DR SULLE AFUNGUKA WACHAWI WANAVYOWEZA KUZUIA USIWE TAJIRI HATA KAMA UNA MAJINI YA PESA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 23

  • @MonicaLaizer
    @MonicaLaizer 3 วันที่ผ่านมา

    Docta sule Mungu amempa ufahamu mkubwa sana ubrikiwe

  • @Sabakimotors001
    @Sabakimotors001 หลายเดือนก่อน

    Best Doctor dar Salaam..

  • @malundemoud3719
    @malundemoud3719 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tunashkur Sana kwa SoMo zuri shekh mwenyeezmungu akupe umri mrefu

  • @RastaFaston
    @RastaFaston 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani doctor nikweli

  • @HusseinAli-y1o
    @HusseinAli-y1o 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli Doctor Wachawi wanaharibu maisha ya watu....

  • @ChezumeFaumeIdi
    @ChezumeFaumeIdi หลายเดือนก่อน +2

    assalamualaiku Dr sulle Niko Msumbiji Maputo na nahitaji namba zago kwa sababu nikipiga na nambari nyingine ya TH-cam haipigi por favor

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa sana dokta sure ..

  • @abuabdimanan4065
    @abuabdimanan4065 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tafadhali naomba nambari ya sheikh Dr sulle

  • @abuabdimanan4065
    @abuabdimanan4065 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hasante sheikh

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird222 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli hata maandiko yanasema vijakazi wawatii mabosi wao na mabosi wawatumikishe vijakazi wao wala wasiwahurumie
    Hapo umesema kweli

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 2 หลายเดือนก่อน

      @@3leggedbird222 Hayo sio maandiko ya Mungu bali ni maneno ya waandishi wa Bibilia kwa sababu Mwenyezi Mungu ni mwingi wa huruma katika viumbe vyake vyote na kila kiumbe amekipa haki yake na katika sisi Wanadamu anatutaka tuhurumiane na kupendana na amesema kwake mtu bora kabisa kuliko ni yule ambaye ni Mucha Mungu kisawa sawa hata awe masikini kapuku madamu ni Mucha Mungu huyo ndiye anaye mkubari sasa Boss unazurumu wafanyakazi wako make hata kumtumikisha kazi nyingi kija kazi wako kwa malipo kidogo nayo ni dhuruma, kumpotezea muda mtu nayo ni dhuruma,Wapi Mungu kasema kwamba Matajiri wenye mali nyingi bila ucha Mungu wataingia peponi ?

  • @Ashura-u3x
    @Ashura-u3x 2 หลายเดือนก่อน

    Mim naitaji namba ya doct sule pliss

  • @nailaalismaili8235
    @nailaalismaili8235 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa huyu shekh tunampataje tukimtaka

  • @KareemMkungile
    @KareemMkungile 2 หลายเดือนก่อน +2

    camera kali

  • @AminaWinjira
    @AminaWinjira 2 หลายเดือนก่อน

    Dr sule munngu akuweke naomba nambari zako

  • @idricemachudemachude1607
    @idricemachudemachude1607 2 หลายเดือนก่อน

    sasa utajuaje nyota yako inaitaji ufanye nini ili utoboe?

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ndomana luto anasumbua watu fani yake ni mbeba nzege ila anafos kuwa laisi😂

  • @bassurintertainments1546
    @bassurintertainments1546 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaiyo tuje kutafuta utajiri kwako.. Anachekesha uyu jamaa.

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo 2 หลายเดือนก่อน

    Acha nyambu sule wewe cy sheikh....wewe ni KUHANI MSHIRIKINA.....

  • @GoodluckLesilwa-kq2ln
    @GoodluckLesilwa-kq2ln 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa iyo shetani nguvu yake kubwa sana..anapangua alichokupangia Mungu...

  • @EmmanuelKhisaz
    @EmmanuelKhisaz หลายเดือนก่อน +1

    𝑻𝒉𝒂𝒏𝒌 𝒚𝒐𝒖 𝒅𝒓 𝒏𝒂𝒐𝒎𝒃𝒂 𝒌𝒖𝒌𝒖𝒐𝒏𝒂 𝒋𝒂𝒎𝒆𝒏𝒊

  • @disantojevnco2718
    @disantojevnco2718 2 หลายเดือนก่อน

    𝔻𝕣 𝕤𝕦𝕝𝕝𝕖 𝕒𝕟𝕠𝕔𝕙𝕠𝕠𝕟𝕘𝕖𝕒 𝕟𝕚 𝕦𝕜𝕨𝕖𝕝𝕚 𝕞𝕥𝕦𝕡𝕦 𝕙𝕦𝕪𝕦 𝕛𝕒𝕞𝕒𝕒 𝕙𝕦𝕪𝕦 𝕛𝕒𝕞𝕒𝕒 𝕟𝕚 𝕘𝕖𝕟𝕚𝕦𝕤