Clam na time nzima mmeua mnastaili Maua yenu from dubai tunawapenda sana 🇦🇪🇦🇪❤️❤️🇹🇿🇹🇿❤️❤️ kazi nzuli kweli kaka umetuliza kichwa wewe nimlisi wa bongo movie sali sana mungu akuweke utimize malengo yako na ya filamu Tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤
Vevo wewe nimuigizaji waina yakee katika afrika hii hongera kram vevo unajuwa kaka mungu akuzidishie nguvu uzidi kupambana akuepushe na mabaya yoteeeee❤
Nisiwe mchoyo wa shukrani ❤❤❤ahsanteni sana move ni nzuri mnooo pia tunashukuru angalau sikuhizi tunaangalia muda mkubwa tofauti na mwanzo dakika 8 hongera za dhati kwenu nyote washiriki wa hii movi pamoja na muhusika mkuu.
@@AmosSinkala-lx4sl we kenge acha shobo umeona wapi nimeomba like ili iweje we ulioomba like imekupata kama inauma CHOMOA CHOKO WEWE ATI UNABANA PUA OOO NAOMBA LIKE KWA KAZI GANI UTAPAKATWA MBWA WEE.
Clam wewe unajuwa sanaaa ninapenda sana the way you are so creative unamfanya mtu anaeangalia movie awe ana concentration ya hali ya juuuu sanaaaaaa 😍😍😍😍😍😍
Tunakukubali sana Clam ila unatuacha muda mref bila kutoa tunakuw na ham ya kusubir mpaka inaisha😢 tutolee mapema tuendelee kuangalia maan ni nzur tunaipenda❤❤❤
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.❤❤❤❤
Hii tamthilia ni moto wa kuotea mbali aisee 🎉Kuna hiyo sound hapo mwisho yaani ni 🔥🔥🔥 hongera sana,hii ndio sanaa siyo wale wa kukaa kweny masofa makubwa na wanawake wenye mawowo makubwa 😂😅 .... keep it up
Team strong hoyeeeeeeeeee wangp walikua wanategea snake boy km unapenda clam VEVO like apa n utwambie uko wapi 🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰nawapenda nyote tukutane kwa comment please 🙏 let's gether here watu wangu
I am from congo DRC but tanzania is my second country. Bro lemme tell you something, your creativity is shining brightly! Your unique ideas and innovative approach are truly making a positive impact. Keep up the fantastic work - the world needs more of your creative energy! 🌟
Nimefurai kweli ungemaliza n ntiba alafu ndipo malikia tuone ilo tumbo n mtto au n nmawe😂😂😂❤❤❤nawapenda bure. Msichelewe bc nawependa lkn mbachelewa kweli
pongezi kwa brother clam vevo, we respect you 🎈🎈kama unakubali clam kama mrithi wa kanumba basi support. one love brother clam, honesheni upendo kwa clam vevo let's go, like ❤❤❤
Umeupiga mwingi sanaaa hii muve tam sanaaaa❤ pia unamadini mengi Sanaa nimtoto mdogo ila unefanya vitu vya kikubwa mbona kama anaua watu wasio na hatia
Sina neno wazee mmetishaa Sana kadri move inavyozidi kwenda kwenda mbelee ndio kwanza inakuwa tamu na Mambo mapya tunayapata ambayo mwanzo hatukujua chanzo Cha uhasama wao
Kwenye Top 10 ya wanaoitazama filamu hii wakiwa nje ya Tanzania tupeeni like zetu plz❤❤❤ Clam you are the the best
Much love from kenya
❤❤❤❤❤❤
Oman
Saudia
nipo DRC
Jaman baadaa ya kuchelew mda mrefu hatimae Leo kidogo nimewah naomba like 50 tu❤
Namimi leo nimewahi
Umepewa like 137 na reply mbili Ehee unauza Bei gan
Safi sana ila mnachelewesha sana
Chukuwa zote😂😂😂
Mbna km ndongo iv
Wakenya tunapenda sana hii series, wapi like zetu??
Twaipenda kweli ila anachukua muda sana kuleta ingine
Hapa nayo hujadanganya😂😂😂
Cjui wangapi ila naombeni like ata 10 wa pendwa. Km kwely tunamunga mkono clam kutokana na kazi zake nzuri.
Kazi nzuri sana hongereni washiriki wote mungu azd kuwatia nguvu na ufanisi zaid
Wakwanza leo from kenya much love 🇰🇪🇰🇪🔥🔥
ongera sana clam kua viote big boss best fend pamoja na snake Boy tuna jivuniasanatuu kukupata mutu kamaweye munipe like zangu okay 👍
wa kwanza from USA🇺🇸 but please team clam vevo don’t delay with episode 17👏👏
Clam na time nzima mmeua mnastaili Maua yenu from dubai tunawapenda sana 🇦🇪🇦🇪❤️❤️🇹🇿🇹🇿❤️❤️ kazi nzuli kweli kaka umetuliza kichwa wewe nimlisi wa bongo movie sali sana mungu akuweke utimize malengo yako na ya filamu Tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤
Vevo wewe nimuigizaji waina yakee katika afrika hii hongera kram vevo unajuwa kaka mungu akuzidishie nguvu uzidi kupambana akuepushe na mabaya yoteeeee❤
One of the best Movies in 2023 , Hongera sana clam na Kakoso kwa kazi kubwa mnayoifanya ❤
Congratulations to clam vevo's team
Napendaga chapati na malagwe
From 254👋👋👋
Wakwanza pap tusonge pamoja na nimekua mmoja wa kundi la clam soon nitakua kwenye tamthilia ijayo❤sappoti
Amu comenti via mahana
@@skeyboy2 umeona eeh sasa mtu anataka likes zinamsaidia nn sasa wananikera hawa
Nakuonea wivu🙆
Mnachelewa kutoa
❤❤❤
Nimeipenda iyo chakula kimechelewa kufika ndizi zimeisha aaaahhhh.mapenzi hassara
Very proud of Clam from Our Country Kenya good job & good luck ❤
Clam Vevo is on another level....yaani Clam ameamua kuwazika akina Steve Mweusi, Ndaro na Makoti wangali wazimaa. Watching from Kenya Nairobi
😂😂uchonganishi huo 😂
Nisiwe mchoyo wa shukrani ❤❤❤ahsanteni sana move ni nzuri mnooo pia tunashukuru angalau sikuhizi tunaangalia muda mkubwa tofauti na mwanzo dakika 8 hongera za dhati kwenu nyote washiriki wa hii movi pamoja na muhusika mkuu.
Mimi wa Kwanza kutazama kanumba wa Sasa 👏 Clam never disappoint 🎉
Hakuna kupewa like zako hapa
@@yussufismail3062kwani Nani kakuomba like wewe 😂
Mnaoomba like wote kenge tu pumbavu zenu mkome mnajitangaza UJUHA WENU.
@@Kabeya410acha shobo, umeona neno la kuomba like, utatolewa marinda ukiendekeza tabia zako za kishoga
@@AmosSinkala-lx4sl we kenge acha shobo umeona wapi nimeomba like ili iweje we ulioomba like imekupata kama inauma CHOMOA CHOKO WEWE ATI UNABANA PUA OOO NAOMBA LIKE KWA KAZI GANI UTAPAKATWA MBWA WEE.
Wale wa kuchelewa kuangalia tujuane tafadhali ❤❤❤❤❤😊
Kwa kweli unakoelekea naona kabisa unafata nyayo za steven kanumba clam vevo mungu akusaidie
Much love ❤️ from kenya 🇰🇪 si wanifahamu si nanga umbea umbea... clam vevo kazi nzuri sna
Clam VEVO naona kabisa mpk 2024 utakuja kumfikia kanumba much love ❤❤🎉🎉🎉
Wakwanza leo kuwatch, team hamam team kujiamini nawarepresent niko mbele nimewashikia viti, also representing Kenya my country🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tupo team hammam nawakilisha Zanzibar 😅
Here we go🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪
Mnajua mpaka mnakera watu wangu,big up sana kwa director na washiriki wote wa siries hii kali ambayo ina mafunzo na burudani za kutosha🔥🔥🔥🔥
Haisee hii move mume wangu na mtoto wangu wanaipenda ubarikiwe clam
Nilikua siangaliagi bongo movie ila clam kanikamata kuanzia kwenye big boss,best friend na hii 🎉
Congratulations to you all team kakoso good work
This guys are doing that thing they way it should be much love from Kenya
Much love from Kenya people from tz we loves you alot like back tz people
Clam wewe unajuwa sanaaa ninapenda sana the way you are so creative unamfanya mtu anaeangalia movie awe ana concentration ya hali ya juuuu sanaaaaaa 😍😍😍😍😍😍
By Greas,, Nice saan❤
Iclam unajua tena zaidi ya kujua sema shida yako move zako zinaishia njiani❤❤❤
Waah Noma Sana still waiting for the next episode MWARINGA nikiwa Mombasa KENYA 🇰🇪 love you guys ❤❤
Mwaringa which😂
Maringa who😂😂 uko mombasa wapi
Wakwanza nipo like zangu from Mozambique
Kama unaangalia snake boy huku unasoma comment naomba gonga like hapa ya upendo kwa clam vevo
❤❤❤
Much love ♥️ from Kenya 🇰🇪🇰🇪 Clam never disappoint keep up
❤❤❤
Sg
Sikuhizi mnatufurahisha Kwa dakika mmeziongeza Safi sana hongereni sana team VEVO
much love ❤ from Kenya 🇰🇪 clam never disappoint keep up
Hongerani sana yaani nilikuwa sio mpenz wa kuangalia bongo movie lakin ukwel mmenikamata ❤❤❤❤❤ snake boy sarut
Dakika chache tu, Kuna views wa kutosha na comment kibao, hakika nafsi ya kanumba imerudi kwa Clam🎉
Kanumba mh kanumba is the favorite of people and there is no one like him.
Usiseme hvy Kaka kanumba tuendeleee kumpa heshima yake
Sema tuuu anajitahidi na aongeze bidiii
Acha kufananisha biriani na makande
😂😂😂 acha chogo Siku kuwa waku comment 😂😂 acha kufanani kanumba na uyo na hawezi Ku fikiya kanumba ata iweje😂
Bom trabalho senhores damos a gostar muito do trabalho força 💪 Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Much ❤️ from 🇺🇸 keep up guys, you are doing great job here
Nasisi Burundi tupo vizuri tunafatiliya hii movie hii ni international banger
Kenya 🇰🇪 watching anxiously waiting for the next episode....
Tunakukubali sana Clam ila unatuacha muda mref bila kutoa tunakuw na ham ya kusubir mpaka inaisha😢 tutolee mapema tuendelee kuangalia maan ni nzur tunaipenda❤❤❤
𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊
Kwel bwana mpaka unakata tamaa kwann ulikuwa unaifatili
Kweli
Kwa wik mara1 Ni kila jumatano au alhamis ndo inaruka marachache san kuwah
lazima ichelewe maana imeongezewa muda na kitu kizuri hakihitaji haraka
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.
❤❤❤🎉nawa penda sana but mnatuchrlewesha sisi wa shabiki nawa tizama kutoka south africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦😊
Congratulations, we are proud of clam from kenya, much love ❤
Namkubali sana Kim. Timu yote yastahili pongezi sana.
Anatabia gani vile😂😂😂
Anatabia gani vile😂😂😂
Anaigiza role yakw vizuri sana
@@m.mmarckus6298za kimalaya malaya😂😂😂😂
@@m.mmarckus6298ya umalaya malaya😂😂😂
Snake boy mambo sio mambo ni hatariii sana 🔥🔥🔥💪
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.❤❤❤❤
nili isubili kwa hamu sana ❤❤❤❤❤❤
Força clam te desejo tudo de bom
Mozambique 🇲🇿 CADODO
Mins 17 viwes wakutosha mungu akubariki zaidi na zaidi clam vevo na Tim Yake kwa Jumla kwa tunayoipenda hii move wekeni like zenu apa.❤
Much love❤ from Kenya🇰🇪 clam,,,,guzisha likes tukingoja next episodes to come
Sawa
Pamoja
Weueh,clam fire....
🔥 🔥
From Kenya but now at Jeddah Riyadhi watching
Wakwanza leo Namben like zangu
Kwann NISIWE wakwanza ni kafunga mwaka. Weka like acha wivuuuu😂😂😂😂
Nakubali sana nilkuwa naisubr kwa hamu sana asante sana Clam 🎉🎉🎉
Following from Mombasa Kenya
Best movie 2023
Hapo kwenye mwiba jamani ulitakiwa kua na dam japo kidogo
Ila snake boy n 🔥 sana nipeni like zangu😅
My favorite notification SNAKE BOY❤❤❤...Here I am Clam😂😂🙌🙌🙌🙌
likewise
Tunao cheki move yetu pendwa uku tuna soma koment tujuane hapa 😍🙌🔥🔥🔥
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nkubal
😅😅
😂😂😂😂
This one is fire 😂😂 mwakatobe kashaa aribu maneno can't wait nione ..akimezwa 😄😄😄😄am waiting 4 this........
Yaan Ntiba anakurupuka hlf mwoga, silaha kapewa yeye ila kaogopa kaamua kumterekezea raia😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 hata sauti yake kawa mpole
@@idri2907umeona alivyopoa eeee 😅😅😅
nipeni like zangu atakama nimekuwa wa mwisho😅
Yani movi iko Sawa yani action, horror, thriller,drama,sci -fi mko vizuri Sana Ila mnatuwekaaaa mpk tunasahau kitu kizuri hakipoiiiiii
Much love from Kenya and I can't wait part 17
Imeishia patamu I can't wait to see next episode akii clam congratulations 👏 Allah akujalie kwa kipaji chako inshallah
Mambo ni motoo muv tamu
Hii tamthilia ni moto wa kuotea mbali aisee 🎉Kuna hiyo sound hapo mwisho yaani ni 🔥🔥🔥 hongera sana,hii ndio sanaa siyo wale wa kukaa kweny masofa makubwa na wanawake wenye mawowo makubwa 😂😅 .... keep it up
Umesema kweli yani umenifirisi
Clam mm sina furaha kwa kweli😢,unatucheleweshea sana kwa kweli,hila kazi nzuri 🎉❤
EP 17 mpka lini Sasa kiu yake tunayo!!!!?
wew nipe namba yako nikutongoze
@@saidirakozi1809 .. Katongoze mamako mbwa..
❤
Watu wangu tupo Burundi 🇧🇮 nipeni like hapa Clam katisha sana💪💪💪💪
Dh hat Mm nik apa nachek like,, I clam katisha saan
Daah ila mnatcheleweahea mwendelezo mpaka tunasaau km Kuna sneck boy ila pamoja sana❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲Yani hii movie tamu sana daah mambo, 🔥🔥🔥
Nimekuwa wa 5 leo,from USA nawafuatiliya vizuri sana
Big up dogo Clam pia pongezi hizi na kwa kakoso mwakatobe na Zumba nawakubali sanaaaaa
Napendaga sana Izi Filam Ila nina Imani sikumodja nitaonana naye clam maco kwa maco
Napenda kazi yako keep it up clam
Team strong hoyeeeeeeeeee wangp walikua wanategea snake boy km unapenda clam VEVO like apa n utwambie uko wapi 🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰nawapenda nyote tukutane kwa comment please 🙏 let's gether here watu wangu
Mm nipo hapa toka jana nasubir
@@SalamaMaulid-r6y wow amazing dear krb pamoja
Good job❤❤❤❤
Much love from Ethiopia 🇪🇹🇪🇹🇪🇹
Leo nimekuwa ws kwanza kuangalia ..jamani nyie watu mnajua sanaaa❤❤❤
Samahani vevo nami napenda sanaa sana naomba nami niwe moja yavijana wako ntajitoa kadri yauwowang kaka malengo nikujfikisha rebo mbali
Napendasanaiyo muvi❤❤❤❤😮😮😮🎉🎉 jevahlaureen
🎉🎉
I am from congo DRC but tanzania is my second country. Bro lemme tell you something, your creativity is shining brightly! Your unique ideas and innovative approach are truly making a positive impact. Keep up the fantastic work - the world needs more of your creative energy! 🌟
Emotional comment
💪💪💪
❤❤
Love this comment ❤❤❤
hi
Ni story nzuri inavutia na ubunifu mzuri asanten sana natamn angalau kwa wiki 2 maaan hatuna movi nyengine km hiiii
😂😅😅
Mambooo ni motooooo sana hatriiiiii but mujitahidi musicheleweshe sana tupo pamoja sanaaaa❤❤❤
Yesssss iyo ni Noma kabs😂
Nimefurai kweli ungemaliza n ntiba alafu ndipo malikia tuone ilo tumbo n mtto au n nmawe😂😂😂❤❤❤nawapenda bure. Msichelewe bc nawependa lkn mbachelewa kweli
Episode 16 🔥🔥🔥🔥,,,,hongera kw Director kazi nzuri snaa n team yotee kw jumla💋💋💋💋💋💋💋💋💞💞
Kazi nzuri timu clam mungu amiongeze inshaallah
Congratulations we are proud of clam ...much love 4rom saudia
Dah big up bro clam Ii ep imetulia sana tatizo unatoa Moja Kwa wiki watutoa stimu sie tunaofatilia 😂 ❤ from kenya tunangoja next
Clam series yako ni nzur sana jitaid kuwai kutoa sio tunasubir adi wiki
congratulations Clam pamoja n Crew yote ak hii movie iko sawa 🇰🇪🇰🇪
Wakwanza from Burundi nipeni likes zangu jaman ❤❤❤
Blazaa Clam vevo chukuwa maua yako tu kwa moyo safi🇹🇿💐💐
pongezi kwa brother clam vevo, we respect you 🎈🎈kama unakubali clam kama mrithi wa kanumba basi support. one love brother clam, honesheni upendo kwa clam vevo let's go, like ❤❤❤
Kanumba is born again
Kanumba is completely different. First, an academic. Then he has not been accepted for two years. except clam knows a lot.
Clam wew ni nouma ni nouma yaani ni noumaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊
Jamani Clam naomba muwe muna towa haraka, snack boy is thé best
Naomba lke zangu mm ndio wakwanza leo
Umeupiga mwingi sanaaa hii muve tam sanaaaa❤ pia unamadini mengi Sanaa nimtoto mdogo ila unefanya vitu vya kikubwa mbona kama anaua watu wasio na hatia
Nyoka itakua ajajikontoro labda
@@mchangeboy5928😂😂😂
@CLAM VEVO ,hakika umeiva ,umejipanga na kazi yako unaiheshimu ,
Bonge la seasons hili ,👏👏👏👏👏
Mungewacha nahizo za nyoka kiroho zinaweza kuwamili kama mnapenda Mungu
Sina neno wazee mmetishaa Sana kadri move inavyozidi kwenda kwenda mbelee ndio kwanza inakuwa tamu na Mambo mapya tunayapata ambayo mwanzo hatukujua chanzo Cha uhasama wao
This has been the best series 2023❤
Sure
❤