JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM MAXIMUM TV NA PIA KUTULETEA HABARI ZA MATUKIO KILA PANDE NASI TUTAREPORT HAPA LINK. chat.whatsapp.com/JkSQagAXclaAAv1INM4qpV GUSA HAPO KUJIUNGA SASA PIA TELEGRM GROUP LINK HII HAPA JIUNGE SASA. t.me/joinchat/SuUqvRhRgJ9CXdkT1A3YzA
Mung atakulipa dalaju lajuukwa moyo uliyo kuwanao niwachache sana wenye moyokama wako mung akupe maisha malefudaina kukowa nimoyo siutajili unaweza ukawa tajili nausiwe nautu mung akulinde
Shukran sana kkzahir kwa kazi nzuri.sina chakusema tena juu yakkyetu Maisha chamsingi nikumuombea kila baada yaswala Allah amsamehe kilaalo fanya na muepushe na moto na adabu yakaburi Amiin amiin amiin
Innalillahi wainnailaihi rajeun, ALLAH akulaze pema peponi MAISHA, imeniuma sana hadi nimelia, ALLAH ajaalie kaburi lako liwe na nuru, ajaalie malaika wema wawe pembezoni mwako, AMIIN YA RABBAL ALAMIN🙏🙏
Poleni sana anafatilia mungu Awatie nguvu na ww rafiki wa marehe mungu Akutie nguvu Nimelia sn nimemukumbuka rafiki yangu nae nilimuunguza sinza Akanifika mikononi mwangu nilikuwa cjui ndug zake rkn mungu Akafanya njia pasipokuwa na njia nikasafirisha msiba hadi iringa Rl.p maisha R.l.p Victoria hakika nitakukumbuka daima
Innalillah waina lillah rajunni poni nas wafiwa wote na uyo kk arokuwa anamuuguza maisha allah alipe jana filidaus in shaallah kuwana moyo uwowo tumekupa pongezi san allah kakupa imani kubwa sn indeleya kuwa na imani in shaallah
Innallillah wainna illah rajin'guun. Yani nimeumia sn. Maana zahr nakufatiliya sn. ALLAH akufanyie wepesi katika kazi yako. Unafanya kazi kubwa. Zahri naihusiya nafsi yangu pamoja na kuisiya nafsi yako tufanye ibada tumche ALLHA. Kwani dunia hii tunapita.
Nimelia sana sana,,pole rafiki ya maisha endelea na moyo huo huo hata wengine ,maisha mungu kampenda zaidi inauma sana wallah nimeshinda nikilia jamani.
Mwenyezimungu amrehemu in sha Allah inauma bt hatuna budi tulimpenda sana mungu halimpenda zaidi halikuwa mpole na mcheshi nimeishiwa nguvu leo kabisa 😭😭😭😭😭 mbele yke nyuma yetu
Poleni sana wazazi,ndg na rafiki aliyekuwa anamuuguza pamoja na jamaa wote Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho. Na pia pole kaka Zahir kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kupambania uhai wa maisha ,wewe ndiye umefanya tumujue Maisha Mungu akubariki sana uendelee kuwa na moyo huo wa kujitoa kwa ajili ya wengine .R.I.P Maisha mbele yako nyuma yetu.
Innalillah waina alayhim ragiun nimeumia allah ailaze roho ya marem pema peponi amin,nimeumia sana hakika ahad za mwenyez mungu ni bora kuliko ya mwanadamu,zahir na huyo kijana mwingine allah awape moyo wa iman awape kheri duniani na kesho akhera😭😭
Kaka ambaye ni rafiki wa marehemu...umekuwa rafiki mwema sana kwake.. Mungu akubariki pale ulipotoa kwa msaidia Mungu atakulipa kwa wema wako..🙏🏿🙏🏿😢😢😢😢😢🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿ama kwa hakika hii ndo maana halisi ya urafiki wa shida na raha
Nimelia sana adi na wanangu wamelia wakiuliza mama nani kafaaa wamelia kama vile wanamjua maisha ,daaaaa nenda salama maisha naamini ipo siku tutakutana
Maximum Tv mola akupe umri mrefu poleni sana Allah ampe kauli tabithi na apokee kitabu chake kwa mkono wa kulia amulikiye kaburi lake nuru mbele yake nyuma yetu sote tutaregea ila siku wakti na mahali polen sana
Inaumasan kikubwa dua tu mungu ampe kauridhabit andako mbele yake yumayetu amen kak zahri mungu akupe afy njema hatun chakukiripa ira mungu tu ndio mlipajiwako endelea kuna roho mzuri ivyoivyo asant
Allah akuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema mbele yako nyuma yetu mdogo wangu kazi ya mungu haina makosa Allah awape subra familia yote kwaujumla
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM MAXIMUM TV NA PIA KUTULETEA HABARI ZA MATUKIO KILA PANDE NASI TUTAREPORT HAPA
LINK. chat.whatsapp.com/JkSQagAXclaAAv1INM4qpV
GUSA HAPO KUJIUNGA SASA
PIA TELEGRM GROUP LINK HII HAPA JIUNGE SASA. t.me/joinchat/SuUqvRhRgJ9CXdkT1A3YzA
Mung atakulipa dalaju lajuukwa moyo uliyo kuwanao niwachache sana wenye moyokama wako mung akupe maisha malefudaina kukowa nimoyo siutajili unaweza ukawa tajili nausiwe nautu mung akulinde
Daah inalillah wainaillah lajun
Kaka zaher allah atawalipa nyie kwa kazi mzito munayoifanya wengine sie atuna uwezo wakusaidia wenzetu ila tunatamani sana allah awajaalie moyo km huo
Kaka zahir Allah atakulipa ujira wakoo ,,,mungu akujalie umri na afya njema insha'Allah 🤲🤲🤲 alhamdulillah Allah atujalie mwisho mwema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
amiin
Amiin
amiin
amin😭
Mungu awabariki sana muwe na moyo huo huo
Allahumma ghafrllah warhmah waskan filjanah
Dunia tunaiyacha na vilivyomo tuache zinaa,ushirikina,fitna na mengi mabaya allah atuweke na taufik inalilah waina ilah rajion husnul hatma y'allah
Allah atusamehe na atuongozi sana nasisi tuongoke
Mwenyezi mungu amrehem ndugu yetu na wapendwa wetu wote waliotangulia mbele za haki
Mungu mpe kauli thabit kajua kuniliz 😭😭😭 ila kazi ya mungu Aina makosa amuondolee mchanga wa macho🙏🙏.
Amiin
Allahumma Aaaamin Ya Mujib
Tuliogea sana tarehe 2 Kumbe ndio mwisho wke
Amin
Zaih niwachacha saan wenye moyo Kama wako Hatuna budi kukuombea Dua njema mungu akupe kila njema
Amina
Amin ya Rabbi amin
Amin
Shukran sana kkzahir kwa kazi nzuri.sina chakusema tena juu yakkyetu Maisha chamsingi nikumuombea kila baada yaswala Allah amsamehe kilaalo fanya na muepushe na moto na adabu yakaburi Amiin amiin amiin
Innalillahi wainnailaihi rajeun, ALLAH akulaze pema peponi MAISHA, imeniuma sana hadi nimelia, ALLAH ajaalie kaburi lako liwe na nuru, ajaalie malaika wema wawe pembezoni mwako, AMIIN YA RABBAL ALAMIN🙏🙏
Kiukweli nimelia sana allah akupe kauli thabiti
Poleni sana anafatilia mungu Awatie nguvu na ww rafiki wa marehe mungu Akutie nguvu Nimelia sn nimemukumbuka rafiki yangu nae nilimuunguza sinza Akanifika mikononi mwangu nilikuwa cjui ndug zake rkn mungu Akafanya njia pasipokuwa na njia nikasafirisha msiba hadi iringa Rl.p maisha R.l.p Victoria hakika nitakukumbuka daima
Innalillahi wainnailaihii rajiun poleni sana ndugu jamaa na marafiki wote Ameen
Nakupenda sana wew mtangazaji MUNGU akubariki kwa kaz zako
Asante kk. Kwakutuza. Maisha mungu ampe Lauri dhabiti lnshaa Allah
kaka unamoyo wew mungu atakulipa Insha Allah usichoke kutenda mema ujira wako utaukuta kwa Allah..Zahir anahema kwa ajili ya mwendo pole kaka.
Wallah huyo ndie rafiki wa maisha maana amesimama nae mpaka dakika za mwisho
Yule.mkaka alikuwa anaumwa lkn maskini alikuwa anavumilia maradhi.allah amsameh makosayake
kk mwandishi honger sn kwa kazi uliyo ifanya mungu akuzidishie moyo huo huo pia azid kukulinda kk
Asante sana kaka Zahir kwa kutuwakilisha msibani Asante na nyie wote mliosafiri kwenda msibani Mungu atawalipa🙏🙏🙏Poleni familia Mungu awatie nguvu
Amen..amen..amen..
Nimelia sana nilitamani apone dah ugonjwa ulimuondoa kaka yangu pia mungu awalaze mahala pema peponi
Vzr sana ZAHIR na Maximum tv kwa ujumla, nimefurahi sana kuona mmekwenda msibani huko, mungu awape moyo huo huo wa ushirikiano
Iinalilah
@@hamidahamida1473 oooo
Iioooo
Mungu ampe kauri thabiti kaniumiza sana huyu kaka
Ongera kaka zahir kwa kazi njema
Innalillah waina lillah rajunni poni nas wafiwa wote na uyo kk arokuwa anamuuguza maisha allah alipe jana filidaus in shaallah kuwana moyo uwowo tumekupa pongezi san allah kakupa imani kubwa sn indeleya kuwa na imani in shaallah
Innallillah wainna illah rajin'guun. Yani nimeumia sn. Maana zahr nakufatiliya sn. ALLAH akufanyie wepesi katika kazi yako. Unafanya kazi kubwa. Zahri naihusiya nafsi yangu pamoja na kuisiya nafsi yako tufanye ibada tumche ALLHA. Kwani dunia hii tunapita.
Amiin Amiin Amiin inshallah
Haya maisha haya, wanaozikwa kwa ufahari na wanaozikwa bila mbwembwe wote njia yetu ni moja, Hongera Martin wewe ndio rafiki wa kweli
Inna lillahi wainna ilayhi raajiun poleni kwa msiba Allah awape subra wenzetu wa tz
Hata mm nmelia jaman. Mungu awape faraja
Masikin rafik ake anaumia sana 😢😢
Mwenyezi Mungu awajalie kwa upendo wenu
Pole Sana kaka nawafiwa wote
Polen Familia polen nanyinyi waandishi mungu Ata walipa 😭😭😭😭😭
Poleni sana Mungu awape nguvu
Poleni sana mungu awape faraja
Mpumzika kwa amani maisha mwenyez mungu akupe pepo ya daraja poleni Sana wana familia, Ni kaz ya mungu Haina makosa
Nimelia sana sana,,pole rafiki ya maisha endelea na moyo huo huo hata wengine ,maisha mungu kampenda zaidi inauma sana wallah nimeshinda nikilia jamani.
Jamn maisha mungu akufungulie milango ya pepon
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele
Mwenyezimungu amrehemu in sha Allah inauma bt hatuna budi tulimpenda sana mungu halimpenda zaidi halikuwa mpole na mcheshi nimeishiwa nguvu leo kabisa 😭😭😭😭😭 mbele yke nyuma yetu
poleni sana wafiwa ,,Ee baba mwenyezi mpumzishe kijana wako mahala pema peponi ,Amen .
Poleni sana wazazi,ndg na rafiki aliyekuwa anamuuguza pamoja na jamaa wote Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho. Na pia pole kaka Zahir kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kupambania uhai wa maisha ,wewe ndiye umefanya tumujue Maisha Mungu akubariki sana uendelee kuwa na moyo huo wa kujitoa kwa ajili ya wengine .R.I.P Maisha mbele yako nyuma yetu.
Amen..amen.. Amen.. ubarikiwe sana nawe pia kwa kuwa pamoja nami
INAUMA SANA tenaa sana mungu atawalipa kwa wote mliojotolea kwa kijana mwenzetu poleni na safar ndefu marafik na mtangazaji
Mtangazaji mungu akupe nguvu uzima kwayale unayo fanya mungu atakupa swawabu zako
Innalillah wainailayhi rajiun poleni sana jaman sote njia yetu ni moja na kwake Allah tutarejea Allah awazidishie subra n uvumivu familia
Innalilah wainnalilah rajiuun! Poleni wafiwa !
Mwambie mzee baba maisha amtolee sadaka marehemu maisha
inalililah waina ilah rajion Allahuma ghufrillahu waramnahu wasaknhu fee jannah
Ameen thumma ameen
Ameen
Amin yarabby
AMIIN
Amiin thuma Amiin
Innallilah wainnallah rajuun Allah ampe kauli thabiti inshallah zahir kila la khery katika kazi zako inshallah
Inshallah amiin
Pole sanaaa wafiwa jmn rohoo imeniumaa sana
Zahir allah akuzidishie upendo kakaangu pia wafiwa poleni sana mbele yake nyuma yetu wote tutarejea
Mwenyeezi mungu amlaze mahali pema peponi na ampunguzie Adhabu ya kaburini sote njia moja ulale kwa Amani
poleni wanafamilia na uongoz wa maximum tv njia yetu sote tofaut mda tu
Asante sana
@@maximumtvonline poleni sana jamani maximum tv online tv poleni sana
Innalillah wa inna illah rajuuqun😭😭
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun. Kwa kweli inauma sana lkn ni qadar ya Allah
Kabisa njia ya sote
Poleni Wana Familia Allah akujalie pepo akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia
Imeniuma kweli, lala salama pumsika kwa amani manisha , pole kwa family ,relatives and friends take heart .From saudia Arabia
Pumnzika kwa amani kaka mbele yako nyuma yetu mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabli
Najikuta nalia jamaniii inauma sana mbele yako kaka Allah akujalie ktk kabuli lako liwe miongon mwa viwanja vya peponi!
Lala mahala pema, Mungu baba msamehe dhambi zake.
Pole rafik yke allh atakupa rafiki mwengine wakweli kabisa kikubwa muombee mungu amsameh
mungu ampunzishe pema peponi innshallh
Innalillah waina alayhim ragiun nimeumia allah ailaze roho ya marem pema peponi amin,nimeumia sana hakika ahad za mwenyez mungu ni bora kuliko ya mwanadamu,zahir na huyo kijana mwingine allah awape moyo wa iman awape kheri duniani na kesho akhera😭😭
Amen..Asante habiba
shukrani sana Allah wape kheri nyingi
Mungu akupe kauli thabiti maisha
Mungu amrehemu.jamani wana maisha magumu saana.hebu mkienda tena arubaini tufahamisheni tuwasaidie chochote.yaaani nyumba wanaoishi Subhana Llhaa.
Daaa! inauma sana.
Pole sana familia kweli inauma
mungu msafishie madhabi yake aiyeke maali pema peponi amin
Kaka ambaye ni rafiki wa marehemu...umekuwa rafiki mwema sana kwake.. Mungu akubariki pale ulipotoa kwa msaidia Mungu atakulipa kwa wema wako..🙏🏿🙏🏿😢😢😢😢😢🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿ama kwa hakika hii ndo maana halisi ya urafiki wa shida na raha
Poleni Sana ndugu jamaa na marafiki
Pole Sana brother
Nimelia sana adi na wanangu wamelia wakiuliza mama nani kafaaa wamelia kama vile wanamjua maisha ,daaaaa nenda salama maisha naamini ipo siku tutakutana
Pole sana family
Mungu alaze roho ya marehemu pema peponi amina
Zahri munguakuweke ndogo wanguuu shukranii sanaa polesanaaa
Amiin Amiin inshallah amiin ubarikiwe sana
Poleni sana wafiwa allah ampe makaz mema inshaallah
Poleni sana ss sote tutarejea kwake Mungu awape nguvu wakati huu mgumu
Maximum Tv mola akupe umri mrefu poleni sana Allah ampe kauli tabithi na apokee kitabu chake kwa mkono wa kulia amulikiye kaburi lake nuru mbele yake nyuma yetu sote tutaregea ila siku wakti na mahali polen sana
Mungu hamulaze mahali pema Ameen
Poleni sana wana family na asante sana maximum TV kwa kutu fahamisha nasama asante mungu amulaze peponi maisha
Mungu atawalipa mna upendo wa kweli
Allah amsahem makosa yke amtilie nour kabur lkni wallah maut hayamaut agh😭😭😭😭😭 anajuwa ninani alie kwenda kbrin ila hana kauli tna maskin 😭😭😭😭😭😭
Poleni sana mungu awatie nguvu kwa wakati huu wa machozi
Inaumasan kikubwa dua tu mungu ampe kauridhabit andako mbele yake yumayetu amen kak zahri mungu akupe afy njema hatun chakukiripa ira mungu tu ndio mlipajiwako endelea kuna roho mzuri ivyoivyo asant
We noma mshkaji wangu unafata mbaka maiti M/Mungu akulinde baba uwe na moyo uwo uwo
Amen..amen..amen..
Subhanallah
Inalilah wainailah rajiun ,, Allah ampokee mja wake naapunguzie Adhab ya kabr,, pole sana zahir Allah akutie nguv na family wote
Amen..Amin..amin
Zahiri mwenyezi mungu azidi kukuweka ili siku moja uje kuwa mfano wa kuigwa ubarikiwe sana . Mwemyezi mungu ailaze mahali pema peponi
Amen.. Amen amiin..
Zahir Mwenyez Mungu abariki kazi ya mikono yako,,na polen sana
Amen Amen..Mary ubarikiwe sana
Kaka zahir na kikosi chako allah akufanyie wepes, unajitahidi sana kujitolea allah akupe hitaji la moyo wako
Mungu akutunze kaka zahiri
Amen..Amen..Amen..
Inalilah wa inailaih rajiun poleni Sana kwa msiba
Kweke mwenyezi mungu tulitoka na kwake mwenyezi mungu tutarejea
Mungu amlave mahalii pema peponi
Innah lillah wainnah illah rajiuna, ndio maana alikuwa anasema akirud kijijin atakwenda kufa kwakukosa matibabu.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu akulaze mahali pema peponi
Allah akuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema mbele yako nyuma yetu mdogo wangu kazi ya mungu haina makosa Allah awape subra familia yote kwaujumla
Mungu ailaze roho yamarehem pema pepon😭😭
Kaka zahir mungu Abariki kazi unayoifanya malipo utayakuta mbinguni lnshallha
Amiin
Allahumma ghfirlahum warhamhum wamaskanahum filjanna
Poleni.sana familia kwa msiba.huo mzito
Mwenyezi mungu amuweke pepon amin
Poleni Sana wafiwa ongela Kaka zaili kwakazi kumbwa unayo yafanya
Mungu.akuongezee.moyo wa imani kaka Zahir uishi miaka mingi uweze kuwasaidia.wenye matatizo.mbalimbali inshaallah.
Apumzike kwa amani amina
Amen..Amen ..Amen..mungu akubariki sana
Innalilah wainnailayhi rajiun hakika sote njia yetu moja na kwakwe tutarejea Allah amrehem na amsamehee makosa yake
Poleni wanafamiliya wote mwenye ezimungu awape subra na Imani kwani hiyo ni njia ya haki sote chutaipichia
Jamani poleni sana ndugu zangu na msiba
Tuzitafute thawabu popote pale, Allah amjalie kauli thabit, kaka zahir Allah akutangulie akuongoze akuepushe na maradhi inshaallah
Amiin Amiin Amiin.. inshallah amiin