Mashalah mashalah mwenyezimungu amekujalia sana elimu..nakupendaga sana dokta sule kwajili ya mungu..sisi tunakuelewa sana na tunaamini unachokisema kuhusu mungu wetu...wewe ndo mwanasayansi wetu wakiislam tunajivunia sana kuwa nawewe.. mwenyezimungu akupe heri na mwisho mwema nasisi pia mungu atupe mwisho mwema
HUYU WALLAHY BILLAHY TAULLAHY ATAMDHALILISHA KABLA KUONDOKA HAPA DUNANI NA MTAKUMBUKA HII COMMENT YANGU,SI YEYE AMEKUMBATIA MALI NA DUNIA?ALLAH ANACHO ALICHOMUANDALIA
Hiyo elimu unayotoa DK sule hapo sio pahala pake ,elimu kubwa kiwango cha wapokeaji bado kipo chini sana ndio maana unaona matokeo ya wengi ni kulaumu tu ,toa elimu sahihi kwa watu sahihi ,kila lakheri
Km mmemsikiliza vzr Dr. Sule,Nadhani mpaka hapo mmeamini hoja za Mch ndacha kwamba kuvaa pete ni kujitakia mabalaa. Pete ni njia ya mapepo kutumia mwili wa mtu.
Ukimsikiliza Sule Kwa sikio la chuki Tu kisa muislam hautoweza kujua Kamwe ni kitu gani cha ukweli kipo ndani Yake wakristo mna Elimu ndogo Sana ya mambo ya dini tofauti na waislam
Mtume (s.a.w) alipokaa na maswahaba aliwaambia laukama angekuwepo musa namm mkamfata musa basi uma wote mngelipotea kwa maana yeye niwauma huu wa mwisho usitumie pete kisa nabii suleiman alivaa utapotea kama alivyosema mtume Fata tu Quran na sunna zake alizo tuachia basi kufuata hayo aliyotuachia nibora zaidi.
Asante Dr. Sule umesaidia kufichua Siri za Uslamu na jinsi hii dini inavyohusika na uchawi na majini. Wakubisha acha aendelee kubisha,lakini ni dhahiri Uislamu na uchawi ni damu damu!
Mashalah mashalah mwenyezimungu amekujalia sana elimu..nakupendaga sana dokta sule kwajili ya mungu..sisi tunakuelewa sana na tunaamini unachokisema kuhusu mungu wetu...wewe ndo mwanasayansi wetu wakiislam tunajivunia sana kuwa nawewe.. mwenyezimungu akupe heri na mwisho mwema nasisi pia mungu atupe mwisho mwema
Hongeraa Dr sule
Unajua sala sule mashaalha mungu akupee elimu zaidi
Uyu KWA kweli ni mganga tu lakin nataka kukuambia ukweli Uislamu upo mbali na uchawi
HUYU WALLAHY BILLAHY TAULLAHY ATAMDHALILISHA KABLA KUONDOKA HAPA DUNANI NA MTAKUMBUKA HII COMMENT YANGU,SI YEYE AMEKUMBATIA MALI NA DUNIA?ALLAH ANACHO ALICHOMUANDALIA
Insha Allah
Asante sana dr.sulle unatuwakilisha Waislam
@@user13375 sio waislam,bali ni wachawi.
Mm namkubali huyu Dokta sule wanaobisha wacha wabishe.
Dr umeongea vzur Sana umefundsha vtu ambavyo vip shidayetu Elim! Wengi hawakuelewi wanakurupuka!. Ushauri Kama Hujui huspende kukurupuka skliza update Elim/madini!!!.
Hiyo elimu unayotoa DK sule hapo sio pahala pake ,elimu kubwa kiwango cha wapokeaji bado kipo chini sana ndio maana unaona matokeo ya wengi ni kulaumu tu ,toa elimu sahihi kwa watu sahihi ,kila lakheri
Km mmemsikiliza vzr Dr. Sule,Nadhani mpaka hapo mmeamini hoja za Mch ndacha kwamba kuvaa pete ni kujitakia mabalaa. Pete ni njia ya mapepo kutumia mwili wa mtu.
Ukimsikiliza Sule Kwa sikio la chuki Tu kisa muislam hautoweza kujua Kamwe ni kitu gani cha ukweli kipo ndani Yake wakristo mna Elimu ndogo Sana ya mambo ya dini tofauti na waislam
Doctor tunaomba ya offisini kwako
Suleiman nikama moussa , moussa alikuwa n'a Power koutoka kwa mungu , n'a siyo fimbo kama fimbo
huyu jamaa ana akili sana,mashaallah
Ni kwasababu dhahabu ni madini yenye nguvu ya kulainisha viungo vyamwili vya mvaaji ndiomana wanaume tumekatazwa kuvaa dhahabu.
Dr sule mimi salimu niko londwar rakini turukana nahitaji kuja mobasa mulimani kuku tafuta wallahi nasafirinnakutafuta mwezinwatanu
Duuh!😢
Hizo ni elimu za kidunia hazina uhusiano wowote na dini.
Mtume (s.a.w) alipokaa na maswahaba aliwaambia laukama angekuwepo musa namm mkamfata musa basi uma wote mngelipotea kwa maana yeye niwauma huu wa mwisho usitumie pete kisa nabii suleiman alivaa utapotea kama alivyosema mtume Fata tu Quran na sunna zake alizo tuachia basi kufuata hayo aliyotuachia nibora zaidi.
Dr.anaelimisha sana ila watu wanajitoa ufahamu kama hayatendeki wakati yapo ni bora watu wafahamu elimu hiyo ambayo ipo.
Kama Gani sule
Dr.watakyelewa tuu usife moyo toa darsa
Suleiman alikuwa n'a ufalme kwa amri yamungu siyo pete
Kweli nabii suleiman alikua muislamu?
Asante Dr. Sule umesaidia kufichua Siri za Uslamu na jinsi hii dini inavyohusika na uchawi na majini. Wakubisha acha aendelee kubisha,lakini ni dhahiri Uislamu na uchawi ni damu damu!
Acha uongo wewe
Unataka ubishane na mtu anaejua kuran nzima naww hujui hata nusu ya kuran😂@@mohamedharunamohamedharuna7124
Ndio maana wachawi wengi ni akina mohammad, Ali, Abdul, Rashid 😅😅😅😅😂
Mungu akuongoze
Wewe Angalia viongozi wako woote kanisani wanaofanya maombi hawakosi pete unajua maana hake au unabisha kitu hukijui
Wakristo na nyie tafteni pete jamn😂😂😂 mmebaki nyie tu😊😅
Nyinyi mumeuza akheira yenu
Mamaaaa hahaaa mbavu zangu
Ata freemason wameanza apo apo KWA uyo nabii Suleiman ..kwaiyo ata uyu Moja wao awo mashetani anajificha kwenye Uislamu
Wacha ujinga mungu ariruhusi wazahabu kwamwana muke feza kwamwana wume ume wahinkumuwona akiwa masikini
Uchawi mtupu.
Wajinga hawakosekani hd kiyama kitafika 😂 eti SHEKH