NHIF WATOA UFAFANUZI UZUSHI BIMA ya TOTO AFYA KADI - "INACHANGAMOTO ZAKE, TUMEBORESHA''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 มี.ค. 2023
  • NHIF WATOA UFAFANUZI UZUSHI BIMA ya TOTO AFYA KADI - "INACHANGAMOTO ZAKE, TUMEBORESHA''...
    KUFUATIA taarifa za uzushi zinazosambaa mitandaoni kuhusiana na bima ya afya ya NHIF kwenye kipengele cha Toto Afya Kadi, NHIF wametoa taarfa rasmi....
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 30

  • @latifahmsese9311
    @latifahmsese9311 ปีที่แล้ว +1

    Kwani lazima nimemua kukata bima ya mtoto mmoja ndio uwezo wangu…hii sio sawa Sijapenda

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 ปีที่แล้ว +2

    WAJINGA SASA NYINYI KUMBE... NCHI ZA WENZETU WATOTO NI THE MOST FIRST PRIORITY KWAJAMII..
    ILA NYINYI MNAWAWEKA NYUMA WATOTO....WATOTO PIYA HAWANA ZAMBI

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 ปีที่แล้ว +2

    Mzazi ni masikini Hana uwezo WA kukata bima ya familia. Laki tatu, nne mpaka milioni. Mzazi masikini Hana pesa hizo. Mwacheni awe huru kumlipia mtoto wake peke yake. Kukata ya familia nzima iwe ni hiari

  • @nassirfarah3159
    @nassirfarah3159 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni tatizo

  • @mpindafamily1496
    @mpindafamily1496 ปีที่แล้ว +2

    ilo swala mmefeli

  • @kingjosse4781
    @kingjosse4781 ปีที่แล้ว +1

    Yan wez ni wezi tyuu ☹️

  • @sankajoseph4627
    @sankajoseph4627 ปีที่แล้ว

    Mweshimiwa tunaomba ufafanuzi vizuri kwa upande wa mtoto kwanza kama ameachwa ni mdogo pengine miezi 7 na mzazi alifariki na msaada kwake ni bima huyu mtoto amezaliwa na virusi vya ukimwi na ametelekezwa kila mala ni mgonjwa. Tunaomba ufafanuzi umeamua kufanya kazi iendelee

  • @getrudemshiu4317
    @getrudemshiu4317 ปีที่แล้ว

    😢😢serikalini watoto chini ya miaka 5 wanapotibu vizuri naombeni jina la hosp,kuna hospitali wanawapa amoxylin na panadol kwenye kila ugonjwa😢

  • @anganilestephen1086
    @anganilestephen1086 ปีที่แล้ว +1

    Mnazingua mie mwanangu nimempeleka Masana😮 hospital alitokwa na upele tu mwilini eti dawa zake bima haikavi nini maanaake?

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 11 หลายเดือนก่อน

    JIPU HILOOO....SIJUHI NANI WAKULITUMBUA.😭😭😭😭

  • @saidimohamed4357
    @saidimohamed4357 ปีที่แล้ว +1

    Ujanja ujanja umeanza tena

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 ปีที่แล้ว +1

    Kama mwana Kijiji anamaliza mwaka hajashika sh,ata laki moja zaidi labda amejitahidi sana elfu 50000 kwa mwaka,Sasa laki tatu naa atazitoa wapi?,hayo ya baba kuwa na bima na mama siyo tatizo kutokuwa na bima,Cha msingi rudisheni hiyo bima ya elfu 50400 tuu,

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu2099 ปีที่แล้ว +1

    Je watoto wenye umri mwak 0 - 3 ambao hawajaanz shule itakuaje hususan ikiwa mtu hana uwezo wa kujiunga na familia yote? Ikizingatiwa vifurushi vya kifamilia ni ghari zaid?

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว +1

    Leo nimeumiza kichwa nakukosa majibu ila hii nimepata majibu kumbe hata ningelipia leo mtt wangu angepata huduma kupitia card yake

  • @DonaSereka-wl8xk
    @DonaSereka-wl8xk 10 หลายเดือนก่อน

    kuweni tu wawaz kwamba kaz imewashinda

  • @tuomwaka4551
    @tuomwaka4551 ปีที่แล้ว +1

    Msijiangalie nyie tu kuweni huruma hata na watoto tu...mnajiangalia nyie tu mnaondoaje hii huduma kwa watoto

  • @rahmaoo-oo3ff
    @rahmaoo-oo3ff ปีที่แล้ว +1

    Mm naona muirejeshe huduma ile ile ya mwanzo kwasababu utakuta mzazi hana uwezo wa kulipia hiyo laki tatu, na ukizingati amaisha Sasa hivi ni magumu sana, kwahiyo hapo hamtoi huduma hiyo imekuwa ni biashara

  • @user-wx4ri2gt5g
    @user-wx4ri2gt5g 9 หลายเดือนก่อน

    Duuuh tunaomba Sana mturudishie iyobima ya watoto, maana Toka mlivyoifungia sisi wenyekipato Cha chini tutakufa😢 Kama 50 wengine wanashindwa kulipa Elfu 50 je ataweza kulipa malaki

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว +1

    Huko mashuleni muda mwingine matrons wanazingua hawatumii izo card wangu hadi mwaka umeisha natoa pesa wakidai card haitumiki
    Tanga wilaya ya muheza

  • @user-so1sj5mj1l
    @user-so1sj5mj1l 2 หลายเดือนก่อน

    Tuna shangaa sana tuna kata bima zitusaidie ila tunaambiwa azitumiki

  • @FloraSafari-ln4mr
    @FloraSafari-ln4mr ปีที่แล้ว

    Acha tusema bima ya afya nimegundua haiwezi kusema Ila watoto wenye ulemavu ndo chanzo cha watoto wengine kukosa bima ya afya

  • @abdallahmzuzuri3527
    @abdallahmzuzuri3527 10 หลายเดือนก่อน

    Hii nnchi ilipo fikia sasa ni pabaya sana. Mnawapa watu uongozi ambao bongo zao wanafikilia kila mtu au mzazi anauwezo kama walivyokua wao. Watu wamekua wanavichwa vya hovyo kweli kweli.

  • @daudishekiogwe
    @daudishekiogwe ปีที่แล้ว

    Tunataka muda wa kuanza matumizi baada ya kukata bima upunguzwe kwani haina maana yyt

  • @sirielsamweli4751
    @sirielsamweli4751 ปีที่แล้ว

    Kuna kitu kama nimekielewa, ila wataje viwango vya pesa wazi, kwa mfano wakiwa wazazi wawil na watoto labda wanne ni bei gani? Na akiwa mzazi mmoja na watoto labda wawili ni bei gani au Watoto sita

  • @mosesedwardmagembe9657
    @mosesedwardmagembe9657 ปีที่แล้ว +1

    Tuache kujifikiria wenyewe! Watu uwezo hawana . Na hakuna asiyehitaji bima ila uwezo wa kukata bima jumla hawana unachangachanga unamtoa mmoja mmoja. Huo ujumla unakwamisha watu. Acheni ubinafsi.

    • @yakubuluoga8394
      @yakubuluoga8394 ปีที่แล้ว

      Familia zilizo nyingi kupata angalau milo miwili kwa siku ni shida watawezaje kukata bima yenye thamani ya laki tatu tena ishu yenyewe ni sawa na kubet

    • @user-ok8wi6si5r
      @user-ok8wi6si5r 4 หลายเดือนก่อน

      Rudisheni ule utaratibu wa zamani acheni ubinafsi, yaani hii nchi kila mmoja ni mwanasiasa tena siasa za muongo. Hebu acheni longolongo

  • @FloraSafari-ln4mr
    @FloraSafari-ln4mr ปีที่แล้ว

    Swali langu kwa waziri Wa afya kwanini msitishe gafla ? Kusitisha Toto afya card Na mlianza Na watoto wenye ulemavu hasa kawa mkoa Wa Kilimanjaro watoto wenye ulemavu walianza mkinyimwa bima kabla ya hapo

  • @aminiakyoo9208
    @aminiakyoo9208 ปีที่แล้ว

    Dah!! tupambaneni tu na watoto wetu Mungu atatusaidia na ikishindikana sote ni mavumbi na mavumbi tutarudi.!!😭😭😭😭mimi sina uwezo wa kukata bima ya familia nafanyaje!wakati nilikuwa na uwezo wa kukatia watoto !!

  • @JojiLuvuba
    @JojiLuvuba 3 หลายเดือนก่อน

    Waziri mnamuonea rais hili swala la bima la watoto yeye kama mwanamke ilibidi awe na moyo wa kumuonea huruma mtoto