🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu ACT Wazalendo utazipata kupitia channel hii.Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chetu cha ACT Wazalendo Makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa
#actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui
Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi.
Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia:
1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira.
2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa.
3.Upatikanaji wa elimu bora.
4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote.
5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote.
6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu.
7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi.
8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza.
9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote.
10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.
Wew Mh Othman Masud Othman hakika mm binafsi nkushkur sanna lkin kiukwel Wazanzibar umetupatia tiba kwni tyr tulishtk kuvunjika moyo ila hkik mungu akuongoze n utuletee mamlk kmli Wazanzibar
INSHALLAH ALLAH ATATUFANYIA WEPESI
Kheir ikasisame nasi INSHAALLAH
Inshallah
OMO katika ubora wake.
Hizi barabara faida yake wanaiyona wao wenye magari masokoni wanyonge wamekosa hata meza na kodi ni kubwa sana
Yaan mnampenda sana dalal diman
hatuhitaji ngorofa. hawa ccm wamechanganyikwa. tumewachoka. tuwatowe tu kwanjiya yoyote
Nilicho anagalia na kukichukunguza karibu nusu na robo tatu ya wazanzibar wanalalamika sana kwenye huduma muhim kama za afya maji umeme na hata chakula bei zipo juu sana