PART7:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUFA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 159

  • @flubtv
    @flubtv 3 ปีที่แล้ว +29

    This guy amepitia magumu ,I hav shed my tears God bless you forever mwati.

    • @الوردالورد-ز4غ
      @الوردالورد-ز4غ 3 ปีที่แล้ว +2

      Doh haki amepitia sana Mungu amuonekanie haki

    • @hamidibrahim5369
      @hamidibrahim5369 3 ปีที่แล้ว +1

      Many children with single parents go through such things... it's always good as a father to make sure u raise your children yourself, and with their biological mother regardless of any differences existing between u. the

  • @fatumamohamed8645
    @fatumamohamed8645 3 ปีที่แล้ว +12

    Haki kaka hii story yako ni kama Ambae naona hilo tukio leo, yaani wewe niwe Kumshukuru Mungu sana tu tena sana Devi star Hongera kwa kazi Nnzuri 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 3 ปีที่แล้ว +3

    God had a purpose for him to pass through all those difficulties, that's why he saved him on every situation. God wanted him to be a testimony.

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 3 ปีที่แล้ว +4

    Haki Zablon hope umeoka nakumpea Yesu maisha yako Cox doh una ushuda mzito sana Mungu akutie nguvu

  • @fredichaki4868
    @fredichaki4868 3 ปีที่แล้ว +3

    Life is full of surprise and temptation may God bless you man

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 ปีที่แล้ว +3

    Kun wat wanapitia Maisha magumu kushinda yangu ....Pole Sana muendelezo tafadhal

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

      Yani nilichojfunza ukiyaona maisha yako magum shkr tu maana hujakutana na maisha magumu, yani ukiliona lako zito hujaliona la mwenzio

  • @tracyirene8917
    @tracyirene8917 3 ปีที่แล้ว +3

    Bado nipo Mr.facts 👍👍 Nafuatilia 🔥

  • @alitoufik5477
    @alitoufik5477 3 ปีที่แล้ว +2

    Nipo

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa anaonekana mstaarabu sana huyu doh.......ukiliona lako kubwa tambua la mwenzako ni zaidi ila ww mtani wangu ni mtumish wa mungu hujajuatu hapo kwenye uchungj hapo nkamkumbuka labani na yakobo

  • @mashamramba3461
    @mashamramba3461 3 ปีที่แล้ว +5

    Broo big up sana . 8 years old na una kumbu kumbu sana I say . Mungu tuu akusaidie

  • @kawtharsaleh9229
    @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว +2

    Hatar sana rafiki zako siwaliambiwa hko namizim kuwa watakufa wee utapona

  • @williammasha7068
    @williammasha7068 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice job Davis, we really learn alot through your programme keep it up bro.

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 3 ปีที่แล้ว +2

    Umepitia maisha Magumu wakati upo umri mdogo mwache mungu aitwe mungu

    • @martinmaryogo6081
      @martinmaryogo6081 3 ปีที่แล้ว

      Yan kwel kila mtu ana majarbu yake yan mm had machozi kbsa duuuh

  • @emmanelly6864
    @emmanelly6864 3 ปีที่แล้ว +4

    Am imagining a boy 8yrs old and so far gone through what seems a whole lifetime!!

  • @julesnumbi4859
    @julesnumbi4859 3 ปีที่แล้ว

    Aise pole sana

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 3 ปีที่แล้ว +3

    This guy jamani😔, halafu alikuwa mnyenyekevu, may God bless him

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba1195 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaka anajielezea vizurii mpaka rahaa 😘😘

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 ปีที่แล้ว +2

    Ulikua na msimamo mzuri sana

  • @abdulrahimdaniel785
    @abdulrahimdaniel785 3 ปีที่แล้ว +3

    Aliwai kuisimuliwa katka kipind cha redio moja na kumbuka iko kipindi kilikuwa kibaitwa(STOSAHAU GAMBUSH) bro pole sana kwa matatizo yalio kupata

    • @kawtharsaleh9229
      @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว

      Kweli name kama niliifatiriaga kama hadi nambar 8 nikaachana nayo

    • @abdulrahimdaniel785
      @abdulrahimdaniel785 3 ปีที่แล้ว

      @@kawtharsaleh9229 mm niliimaliza yote mpaka alipotoka katka mji wa gambush(

    • @kawtharsaleh9229
      @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว

      Me ilinitia uvivu zilikua hazina mpangilio niliishia sijui alikwemda sumba wanga kutafuta mganga wakumrudishia kivuli sijui

  • @sharonmwanza1810
    @sharonmwanza1810 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana kaka

  • @hamisihassan2620
    @hamisihassan2620 3 ปีที่แล้ว +1

    Watching from Dubai

  • @jeaninemugisha6395
    @jeaninemugisha6395 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kukurinda pole kwamagumu urio pitiya

  • @aishahassan9812
    @aishahassan9812 3 ปีที่แล้ว +1

    Daah pole sana jaman umepitia meng

  • @aysherkitoi1845
    @aysherkitoi1845 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii story hta part 100 hatuchoki coz tamuuu mnooo

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +2

    Sasa nguo pair moja mshaharaa miezi inne mbona anarohoo mbaya hivyoo

  • @nyendochamwela3031
    @nyendochamwela3031 3 ปีที่แล้ว

    Davista brother from another Mama. Congola sana kazi nzuri.

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuu kweli maisha ni safari

  • @hildaernest1090
    @hildaernest1090 3 ปีที่แล้ว +1

    Well

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 ปีที่แล้ว +3

    Uliyo pitia ni magumu lakini Mungu alikua pamoja nawe wacha tumshukuru Mungu kwa kukulinda

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi461 3 ปีที่แล้ว +1

    Ipoooooo vzr sanaaaa

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 ปีที่แล้ว +5

    Ila alisema kazaliwa mwaka 84 hadi mwaka 98 ,hapo alikuwa na umri wa miaka 14,na sio miaka 9,labda alipitiwa kidogo ila kwa kweli ukuaji wake ulikuwa na misukosuko sana kila hatua. mara wachawi, mara watu wenye roho mbaya,

    • @mashiassu5766
      @mashiassu5766 3 ปีที่แล้ว +1

      Davister jaribu kuwa unawavika mic ndogo kwenye t shirt itakusaidia pia maana naona kushikilia kwenye mkono inachosha na istoshe story uwa zinakuwa ndefu ..... just ushauri tu otherwise unafanya vizuri kwenye kazi yako.

    • @mariamfritsi4943
      @mariamfritsi4943 3 ปีที่แล้ว

      @@mashiassu5766 kabisaa

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 ปีที่แล้ว +4

    Shukran kwa muendelezo, bro pili Musa bado uko busy na job 🤔

  • @flubtv
    @flubtv 3 ปีที่แล้ว +4

    Congrats davi ,watching from Dubai

  • @djbless6201
    @djbless6201 3 ปีที่แล้ว

    Nice but painful

  • @learnselfdefense765
    @learnselfdefense765 3 ปีที่แล้ว +5

    Brother uwe unamsaidia kweny ku-arrange miaka naona hapo kwa tunaofuatilia kwa fact ndo anajisahau so uwe unamkumbusha... Au kama recorded jitahidi kwa wengine unao wahoji wapange... All in all mkasa ni wa kusisimua maana kausimulia radio free Africa kitambo sana na mazingira anayoyasimulia yapo na nimeyafika karibu yote.... Hata habari ya kukatana mapanga ni kama asili ya wazawa. Good story

    • @nyotanjemaingarayo5384
      @nyotanjemaingarayo5384 3 ปีที่แล้ว +1

      Nilidhani nimeliona peke yangu suala la miaka. Maana tangu awali hakuwa na miaka minane ni zaidi ila nimesahau mingapi

  • @sheikhaalmandhari125
    @sheikhaalmandhari125 3 ปีที่แล้ว +1

    Haya twende kazi

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole kwa yote 😥😥🤔😋🇯🇴🇯🇴🇯🇴

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 3 ปีที่แล้ว +1

    mh maisha jaman

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 3 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja #mtumakini🤝

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 3 ปีที่แล้ว

    Uzuri huyo mzee hakukunyanganya hata peni Mungu amubariki

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimewahi leo 🇴🇲👍

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 ปีที่แล้ว +1

    Daa pore sana kaka😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 3 ปีที่แล้ว +2

    Duh ni nyumbani lakini duh panasumbua af tunauhaba wa vituo vya polisi labda hii itasaidi sisi nyumbani mpaka ufike kituo cha polisi ni km15 sasa hii ni tatizo

  • @annasilayo1405
    @annasilayo1405 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwendelezo plz

  • @kheryartist5322
    @kheryartist5322 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera @sabra_said 👏🏽

  • @mamayao9816
    @mamayao9816 3 ปีที่แล้ว +1

    Uko ni wapi Hio wall iko sawa

  • @apolinemalungano9155
    @apolinemalungano9155 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani amepitia mambo magumu kwaumri mdogo na Mungu akampa hakili

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 ปีที่แล้ว +3

    Kaka umepitia maisha magumu du noma kama muvi

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 ปีที่แล้ว

      Kabisaa. Utadhani movie

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 3 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kuuliza hamnapolisi

  • @justooluoch2468
    @justooluoch2468 2 ปีที่แล้ว

    Nashangaa jinsi alivyopitia maisha ya mtu mzima akiwa mtoto. Mapito magumu kweli.

  • @susannyamwitha1354
    @susannyamwitha1354 3 ปีที่แล้ว +1

    10 in Kenya

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 3 ปีที่แล้ว +1

    Mi nakupa pole kaka umepitia magumu san

  • @pazimazongera4934
    @pazimazongera4934 3 ปีที่แล้ว +1

    pamoja sana

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 3 ปีที่แล้ว +2

    Ni mlokole naadhulumu mtoto haki Mungu amuone

  • @pili3750
    @pili3750 3 ปีที่แล้ว +1

    Tupo pa1 #Davistar mata 🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo jana na leo

  • @tamranadiya2962
    @tamranadiya2962 3 ปีที่แล้ว

    Inavyoenesha zabron anapenda chai sana

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyu kaka jamani....simulizi yake ni kama hadithi. Aisee huyu kweli sio binadamu wa kawaida.

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂🤣🤣🤣

    • @tayanabenard4392
      @tayanabenard4392 3 ปีที่แล้ว

      Hatakua Zombie huyu

    • @michaeleustach9769
      @michaeleustach9769 3 ปีที่แล้ว

      Kma majini na vifo vya kutisha,mauaji,mizimu,daaa wwe cio binadamu wa kawaida

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 ปีที่แล้ว

    Vijijini raha sana. Maskini mjeshi wa watu

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 ปีที่แล้ว +1

    Waa ifeel like am watching a horror movie 😢🇰🇪🇰🇪

  • @justindamian3932
    @justindamian3932 3 ปีที่แล้ว

    Hatariiii

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 3 ปีที่แล้ว +6

    Wa14 nipongezeni kwa like jamani leo

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi461 3 ปีที่แล้ว +1

    Ipoooo vzr sanaaaa jmn

  • @asingakani9138
    @asingakani9138 3 ปีที่แล้ว +1

    History iyi ni ndefu kabisa

  • @salmasalma8203
    @salmasalma8203 3 ปีที่แล้ว +1

    12 leo

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 ปีที่แล้ว +1

    Masiki urikuwa unaroo zuri sana😭😭😭😭

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 ปีที่แล้ว

    Zablon unasema ulipewa sh 2000 ya kenya ukaibadilisha ukapewa Tsh 30000 umesahau chenchi ilikuwa 95 kwa 1000 mwaka 1998

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 3 ปีที่แล้ว

    Jamani hii ni story ndefu kweli msasal

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว

    Kuchelewa nayo🙄🙄😍😍🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 ปีที่แล้ว +1

    Maskini daaah pole sana

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 ปีที่แล้ว

    Pamoja

  • @abuu_khaki4120
    @abuu_khaki4120 3 ปีที่แล้ว

    Mzigo umetuwa 💃💃

  • @esthermaluko5621
    @esthermaluko5621 3 ปีที่แล้ว +3

    You have to focus first and stop using your sell phone during the interview mr Davister

  • @allykibabe8182
    @allykibabe8182 3 ปีที่แล้ว

    Hatr xna duuuh..

  • @lulubintrashid1903
    @lulubintrashid1903 3 ปีที่แล้ว +1

    Maskini kapitia mengi akiwa na umri mdogo,inasikitisha sana

  • @oglinetv3941
    @oglinetv3941 3 ปีที่แล้ว +1

    Wa kwanza

  • @aimeelacongolaise5881
    @aimeelacongolaise5881 3 ปีที่แล้ว +1

    Duhhh maiti 50 wangapi ndani?

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 ปีที่แล้ว

    Afadhali sahii unamuona uso mwanzo nilikuwa simuini

  • @griezmannmhalaka4338
    @griezmannmhalaka4338 3 ปีที่แล้ว +1

    Ya ya zimekua nyingi

  • @evasaimon2101
    @evasaimon2101 3 ปีที่แล้ว +2

    Usicheleweshe story

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 3 ปีที่แล้ว +2

    Halafu watu50 wengi lazima polisi ingekuja nakutangaza

  • @kautharmickidad1698
    @kautharmickidad1698 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuh wa 26,

  • @linazuke5838
    @linazuke5838 3 ปีที่แล้ว +2

    Watano leo

  • @maryamumapenzi1257
    @maryamumapenzi1257 3 ปีที่แล้ว +2

    Sinaga tabia ya.kuchelewaga

    • @nyendochamwela3031
      @nyendochamwela3031 3 ปีที่แล้ว +2

      Ila shileni ulikuwa mchelewaji Sana 😂😂

  • @halimamangala6731
    @halimamangala6731 3 ปีที่แล้ว

    Namuonea huruma huyu Kaka jamani mungu akurehemu

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 ปีที่แล้ว +7

    Kipindi chote hiko hata baba yako hakua na wasiwasi mtoto kaenda wapi looo wazazi wengine ni wapuuuuuuzi saaaana naisi alikuwa baba was kambooooooooo🙄

    • @nyotanjemaingarayo5384
      @nyotanjemaingarayo5384 3 ปีที่แล้ว

      Niliwahi kusikia Kama mikoani watoto wa umri Kama huo hiambiwa wakatafutie maisha wemyewe na mdio wengi wao hukimbilia Dar. Sijathibitisha Hili lakini linafanana

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +1

    Loooo unavaa inform iliusiplipe gari jamani😂😂😂😂😂😂😂😂watu wanaakili kweli

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 ปีที่แล้ว +1

    🇰🇪🎤🎤🎤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +1

    Kazi yakuchunga ngombe wallah.ningumu nikama hixi kazi zawarabu 😂😂😂😂😂

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว

    Duu lkn hiyo pesa nikidogo jamani Mia tano😨😨😨😨😨😨alikuonea bn sahii hixo zakuchunga nanjia hamna vile sahii mwendo niwakukata nyasi tuu ukibwagia ngombe kwa crush elfu tano yako mkononi

  • @michaeleustach9769
    @michaeleustach9769 3 ปีที่แล้ว

    Duuuuu

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 3 ปีที่แล้ว

    @Rose Uwambe

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +1

    Hixo visu vawamasai 😂😂😂😂😂😂😂😂Jina sime halisi ukiona utadhani fimbo kumbe kisu

  • @zettyhassani2244
    @zettyhassani2244 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana Kaka yote nimapito

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 3 ปีที่แล้ว +1

    Hvyo Mura Damu ya binadamu uliinywa ukahisi radha gani?!.

  • @hanijuithimjui3171
    @hanijuithimjui3171 3 ปีที่แล้ว

    Na mm nna stol yangu

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 3 ปีที่แล้ว +2

    Sasa polisi kenya hamna

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 3 ปีที่แล้ว

      Hebu tuone na kadr tunaendlea kuiskliza a hii stry tunafanya pia analysis pengne badae ttapata ukwel zaid

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 3 ปีที่แล้ว +1

    Hila uyu jamaa Ana akili Sanaa uyu yaan anakumbukumbu hadi Ya majina Ya watu Ya miaka Ya 90 uko mpk Leo bado anawakumbuka mpk mitaa mpk milima na majina yake aise ongera sana kaka

  • @kawtharsaleh9229
    @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว +1

    Labda huko mliko kwenda kukoga wameenda kuzim

  • @abubakarwadi5773
    @abubakarwadi5773 3 ปีที่แล้ว

    Ka