JE USAJILI WATOTO KWENYE BIMA YA AFYA UMEONDOLEWA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 7

  • @paschalliving657
    @paschalliving657 6 หลายเดือนก่อน +1

    Rudishen utaratibu wa zaman Wazaz wengine vipato vdg

  • @user-ok8wi6si5r
    @user-ok8wi6si5r 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mama ni muongo anajibu kisiasa, wataingiaje wakati hakuna barua ya mwongozo wowote shule zamisingi huko vijijini. Ukienda shuleni mwl anakwambia hatuna taarifa hizo hii ikoje. Aache siasia

  • @user-fd5dz3dy3w
    @user-fd5dz3dy3w 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wengine hawasomi private wanasoma st kayumba inakuwaje jaman mbona mnatuumiza

  • @user-wx4ri2gt5g
    @user-wx4ri2gt5g 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ninawatoto wa 3 ivyo viturushi mlivyoweka vya familia garama ipojuuu Sana 720,000 Kwa mwaka Mimi kipatochangu nidogo akiwezi kumudu kulipa iyoela, maoniyangu mrudishie tuu iyoelfu 50400 kwakila mtoto hapo wengi tutaweza kulipia

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna Shule Azitoi huduma hizo kwa Wanafunzi, na Unakuta huyo Mtoto hana Wazazi afanyeje Ili Apate Bima ya Afya

  • @sophiakilindo1189
    @sophiakilindo1189 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kama uyo mtoto ana mzazi angalieni jamani nyinyi wenzetu mnauwakika wa matibabu amuwezi kujali kabisa afya ya watoto. Akumbukwe baba wa watanzania

  • @user-wx4ri2gt5g
    @user-wx4ri2gt5g 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kama mtoto anamzazi halafu shule anayosoma aijajiunga na mfumo wa nhif hapo inakuaje, jamani rudisheni tuuu huoutaratibu wa zamani