Ivi ume sikiya vizuri number 5 AFRICA, number 16 duniyani, kesha number 1 tajiri kijana duniyani...........ivi Kati MO na mumilike wa Facebook na WhatsApp Nani kijana kuliko mwengine?
Kaka wew unacho kiongea n kwel lakn. Simba kuwa nzuri had mangugu atoke. Maana alicho tufanyia msimu iliyo pita mungu amsamehe bure. Ok na sahiv tutapga kelele nyingi weeeeee. Kikumbwa tusubir msimu ujao timu yetu inakuwa kweny pafomas Kama tunavyo tarajia sisi.. ndyo boss karud kweny kiti ok tusubir tuone.. Sasa mpra siyo siasa.. ✍️ Mabetu &Co
Huyu jamaa siobure kapigwa pini na katishwa kibarua kitaota nyasi yani leo mangngu kawa bora sialikua na kampeni ya kumtoa mangungu leo kawa kiongozi bora😂😂😂😂😂
Ndo mashabiki zenu walivyo sasa hiz ndo akili zao za kawaida zile nyengine ni akili za mbegeee 😂😂😂😂 ndo muone madunduka jinsi mlivyo na mbumbu wa kusaza .... Mnasaidiwa na mbege ila mkiwa na akili za kawaida Bila mbege ni utumbo mtupu mnao ongea 😂😂
Leo unasema mwenyekiti wetu pendwa mangungu kumbe we pia unanunulika alafu usichokijua yanga wametuacha sisi tunapiga makelele mengi mtandaoni huku hatunajema n upuuzi tu
Kweli unalosema gb lakini lazima watu waseme nyinyi ndio wenye matatizo katika usajili ndio maana kila mitandao ni nyinyi tu wenzenu wapo tayari washamaliza kazi yao
Yaani Yanga waandae bango la kibu kweli kwani lile la 7-2 lishapauka? Una Max Ngengeli, una Pacome, una Aucho una Aziz Ki, una Mudathir bado umtaje kibu kweli we utakua mikia lazima😅😅😅 kweli ukiwa dunduka lazima uwe hamnazo
@@tumainimsowoya294 pole utopolo wa mo dewji ukweli ni kwamba aliyekuwa anatakiwa na Yanga ni chama tena nae ni kama altenative tu sio chaguo la kwanza kwasababu japo ni creative lakini hawezi kukaba......huyo kibu hata ukiwapa Namungo hawamchukui mmeingia kingi mkajaa . Niamini mimi hata huyo chama kwa namna alivyomkubwa kuliko timu ni lazima mtabaki nae tena msimu ujao ila kwa hela kubwa sana kiasi kwamba atazuia usajiri wa wachezaji wazuri ndani ya kikosi na mtaendelea kucheza kumzunguka yeye kama kawa
eti tajiri hauzi magodoro kwani mo anauza nn ? jiangalie sana utapakuliwa maana hayo mambo waachie wenyewe ndio maana kwa njaa zenu munaona Mo yupo sawa wakati hayupo sawa ktk utendaji
Huwaga nakukubali sana unaongeaga vitu fact bila ushabiki.ila leo umeniangusha hapo kwa chama.ina maana pamoja kuwa na ukaribu na viongozi hadi leo hujui kama chama amesajiliwa yanga?penye ukwel sema ukwel jpo unauma kkuza brand yako.vitu vingine sema ukwel jpo unauma ndg yangu.ww ni mwanasport broo.
😮mpumbavu huyu amesahau alivokuwa analia mtandaoni akiomba hela ya cm saiv anajifunya mjinja ety tajili tajili hawezi kuwa na kiwanda cha magodoro... Akiri huna ww... Jaman tutmsikliza ten huyu kiumbe au tuachane nae?
😂😂😂 hawa c ndo wali ratibu maandamano 😂😂😂 mangungu akasumbuliwe na hawa kweli mudi mwenyew katulia kwa mangungu 🤣🤣🤣 then hawa vikojozi ndo wakampe headache chairperson kwelii 😂😂😂
@@angellomarcel5677kanywe mbege kidogo afadhali unaweza kuongea vitu vya msingi usi comment kama hujapata japo chibuku au mbege ..... Maaana Bila mbege mnakuwa watu wa ovyo Sana
Hakika madunduka kazi mnayo leo hii mmesha pewa hela tiar
Huyu nae akinywa konyagi anaongea hivi, akinywa Serengeti anaongea vile ....😂😂😂
Simba Comedy Sana aseeh
Mangungu Kawa mpendwa😊😅😅😅😅
😂😂😂😂leo mangungu Kawa Bora madunduka kweli akilizenu zakidunduka sisi tunawa tunawachezea mchezo Ili mubaki na hao hao mturahisishie Kazi wananchi
Oooooooooooooooh!!!!!!!!!!!! Mnamtaka kweliiiiiiiii oooooooooh
Ivi ume sikiya vizuri number 5 AFRICA, number 16 duniyani, kesha number 1 tajiri kijana duniyani...........ivi Kati MO na mumilike wa Facebook na WhatsApp Nani kijana kuliko mwengine?
kumbe mpk murahisishiwe mutaliwa kwa kupend mserereko lipeni madeni kwanza
@@MuammaryAbdallatulipieniii 😂😂
Hao ndio madunduka 😂😂😂😂
Eti boss karudi😅 miaka yote mo hakuwepo kumbe..ila madunduka washapata ukichaa asee😂
Kuvurugana Simba ndo kujulikana?
Kaka wew unacho kiongea n kwel lakn. Simba kuwa nzuri had mangugu atoke. Maana alicho tufanyia msimu iliyo pita mungu amsamehe bure. Ok na sahiv tutapga kelele nyingi weeeeee. Kikumbwa tusubir msimu ujao timu yetu inakuwa kweny pafomas Kama tunavyo tarajia sisi.. ndyo boss karud kweny kiti ok tusubir tuone.. Sasa mpra siyo siasa.. ✍️ Mabetu &Co
Huyu jamaa siobure kapigwa pini na katishwa kibarua kitaota nyasi yani leo mangngu kawa bora sialikua na kampeni ya kumtoa mangungu leo kawa kiongozi bora😂😂😂😂😂
Ubuntuuu wote ni 1 April ya kila mwaka 🤣🤣🤣 .... Usimshangae ni generator acha lipige kelele NJe
HUYU JAMAA KAPIGWA PINI HUYU SIO BURE!!!😂😂SI NDIE ALIEKUA AKISEMA MANGUNGU LAZIMA ATOKE😂😂NI YUDA KABISA
Ngungu boy Kawa mwenyekit Pendwa mwenyekiti msikivu😂
Huyu jamaa katishwa na kapigwa pini
@@ramadhaniraphael6955 mangungu anawapiga pin 📌 mmoja mmoja
😂😂😂.... Hajatishwa ila mangungu ni kiboko kazima kelele za mbumbu wote 😂😂 ...
Huyu nae mnywaji tuu😀😀
Mangungu amekuwa Tena mpendwaaa😅😅😅
Hapa mnaogea na akili sungura, chezea spirit😂😂
qmamaeee kashapewa mkate mangungu kawa pendwaa😂
Sio mkate pale udundukani akuna ubuntuuu au mbumbu yeyote anae muweza comrade Murtaza mangungu Mwamba.....
Sasa ulitaka akuite wewe au mamaako pendwa?
@@JuliusWandwi kuma la mama yako
@@law93king ivi Kweli c mamaako ana debe yy?
Hapo unaongea ujinga sanaaaaaa
Ana sela uyo wameishiwa
Kapewa KITU kidogo huyu MPUUZI Huyu
Hawa wote ni 1 April ya kila mwaka 😂😂😂 .... M napenda ngenga zao kabla ya kuanza kwa ligi .... Ikifika katikati ya msimu hawa ndo watafuta bakora 😂😂😂
Well said GB 64💪💪💪#SIMBA nguvu moja
Kwa Hiyo Mashabiki mnataka Jamaa kila akiongea amkatae MANGUNGU...katiba inamtambua hata mfanye je😅😅😂
Mangungu 😂😂 ... Amewapiga knock out.... Chezea mwenyekiti nilikwambia pale udundukani hakuna mbumbu anayewez ku battle na mangungu.......
Jamaa mnafki huyu,,, mangungu mpendwa😢😢😢
Huyo mvuta bangi na ndio msomi wa simba mwl wa voda fasta
Leo mangungu kawa Bora 🤣🤣 ! Zege kweli nyiee 🤣🤣 ! Uchawa utawauaaa ! Si wew ulikuwa unapiga kelele mangusii atoke hahaha
😂😂😂hiii tunze hiii cripu zen siku 1 umrudie et wamekosa mvuto Simba ina mvuto wa kutukana viongoz nd mvuto et 😂😂😂
Huyu kumbe si Mzima Leo MANGUNGU ni Mwenyekiti wake Mpendwa 😅😅
Mangungu kashaanza kuwapiga pin mmoja baada ya mmoja watampenda tu
@@jaffjeff6912 mangungu ni balaa wewe
@@mwanangusana Kiongozi makini sana huyo jamaa ana wazooom tu
@@mwanangusana alafu kashawajua watu wanaowasapoti nyuma yao ili wamtusi
Ndo mashabiki zenu walivyo sasa hiz ndo akili zao za kawaida zile nyengine ni akili za mbegeee 😂😂😂😂 ndo muone madunduka jinsi mlivyo na mbumbu wa kusaza .... Mnasaidiwa na mbege ila mkiwa na akili za kawaida Bila mbege ni utumbo mtupu mnao ongea 😂😂
Uyu ni kichaaa msimsikilize na asihojiwe tena alikuwa ham hamtaki mangungu leo kawa sukari kwa kipi ni kigeugeu
Kweli we mjinga Leo wanafaaaa
Hila viongozi wa simba jmn khaa kwahyo mmeamua kumdanganya mpaka GB64 kweli chama amesaini kumbe akusaini
Uganda umemsahau mwamba Emanuel Anold Okwi chini ya Nyange kabulu
Sio. kweli simba mbovu
Hata Liverpool anaenda Marekani.
Simba ipi, walikusweka ndani umenyooka pumbafu
Leo unasema mwenyekiti wetu pendwa mangungu kumbe we pia unanunulika alafu usichokijua yanga wametuacha sisi tunapiga makelele mengi mtandaoni huku hatunajema n upuuzi tu
Ushatulizwa 😂😂😂😂😂
Msemaji anaongea hajui leo ndio atatoa majibu kamili wewe nani unasema eti kapigwa 2 tena😂😂😂😂
Utaila umeanza ulipoenda rokap ee pole sana kwasasa Bora kisugu anahoja kuliko huyu jamaa
😂😂😂😂😂 1 April
Kweli unalosema gb lakini lazima watu waseme nyinyi ndio wenye matatizo katika usajili ndio maana kila mitandao ni nyinyi tu wenzenu wapo tayari washamaliza kazi yao
Chama kama ajaachwa tumebugi
GB 64👏👏👏👏👏👏🦁
Huyu mgonjwa bado anataka kuwadanya wanasimb
Acha chatuwe namaneno mengi arf tusiwe vigeugeu
Mangungu kawa pendwa😂😂😂😂 tusubiri
Haya mautopolo kila yanasajiri chama lakini chakushangaza kila msimu chama anacheza simba
Bangi na Sigara na kiingereza chake cha form six anajiona msomi sn
GB 64 umetandika suti maridadi kama JAJI😂😂😂💪💪💪#SIMBA nguvu moja
Sisi tunasave clip tu wala hatuna mengi tutakuuliza tu maana ni kama vile sahivi hamjielwi..!!
😂😂😂 usijichoshee ndugu yangu hawa wote ni 1 April ya kila mwaka
hayaaa
Ww unaongea pumba ndo mahana ulipelekwa polisi leo hii mangungu mzr daah Simba mumechoka
Mangungu,mwenyekiti mzur
WATU WA SIMBA KAA MAJINGA VILE😂😂😂
G64 waaambie watu vizuri acha kua kama chawa
Wajengwe kisaikolojia ili wakifungwa na yanga waweze kuvumilia
Khaaa uwiiiiii ,ww unaakil kwel?
Sengeh
✨✨✨✨✨✨⭐⭐⭐⭐⭐⭐
Huyu ni Gb 64 au 100 maana yuko dynamic
Ww kumbe matako ee
Hili mbwaa kweli yn leo mangungu ni bora..
Tupokimya wachezaji wa yanga atuwadai
Kiukweli yanga hawana mvuto
Kuna watu wanateseka humu 😂😂😂😂😂😂😂
GB leo mangungu kawa bora?
Hah Leo mangungu imekuwaje gb
Wapi FEI TOTOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO😂😂😂😂😂#SIMBA nguvu moja
Kibu yupi anayezidiwa magoli na engineer
Unaongea ukweli kabisa waambie kolo😂
Hahahaha njaa tyuu huyuu
Yaani Yanga waandae bango la kibu kweli kwani lile la 7-2 lishapauka? Una Max Ngengeli, una Pacome, una Aucho una Aziz Ki, una Mudathir bado umtaje kibu kweli we utakua mikia lazima😅😅😅 kweli ukiwa dunduka lazima uwe hamnazo
Kwan uongo?utopolo mnatakaga kuikomoa tu Simba
@@tumainimsowoya294 pole utopolo wa mo dewji ukweli ni kwamba aliyekuwa anatakiwa na Yanga ni chama tena nae ni kama altenative tu sio chaguo la kwanza kwasababu japo ni creative lakini hawezi kukaba......huyo kibu hata ukiwapa Namungo hawamchukui mmeingia kingi mkajaa . Niamini mimi hata huyo chama kwa namna alivyomkubwa kuliko timu ni lazima mtabaki nae tena msimu ujao ila kwa hela kubwa sana kiasi kwamba atazuia usajiri wa wachezaji wazuri ndani ya kikosi na mtaendelea kucheza kumzunguka yeye kama kawa
Mhu utapona mwaka huu
eti tajiri hauzi magodoro kwani mo anauza nn ? jiangalie sana utapakuliwa maana hayo mambo waachie wenyewe ndio maana kwa njaa zenu munaona Mo yupo sawa wakati hayupo sawa ktk utendaji
Ligi ikianza wanamsingizia gsm na msimu ujao mbakula jumla 10 nje ndani
Chawa hawa
GB anafuata upepo...Leo Mangungu kafaaa tenaa??? Hv huwa anaangalia clip zake kweli nae ajitasmini??😂😂
Mangungu amekuwa Mpendwa tena, duh 😅😅
Mi hata sielewi
Hana jipyaaa huyu
Uyu Sasa kashaanza kulewa nilikuwa namuona wa maana lkn hakuna kazi apo,kashapewa ela uyo
Eti mwenyekiti mpendwa acha unafiki
We huyu jamaa inakuuma nn anavo bubujika huyu ni mwana msimbaz
Yaani hapo ushaitaja yanga
GB64 katutoka
Madunduka leo wanamuona Mangungu bora. Daa kweli mbumbumbu.Timu inayohangaika haina kitu ni Makolo lazima msemwe
Hii kumbe ni MBUZI PORI, yaani YANGA HAINA MVUTO, . !
Tandi Mwapeee
Huwaga nakukubali sana unaongeaga vitu fact bila ushabiki.ila leo umeniangusha hapo kwa chama.ina maana pamoja kuwa na ukaribu na viongozi hadi leo hujui kama chama amesajiliwa yanga?penye ukwel sema ukwel jpo unauma kkuza brand yako.vitu vingine sema ukwel jpo unauma ndg yangu.ww ni mwanasport broo.
Mangungu sio mpendwa usituchanganye
😮mpumbavu huyu amesahau alivokuwa analia mtandaoni akiomba hela ya cm saiv anajifunya mjinja ety tajili tajili hawezi kuwa na kiwanda cha magodoro... Akiri huna ww... Jaman tutmsikliza ten huyu kiumbe au tuachane nae?
mueleweni huyu jumaa tunakibarua kikubwa cha kuindaa timu yetu hatuwezi kuendelea kugombana
😂😂😂 hawa c ndo wali ratibu maandamano 😂😂😂 mangungu akasumbuliwe na hawa kweli mudi mwenyew katulia kwa mangungu 🤣🤣🤣 then hawa vikojozi ndo wakampe headache chairperson kwelii 😂😂😂
Huyu poyoyo kweli
Ninyi mambo yenu ni ya kuangalia tu
Nyuma mwiko acheni ushamba.
Upi
Matajiri wote ZAIDI ya 10 jina moja tunawajua
Huyu nae kachuka vipande vya shekeri
We hueleweki
Leo data zako zime feli Sana eti MO nitadjiri number 5 AFRICA 🤣🤣🤣🤣eti number 13 duniyani........
Ni kweli kwa Mujibu wa Forbes
Kwa MATAJIRI Vijana...hizo ndo no za MO...
@@angellomarcel5677kanywe mbege kidogo afadhali unaweza kuongea vitu vya msingi usi comment kama hujapata japo chibuku au mbege ..... Maaana Bila mbege mnakuwa watu wa ovyo Sana
Kwanza migogoro ndyo mvuto Simba??
Mangungu mpendwa.
Madunduka jamaniiiii
nyie mnz wa kijan punguzen matuc kwa huyo GB. 60 hata mfanyaje chama miwil Tena mtakoma mwaka huu uto nyie
Tena uyu jamaa ata bangi anavuta ,siwalikutoa lokap mashabik wa yangu wewe ? Dawa imekuingia
Duuuh wewe jamaa kweli mnafki
Huyu Jamaa na magungu vp Tena mbon
Linapokuja jambo la kuwapiga YANGA huyu Hubadilika usitegemee aseme Baya kuwa Simba..Ila vita yake na MANGUNGU iko pale pale
Kumbe huyu jamaa nimeamini akili zake zinafanya kazi kwa kutoroka jaman yaani haya maneno yake huyu ya Kila siku ni anasahau aliongea nini