RICARDO MOMO ZA NDAANI AFICHUA USAJILI WA MO DEWJI SIMBA, FUNDI ZAIDI YA CHAMA ANATUA,MWAMNYETO,LAWI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 มิ.ย. 2024
  • RICARDO MOMO ZA NDAANI AFICHUA USAJILI WA MO DEWJI SIMBA, FUNDI ZAIDI YA CHAMA ANATUA,MWAMNYETO,LAWI
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 5

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 5 วันที่ผ่านมา +3

    Simba msisajiri mchezaji kutoka Yanga ni hatari sana

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 4 วันที่ผ่านมา

    Well-done Momo,endelea kuwafundisha lugha hao wanahabari kizazi kipya --- Mara nyingi wanakosea sana kutamka baadhi ya misamiati --- mfano , Simba Sports Club,wao wanasema Simba Spot Club ---- Young Africans Sports Club --- utawasikia wakisema Young Africans Spot Club --- Thank you ,ndio hivyo,wanasema Senk yu
    " Wanakera!!! "

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 4 วันที่ผ่านมา

    Jambo jingine ambalo waandishi au wanahabari mnapaswa kujifunza,ni KUZINGATIA ITIFAKI linapokuja suala kutaja timu mbalimbali ktk maelezo yenu , kwamba ipi inapaswa kutajwa kwanza kabla ya nyingine. --- waandishi waliopevuka na wanaozingatia,humpa bingwa heshima kwa kumtaja kwanza --- " lakini kwenu,umekuwa kama utamaduni,kila Mara utasikia Simba,Yanga,Azam and so on."

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 4 วันที่ผ่านมา

    Yanga kumsajili chama hatofanya kama alivyofanya simba

  • @tanzaniakwanzamaadili5083
    @tanzaniakwanzamaadili5083 4 วันที่ผ่านมา

    Utopolo wakiacha mchezaj wanamwombea mabaya