DR.MO SIMBA IMEMSAJILI KOCHA IBENGE/MKATABA WA MIAKA 2/MSHAHARA MILIONI 120

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 มิ.ย. 2024
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 19

  • @sammyjsamatta8260
    @sammyjsamatta8260 4 วันที่ผ่านมา +1

    Dr.Mo mm nakukubali sana broo akili nyingi sana nakuombea siku Moja uwe mwenyekiti wa Simba yaani unahakiki nyingi mnomno congrats bro

  • @sammyjsamatta8260
    @sammyjsamatta8260 4 วันที่ผ่านมา +2

    Ipoa cku utakua na NAFASI kubwa sana ila kwenye usajili na mtazamo wa mapungufu ya wachezaji nakukubali kaka

  • @sammyjsamatta8260
    @sammyjsamatta8260 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ingekua ni uwezo wangu hapo simba we jamaa ungekua na NAFASI kubwa sana

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 5 วันที่ผ่านมา +1

    Big brain 🧠 doctor

  • @mustafakimalio9129
    @mustafakimalio9129 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ibenge sawa na Robertino

  • @samsonnyihita3985
    @samsonnyihita3985 4 วันที่ผ่านมา +2

    Manura aondoke tu

  • @liliansahan5770
    @liliansahan5770 4 วันที่ผ่านมา

    Kifungo kimeisha😃😃😃

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 4 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa si kafungiwa au?😂

    • @marukawekesa4926
      @marukawekesa4926 4 วันที่ผ่านมา

      Alijiuzulu wadhifa fulani ... Simba VIP A... NDIO alifunguwa na Aggy Simba

  • @user-ez2ws1le3n
    @user-ez2ws1le3n 5 วันที่ผ่านมา

    We hamna kitu si yanga

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 4 วันที่ผ่านมา +1

    Vikombe vya Simba! ni vipi hivyo?au umekosea ni vya ligi? Heshimu mabingwa wako wa ligi mara 30

    • @saimonntani6831
      @saimonntani6831 4 วันที่ผ่านมา

      Yanga Nbc haeajachukiwa mara30 Bc limeanzishwa mwakagni?

    • @Sanjey-vp1fm
      @Sanjey-vp1fm 4 วันที่ผ่านมา

      Haya mabingwa mara 30, kwaiyo?

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 4 วันที่ผ่านมา

      Huwa najiuliza ni kwa nini timu moja inashabikiwa na watu wenye akili zinazofanana?

    • @marcobulili4341
      @marcobulili4341 4 วันที่ผ่านมา

      @@davidsimbeye1548 ni sawasawa tu na timu nyingine inavyoshabikiwa na akili za kulandana.

    • @marcobulili4341
      @marcobulili4341 4 วันที่ผ่านมา

      @@Sanjey-vp1fm akili ni nywele!

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa si amefungiwa mbona anaendelea kujihusha na klabu ya SIMBA?