MWANAHARAKATI AJITOA MUHANGA MBELE YA DKT MWINYI AFICHUA MADUDU HADHARANI "TUMEKAMATA TUPU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 524

  • @it-vw4zj
    @it-vw4zj 4 ปีที่แล้ว +67

    Fantastic dada etu, mchango wako ni mkubwa na Allah atakupa nguvu na mchango wako usipotee bure

  • @andresmartin6332
    @andresmartin6332 4 ปีที่แล้ว +16

    Mwenyezi Mungu akupe Afya njema dada ama kwa hakika sauti yako itabaki milele na Mungu atakupa ulinzi wake juu ya maisha yako wewe ni mama haswa HONGERA SANA

  • @fathiyasaid1506
    @fathiyasaid1506 4 ปีที่แล้ว +26

    Ahsante sana ukhty Allah akulipe na akulinde

  • @nassernajm5417
    @nassernajm5417 4 ปีที่แล้ว +15

    Sub'hanaLlah!!
    Pole MH Mwinyi kwa majanga ulioyakuta..!! Allah akusaidie uyaweze maana kila kona kuna mapungufu mengi tu😐

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 4 ปีที่แล้ว +6

    Jazaaka llahu khayra mama Allah akulipe firdausi na akulinde na maadui Aamin

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 4 ปีที่แล้ว +8

    Asante dada kwa kusema ukweli allah akuzidishie kila la kheir

  • @ahmedkhamis9539
    @ahmedkhamis9539 4 ปีที่แล้ว +36

    Hongera sana mama umeongea maneno mazito sanaaa allah atakulipa heri tupu inshaallah

  • @zaibonge7867
    @zaibonge7867 4 ปีที่แล้ว +28

    Huyu mama apewe cheo kikubwa hapo Zanzibar wallah anaipambania mpaka raha wallah 😘 Allah amjaalie thawabu nyingi ...na amlinde na wabaya maana Tanzania ukisema ukweli unakuwa adui .😭

  • @aliabeid6226
    @aliabeid6226 4 ปีที่แล้ว +7

    Dada hongera sana hayo ndio mambo ya kusema Zanzibar inameharibika sana Allah atakulipa kwa moyo huo wazkujitolea

  • @jumafaki1697
    @jumafaki1697 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Furaha yangu kuona Ktv imepata nafasi kwenye list ya Trending mnatakiwa kuwa wabunifu

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 4 ปีที่แล้ว +4

    Nakuomba Mh Raisi huyu mama mpe cheo cha ukuu wa wilaya ya mjini Maguarib ili tuende Sawa anafaaa saaaanaa maana aliwekwa Mh Ayub aliondoshwa watu walinyooka lkn Kwa sasa serekali yako ya wachapa kazi huyu mama anaweza . Ahsante Sana mama wewe ni mkombozi Mungu akupe ulinzi zidi ya maadui watakaokuzunguka ubaya uwarejee wale wote madhalim wa nchi na mahafighina 😘😘😘😘👍

  • @zainarashid1024
    @zainarashid1024 4 ปีที่แล้ว +17

    Mashaallah mashaallah mama angu.M.Mungu atakuhifadhi na wasiomjua Allah .Umezungumza vizuri sana Ahsant😘

    • @babuadam7293
      @babuadam7293 4 ปีที่แล้ว

      Inasikitisha sana.jamani kuna muumba ambaye ametuumba.tumuogopeni
      Mh.Rais fanya kazi kwa haki mungu akupe nguvu Mama hongera Allaj akupe.afya wepesi na.nguvu

  • @munasuleyman3159
    @munasuleyman3159 4 ปีที่แล้ว +6

    Mashaalah mashaalah mashaalah Allah akujaalie kila kheri akupe ujasiria zaidi usirudi nyuma mamaaa

  • @MuhusiniRashidi
    @MuhusiniRashidi 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ina sikitisha nchi iliokua inaelekea kubaya viongozi muogopeni mungu kila kilicho hai kitakufa wanaharakati fanyeni kazi yenu mungu atawalipa

  • @asfarsham9037
    @asfarsham9037 4 ปีที่แล้ว +17

    Allah amjaalie kheri zote za duniani na akhera huyu mama na watu wake .
    Na ajaalie harakati zao zilete mafanikio ya hali ya juu.Ameen

  • @aminakassim409
    @aminakassim409 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah dada allah akulipe kheri ....allah azidi kuilinda zanzibar yetu

  • @mukrimkhamis678
    @mukrimkhamis678 4 ปีที่แล้ว +11

    Apewe cheo uyu mama atasaidia sanaa##🙏🙏🙏

  • @zuwenasuleiman4277
    @zuwenasuleiman4277 4 ปีที่แล้ว +9

    Sema dada Allah akuhifadhi, kwa vile unasikilizwa semaaa

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 4 ปีที่แล้ว +1

    Mhe. Rais kazi kubwa sanasana unayo na huyu mama wa kufikiriwa sana na aliyo eleza yafuatiliwe kikamilifu. Mungu akupe busara na hekima ktk kutekeleza majukumu yako. Pia tunaomba maelezo yetu tuliyatuma angalau yawe acknowledge bado tuna mengi ya kukueleza Mhe. Amina Mungu akuhifadhi akulipe ajra kubwa kwa kazi yako.

  • @rayhanchunu7779
    @rayhanchunu7779 4 ปีที่แล้ว +2

    Ma Sha Allah mumefanya kazi nzuri. Na shauri msiwapeleke polisi wasagaji na makhanisi bali wape daawa. Si kisa ao bali walifundishwa wakiwa wadogo. In Sha Allah Allah atasaidia.

  • @abuuazhaar2617
    @abuuazhaar2617 4 ปีที่แล้ว +1

    MashaaAllah mama angu Allah ndie mlipaji atakulipa naamin unasema kwa hisia kali pole mama yang. Tuombe dua Allah ampe moyo huyu kiongozi we2

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 4 ปีที่แล้ว +15

    Masha Allah alhamdulillah Allah ampe Nguvu mama yetu huyu na amhifadhi

  • @yunushamdan6079
    @yunushamdan6079 4 ปีที่แล้ว +6

    Hongera cn Mam yng Allah akupe umr mrefu na ujasiri wa hal y juuu

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 4 ปีที่แล้ว +6

    Maasha Allah Mungu akulinde mama wangu.

  • @zubeidaukasha5094
    @zubeidaukasha5094 4 ปีที่แล้ว +8

    Alhmdullah Yarrab mpenguvu huyu Dada🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 4 ปีที่แล้ว +6

    Machozi yananitoka siwezi kujizuia. Wallahi mama wewe ni mtu mwema na mtu mwema jaza yake ni pepo ya daraja la kwanza. Allah awe pamoja nawe na wote wanaokuunga mkono kwa namna moja na nyengine. Yaa Allah mlinde Amina na watu wake wema, mpe nguvu na busara zaidi ya alivyo, msimamishie ushindi katika dhamira zake njema. Amina🤲

  • @asianfadhil4282
    @asianfadhil4282 4 ปีที่แล้ว +6

    Mashaallah mama upo vizuri wanawake tu jiheshimu tuvae mavazi mazuri hasa mbele ya mkusanyiko wa watu ili tuheshimike

  • @humudimohd9065
    @humudimohd9065 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante mama kwa maneno yako mazima inshaallah Allah akupe msimamo mzuri

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 4 ปีที่แล้ว +19

    Wallah sina lakusema isipokua. HasbiyaAllah Wannima Alwakil. 😭😭😭. Serikali gani hio ilopita. Mungu atawaona kama walikua wanafanya haya kwakujua.

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah Allah Akuhifadhi Yarabiy

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akupe hekima na Busara maishani mwako na hata kesho mbele za mwenyezi Mungu 🙏🏼
    Uko parfect 🤲🏽

  • @ahmedmalick1898
    @ahmedmalick1898 4 ปีที่แล้ว +4

    Allah akulipe kwan umeongea kwa niaba ya watu wengi Allah akupe ujasiri wa kufichua madudu..Allah akulipe kila la kheir na akupe mwisho mwema

  • @halemasuliman-js8ug
    @halemasuliman-js8ug หลายเดือนก่อน

    Asante sanaa dada una uchungu kweli na nchii yakoo tujitahidini kurudii katika maadili yetuu ya zamanii ya kizanzibari allah azidi kukutia nguvu kwa hilo na pia akulindee

  • @alawialawi2192
    @alawialawi2192 4 ปีที่แล้ว +8

    Bi Amina anaamini Allah yuko juu Alhamdulillah,1:50 -2:10
    Kuliko jamaa flani hivi wanazunguka mjini mzima kupinga hili na hawatoweza

  • @mohdmata2043
    @mohdmata2043 4 ปีที่แล้ว +13

    Ma shaa Allah Ma shaa Allah Ma shaa Allah .........Allah (sw) atakulinda na atakuepusha na Kila balaaa mana hapo wapo wanaoumizwa na ukweli uliousema na Kila kitu ulichokiongea ni sahihi kabisa Mama angu .....Hongera sanaa 🥰

    • @nassirmustafa27
      @nassirmustafa27 4 ปีที่แล้ว

      Uhakika viongoz na ukweli viongoz wa awamu ya Saba imeongoza

    • @nassirmustafa27
      @nassirmustafa27 4 ปีที่แล้ว

      Walimuondosha ayubu kwa kulinda ushoga

  • @allymadad6625
    @allymadad6625 4 ปีที่แล้ว

    Hongerani kwa kazi nzuri na endeleeni ivyo ivyo kuilinda jamii na hawa wasio wajali jamii .wanaharakati mnafanya kazi nzuri sana

  • @jumasaid1619
    @jumasaid1619 4 ปีที่แล้ว +9

    Umeongea point Allah akubariki kwa fursa ulio ipata

  • @iliasaliogopen6505
    @iliasaliogopen6505 4 ปีที่แล้ว +37

    Wallahi wallahi wallahi huyu nimama wakiislam mungu akulinde

    • @salimsasco8433
      @salimsasco8433 4 ปีที่แล้ว

      Mashaaallah mama mungu akusimamiee

  • @habeebnayman6980
    @habeebnayman6980 4 ปีที่แล้ว +4

    Hatimae amepatikana wa kumfunga paka kengere! Allaahu akbar! Allah akuhifadhi mama katika dunia na akhera!Kilichobaki tuone utendaji wa raisi tu!

  • @ibrahiym_khan7984
    @ibrahiym_khan7984 4 ปีที่แล้ว +2

    Yes yes, nmependaaaa snaa comfidence ya mama mwanaharakat👍

  • @salmasaid1299
    @salmasaid1299 4 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah mwanamke jasiri mungu akuzidishie kila kheri kusimamia haki

  • @ahlamharoub1130
    @ahlamharoub1130 4 ปีที่แล้ว +14

    Love you mum angalau Zanzibar yetu itarudi back insha Allah 💓💓💓💓

  • @allymuhammad8956
    @allymuhammad8956 4 ปีที่แล้ว +8

    Daaah allah amlipe huyu mama anasema kwa hisia kubwa na imaan kubwa kwa kweli na muheshimiwa nilivo muona yamemgusa sanna

  • @suleimanseif3290
    @suleimanseif3290 4 ปีที่แล้ว +16

    Mama mashallah nakuomba usichoke natamani nikuletee binti yangu umlee

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 4 ปีที่แล้ว +38

    Serikali chukueni jukumu la kumhifadhi huyu mama. Akijikwaa tu hampo salama.

  • @sheikhanasser9471
    @sheikhanasser9471 4 ปีที่แล้ว +4

    Pepo iwe ndio maakazi yako ya milele na Allah akujalie husnil hatma jituhada yako Allah anaiona kwa kweli Allah akubarik akufungulie khr na barka Amin ya rabb

  • @nooor1120
    @nooor1120 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuhifadhi dada yetu dunia na akhera aamiin

  • @rahalee5479
    @rahalee5479 4 ปีที่แล้ว +9

    Sawa sawa sasa pako pakukimbilia jiripue kwa ajiri ya Allah!

  • @ibramiddo4863
    @ibramiddo4863 4 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah Allah akujaalie maisha maref yeny mafanikio ndani yke

  • @bakarrama6157
    @bakarrama6157 4 ปีที่แล้ว +9

    Mamaa munguuu akupeee nguvuuuu yaaa uteeteee umaah ungujaaa yaa hiiii daaaah inalilah wainailah rajiiiunii

  • @aliarkam9548
    @aliarkam9548 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwenyez Mungu akupe kila kher . Mashaa allah mama

  • @الزغويالزغوي-ض3ن
    @الزغويالزغوي-ض3ن 4 ปีที่แล้ว +18

    DUH ! MWENYEZI MUNGU AJA'LIE NUSRA 🤲!

  • @binothman9284
    @binothman9284 4 ปีที่แล้ว +2

    Subhana llah huu nimtihani kwahakika Allah atakulipa kila la kheri Inshaa Allah mama yetu

  • @nassourali8668
    @nassourali8668 4 ปีที่แล้ว

    Assalaamugh-alaykum, pamoja na kazi kubwa ya wana harakati, pongezi kubwa kwa Rais Mwinyi kuweza kujiweka karibu na raia bila ya wasiwasi wakaongea mbele yake na wakiwa na uhakika na usalama wao MASHALAAH.

  • @salamasaleh7077
    @salamasaleh7077 หลายเดือนก่อน

    Mashallah msema kweli ni kipenzi cha mungu umetililika mama mungu akulinde

  • @hedayaabdullah3490
    @hedayaabdullah3490 หลายเดือนก่อน

    Allahu Akbar! Allah akuhifadhi dada yangu, akunusur na kila balaah wa belwa za walanifu.

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akuhifadhi na akuzidishie kupambana kwako.

  • @magellasaid28
    @magellasaid28 4 ปีที่แล้ว

    Allah akulinde ktk hili nimekulia Znz naijua vzr sn bila kuipigania asili ya Znz inaenda kupotea, ongezeni mapambano inshaAllah tutashinda

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 7 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana,nashukuru Mungu kwa kazi yako njema.

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 3 หลายเดือนก่อน

    Asante mama,Allah atakulipa fungu lako kwa kutekeleza wajibu wako.
    Serikali haina mpango wa kukomesha haya maovu kwani hayajaanza leo nao wanajua lakini hatujaona hatua za makusudi kukomesha maovu hayo

  • @iliasaliogopen6505
    @iliasaliogopen6505 4 ปีที่แล้ว +57

    Ewe mola mpe mama huyu pepo pamoja nasi

  • @aliy3303
    @aliy3303 4 ปีที่แล้ว +9

    Allah muhifadhi huyu dada

  • @francischubwa5562
    @francischubwa5562 4 ปีที่แล้ว

    Wallah Zanzibar yeti imeharibika! Nakumbuka mawaidha ya maruhum shekhe Omari Bashiri

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 4 ปีที่แล้ว +9

    Hii ni kweli kabisa Zanzibar mambo ya liwati yameenea na wengi wao wanalindwa na watu wa juuu

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 4 ปีที่แล้ว +7

    Hongera mama kusema kweli tunaomba raisi amuekee ulinzi kwa usalama wake na Allah atamuhifadhi na awahidi wanaodhalilisha watu .Zanzibar iwe salama na balaa hilo.

  • @hajiussi3044
    @hajiussi3044 4 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea ukweli ambao siku za nyuma ulikuwa ukifichwa na kufunikwa. Ww ni jasiri. Hongera sana mama. ALLAH akulinde. Hongera pia kwa Rais wetu Dr Mwinyi kwa nia ya dhati ya kuhakikisha zanzibar yetu inapiga hatua za kimaendeleo na inakuwa salama kwa kila mmoja wetu.

  • @bakarali3093
    @bakarali3093 4 ปีที่แล้ว +3

    "Its logic". Allah atakulinda kwa kueleza ukweli na kuficha unafiki ambao wengi kati ya waislamu wengu tumejivesha. Allah akupe kila la kheri duniani na akhera. Never give up. Mama Amina allah akuzidishie afya, siha njema na akili timamu kwani Dk. Mwinyi anakuhitaji.

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 4 ปีที่แล้ว +4

    Maashallah
    Raisi MSIKIVU na WANANCHI wasemaji kero zao. Mungu awekwe TAWFEEQ ktk kupambana na HILI janga. Hali sio shuwari KWA kweli ya udhalilishaji.

  • @تاتا-ن6ن
    @تاتا-ن6ن 4 ปีที่แล้ว

    Asante mama
    Allah akulipe kila la kheir

  • @nasrafita6909
    @nasrafita6909 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana mama hakika mungu atakulipa ujira wako nikweli unguja ya jana sio unguja ya leo imebakia stori tu

  • @umyusuphumyusuph5706
    @umyusuphumyusuph5706 4 ปีที่แล้ว +1

    Asanta ndugu yangu mungu akupe maisha marefu ila

  • @SalumRwambo
    @SalumRwambo หลายเดือนก่อน

    Tukiyaacha haya tutaangamia mama hongera tutasema maisha magumu kumbe Allah anatupiga kwa matendo yetu

  • @hkk2450
    @hkk2450 4 ปีที่แล้ว +1

    Yarabi tulindie watoto wetu wote duniani

  • @bakarrama6157
    @bakarrama6157 4 ปีที่แล้ว +2

    Mueshiimiwaaaaa daaaah kazy kweliikweliiiii munguu ibarikiiii zanzibar

  • @jinaabdullah4107
    @jinaabdullah4107 4 ปีที่แล้ว

    Mashaallah mama hongera sana Allah atakulinda zaidi

  • @tawakalmohammadsalum4252
    @tawakalmohammadsalum4252 4 ปีที่แล้ว +2

    Shukran Sana bi Amina haya masuala yapo sawa sawa na tunamuomba . muheshimiwa RAIS ayafuatilie kwa makini na hususani mabaa mitaani, makaka poa na madada poa , pía hapo ccm maisara kunafanywa ukahaba dhahiri shahiri na pía madawa ya kulevya ndio kichocheo chá haya yote na wahusika wote wanajulikana na police ila wanawalinda kwa maslahi yao binafsi ya kinyume na maadili ya nchi

  • @salmasalim3525
    @salmasalim3525 ปีที่แล้ว

    MashaAllah Allah atusaidie ktk hili

  • @mulhatramadhan9425
    @mulhatramadhan9425 4 ปีที่แล้ว

    Allah akubark dada angu, Rais yafanyie kazi.

  • @abalhassan5990
    @abalhassan5990 4 ปีที่แล้ว

    hongera mama dooooooh umetishaaa wallah nitakutafuta in shaa Allah is

  • @baparma3051
    @baparma3051 หลายเดือนก่อน

    Najiuliza asilimia yetu 99% ya uislamu iko wpi na nini kinashindikana kufata sheria ya kiislamu. Kisha tunalalamika mmomonyoko wa maadili. Asante kwa kusema ukweli unao ujua.

  • @DalilaMuhamedHaji
    @DalilaMuhamedHaji 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde mama uchafu umezidi. Zanzibar na tunataka zanzibar yetu kama ya zamani tuishi kwa heshima na amani .

  • @khushipyaar7770
    @khushipyaar7770 4 ปีที่แล้ว +1

    Maa Shaa Allah, Allah atawalipa ktk hili

  • @it-vw4zj
    @it-vw4zj 4 ปีที่แล้ว +44

    Maneno ya maana sana na yenye kuskitisha sana aloyasema dada etu huyu. Msiba mkubwa uliopo kwani huyo alokaa pembeni mwa Dr Mwinyi (Simai) ni mmoja wa hao wanoimarisha biashara za mabaa, club za pombe pamoja na hayo matamasha yaitwayo Busara. Yuko mstari wa mbele katika uharibifu wa maadili yetu. Ama dada etu huyu ametuwakilisha vizuri sana na ametusemea yanotuumiza nyoyoni mwetu, mashaAllah huyu ni mtu wa kupigiwa mfano.

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 4 ปีที่แล้ว +2

      Kumbe Huyo IBLISI Mwenyewe Yupo Hapo🤣🤣🤣

    • @fatmasayid8895
      @fatmasayid8895 4 ปีที่แล้ว +1

      M.mungu awashinde

    • @khushipyaar7770
      @khushipyaar7770 4 ปีที่แล้ว

      yaani mpk nimehic baridi wallah

  • @kautharsalim5025
    @kautharsalim5025 4 ปีที่แล้ว +10

    Mashaa Allah mama kasema maneno mazito mtihani sana huu rais mwinyi tunakuomba utusaidie kuyaondoa haya na Allah ataleta wepes dr shein utakwenda kujibu kwa Allah uongoz wako uliutumia vip mambo machafu yote yamefanyika Katika serekal yako na wewe hukufanya lolote

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 4 ปีที่แล้ว +7

    Subhanallah inna lillah wainna ilayhi raajiun ya rabb stara

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 3 หลายเดือนก่อน

    Mamayangu hongera sanaa pia TUSIKATE TAMAA KUSAIDIA JAMII.

  • @JumaHamad-i3f
    @JumaHamad-i3f 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama watu wanaumia hapo lakn umeongea vitu sahib Zanzibar inapotea

  • @onlinetv2269
    @onlinetv2269 4 ปีที่แล้ว +2

    Mama umejitahi vya kutosha inshaallah Allah atakulipa kwa ilo na namuomba Allah akuhifadhi na naahidi sito acha kukuombea dua inshallah

  • @zezezeze8408
    @zezezeze8408 4 ปีที่แล้ว +3

    mashaAllah...wakitokea wanawake 2 km hawa tu bas znz itarud km mwanzo

  • @MuhmediJuma
    @MuhmediJuma ปีที่แล้ว

    Allah akulinde inshaalah❤❤❤

  • @MchaOthman-g2i
    @MchaOthman-g2i หลายเดือนก่อน

    Allah akulipe kheri inshaallah mama kwa kusema ukweli na hiyo ndio imani.

  • @asianfadhil4282
    @asianfadhil4282 4 ปีที่แล้ว +2

    Innalilah wainnailahi rajiun 😢 dah watoto wetu ndugu zetu Allah awalinde na balaa

  • @hassanibakari9667
    @hassanibakari9667 หลายเดือนก่อน

    Mama hongera sana allah akufanyie wepesi majukumu yako inshallah atamulinda

  • @nassoribrahim5288
    @nassoribrahim5288 หลายเดือนก่อน

    😊Allah amhifadhi MaMa huyu wa Maaana

  • @MonicaMushi-z8s
    @MonicaMushi-z8s หลายเดือนก่อน

    Mama hongera sana ni wachache wenye ujasiri wa kusema ukweli.

  • @abalhassan5990
    @abalhassan5990 4 ปีที่แล้ว

    safi sanna mama yangu Bi Amina mapambano na in shaa Allah Allah ajaalie kheir kwa kila khat-wa uipigayo na tupo pa1 sannaa dhidi ya hilo

  • @SHABANIALLY-t6d
    @SHABANIALLY-t6d 19 วันที่ผ่านมา

    Jazaqa llahu Khaira

  • @AllySingano-uw6nq
    @AllySingano-uw6nq หลายเดือนก่อน

    Umepatia sana dada

  • @hawahawa7484
    @hawahawa7484 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah amuhifadhi huyu mama 😭😭😭😭

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke หลายเดือนก่อน

    Allah mtukufu akulipe kheri Dada yetu