Mwambie akuonyeshe japo jini moja ili uexpriance kitu awe akuonyeshe wachawi au wale wanga wanao wanga mchana ili ujue upate uhakika fanya ya wanga itakuwa easy kukuonyesha
Mbona unauliza vitu vyepesi muulize kuwa wazungu na wachina wajapani wanaongea na majini kuwapa tecknology ni kweli Sasa ninyi hamjui kuuliza vitu vipana.
Jini ya kikirixto hyo ipo ila kuna vitabu ambavyo vina mambo hayo hatuluhusiw kuvixoma hasa vya agano la kale kwa wenzetu Islamic wengi wao wanapewa uhulu wa kuvisoma
Nilisema mimi uyu baba anaongea siri mzito tusizo zijua nashangaa watu wanamkataa eti kisa kasema jicho la uchawi lipo ktk Qran 😂😂😂😂😂basi watu wamemsusa awaangalii video zke tena....ila nashukuru davst anatutupia mavideo kama yotee..
Kaka Dav naomba ufikie mahali naww umkabidhi Yesu Kristo maisha yako ili uwe salama... maana sio kwa story hizo.,nawaza isije ikafika siku na ww ukapagawa na hizo roho, maana story zako zote Ni Tisha sana
Nmeamini kila mti hapa duniani ni dawa mpaka mizizi ya mpunga duh, hata majani ni Dawa ila hatujui yanatibu nn ndo maana inafika mda mbwa au simba au chui wanakula majani nasikia huwa wanahic vibaya tumboni
Uelewa wako ni mdogo sana, majini hata humo makanisani wamo.kwenye nyumba yako ww unamoishi pia wamo. Kama huna elimu usibishane. Njoo darasani tukupe elimu ndugu. Hii haihusiani na Dini yoyote majini wapo kama unavyowaona Ng'ombe na mbuzi na wanadamu basi pia wapo hvyo
Who wants to be liked by the jin? Jin is a demon/falling angels. You have to be weaked to be liked by those spirits. Davistar you need to pray because I can tell you are interested by those weaked spirits. Watch out boy.
Wachungaji kibao wanafanya kazi na majini, wew unayesema hivyo upo dunia gani? Na wengine watoto au watu wengine wanatoaga ushuhuda hapahapa. Jini hana dini hii wala ile wale wenyewe wapo kama binaadam madhenebu tofauti. Na wameumbwa na MUNGU pia. Kama hujui kitu ni bora kunyamaza
Yeye kazungumzia namna anavyofahamu na anavyovizungumzia ni vipo ulimwenguni na avionekani kiwepesi so sasa sijui nawe unauwelewa wanamgani kuhusu mambo ya hivyo viumbe visivyoonekana kiwepesi
@@Mpakauseme Kama mtu hana elimu na kitu ni bora kunyamaza au kuuliza period! Lakini sio unajisemesha kwa kitu ambaco huna elimu nacho. Hata kama havionekani vitabu, elimu pia zipo someni.
me wacme wachungaji wa uongo wapo kibao ndo mana Yesu alituonya..amna mausiano yyte ya jini na binadamu ilo lzm ujue ayo majini au wachungaji wote ni shetani....ila bible Yesu katupa mamlaka ya kutoa mapepo na kukanyaga nyoka..Mungu ajaumba majini Bali aliumba malaika ila majini wao wameasi. So amna jini zuri ata 1 wote wapo kwa ajili ya kuua watu..na majini wana dini ambayo ni waislam maana ata Qran yenu imesema Allah kawaumba binadamu na majini ili wamuabudu Allah so usikatae. Uyu baba anaongea ukweli tupu ktk Qran yenu kuna uchawi. Ndo mana waganga wotee wanakitumia iko kitabu. Na tunaona apa kila ushuhuda watu wanasema majini wanaenda msikitini muswali so nn unakataa?jini ukiona yy ni mkristo jua sio ukristo huo Bali ni ule ukristo wa mpinga kristo..sio man yote ya Mungu Bali yapo ya shetani maana maandiko yamesema ivyo watatokea manabii wa uongo na kudanganya watu so injili imetuonya kuusu fake pastor. Na aturuhusiwi wakristo kua kalibu na majini ata siku 1...ndo mana mwenye majini akiingia kanisani lzm apige kelele.yula mama anae sumbuliwa na jini ujasikiliza story zke?
Broo unafurahisha Sana et sio mm ni wao ndio wanauliza
Et mtombo 😀😀😀😀
Huyo jamaa smart sana. Anajua anachosema.
👏👏👏👏👏👌👌👌 wanikosha davista nikikosa nafanya homa congratulations
@davista Mata ebu muhulize kwanini ukizaa nae jini mtoto habaki huku anakwenda kuishi ujinini
Ido really love uyu MZEE anaongea vizuri saaana , mzee dar nakuja tufanye kazi
Mm uwa simuelewagi kabixa
@@naythardarling1115 utakua lbd unamatatizo lbd una majini so awataki uyu mzee atoe siri maana anaongea ukweli kuusu ulimwengu wa kiroho...
Hongera sana kwa sistory zahuyu Mutu
Safi
Mm nataka jini wa kudai deni ka mtu amekataa kulipa ww mtaalam nijibu suraa
Asante Sana Davista kwa kazi nzuri unayoifanya eh bwane niulizie mtalam Kwa kuna majini makristo maana nasikia yanahusishwa sana na uislam
Nimekusoma nilikua sijamalizia, +966/256 pamoja Sana
😊😊Dah nakubarii
Leo nimewahi wa kwanza,Davista kaz nzuri
Camila nimekupenda sana.
😋😋
Ndio zipo dawa za kuwaona wachawi wengine mbazi nimepatia nimetaja mbaazi. Na yeye kautaja
😂😂😂😂 Mr Facts unatusakizia Sasa wewe Kwani hutaki akutokeee kaka
Mr DM mbona kama unaogopa kutokewa na Jini...? Eti kuna watu wanauliza?
Mwambie akuonyeshe japo jini moja ili uexpriance kitu awe akuonyeshe wachawi au wale wanga wanao wanga mchana ili ujue upate uhakika fanya ya wanga itakuwa easy kukuonyesha
Napensa sana kaka yang unavyo mjibu...kwamb jibu yote😃😃😃
Nataka kweli kuona jini ila hayo masharitii ni magumu ...mpaka mtombo hhhhhhh Bora ikaee tu
Hilo jina la hiyo daw duuh
Atokewe mtangazaji sisi watazamaji hatujasema
huyu mtaaalam iko vizuri ila Aache ushirikina.
Nataka kuwaona wachawi tena ni wajabe itawesekana?
Davista muoga kweli unaulizwa ww kisha unasima unaulizia wenzako
254 ukitaka tiba kutoka kwakk ni pesa ngapi
nakukubali kaka
Muongo uyo mungu kashasema majini hatuwaon ila wao wanatuona ndyvy walivyo umbwa huwezi muona jin ktk umbile lake hata utumie dawa yoyote
Pole kwa kutojua
Mbona unauliza vitu vyepesi muulize kuwa wazungu na wachina wajapani wanaongea na majini kuwapa tecknology ni kweli Sasa ninyi hamjui kuuliza vitu vipana.
Kiboko mwanangu swali lako zuri
unataka kujuwa au unataka kuhakikisha kama kweli
Uko vzr
Kwa hiyo mtangazaji ulitaka tu arudie mtombo
Naeza pata vipi huyu mtaalamu, kindly inbox
Daah nyote mbilii
Jini ya kikirixto hyo ipo ila kuna vitabu ambavyo vina mambo hayo hatuluhusiw kuvixoma hasa vya agano la kale kwa wenzetu Islamic wengi wao wanapewa uhulu wa kuvisoma
Vitabu gani hvyo!?
"Mtombo" braza Davister Naona umefrahi.
Mtambooooo🤣🤣
@@ayshamahariq6665 😲
🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio zipo dawa za kuwaona wachawi wengine mbazi
Davista mchokozi umewaza vingine
Akuna jini Wala mapepo yesu ni zaidi ya jini
Huyu jamaa hunibamba
Davista yuacheka ati mtombo 🤣🤣
Kk Davi ww hutaki kutokewa na majini😂🤣🤣🤣
Dah huyu jamaa nimkweli japo haifai kufanya shirki
Tupo makini kk Davi lete story za kijini tu sai
Are you safe Davistar??
Representing +254
Hellow
Unatafta Nini huku
Una mkosha mtu nyota aje ambaye ana ishi mbali?
Mpaka hapo😂😂😂😂
hapo kusafisha nyota ufanye nini
#MTAALAM 😇
😂😂 🤔🤔nishawahi kuyaona hayo majini sema nliona sura tu eeeh Mwenyez Mungu wasije wakarudi nitakufa mana unaweza ukafa presha na kufufuka
Really 🙆?
@@zubedanyamsha1971 yes ofcoz nimewahi kuona sura tu
Yuko powa Sana mzee
Fanya kuileta iyo bro
👌👌👌👍👍👍
Ye mbona masikini tumieni akili
🤔🤔ndo maaana uarabuni washirikina Sana au na Mimi naswali weeee lakin hayaniachii
Davi umecheka sana le
Aslimia 100% huyu kaka anaongea ukweli kabisaa huezi ona jini akakuacha salama
Nilisema mimi uyu baba anaongea siri mzito tusizo zijua nashangaa watu wanamkataa eti kisa kasema jicho la uchawi lipo ktk Qran 😂😂😂😂😂basi watu wamemsusa awaangalii video zke tena....ila nashukuru davst anatutupia mavideo kama yotee..
Ss tuskize tunopenda kjua mambo
Sio majini yote unaweza ukaona jini na lisikufanya chochote unategemea unakutana najini wa aina gaani kunawengine hawana shida
Mtaalam kavinjwa mkono najin🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😂😂😂
Kaka Dav naomba ufikie mahali naww umkabidhi Yesu Kristo maisha yako ili uwe salama... maana sio kwa story hizo.,nawaza isije ikafika siku na ww ukapagawa na hizo roho, maana story zako zote Ni Tisha sana
sio yesu amkabidhi Allah mungu wa kwel pmj n ww ulokua hujui nani ni mungu wako!
Am on top 1st number 10 leo
Umeuliza kwaajili ya watu nimechek Sana 🤣🤣🤣
Hy
Nmeamini kila mti hapa duniani ni dawa mpaka mizizi ya mpunga duh, hata majani ni Dawa ila hatujui yanatibu nn ndo maana inafika mda mbwa au simba au chui wanakula majani nasikia huwa wanahic vibaya tumboni
Kabsaa ndiyo maana inabidi tutunze asili yetu
Duuuu atr sna
Davista unanichekesha mm jmn hahahahahahahah kwahyo unalazimisha ataje iyo mtombo
Anakuwa anakusaodia
Hapo kwa jini mkristo napinga...hakuna jini mkristo. .jini haezi kaa akisikia jina la yesu
Uelewa wako ni mdogo sana, majini hata humo makanisani wamo.kwenye nyumba yako ww unamoishi pia wamo. Kama huna elimu usibishane. Njoo darasani tukupe elimu ndugu. Hii haihusiani na Dini yoyote majini wapo kama unavyowaona Ng'ombe na mbuzi na wanadamu basi pia wapo hvyo
Kuona majini mbona simpoo we tembea usiku kuanzia saa sita hadi saa kumii asubuhi
🤣🤣🤣
My davistar unajua kuruka viunz hahahaha eti wanataka watokewe
Had raha🤣🤣
Wee misitaki kutokewa nitazimia...😭😭
🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆
Dev 😅😅😅 alivyosikia mtombo amechek
Duuh uyu kaka ajamaliza tyuuu mh
A😅😅😅😅 hapo kwenye kiingreza
Mimi sitak kutokewa
Namuhtaj anapatkana wap
Babu hb huyu bas tuu
Mi nilishakutana nayo mala nne
Mtombo hahaha
Mbona imeishia pazuri
Itaendelea 🤣🤣🤣
Mtombo!
Hamnaga majini kaka niuongo
Achukue bmtombo
Hana lolote huyo njaa tu
Hapo Kwa mtambo juuuu nmecheka🤣🤣🤣🤣
Mtombo sio mtambo
Who wants to be liked by the jin? Jin is a demon/falling angels. You have to be weaked to be liked by those spirits. Davistar you need to pray because I can tell you are interested by those weaked spirits. Watch out boy.
Ni muhimu kutuoa sadaka ili kuilinda hela isichukuliwe na majini. Km hutoi sadaka pesa zako zitakuwa zinaibiwa kirahisi.
Kabla sijasikiliza nilipata ushawishi kwenye comment niliposikia mtombo nikajua na ni hi🏃🏃🏃
@@tatuhamisi4838 sadaka unatoa wapi
Sadaka ya sh ngapi
Kwani majini yanatoa teknolojia sijakuelewa
Jamani mtombo😅😅😅😅😅
Nipe 5 ndio namba yangu leo
5
Hujawai kosea Dm
Bona hapatikani wasap jamani nataka kuongea naye
Pia namtafuta hata kwenye simu haipatikani
@@ruqaiyahhamirs8610 😥😥
Hahaaaahaaa
Duh wa 6 leo. 😃😃😃😃
Ka davista mm nimependa ilo shat lako jaman
mamb
@@mamskiumbe4057 saf
Niambie
Saw bss
Eti watokewe nyooo🤣🤣🤣
Mtomboo 😀😀😀😀
Mtambooooo somo🤣🤣
Mtombo kama Mtombo😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tokalini mtende unamtombo😆😆
Mtombo 🤣🤣🤣😆😬
🤣🤣🤣🤣🤣
No ten
Davistar mbona umeshtuka ulipoulizwa unataka kuona majini😂😂😂 na ukaturushia mpira kwani sisi tumesema tunataka kuyaona😂😂😂
😂😂😂😂 anaogopa
Mtombo🙉
Mtamboooooooo🤣🤣🤣🤣
Nmeskia vibaya au😂😂
@@vaghoghontweki9827 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh
Hamlali cmn
Paka cheee
Pesa ni shetan, hilo neno linanipa ukakasi kabsa, maan pesa ina matukio mengi mabaya
Nazani anazungumzia imani ya dini ingine,ila kwa Wakristo hakunaga urafiki na majini
Wachungaji kibao wanafanya kazi na majini, wew unayesema hivyo upo dunia gani? Na wengine watoto au watu wengine wanatoaga ushuhuda hapahapa. Jini hana dini hii wala ile wale wenyewe wapo kama binaadam madhenebu tofauti. Na wameumbwa na MUNGU pia. Kama hujui kitu ni bora kunyamaza
Points
Yeye kazungumzia namna anavyofahamu na anavyovizungumzia ni vipo ulimwenguni na avionekani kiwepesi so sasa sijui nawe unauwelewa wanamgani kuhusu mambo ya hivyo viumbe visivyoonekana kiwepesi
@@Mpakauseme Kama mtu hana elimu na kitu ni bora kunyamaza au kuuliza period! Lakini sio unajisemesha kwa kitu ambaco huna elimu nacho. Hata kama havionekani vitabu, elimu pia zipo someni.
me wacme wachungaji wa uongo wapo kibao ndo mana Yesu alituonya..amna mausiano yyte ya jini na binadamu ilo lzm ujue ayo majini au wachungaji wote ni shetani....ila bible Yesu katupa mamlaka ya kutoa mapepo na kukanyaga nyoka..Mungu ajaumba majini Bali aliumba malaika ila majini wao wameasi. So amna jini zuri ata 1 wote wapo kwa ajili ya kuua watu..na majini wana dini ambayo ni waislam maana ata Qran yenu imesema Allah kawaumba binadamu na majini ili wamuabudu Allah so usikatae. Uyu baba anaongea ukweli tupu ktk Qran yenu kuna uchawi. Ndo mana waganga wotee wanakitumia iko kitabu. Na tunaona apa kila ushuhuda watu wanasema majini wanaenda msikitini muswali so nn unakataa?jini ukiona yy ni mkristo jua sio ukristo huo Bali ni ule ukristo wa mpinga kristo..sio man yote ya Mungu Bali yapo ya shetani maana maandiko yamesema ivyo watatokea manabii wa uongo na kudanganya watu so injili imetuonya kuusu fake pastor. Na aturuhusiwi wakristo kua kalibu na majini ata siku 1...ndo mana mwenye majini akiingia kanisani lzm apige kelele.yula mama anae sumbuliwa na jini ujasikiliza story zke?
Uongo mtupu