DR SULLE AFUNGUKA KUTUMIA PETE ZA MAJINI KUPATA UTAJIRI NA CHEO, AMPINGA MCH. NDACHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • KUHUSIANA NA PETE DR SULLE AMETOA ELIMU NA HISTORIA YAKE TANGU ILIPOKUWA NA SULEIMAN MPAKA KUJA KUTUMIKA NA KIZAZI CHA SASA

ความคิดเห็น • 42

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 หลายเดือนก่อน

    Mashalah mashalah mwenyezimungu amekujalia sana elimu..nakupendaga sana dokta sule kwajili ya mungu..sisi tunakuelewa sana na tunaamini unachokisema kuhusu mungu wetu...wewe ndo mwanasayansi wetu wakiislam tunajivunia sana kuwa nawewe.. mwenyezimungu akupe heri na mwisho mwema nasisi pia mungu atupe mwisho mwema

  • @faizanassor9400
    @faizanassor9400 หลายเดือนก่อน

    Hongeraa Dr sule

  • @LucaWanzuki
    @LucaWanzuki 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua sala sule mashaalha mungu akupee elimu zaidi

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu KWA kweli ni mganga tu lakin nataka kukuambia ukweli Uislamu upo mbali na uchawi

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 2 หลายเดือนก่อน +3

    HUYU WALLAHY BILLAHY TAULLAHY ATAMDHALILISHA KABLA KUONDOKA HAPA DUNANI NA MTAKUMBUKA HII COMMENT YANGU,SI YEYE AMEKUMBATIA MALI NA DUNIA?ALLAH ANACHO ALICHOMUANDALIA

  • @user13375
    @user13375 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana dr.sulle unatuwakilisha Waislam

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 หลายเดือนก่อน

      @@user13375 sio waislam,bali ni wachawi.

  • @alexwalewale6172
    @alexwalewale6172 หลายเดือนก่อน

    Mm namkubali huyu Dokta sule wanaobisha wacha wabishe.

  • @malundemoud3719
    @malundemoud3719 2 หลายเดือนก่อน

    Dr umeongea vzur Sana umefundsha vtu ambavyo vip shidayetu Elim! Wengi hawakuelewi wanakurupuka!. Ushauri Kama Hujui huspende kukurupuka skliza update Elim/madini!!!.

  • @ALIBINSAID-mc4el
    @ALIBINSAID-mc4el หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo elimu unayotoa DK sule hapo sio pahala pake ,elimu kubwa kiwango cha wapokeaji bado kipo chini sana ndio maana unaona matokeo ya wengi ni kulaumu tu ,toa elimu sahihi kwa watu sahihi ,kila lakheri

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Km mmemsikiliza vzr Dr. Sule,Nadhani mpaka hapo mmeamini hoja za Mch ndacha kwamba kuvaa pete ni kujitakia mabalaa. Pete ni njia ya mapepo kutumia mwili wa mtu.

    • @ramadhanitawaqal8958
      @ramadhanitawaqal8958 2 หลายเดือนก่อน

      Ukimsikiliza Sule Kwa sikio la chuki Tu kisa muislam hautoweza kujua Kamwe ni kitu gani cha ukweli kipo ndani Yake wakristo mna Elimu ndogo Sana ya mambo ya dini tofauti na waislam

  • @user-wn1oz5pk5f
    @user-wn1oz5pk5f หลายเดือนก่อน

    Doctor tunaomba ya offisini kwako

  • @abdulazizkassim775
    @abdulazizkassim775 หลายเดือนก่อน

    Suleiman nikama moussa , moussa alikuwa n'a Power koutoka kwa mungu , n'a siyo fimbo kama fimbo

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 2 หลายเดือนก่อน

    huyu jamaa ana akili sana,mashaallah

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 หลายเดือนก่อน

    Ni kwasababu dhahabu ni madini yenye nguvu ya kulainisha viungo vyamwili vya mvaaji ndiomana wanaume tumekatazwa kuvaa dhahabu.

  • @AngelinaAkuyen
    @AngelinaAkuyen หลายเดือนก่อน

    Dr sule mimi salimu niko londwar rakini turukana nahitaji kuja mobasa mulimani kuku tafuta wallahi nasafirinnakutafuta mwezinwatanu

  • @isaacmligo9187
    @isaacmligo9187 2 หลายเดือนก่อน

    Duuh!😢

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 หลายเดือนก่อน

    Hizo ni elimu za kidunia hazina uhusiano wowote na dini.

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204 หลายเดือนก่อน

    Mtume (s.a.w) alipokaa na maswahaba aliwaambia laukama angekuwepo musa namm mkamfata musa basi uma wote mngelipotea kwa maana yeye niwauma huu wa mwisho usitumie pete kisa nabii suleiman alivaa utapotea kama alivyosema mtume Fata tu Quran na sunna zake alizo tuachia basi kufuata hayo aliyotuachia nibora zaidi.

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 2 หลายเดือนก่อน

    Dr.anaelimisha sana ila watu wanajitoa ufahamu kama hayatendeki wakati yapo ni bora watu wafahamu elimu hiyo ambayo ipo.

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 2 หลายเดือนก่อน

    Dr.watakyelewa tuu usife moyo toa darsa

  • @abdulazizkassim775
    @abdulazizkassim775 หลายเดือนก่อน

    Suleiman alikuwa n'a ufalme kwa amri yamungu siyo pete

  • @mwoso
    @mwoso 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli nabii suleiman alikua muislamu?

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Dr. Sule umesaidia kufichua Siri za Uslamu na jinsi hii dini inavyohusika na uchawi na majini. Wakubisha acha aendelee kubisha,lakini ni dhahiri Uislamu na uchawi ni damu damu!

    • @mohamedharunamohamedharuna7124
      @mohamedharunamohamedharuna7124 2 หลายเดือนก่อน +1

      Acha uongo wewe

    • @charlesjohn8843
      @charlesjohn8843 2 หลายเดือนก่อน

      Unataka ubishane na mtu anaejua kuran nzima naww hujui hata nusu ya kuran😂​@@mohamedharunamohamedharuna7124

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio maana wachawi wengi ni akina mohammad, Ali, Abdul, Rashid 😅😅😅😅😂

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu akuongoze

    • @user-wb3fj3zz4n
      @user-wb3fj3zz4n หลายเดือนก่อน

      Wewe Angalia viongozi wako woote kanisani wanaofanya maombi hawakosi pete unajua maana hake au unabisha kitu hukijui

  • @charlesjohn8843
    @charlesjohn8843 2 หลายเดือนก่อน

    Wakristo na nyie tafteni pete jamn😂😂😂 mmebaki nyie tu😊😅

  • @mohamedabdallah5323
    @mohamedabdallah5323 2 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi mumeuza akheira yenu

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 2 หลายเดือนก่อน

    Mamaaaa hahaaa mbavu zangu

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 2 หลายเดือนก่อน

    Ata freemason wameanza apo apo KWA uyo nabii Suleiman ..kwaiyo ata uyu Moja wao awo mashetani anajificha kwenye Uislamu

    • @AngelinaAkuyen
      @AngelinaAkuyen หลายเดือนก่อน

      Wacha ujinga mungu ariruhusi wazahabu kwamwana muke feza kwamwana wume ume wahinkumuwona akiwa masikini

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 2 หลายเดือนก่อน

    Uchawi mtupu.

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev 2 หลายเดือนก่อน

    Wajinga hawakosekani hd kiyama kitafika 😂 eti SHEKH