ISMAIL JUSSA || AFICHUA UFISADI MWENGINE UNAOFANYWA ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 18

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 7 วันที่ผ่านมา

    Swadakta mwinyi akimaliza miaka yake kashiba hela za ufisadi kashamiliki ardhi ya fumba na bweleo kma viwanja vyake binafsi anataka kujenga hotels zke

  • @IddiKhamis-u6c
    @IddiKhamis-u6c 14 วันที่ผ่านมา +2

    He! Kila atakaeiongoza Zanzibar kwa dhulma hakika hatoiletea maendeleo ya wananchi walio wengi kuridhika.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nyie hamuna sera hebu semeni mukipata uongozi kutafanya nini Zanzibar tupeni ahadi sio ufezuli to

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂 naona siasa sio fani yko ww fuata upepo huu sio mda wa sera(kampeni)

  • @w4058
    @w4058 13 วันที่ผ่านมา +1

    Wapumbavu wakubwa nyie nyote vipofu wa maendeleo

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂 acha makasiriko ukweli unauma ufisadi mwingi acheni

  • @yahyasabil921
    @yahyasabil921 13 วันที่ผ่านมา +1

    Hatuoni ufisadi tunaona maendeleo Dr mwinyi mitano tena Dr mwinyi oyeee

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂 ccm oyeeéeeeee maendeleo y kupanda kodi na bei za bidhaa na umeme safiiiiiii mapinduzi daima njaa maisha magumu daima mbele

  • @amamossi4203
    @amamossi4203 14 วันที่ผ่านมา +1

    Unamsifia samia kwa sababu hatuwezi kuchukua nafasi huko

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 7 วันที่ผ่านมา

      Sio kw ubaya

  • @hajikiame7551
    @hajikiame7551 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa mwinyi awezi kufanya ufisadi ila wewe una uroho wamadaraka na atukupi ng. Oo

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 7 วันที่ผ่านมา

      Tupe usibitisho wa maneno yako

  • @amamossi4203
    @amamossi4203 14 วันที่ผ่านมา

    Jmn hebu tuwe wakweli ivi jaribu siku Moja kuyasema mazr tu yaliyofanyika. Na hii leo co Jana km matatizo yalitokea ila kuondoa kwa haraka mtihani.

    • @MchaFakih-ij8kh
      @MchaFakih-ij8kh 14 วันที่ผ่านมา +2

      Hakuna et ayo madhuri

    • @w4058
      @w4058 13 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@MchaFakih-ij8khhao ni vipofu ndani ya nyoyo zao hawajui kinachoendea na uwongo wa CCM umo ndani ya mishipa yao ya damu wamepofolewa nyoyo zao kabla macho basi hawa fahamu lolote watu kama hao wapuuze

  • @akidasheha8601
    @akidasheha8601 14 วันที่ผ่านมา

    Mpumbavu mkubwa iyo njia mkandarasi keshalipwa muda wwte kazi inaanza huna jipya tafuta mke uoe na mahari tutakupa...sio unasema pumba tu hapo😂

    • @abdallahmohd3777
      @abdallahmohd3777 8 วันที่ผ่านมา +1

      Ndugu yangu amka barabara madara hospitali hivi unaona ndiyo maendeleo au ni majukumu ya gavment kutengeza,usiwe mjinga maendeleo kwa zanzibar ni viwanda ambavyo ndugu zako watanganyika hawataki viwepo na vilokuwepo vyote vimekufa ,unafurahiya barabara hata baskeli huna ukiamka hujuwi nini unakula pumbavu mkubwa wewe

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@abdallahmohd3777😂😂mfahamishe akamate kalamu vizr hyo wa darasa la 7 siasa sio fani yake