JE UMEJIAJIRI? FAHAMU VIFURUSHI VINAVYOTOLEWA NA NHIF
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- Je, unafahamu jinsi ya kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)? Aina za vifurushi na huduma zinazopatikana? Afisa Mwandamizi na Msimamizi wa Shughuli za Ofisi NHIF mkoa wa Ilala Dk Raphael Mallaba na Meneja Uhusiano NHIF Anjela Mziray wanaeleza yote hayo.
Tunakutana na changamoto jaman
mbn coment zetu nyingine ni maswali ya muhimu kabisa lkn hatujibiwi mbona???
Shukuran
Vipi Kama mmlipaji wa Kaya akafariki
Kwa sasa mmetuvuluga.wengine hatuna uwezo,zaidi tulikuwa tunajitahidi kuwaripia watoto wetu,ila Leo hii bima ya watoto,mmeitoa ya 50400.
Asanteni
Natamani kupata Bima naipataje na gharama zikoje kwa mtu mwenye Familia
Lakini nina umri wa miaka 24 sasa nilikuwa nikilipia chuoni ilaa sasa nipo nyumbani ila sijamaliza masomo nimesitisha nafAnyaje kupata huduma kwa kutumia bima yangu baada ya ku expire malipo nafanyaje??
inakuwaje kama mimi ni mwanafunzi wa chuo lakini nimesitisha masomo nipo nyumbani sasa na bima ime expire kwa sasa nafanyaje ili nipate huduma za matibabu yani malipo ya bima nafinyia wapi??
Naomba kujua jinsi kujiunga na bima ya sfya nikiwa peke yangu na nisiye mwajiriwa
Naomba bima
Tupeni jedwali tusome wenyewe
Huduma ya meno vepi??
Je nikiwa na umri 18-35 baadae umri ukizidi hapo ni utaratibu Gani unafata?
mi napataje mawasiliano nataka kujiunga
Ofisi zenu zipo wapi na izo uduma tunazipataje
Anzisheni kulipa kidogo kidogo kama wafanyajazi wa serikali
Nataka kujua mnatibu Hospitali zipi usije ukakuta nihizi zakata tu
@@beatricehamaro7953mbn me naona hospital zote wanatoa Huduma kl kt
Nina umri miaka 44
Nhif