FRED VUNJABEI:NAI NI PISI KALI/ALINICHEKI DM JANA/HAMISSA NIMEMU UPGRADE ANA ENJOY KUWA SINGLE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 206

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 3 ปีที่แล้ว +22

    Dah jamaa Yuko poa sana. Anawasaidia vijana big up Fred👏👏👏🇹🇿.

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 3 ปีที่แล้ว

      Ata kama yupo freemason yanawahuso muache na kaz zake

  • @hakitv4717
    @hakitv4717 3 ปีที่แล้ว +43

    Jamaa sio freemasonary Kwanza asingeweka wazi hizo siri za kibiashara namna hiyo! Halafu note point 1! Wakati wa corona ilipozingua ....ametaja Economical term" External factors".....Huyo jamaa ana elimu Kubwa ya biashara + kipawa Cha kiakiri +He is gifted!

    • @HASASON
      @HASASON 3 ปีที่แล้ว

      Japo siamini kama ni freemasonry lakini kwa taarifa yako Hakuna wenye akili kubwa duniani hapa kama freemasons, so kusema external factors sio akili ya kuifananisha na freemasonry

    • @hakitv4717
      @hakitv4717 3 ปีที่แล้ว

      @@HASASON unaweza kuwa na point ya Msingi Ila inatakiwa ujue Mwanzo wa freemasonary yenyewe ! Kwa haraka ni kutoka katika hekalu la Seleman alilolijenga kwa ajili ya Mungu Baba! Unajua kila nguvu iliyoko hapa Duniani/nchi na kila uumbaji tunaoujua na tusioujua nguvu hiyo ni mali ya Mungu Baba/Mwenyezi Mungu au kwa Jina lolote utambualo Yeye aliye Mkuu wa Vitu vyote! Sasa shida inaanzia kwenye Agano la kuipata hiyo nguvu na Matumizi yake! Hilo ndio tatizo ! Kwa Haraka Sana Vunja bei simjui kiundani Ila Jamaa yake yote/Familia kwa ujumla ni Loyal family . Yaani Wana kipawa Cha biashara ! Nimeijua hilo kupitia Biography yake pia ana experience Kubwa ya kimaisha maana pamoja na kuwa anatokea kwenye familia bora Ila alaishawahi kufanya Community work/ kuajiliwa maana kuajiliwa ni kujitolea kwa ajili ya wengine. Ndio maana ukiwa social worker either private sector au selikalini halafu ukatajilika hilo ni tatizo Kubwa na ndio ushetani wenyewe! Ila katika Yote Mungu Baba hakuwaleta watu katika ardhi ili wale msoto Kuna mengi ya kuzungumzia si unajua hapo ni darasa pana ktk Yote nakushukuru! Kwa reply comment yenye afya! Maana kama atakuwa na Maagano ya kipepo ni Yeye atapata shida na Tangiepo hawanaga Amani kabisa watu wale.

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 ปีที่แล้ว +3

    Genius, you inspired me sasa hivi ninabajaji tatu mpyaaa iko siku nitafika huko WACHA nipambane.

  • @user-ij5ig4uu1y
    @user-ij5ig4uu1y 3 ปีที่แล้ว +18

    I I love this man he's educated sio Wa kuropokwa kama wengine

    • @chrischleopa7738
      @chrischleopa7738 3 ปีที่แล้ว

      And remember he was employed in GVT ministry

  • @jerrydavid8629
    @jerrydavid8629 3 ปีที่แล้ว +9

    Ww ni mwamba sana broo unajua sana kuwajibu hawa wambea

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 3 ปีที่แล้ว +6

    The interview is more educative than entertainment. .. Keep it up Fred

  • @khatibabdallah6185
    @khatibabdallah6185 3 ปีที่แล้ว +17

    Jamaa yuko vizuri mnoo, tatizo vijana wengi kinachotupoteza ni mazoea mabaya na kukosa ubunifu tunakimbilia kusema freemason ni undava wa kipumbavu sn

    • @adamally6
      @adamally6 3 ปีที่แล้ว

      kwel mzee

    • @aishaabubakari183
      @aishaabubakari183 3 ปีที่แล้ว

      Kabisaaa mtu akiamka asubuh anawaza majungu na fitna hawazi nn afanye

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 3 ปีที่แล้ว +32

    Too much ustaarabu + Too much akili = Too much Mooney, safisanaa brother

  • @WivianRich
    @WivianRich 3 ปีที่แล้ว +2

    Woyoooooooooooo, kupanda Grade huko Toto ya Mobyetto Ni suala lingine kwa Fredy Vunjabei

  • @nurdinisalum3651
    @nurdinisalum3651 3 ปีที่แล้ว +15

    Frank knows ndio mdogo wake wa damu huyu ni patina na Frank

  • @milkaauma6312
    @milkaauma6312 3 ปีที่แล้ว +4

    Ukiwa na hela lazima busara zifate uko sawa mzee baba vunjabei

  • @ramsonrugonzi8249
    @ramsonrugonzi8249 3 ปีที่แล้ว +30

    Aiseh kumbe hyu mwamba ni economically generous,,,

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali kaka angu ,yaan unaajiliwa kidog unapata gap unatembea icho kitu nakiaply

  • @manduatechnology1055
    @manduatechnology1055 3 ปีที่แล้ว +1

    Braza Fred nakukubal San unanifany nifight San niwe Kam wew broo

  • @nelsonmataba1426
    @nelsonmataba1426 3 ปีที่แล้ว +7

    Huyu jamaa kwa upande wa biashara ndio rol model wangu + Lissu ✊🏾

    • @HASASON
      @HASASON 3 ปีที่แล้ว

      Shoga

  • @devothakiwola6461
    @devothakiwola6461 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnyamaaa mwenyewweeeeee nakuelewa saanaaa

  • @karimomari4632
    @karimomari4632 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi san kiongoz mara nyingi nasema wew mkali wa (knowledge)

  • @nicklassshaypanga8794
    @nicklassshaypanga8794 3 ปีที่แล้ว +1

    Mhhhh kaka usitudangaye hyo bhanaaaa shemejiiii yenuuuuu

  • @shoxmocormasasi4391
    @shoxmocormasasi4391 3 ปีที่แล้ว +5

    Jamaa Yuko smart sana

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 ปีที่แล้ว +22

    Jamaa ananidham😍😊

  • @ernestkilaryo1015
    @ernestkilaryo1015 3 ปีที่แล้ว +3

    Tuletee Minguo Mwanza, Tujimimine in @Babalevo Voice

  • @leonardkahaya9006
    @leonardkahaya9006 3 ปีที่แล้ว +15

    kila mwenye hela kwa namna flan utaona an akil(smart)

    • @estermosha1985
      @estermosha1985 3 ปีที่แล้ว

      asa utakuaje na hela halafu uwe mjinga my wangu...umesahau kama mwenye hela ndo mwenye akili hapa duniani 🤣🤣🤣

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 3 ปีที่แล้ว +16

    huyu jamaaa yuko poa saana aiseeeee

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 3 ปีที่แล้ว +8

    Fredy ni Mr genius .... Yuko vizuri sana ana akili mingi mno ........... Anavyooongea hakurupuki
    *TOO MUCH MONEY*

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 ปีที่แล้ว +10

    Huyo fred amesoma finance... Ogopa sana hao watu wa economics... Hao ndio wanaajiri watu ...

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 3 ปีที่แล้ว +8

    Jamaa yuko vzuri sana very inspirational

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 ปีที่แล้ว +32

    ivi kwanini ukiwa auna ela unaona wenye pesa wanatumia pesa vibaya.

  • @aishaabubakari183
    @aishaabubakari183 3 ปีที่แล้ว +2

    Watz jaman mnanini mtu akifanikiwa kwenye maisha basi mshirikina Yani mtu kila cku unahangaika kutafuta pesa ukifanikiwa basi feermason jaman kila 1 na ridhiki zake

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 3 ปีที่แล้ว +14

    Ukimuangalia huyu kaka alivyo smart ukiangalia pembeni una mwanaume mbishi hajui kupanggilia pesa,unasikia hasira☹️

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 3 ปีที่แล้ว

      😹😹😹😹 pole sana

    • @millingaantonia
      @millingaantonia 3 ปีที่แล้ว

      😜

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 ปีที่แล้ว

      hahaha yaani hujakosea. uwe unaongea nae kwa upole alafu ukiwa unamtumia hizi clip..tuma kama unacheka kitu flani alichokisema kweny clip ili ikupe mwanya wa kumtumia. alafu muache aangalie. its a learning curve take it slowly girl u will win him

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 3 ปีที่แล้ว +2

      Ukitaka tu kila unachotaka inabidi utafute dunia ya kwako,huwezi chukua tabia ya mtu mwingine ndo uifananishe na ya bwana yako..MUNGU siyo mjinga

    • @chausikuzahoro3483
      @chausikuzahoro3483 3 ปีที่แล้ว

      Hahaaaaa....umenigusaaa🤣🤣🤣🤣

  • @queensmapete2299
    @queensmapete2299 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka kafunguka vizuri the big up

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 3 ปีที่แล้ว +13

    Bro nimekukubali maongezi yako ningependa Sana one day nionane na wewe unipe madini ya kibiashara Nina uwezo wa kufanya investment, hiyo biashara ya mbao imenivutia ningependa Sana kupata more details about it..

  • @hakusfakir7364
    @hakusfakir7364 2 ปีที่แล้ว

    Big.....up....jamaaa....yangu....fredy

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 ปีที่แล้ว +7

    Upo poa kaka umejibu safi tunakuelewa

  • @fredyraphael5696
    @fredyraphael5696 ปีที่แล้ว

    Nakukubali kaka wajina

  • @salamamohammed5446
    @salamamohammed5446 3 ปีที่แล้ว +8

    Vunja bei na mobet eti n. Mtu na shemu aaaaa wapiiii

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 3 ปีที่แล้ว +1

    Bro yuko vizuri kwa kuongeya Aliya kwa umbea😂😂🙌🙌

  • @israelmwasenga9288
    @israelmwasenga9288 3 ปีที่แล้ว +3

    Yuko very smart in mind

  • @fatmakache632
    @fatmakache632 3 ปีที่แล้ว +3

    Black is handsome ktk wanaume bongo huyu Fred vunja bei ananimaliza mie natamani japo kumuona tu

  • @hamisikalulumbe6857
    @hamisikalulumbe6857 3 ปีที่แล้ว +14

    Daaaa uyu jamaaa ndio ma brother wakukaa no kukupa madini Kama haya

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa namkubali sana Kama ana digrii vile Vunja bei og.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 ปีที่แล้ว +4

    this channel have asked good questions, but try to be more innovative, ask intelligent questions ili vijana tupate kujifunza,, social relationships are good but shold be less prioritized compared to things which pple need are related to economical, political, career wise and the like. thats just my opinion wasafi media. hebu jitaidini basi jmni aaah maana hizi za kuuliza mahusiano na kuikalia more than 84% ya interview are not yielding good results guys come on yall

  • @robymtewele7760
    @robymtewele7760 2 ปีที่แล้ว

    Daa unajibu maswali kiakili sana nimekukubali

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mtangazaji kila muda "YOU KNOW YOU KNOW YOU KNOW YOU KNOW

  • @ricomediatz
    @ricomediatz 3 ปีที่แล้ว +7

    Logo ya mic imegeuzwa duuu umakin kidogo

  • @KidotiTwiga
    @KidotiTwiga 3 ปีที่แล้ว

    Bro uko vzur yan very smart

  • @margratepete6507
    @margratepete6507 3 ปีที่แล้ว +2

    Uko vizuri Sana vunja bei

  • @siscaalex8582
    @siscaalex8582 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up Fred👏👏👏💪

  • @jenifersamwel8990
    @jenifersamwel8990 3 ปีที่แล้ว +4

    Fred uko vzuriii😘

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 3 ปีที่แล้ว +12

    Fred vunja bei ningependa umuoe hamisa

    • @afandehassan1
      @afandehassan1 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwa nini sio wewe?

    • @afandehassan1
      @afandehassan1 3 ปีที่แล้ว +1

      @@faridaessa7844 Je Afandehassan?

    • @afandehassan1
      @afandehassan1 3 ปีที่แล้ว +1

      @@faridaessa7844 Mashaallah Farida

  • @angelbwija9547
    @angelbwija9547 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwani hamisa anashida gani jamani mbona kila mwanaume wanamukana sana 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄 diamond alimukatala,vunja bei kamukana kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @celinekanda1850
      @celinekanda1850 3 ปีที่แล้ว

      You will be in a rude shock coz they're wedding next month hakuna haja kujiparade everywhere

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 3 ปีที่แล้ว +9

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani anajuwa kuongea mpk anakeraaaa🤣🤣🤣🤣👏🏻Asante bro vunjabei kuwa rafiki Mzuri wa Moberooo

    • @faridaessa7844
      @faridaessa7844 3 ปีที่แล้ว

      Mm natamani amuoe kabisa

    • @zabibunduwimana4612
      @zabibunduwimana4612 3 ปีที่แล้ว

      @@faridaessa7844 😂😂😂

    • @faridaessa7844
      @faridaessa7844 3 ปีที่แล้ว +1

      @@zabibunduwimana4612 usicheke my yaani vunja bei kama anasoma SMS amuoe hamisa kwa kweli.

    • @zabibunduwimana4612
      @zabibunduwimana4612 3 ปีที่แล้ว

      @@faridaessa7844 Hamissa iko na Dai

  • @VivianYankho
    @VivianYankho 5 หลายเดือนก่อน

    Nc kaka

  • @nicholausmkolwe7765
    @nicholausmkolwe7765 3 ปีที่แล้ว +7

    huyu kaka sio sil hapend mambo yake kila mtu ayajue,nimependa kwakwel kwanza ni mtu anae jitambua

  • @barbiechemmy2137
    @barbiechemmy2137 3 ปีที่แล้ว +2

    Fredy anaongea vizur jamaniii uwiii.... nioe bas kaka😔😔😎😎

  • @isackbaton8261
    @isackbaton8261 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwa kwel hata Mimi ni mtumishi wa uma ila huku ni utumwa

  • @erickchitojo6933
    @erickchitojo6933 3 ปีที่แล้ว +3

    Katika haya maongez hapa kama mtu ukiwa makini unatoka na mawazo na mbinu za kibiashara..

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 ปีที่แล้ว

    Uyu kaka nampenda jamani adi nalia😢😢

  • @irenediemond368
    @irenediemond368 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana fred

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 3 ปีที่แล้ว +3

    broh nimejifunza kitu kwenye hayo maongez

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 3 ปีที่แล้ว +3

    Fred ubarikiwe kaka endelea kupambana

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 3 ปีที่แล้ว +5

    FRED ANA AKILI SANA HUYU MTU

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 3 ปีที่แล้ว +1

    Wasafi mnafeli wapi kuleta interviews ndefu ndefu kama wanazofanya wengine,za mpira,kibiashara afu lile pindi la block 89 linarudi lini ndo lilikuwa na pindi tamu kama hizo now pindi zenu za the switch mgahawa na good morning zimekaa kibaba baba sana masela hazituvutii. Hatupendi kugawa mb zetu sehemu mbalimbali hebu angalieni kiu zetu tuzimalizie humo zote. Anachofanya aliah,mchaga org na mo town sanya vitamu lkn vifupi mno kwa mtu mmoja mmoja,au mmeridhika wazeeiya?

  • @ramadhanimsowello9021
    @ramadhanimsowello9021 3 ปีที่แล้ว +5

    Anae Amin wewe freemason na yye aende akawe freemason awe tajiri kama laic

  • @mabulangassa7439
    @mabulangassa7439 3 ปีที่แล้ว +3

    Vunja bei namtabili atakuja kuwa kama ginimbi kifedha

  • @fredyraphael5696
    @fredyraphael5696 ปีที่แล้ว

    Nakufatilia kuliko

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 3 ปีที่แล้ว +3

    Dogooooo haya keep it up

  • @alexkayombo5917
    @alexkayombo5917 3 ปีที่แล้ว +16

    Speech yake nzur anaongea kisomi sana

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 3 ปีที่แล้ว +2

    AYO MAPETE YANINI HAYOO MZEE BABA

  • @joelmichael3928
    @joelmichael3928 3 ปีที่แล้ว +1

    Anajua Sana Uyu Brother

  • @nicholausmkolwe7765
    @nicholausmkolwe7765 3 ปีที่แล้ว +1

    napenda sana mngu akulinde na akufikishe mbali kimaisha uko phw kaka kwa japo ckujui naimani ni mtu wa watu,kaz njema

  • @dalalikinondonirealestatea8875
    @dalalikinondonirealestatea8875 3 ปีที่แล้ว +1

    Niaje

  • @mwaminramadhan4959
    @mwaminramadhan4959 3 ปีที่แล้ว +12

    Katika maswali mnafeli sana igeni sns wanauliza maswali una enjoy

    • @tmtzvisuals642
      @tmtzvisuals642 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

    • @justinmmoko6060
      @justinmmoko6060 3 ปีที่แล้ว

      Maswali ya kimbea kimbea tu Yan

    • @timothypaul1714
      @timothypaul1714 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa wanauliza maswali ambayo Aya jengi

    • @mwaminramadhan4959
      @mwaminramadhan4959 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli unajua mtu akihojiwa sns au milad unakaa vizur kuskiliza

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta2578 3 ปีที่แล้ว +6

    Aliyah, hapo kwa wifi yetu umepasema na umbea mwingi 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @omarynzegea2374
      @omarynzegea2374 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahahahahha umegundua nini hapo

    • @juliaayieta2578
      @juliaayieta2578 3 ปีที่แล้ว

      @@omarynzegea2374 🤣🤣🤣🤣🤣 alivyo vuta hilo neno

  • @josephmamba6369
    @josephmamba6369 3 ปีที่แล้ว

    Namuelewa

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 10 หลายเดือนก่อน

    Mshikaji ni Educated na anajifahamu

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 3 ปีที่แล้ว +4

    icho kidem kinautetemesha moyo wa m2

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 3 ปีที่แล้ว +1

    Bariiwa jamani zaidi atafutae atapewa

  • @sportsextra4795
    @sportsextra4795 3 ปีที่แล้ว

    uyu ni kama ginimbi wa zimbabwe

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 3 ปีที่แล้ว

    Akili za wa Tz wengi hawaamini kama unaweza kufanikiwa bila ndumba

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว

    VUNJA BEI NICHECK NIKUPE KICHWA YA RAP INACHANA SANA

  • @papaesco5198
    @papaesco5198 3 ปีที่แล้ว +5

    😄😄😄😄yule vunja bei wale wengine machawa

  • @divvanajohnson4895
    @divvanajohnson4895 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu kaka mstarabu

    • @abuu_khaki4120
      @abuu_khaki4120 3 ปีที่แล้ว

      Ukiwa na hela lazima uonekane kilakitu unacho😂😂😂😂😂

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla90 3 ปีที่แล้ว

    God bless you more Freddy...keep it up

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 3 ปีที่แล้ว +4

    The guy is good

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbna maswali ya kisenge tu... Sasa mahusiano ya mtu vepe

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 ปีที่แล้ว +3

    We niatari

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 ปีที่แล้ว +4

    Hatareee sana Mzee Baba 😄😄😄😄 Nimependa rangi yako 🙈

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 ปีที่แล้ว +1

      Aibu sema umeona jamaa anaeleweka pochi unajishobokesha...

    • @zunguleunardo9292
      @zunguleunardo9292 3 ปีที่แล้ว

      Auna lolote umeona jamaa ela ipo Acha tamaa

    • @HASASON
      @HASASON 3 ปีที่แล้ว

      Nenda hardware utaikuta, hivi wanawake mna nini lakini na hela?

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 ปีที่แล้ว +1

    Okay

  • @youngchua697
    @youngchua697 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnadhali alivofanya Esma ni sawa ..?

    • @estherjonhson7937
      @estherjonhson7937 3 ปีที่แล้ว

      Habari za Esma kwenye mahojiano ya tajiri Fred yanafata nn tena hapa jamani

  • @marianundwe2720
    @marianundwe2720 3 ปีที่แล้ว +1

    Meant

  • @aminamwanakombo2097
    @aminamwanakombo2097 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi huyu jamaa simjui but anajielewa sana

  • @kevinmoses9170
    @kevinmoses9170 3 ปีที่แล้ว +4

    Fred vunja looks like tyrese Gibson

    • @HASASON
      @HASASON 3 ปีที่แล้ว +1

      Ukiwa na hela utatafutiwa mmarekani wa kufanana, ila kapuku utatafutiwa wa Buza hata kama your like Dree typically

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa yani😊

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni 3 ปีที่แล้ว +3

    Hii Mic logo Imegeuka for long time Eish Sijui Ni kitu gani Videographer Huoni aisee

    • @Ambweneonlinetv
      @Ambweneonlinetv 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂 uko vzur kwa uchunguzi

    • @kutokaughaibuni
      @kutokaughaibuni 3 ปีที่แล้ว

      Kuto kuwa makini tu Mzee

  • @Moresa196
    @Moresa196 3 ปีที่แล้ว +2

    Watu wanaenda wanakaa😂😂😂

  • @paultemu8824
    @paultemu8824 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa ana akili ya tembo

  • @magrethkessy9013
    @magrethkessy9013 3 ปีที่แล้ว

    Akili kubwa

  • @producermaiko1762
    @producermaiko1762 3 ปีที่แล้ว

    👏👏

  • @sospeterjohn7651
    @sospeterjohn7651 3 ปีที่แล้ว +2

    Big brain big things

  • @alexabel9988
    @alexabel9988 3 ปีที่แล้ว +3

    Daah jamaa anaongea fact tupu

  • @trio9911
    @trio9911 3 ปีที่แล้ว

    Sasa c umeshawataja io watatajwa tena vipiii?