu tulionao mitaani hata kwa wazazi wao utapata sifa zile zile tunazozijua as we know our parents was so hash linapotokea umefanya kosa utotoni,hii story ni kweli umeielezea vyema but ni kutokana na chanzo cha story ulichokipitia haipo kwenye ukweli kamili.
Jamal April never dissapoints
Napenda kazi yako., nafikiri uanze channel yako hio tu yako the story book, usiwe chini ya wasafi
Hakun km ww jamal .. more appriciate ✌️
Jamali right here the most intelligent man🖤🥷🏾
th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Jamal umeuliza swali la msingi sanaaa sanaa
Noma sana
unaweza
Nakupenda
Professor 🔥🔥
Pamoja sana,
From namgogoli mtwara
Kama alikuwa anapenda kula vitu vimu alikuwa ni Teja la Eroini na Craki Ushaidi ni sura yake tu na wakati huo vikundi vya kuuza madawa walikuwa wanawatumia vijana wadogo sana kuwatia Uteja na kuwatumia
Sema huyo anaevuta fegi nmemuelewa 😂
Amazing 👨🏽💻
lakini marekani si wanasema maisha bora huko mbona kama hamna kitu watu wamepagawa sana
Feel sorry not by willings by poverty rest in peace YUMMY
Wazazi wahuni wa ovyo ndio chanzo Cha masaibu katika jamii ...
Indeed
Congratulations bro we watch you out here
Cuida a sua erma
Hivi jamani kwani ni lazima kucomment kwa kingereza 😁😁😁
😁😁😁
Big up brother tunataman hata utupe story Mara mbili kwa wiki.
Nkupnd sana Jamal
Makundi na marezi bamovu ya wazazi wanachangia Sana hasa Africa tunajipaka matope
Mbona saiv amn tena the story book
Hongera sana
Nakubali Jamali
Km umemuona mwamba anavuta fegii tujuane kwa like
Naku kuna Kiana lakini na pata shida ku pata za ko story book Nifanye nini kuzipata
Wah !! So this two brothers still leaving 🤭🤭 .
DAH AISEE INASIKITISHA SANA STORY HII 😭😭
😭😭😭
th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Ndugu yangu uwaacha mpka watafsili movies yaani stories iko poa zaidi ya movies
😂Asante mjomba Jamal Abril kwa kazi yako
kaka najifunza mengi sana kutoka kwako
Wa tisa 👇👇👇 acheni loho mby
Well narrated story ☺️
Appreciate sana one professor in Africa 🌍
Dahhh inahuzinixha xanh dogo janja pmzika kwa amani
Kwa watoto wa Afrika wengi wao wanapokosa matunzo toka kwenye familia zao wanakuwa vibaka, ila kwa Marekani wanajiunga na GANGS maalum kwa kufanya shughuli zote za kihalifu, drugs, stealing, killings, owning territories. Magangs maarufu ni kama BLOODS And Crips. Ingia TH-cam andika "Crips and Bloods Made In America" kama lugha inapanda uta enjoy sana hiyo Docu.
Hapo utofauti hkn ndg yangu bado ni uhalifu tu
Sasa huo si ni uhalifu pia we vp Babu!!!
@@benardmapuga8370 💯🤝
@@allahisone6386 shukrani mkuu
@@allahisone6386 th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Asante studio
💯 👌 jamal
Daaah So sad RIP ROBERT YUMMY
Professor Jamal April ✌️
Jamal🔥
yan una sauti inayofany mtu aelew vzr na asiache kusikiliza
Nifanyie video ya Elsworth Johnson (bumpy Johnson)
Good work bro. Ila umenipoteza kidogo........mtoto Robert alimpigia mkewe simu kabla asepe mji mwingine? Miaka 11 alikua na mke?........Cragg Hardaway alihukumiwa miaka 60 akaachiliwa 2020? 1994 tuongeze 60 ?
Bibi yake au Nyanya yake au grandmother ake elewa Ndugu
😡😡
It call out on parole bro
Asanti sana bro kwa mfumo wa video twende kazi sasa
From 255 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amazing
😭😭😭😭😭historia hii inaumiza xna
Awesome 😎
Tatizo unachlw sana kutoa kaz mbak tunasahau
Wenye tuko northern California,tunawapata poa.
Mtu anisaidie number ya simu ya Jamal,niko na story Fulani ya Siri nataka kumpaa
Angalieni wimbo wa Nas Escobar unaoitwa "The Message"
Una nini
yule dogo ndo huyu anayesimuliwa hapa?
Yoo Man 🖐️ The hate ue gave infant fucks everyone .. #THUG LIFE
Jamal 🙌
Kazi safi
Big up kaka jamal
Daaa
Wahuni waliingiliana wakamzaa muhuni Pro max rest in peace Robert ✌🙏
😂😂😂😂😂
Hakuna bingwa wa malez. Tuombeane mema siku had siku
Lakini wazazi tukubaliane, wanachangia pakubwa...
Hasa baba katika discipline...
😢
Story nzuri but we beg you please tunaomba story ya diamond platinumz
Sema wew u unaomba
@@josephjidayi9349 tupo wengi tunaiomba
@@lildizzey590 muko wawili saii
Yummy was a street gang. Black disciples forever.