SNAKE BOY | ep 14 | SEASON TWO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #clamvevo

ความคิดเห็น • 1.9K

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 4 หลายเดือนก่อน +102

    Yaani ww clam utafika mbali kwa ivo vichwa ulivoviingiza nakuombe kwa Mungu like from Oman 🇴🇲 ❤

    • @SobiTz
      @SobiTz 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa 💯

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yn❤🎉

    • @KareemMkobe
      @KareemMkobe 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nitumie namba yako me pia 0mani❤

    • @SobiTz
      @SobiTz 4 หลายเดือนก่อน

      Tupeane connection jaman ,uko Oman 🇴🇲 mnafikaje fikaje 🙂

  • @dicksonmartin1992
    @dicksonmartin1992 4 หลายเดือนก่อน +23

    CLAM wewe ni Mbadala wa Kanumba.. Elendelea na vitu Baba Mtaani Unazungumziwa wewe tuu💯💯💯

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 4 หลายเดือนก่อน +42

    Kenyans lets gather here and support our fellow Tanzanian vevo for entertaining us let show him some love ❤❤❤❤

  • @IssaAlly-iu6ut
    @IssaAlly-iu6ut 4 หลายเดือนก่อน +9

    Vevo unazingua kaka em kama upo serious n maisha na mashabiki zako toa vipande hata viwili tu kwa siku sio hiki kimoja unakaa wiki nzima inakata stim

  • @Riva57902
    @Riva57902 4 หลายเดือนก่อน +74

    Mnajipea like kujuana Mimi sijulikani lakini naomba tuh like 20 from Kenya Ke Ke

  • @JayproMedia-gs7ql
    @JayproMedia-gs7ql 4 หลายเดือนก่อน +11

    Kurukuntanta mantentere waaachaa!!!! Naku kubali mzee ulikuwa wapi mdaa wote huu haki ya nani una nikubalisha kutoka congo DRC mimi ni shabiki🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @JayproMedia-gs7ql
      @JayproMedia-gs7ql 2 หลายเดือนก่อน

      Ni chili ame kuwa munene siku weza mtambuwa tena dah! Na elewa kwanini ni mkali mi ni shabiki tangu mwizi wa kuku

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu 4 หลายเดือนก่อน +40

    Kakoso kazi nzur tunakukubal sana like zako mia leo kwangu tu

  • @Craypotter
    @Craypotter 4 หลายเดือนก่อน +6

    From CANADA I like the way this guy clam is performing Congratulations boy 👏👏👏

  • @richardharuna2118
    @richardharuna2118 4 หลายเดือนก่อน +140

    Wa kwanza na cjawai pata likes ata wakat nikishika sim ya mtu na subscribe kimya kimya kwa clam😅😅😅

    • @ukhutymamuu7470
      @ukhutymamuu7470 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @zenapius3796
      @zenapius3796 4 หลายเดือนก่อน +2

      Like zinawasaidia nn

    • @richardharuna2118
      @richardharuna2118 4 หลายเดือนก่อน

      @@zenapius3796 umelike kwanza 😅😅😅

    • @ashelimwamlima602
      @ashelimwamlima602 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@zenapius3796huwa najiuliza huwa wanafanyia nn hzo like maana kila mtu Anaomba LIKE

    • @itsTubwa
      @itsTubwa 4 หลายเดือนก่อน +1

      SNAKE BOY💥

  • @homebest9258
    @homebest9258 4 หลายเดือนก่อน +15

    Kazi nzuri sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunaomba muwalete wote wale wa sani nguli wote pia muendeleshe hizo episodes. Alafu Mwakadobe amekutana na mwengeni muchawi mkubwa kuliko yeye na huyu jama anafahamu sana kazi natumaini wote pamoja na Mwakatobe wataacha historia kubwa katika episodes hizi.

  • @machozimukucha
    @machozimukucha 4 หลายเดือนก่อน +46

    Nakupenda sana clam❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @user-ek5nz6eq5g
    @user-ek5nz6eq5g 4 หลายเดือนก่อน +12

    Clam vevo bro wwe ni mkubwa sna katika vijana wanaingiza uko juu na tena unajua mpka umetuletea mzee chilly kwenye movies mzee nakupa salute unanikumbusha *maneno ya kuambiwa*dah ilikua noma snaa mzee mwinyi mkuu

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 4 หลายเดือนก่อน +25

    ZINGA NI KITUKO KAMUONGEZA MAKALIO MWENZIE. HA HA HA 😂😂😂😂😂😂😂

  • @CharlesDani-ff7xe
    @CharlesDani-ff7xe 4 หลายเดือนก่อน +8

    Hii ni zaidi ya move iko pw sana

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 4 หลายเดือนก่อน +20

    kulu kutanta mantentereee namkubali sana huyu mtu mwinyimkuuu kuigiza kama mganga anajua sana

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 4 หลายเดือนก่อน +3

    Namkubali sana chili na huyu mzee pia yumo wee clam kiboko❤❤❤🎉🎉🎉

  • @rj_tr._ref._cfcfan.
    @rj_tr._ref._cfcfan. 4 หลายเดือนก่อน +30

    Haya nimefika japo nimechelewa kidogo tu,kijana nyoka wa hapa jirani Kenya 🇰🇪 naona wengi mmemezwa tayari. One love. ❤

  • @fatmasaid4806
    @fatmasaid4806 4 หลายเดือนก่อน +60

    Yaan hum mnakera sana sio vzr mwenzenu kataarsha kaz ili kupata comment zetu za vzr aongeze bidii au mbaya asahihishe lkn mnaomba like asilimia kubwa ya watu hamcomment kumpa moyo na kumpa nguv mnaomba malike ya kaz gan kwa zinaliwa izo like clam umejitahd sana mungu azd kukuongoza vzr sana nmefurah ulivomueka huyo chili mganga yupo vzr nae kabisaa hongera zako

    • @aminamchoya-yk4iu
      @aminamchoya-yk4iu 4 หลายเดือนก่อน +3

      kweli kabisa wanakera sana

    • @user-pw2sw1sk1b
      @user-pw2sw1sk1b 4 หลายเดือนก่อน +4

      Kama misenge kama wa kwanza si kwa faida yake inakera

    • @dangomc_niger
      @dangomc_niger 4 หลายเดือนก่อน

      wee hujui hiyo ina maana kubwa mno mfano mimi siwez kwenda kuvew video alafu nisiipende eti niombe like alaf pia watu wanafanya ivo soo kwa ubaya mtu anasema KM UMIPENDA HII EPPISOD LIKE APA yee mwenyewe clam akiona watu wamemlike anaenjoy ni moja pia ya surpot kwahyo mm sion km kuna ubaya

    • @fatmasaid4806
      @fatmasaid4806 4 หลายเดือนก่อน

      @@dangomc_niger Shda ni kwamba kila mtu alaf anaomba like kwa kuwa wa kwanza c km anasema ameipenda angesema km umeipenda hii movie like hapo unaelewa lkn eti wa kwanza naomben like ndo nn kila mtu hii sio poa inaboa walete comment zinacfia kaz au kutoa ushaur wa kurekebsha au kuongeza ktu bc ni vzr zaid

    • @Ellywangu
      @Ellywangu 4 หลายเดือนก่อน +3

      Yanakera kbsa umeongea kwelii Kila MTU wakwanza😂

  • @ramakinjoi4063
    @ramakinjoi4063 4 หลายเดือนก่อน +11

    Chaupele mtundu sana...utundu wake umeongezeka,huko nyuma hakuwa ivyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @muhindoYouri
    @muhindoYouri 4 หลายเดือนก่อน +46

    Wa kwanza Ku toko DR CONGO 🇨🇩 naombeni likes zenu jamani.

  • @OREDI401
    @OREDI401 4 หลายเดือนก่อน +21

    ❤❤atuja Kupinga kaka kwa Kazi Yako ✊🏿✊🏿✊🏿 Respect Clam Kila Ngazi✊🏿✊🏿

  • @djggghgdd-fq8pr
    @djggghgdd-fq8pr 4 หลายเดือนก่อน +20

    Nawaangalia nikiwa saudia jamani naombeni likes 150 tuh washirika wenzangu wa team vevo❤❤❤

  • @NuruJara
    @NuruJara 4 หลายเดือนก่อน +291

    Jamani like za pole basi naomba Jana tumepoteza zaidi ya watu 80 Kwa maafuruko huku Kenya shehemu 3 tofauti 😭😭😭 tumepoteza ndugu jamaa na marafiki

    • @nasraemmanuel
      @nasraemmanuel 4 หลายเดือนก่อน +9

      Poleni sana mungu awemfariji wenu

    • @HadijaZabroni-pu1lt
      @HadijaZabroni-pu1lt 4 หลายเดือนก่อน +5

      Poleni sana ndugu zetu poleni sana 😭😭💔

    • @veronicawilliam7436
      @veronicawilliam7436 4 หลายเดือนก่อน +7

      Poleni Sana wapenzi.... Mungu awafanyie wepes insha'Allah

    • @itsmelatz
      @itsmelatz 4 หลายเดือนก่อน +3

      Poleni sana

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 4 หลายเดือนก่อน +3

      Poleni sana

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 4 หลายเดือนก่อน +10

    Snake boy inazidi kua balaa clam vevo umetisha sana 🔥🔥🔥💪

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 4 หลายเดือนก่อน +16

    ZINGA ANATAKA KUMGEUZA MWENZIE CHAKULAAAAAAA. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aronlameck-vc5dr
    @aronlameck-vc5dr 4 หลายเดือนก่อน +3

    Basi Kaz nzur saana nime kuwa wamwisho mm nikotofaut naomben kalingulila

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 4 หลายเดือนก่อน +81

    Team strong hoyeeeeeeeeee 😂🇸🇦🇰🇪 wap like zangu km wape snake boy love you all

    • @user-sf3ei6ut9s
      @user-sf3ei6ut9s 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hoyeeee tupp kama kawa❤😂😂😂

    • @wamboiwamboh
      @wamboiwamboh 4 หลายเดือนก่อน +1

      TUPO❤❤

    • @mwanaisha1998
      @mwanaisha1998 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tupoo love you 2 dear❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @janetkyumbe7154
      @janetkyumbe7154 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tupo watu WA team strong 💪💪💪💪

    • @mariaakai9859
      @mariaakai9859 4 หลายเดือนก่อน

      Tupo💪🏾

  • @user-hj4uw5pp2w
    @user-hj4uw5pp2w 4 หลายเดือนก่อน +5

    Yaani ukitazama tamthilia za nje huwezi kuona haya mambo ya sijui naombeni like sijui mimi wa kwanza, yani kuna watu wanakimbia hapa kuja kusema tu naombeni like hata hajui anafanya nini hapa majitu mengine yani mungu tusamehe

  • @zamirhassan81
    @zamirhassan81 4 หลายเดือนก่อน +23

    Hii kitu ya moto sana kwa kweli 😂😂😂

  • @CycyConstaOg
    @CycyConstaOg 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa kaongezewa makalio😂😂😂😂😂tieni basi 👍👍

  • @Mkobabababunga
    @Mkobabababunga 4 หลายเดือนก่อน +64

    chiriii jamni ni kamuwest mkubalini bas anhaaaa like bas

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 4 หลายเดือนก่อน +3

    Aisee Na Chelewa Lakn Niko Ndani Good Job Next time Achatuone Mwalimu Na Mwanafunzi Nani Bora

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 4 หลายเดือนก่อน +109

    Number 1 leo naombeni Likes watu wa kenya n TZ na East africa yote Please.

    • @IsackMwagisa-km2mm
      @IsackMwagisa-km2mm 4 หลายเดือนก่อน

      Izo like utapikia watoto

    • @Ubahalpha
      @Ubahalpha 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ovyoo

  • @Abdul24895
    @Abdul24895 4 หลายเดือนก่อน +8

    Kama unamkubali chili gonga like ❤️ wewee

  • @Pablowakama
    @Pablowakama 4 หลายเดือนก่อน +28

    Wakwanza Leo from Congo DRC to Zambia 🇿🇲🇿🇲

  • @mayeka66
    @mayeka66 4 หลายเดือนก่อน +6

    Acheni ujinga, kila mtu wakwanza yeye,.. Mara nipeni like zangu,... Toeni maoni kwa wasanii hawa tunaowatazama kwenye kazi zao ili maoni hayo yawajenge na kuwa bora ili waendelee kufanya kazi kubwa na bora zaidi.

  • @JohnJuma-bk5lc
    @JohnJuma-bk5lc 4 หลายเดือนก่อน +106

    Duuuuh wat wap chap dk 2 mmeniwah naomben like zen bc ht kam sijaw wa 1

    • @MarryMichael-gf7dc
      @MarryMichael-gf7dc 4 หลายเดือนก่อน +1

      ❤❤❤❤❤❤

    • @user-pg8hy8tx8l
      @user-pg8hy8tx8l 4 หลายเดือนก่อน

      Ukipewa unazila

    • @aronlameck-vc5dr
      @aronlameck-vc5dr 4 หลายเดือนก่อน

      Una lala saana ss tumelala nayo hiii nhoma

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 4 หลายเดือนก่อน +3

    CLAM UNAJUA MNOOOOOOOOOO YANI SANA HII MOVIE NI NZURI MNOOOOOOOOOO🎉🎉🎉🎉🎉🎉. SANA HONGER MUNGU AKUTANGULIE AKUPE NA NAISHA MAREFU

  • @IssaMangala
    @IssaMangala 4 หลายเดือนก่อน +104

    Aise wata Wana sumbuwa saaana Ku omba like djamani like siyo muhimu saana Kuliko Ku wa sifiya kwa Kazi nzuri ambayo timu nzima inalo Li Fanya ongereni saana Team Clam vevo kwa Kazi Zuri Mimi ni mukongomani 🇨🇩 from Dubaï🇦🇪

    • @kgchippy
      @kgchippy 4 หลายเดือนก่อน +2

      Izi like zawaseidia nini?😢 isije ikawa mwafaidi😂

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sijui ni ushamba au nin mim wana nikera like wanaona kama dhahabu 😂😂😂

    • @elizabethmyombe7375
      @elizabethmyombe7375 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yan wanaboa

    • @user-gg8kt2jm5y
      @user-gg8kt2jm5y 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wana upuuzi sana badala kujadili kipindi niwakwanza tu,,hao wanaowapa pia hawana akili wangeachiwa mmi mbona wangekoma😏😏😏😏😏😏😏

    • @annandajilo2831
      @annandajilo2831 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kam wehu😂

  • @natashanoelle8
    @natashanoelle8 4 หลายเดือนก่อน +2

    It's getting interesting on each episode yooooh man I salute this guy🤝🙌❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @NobertHenry
      @NobertHenry 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yeah he is doing well 😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @BahaDePrince
    @BahaDePrince 4 หลายเดือนก่อน +62

    Fist to watch in Kenya wapi like zangu za uku kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 please Leo s mnipe tu like

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 4 หลายเดือนก่อน +1

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

  • @Kashindijohn
    @Kashindijohn 4 หลายเดือนก่อน +35

    Tume wai leo like wapi congratulations sana clam ❤❤❤❤🎉🎉

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mwenye anamukubali mwakatobe asipite APA bila kuatcha like moja

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera2367 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mwiny mkuu anapiga punch za kichawi hapigi makelele ndio maana miaka yote hatoki kwenye ubora .. mwakatobe apunguze makelele apige punch

  • @nyagabonamisana5400
    @nyagabonamisana5400 4 หลายเดือนก่อน +1

    KAZI nzuri saaaaana Kumbe zinga ni MUASI KAMA M23 Wa Kongo

  • @user-nz3du9mh3j
    @user-nz3du9mh3j 4 หลายเดือนก่อน +121

    Nimekuwa Wa kwanza from Dr congo nipe like zangu kama unamkubali vevo ❤❤ nipe ata like tano

  • @GloireGlodes
    @GloireGlodes 4 หลายเดือนก่อน +1

    Merci beaucoup clam vevo snake boy roule très bien

  • @user-sk5iw3dj5h
    @user-sk5iw3dj5h 4 หลายเดือนก่อน +28

    Wa pili Ku toka congo-goma

    • @swahabahusein23
      @swahabahusein23 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wapo like zangu niko kenya 🇰🇪

  • @MwetaminaZaburoni-mv7iu
    @MwetaminaZaburoni-mv7iu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wakwanza kutoka monzambique naomba nami mauwa 🎉.
    Aqui monzambique tamos jutos.

  • @festuspromoter3376
    @festuspromoter3376 4 หลายเดือนก่อน +15

    Burundi tunaifatilia hii tamtilia mwanzo hadi mwisho🇧🇮🇹🇿

  • @ALEXISMTB-xl5tv
    @ALEXISMTB-xl5tv 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wakwanza natokeya Burundi 🇧🇮 naomba liké zangu

  • @NicksonMushi-eo9yy
    @NicksonMushi-eo9yy 4 หลายเดือนก่อน +7

    Nice series kaka ila idea ya chain ya waganga na wachawi imekuwa kubwa sana,jaribu kuleta content yenye kisa kizur kama ile ya mwanzo ya chief kutaka kutawaliwa na wachawi ww kuja kuokoa imaya na kulipa kisas waliomuua mama yako iliteka sana watu ayo ni maoni tu kwenye kuboresha asante

  • @zuhurarashid958
    @zuhurarashid958 4 หลายเดือนก่อน +6

    Kazi ft sana vevo more love from kenya

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 4 หลายเดือนก่อน +136

    Mimi ndo wa kwanza na mkukosa kunipa like basi sito comments tena manionyongeaga saan kila nikiwa wa kwanza🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @perajiampipi4473
      @perajiampipi4473 4 หลายเดือนก่อน +4

      We una matatizo😅 kwamb unakulag izo likes,, na usipocomment unahc unamkomesha nan

    • @user-ce8dm1hg9p
      @user-ce8dm1hg9p 4 หลายเดือนก่อน

      Kwan unataka kuzipika au 😂😂mbna umefanya kununa😂

    • @perajiampipi4473
      @perajiampipi4473 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-ce8dm1hg9p 😅😅😅😅yaan awa watu

    • @Kadzo-yf2yc
      @Kadzo-yf2yc 4 หลายเดือนก่อน

      Hii kali😊

    • @user-sm1zu2mo4b
      @user-sm1zu2mo4b 4 หลายเดือนก่อน

      Hiki ki song nimekipenda

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 4 หลายเดือนก่อน +6

    Leo nimechelewa jaman like hata moja jaman

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 4 หลายเดือนก่อน +9

    😂😂😂😂😂Watu mko vzr mmmmh sio kwa kukimbizana huko

  • @charlessamson6625
    @charlessamson6625 4 หลายเดือนก่อน +4

    Naombeni na mimi like jamani mbona sipati like

  • @mangasoz
    @mangasoz 4 หลายเดือนก่อน +32

    Kwann Kila mtuu anaomba like baadala ya kutoa maon juu ya Kaz iliyotolewaa😮

    • @levaniawilliam7969
      @levaniawilliam7969 4 หลายเดือนก่อน

      Mm ndo wananiachgaa hoi comment wanaomba wao kwa kazi gan

    • @mangasoz
      @mangasoz 4 หลายเดือนก่อน

      Daaah bongo kivyetuvyetu

  • @user-yd9ni1lt3l
    @user-yd9ni1lt3l 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mwakatobe punguza sifa uko na sifa nyinyi mpaka wasinya

    • @user-zp4zc2ln2n
      @user-zp4zc2ln2n 4 หลายเดือนก่อน

      Walai mpka anaharibu sasa

  • @xavieramandiocristovao8286
    @xavieramandiocristovao8286 4 หลายเดือนก่อน +37

    Leo wakwanza mimi uku🇲🇿🇲🇿

  • @mwanaziararajabu7718
    @mwanaziararajabu7718 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ooh jmn clam unajitahid sana lkn tuongezee dakika au toa mfuliliozo co leo ad cku 3 tena ndyo kingne kidogo ❤❤

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 4 หลายเดือนก่อน +6

    10:40
    😅😂😅
    Kajaribisha elimu kwa kuongeza Makalio ya mwanafunzi mwenzake! Zinga bhana!😅
    😂😅

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 4 หลายเดือนก่อน +4

    dah wenzetu mnarauka kwaclam vevo mm ndio uchelewa hadiraha clam vevo❤❤

  • @user-kd6gi9pp4n
    @user-kd6gi9pp4n 4 หลายเดือนก่อน +39

    Clobal 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦ndabasavye abarundi muri Saudi muduze ibiganza
    Liké munipe jamani naomba

    • @user-it8pf9bb5v
      @user-it8pf9bb5v 4 หลายเดือนก่อน

      Weho ndabona uhanzwe na like gusa

  • @3malis
    @3malis 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mwanafunzi anaweza kua bora kuliko mwalimu 😂😂

  • @ShabaOmary
    @ShabaOmary 4 หลายเดือนก่อน +18

    Nakubali brother vevo

  • @GriphineJonesGriphine
    @GriphineJonesGriphine 4 หลายเดือนก่อน +55

    Wangapi wanamkubali huyu mwamba tokea Kenya nione kwa likes ❤❤

  • @mrsabdul-mz8hh
    @mrsabdul-mz8hh 4 หลายเดือนก่อน +19

    Mimi cku hizi Wala sicomment nimtu wakusoma comemment tuu huku nikii injoi na *SNAKE BOY❤* maana nikicomment iyo comment YANGU watu wanavyoupita najua mwenyeweee😂😂😂😂😂😅

    • @aysha9932
      @aysha9932 4 หลายเดือนก่อน

      😁😃😃😃

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @user-tq6yc8ol5q
    @user-tq6yc8ol5q 4 หลายเดือนก่อน +4

    Yn nimeenjoy kumuona chili humu ndani❤

  • @MangasiMani-kw4kn
    @MangasiMani-kw4kn 4 หลายเดือนก่อน +19

    Vevo nakimu
    Nawapendasana🇧🇮🇧🇮

  • @PETERYEmma
    @PETERYEmma 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli anafanya kazi nzur hongera sana Mr cram unajitahidi sasa wew ndo king wa bongo movie

  • @carlpsonmunisi7315
    @carlpsonmunisi7315 4 หลายเดือนก่อน +42

    Kazi nzuri bro

    • @isayajoseph14
      @isayajoseph14 4 หลายเดือนก่อน +1

      Katika comment zote ww ndio ulie na busara maana umempa moyo na kumpongeza msanii.. wengine wote wanalilia kuwa wa kwanza sijui wanafaidika nn??? Kizazi hiki shida tupu.Ongera sana ndg

    • @willykijanaa
      @willykijanaa 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@isayajoseph14Kweli kabsa muhimu ni kumpongeza Clam na tim nzima ya SNAKE BOY ila sio kuomba like.

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kabisa

    • @carlpsonmunisi7315
      @carlpsonmunisi7315 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@isayajoseph14 shukurani kaka 😎👍🏽
      Pamoja sana .....

    • @carlpsonmunisi7315
      @carlpsonmunisi7315 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@willykijanaa bora umeona 👍🏽

  • @barakae.n6418
    @barakae.n6418 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimechelewa kidoogo sana ✊🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇧🇮🇨🇩🇸🇸🇷🇼

  • @villa499
    @villa499 4 หลายเดือนก่อน +7

    Safiii clam.na kukubal mdogo wangu..pesa na akili ndio umenizidi

  • @romaeedward4723
    @romaeedward4723 3 หลายเดือนก่อน +1

    clam unachelewa sana kutoa mwendelezo ad uhondo wa kuangalia unaisha kabisa! Yan ad mtu anasahau alipoishia!!!!!!

  • @directorkakoso
    @directorkakoso 4 หลายเดือนก่อน +4

    Yap yap mambo ndio yana anza 💪

  • @zainabuberkhbuthellez4725
    @zainabuberkhbuthellez4725 4 หลายเดือนก่อน +2

    mwaka wako ...wala usijali sisi tuko pamoja na wewe uwezi amini wananchi wote wanakusubiri vipande vyako vinasisimua hakuna mganga juu ya mungu wewe mungu ameshakufungulia kazana toa msada wako kwa wasinii waliopotea kwenye tasnia za filam wanakuombea na baraka zako zinakuwa juu Akram ...yani hiyo ni comedy mixer sirius episode umeweza ndugu yetu kula mb zetu ni zako

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 4 หลายเดือนก่อน +12

    Movie kali sana hii mwinyi mkuu katisha tunamkubali mwinyi mkuu like apa wakanza kutoka dubai teem strong leo nmewawai😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @OmarOmar-ob9tb
    @OmarOmar-ob9tb 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nimegundua mafans wngy w clam n w kenya my fellow Kenyans naomb likes tujuane

  • @Online_media_nation
    @Online_media_nation 4 หลายเดือนก่อน +79

    Niko ndani Leo...nipeni likes za clam❤🎉🇹🇿🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @jozzytozo
      @jozzytozo 4 หลายเดือนก่อน +1

      Xja wahi Leo nipeni hats moja

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema.

  • @mmungakiza
    @mmungakiza 4 หลายเดือนก่อน +168

    Jamani wa kwanz leo nipeni hata like 100 tu

    • @aronlameck-vc5dr
      @aronlameck-vc5dr 4 หลายเดือนก่อน

      Umeomba 100 umepew 15 5 hatuna baya

    • @mmungakiza
      @mmungakiza 4 หลายเดือนก่อน

      Asanteni sana kweli amna baya

  • @amanchuphichuphi4725
    @amanchuphichuphi4725 4 หลายเดือนก่อน +3

    Much love from Kenya big up bro clam

  • @gabrielnjuguna8172
    @gabrielnjuguna8172 4 หลายเดือนก่อน +4

    Clam the great acter ….first to comment from gulf ❤❤❤❤ likes my friends

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 4 หลายเดือนก่อน +13

    Tumpe support clam jmn like zot ziende kwake

  • @emanuelgilber5568
    @emanuelgilber5568 4 หลายเดือนก่อน +12

    Ambao hawajaelewa hiki kipande tujuane maan naon kam imekuw tu vurugu sijuw 😢

    • @josephinekhayengushi38
      @josephinekhayengushi38 4 หลายเดือนก่อน

      Kama mim vile pia sijaelewa

    • @andrealoveness2875
      @andrealoveness2875 4 หลายเดือนก่อน

      Niinakuja mwendelezo napia hii imeanzia waliopo ishia Ep13 ikakumbushwa kumbe nimwalimu na mwanafunzi wake

    • @andrealoveness2875
      @andrealoveness2875 4 หลายเดือนก่อน

      Tuingojee mwendelezo inafurahisha

    • @andrealoveness2875
      @andrealoveness2875 4 หลายเดือนก่อน

      Yajayo yanafurahisha

    • @nationaltrendingmedia4603
      @nationaltrendingmedia4603 4 หลายเดือนก่อน

      Kipande hiki utakielewa mwishoni

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 4 หลายเดือนก่อน +1

    Zoezi ya speedy 120, kwa kona shwaaa😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌

  • @user-dg1ke9mu4t
    @user-dg1ke9mu4t 4 หลายเดือนก่อน +36

    Mimi wa kwanza from IRINGA naombeni like zenu hapa wakuu 😅😅😅

  • @LeyShao-uo1oq
    @LeyShao-uo1oq 4 หลายเดือนก่อน +4

    VEVO ongeza hat dk 20 duh 😢

  • @user-lj9nl3iv6j
    @user-lj9nl3iv6j 4 หลายเดือนก่อน +34

    Leo na Mimi wa kwanza jamani naombeni like hata 10000 kama tunao mkubali mwakatobe

  • @mauricemadilugerson5933
    @mauricemadilugerson5933 4 หลายเดือนก่อน +1

    Whao hata kama CLAM VEVO alikwepa kuja MISISI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila familia ya MISISI Tuko nyuma yako 💪💪💪 ongera sana kwa hiki ambacho mnazidi kujifanya pamoja na SUPER DIRECTA wetu KAKOSO 🤝

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or 4 หลายเดือนก่อน +5

    VEVO upewe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kazi nzuri San ubahatish

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe zinga mkorofi kitambo😂😂😂😂ndio nini kumpa mwenzie makalio🤣🤣🤣

  • @princekillian3640
    @princekillian3640 4 หลายเดือนก่อน +9

    Much love from kenya 🇰🇪 ❤️

  • @andrewcb9045
    @andrewcb9045 4 หลายเดือนก่อน +12

    Mkeny mpenda watanzania...naomba hata likes tano tuu za 254 na clam vevo

  • @hunterpictures3549
    @hunterpictures3549 4 หลายเดือนก่อน +394

    Wakwanza kutoka burundi naomba like zng

    • @Mbalason
      @Mbalason 4 หลายเดือนก่อน +10

      Like zako ulimpa nani?

    • @user-sb8mg9pz6n
      @user-sb8mg9pz6n 4 หลายเดือนก่อน +3

      Choko weh😅😅😅😅

    • @abduliashiru9394
      @abduliashiru9394 4 หลายเดือนก่อน +2

      Iko pw sana mwanetu ni full mamzuka

    • @abduliashiru9394
      @abduliashiru9394 4 หลายเดือนก่อน +2

      Iko pw sana mwanetu ni full mamzuka

    • @user-mk1lj1vz3u
      @user-mk1lj1vz3u 4 หลายเดือนก่อน +5

      Tupo wengi wa Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nipen like chil mwa wasos anazid kukiwasha zaidi🙋🏻‍♂️saluuut sana kwa vevo

  • @hamisimwanasta4955
    @hamisimwanasta4955 4 หลายเดือนก่อน +17

    Leo wakwanz mm beast mwnanasta 😂like apa.

  • @hammyboyofficial885
    @hammyboyofficial885 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nzr japo tulichotegemea sio tulichokikuta Clam