MAZISHI YA MAISHA ALIYEFARIKI KWA UGONJWA WA INI KWAO TUKIO A TO Z TAZAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 522

  • @maximumtvonline
    @maximumtvonline  4 ปีที่แล้ว +8

    JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM MAXIMUM TV NA PIA KUTULETEA HABARI ZA MATUKIO KILA PANDE NASI TUTAREPORT HAPA
    LINK. chat.whatsapp.com/JkSQagAXclaAAv1INM4qpV
    GUSA HAPO KUJIUNGA SASA
    PIA TELEGRM GROUP LINK HII HAPA JIUNGE SASA. t.me/joinchat/SuUqvRhRgJ9CXdkT1A3YzA

    • @habibasaidi984
      @habibasaidi984 4 ปีที่แล้ว

      Mung atakulipa dalaju lajuukwa moyo uliyo kuwanao niwachache sana wenye moyokama wako mung akupe maisha malefudaina kukowa nimoyo siutajili unaweza ukawa tajili nausiwe nautu mung akulinde

    • @saciousahmedy7316
      @saciousahmedy7316 4 ปีที่แล้ว

      Daah inalillah wainaillah lajun

  • @nasrasaid9844
    @nasrasaid9844 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka zaher allah atawalipa nyie kwa kazi mzito munayoifanya wengine sie atuna uwezo wakusaidia wenzetu ila tunatamani sana allah awajaalie moyo km huo

  • @omarsharifa5606
    @omarsharifa5606 4 ปีที่แล้ว +50

    Kaka zahir Allah atakulipa ujira wakoo ,,,mungu akujalie umri na afya njema insha'Allah 🤲🤲🤲 alhamdulillah Allah atujalie mwisho mwema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @munnawwary757
    @munnawwary757 4 ปีที่แล้ว +5

    Allahumma ghafrllah warhmah waskan filjanah

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 ปีที่แล้ว +12

    Dunia tunaiyacha na vilivyomo tuache zinaa,ushirikina,fitna na mengi mabaya allah atuweke na taufik inalilah waina ilah rajion husnul hatma y'allah

  • @reginakisanga9308
    @reginakisanga9308 4 ปีที่แล้ว +33

    Mwenyezi mungu amrehem ndugu yetu na wapendwa wetu wote waliotangulia mbele za haki

    • @leylasaimour9488
      @leylasaimour9488 4 ปีที่แล้ว +3

      Mungu mpe kauli thabit kajua kuniliz 😭😭😭 ila kazi ya mungu Aina makosa amuondolee mchanga wa macho🙏🙏.

    • @ZahraZahra-cx9xw
      @ZahraZahra-cx9xw 4 ปีที่แล้ว +1

      Amiin

    • @aishadaba7045
      @aishadaba7045 4 ปีที่แล้ว +1

      Allahumma Aaaamin Ya Mujib

    • @halishmwarua2957
      @halishmwarua2957 4 ปีที่แล้ว

      Tuliogea sana tarehe 2 Kumbe ndio mwisho wke

    • @kaeniyahya7536
      @kaeniyahya7536 4 ปีที่แล้ว

      Amin

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 4 ปีที่แล้ว +19

    Zaih niwachacha saan wenye moyo Kama wako Hatuna budi kukuombea Dua njema mungu akupe kila njema

  • @جنيتكينيا
    @جنيتكينيا 4 ปีที่แล้ว

    Shukran sana kkzahir kwa kazi nzuri.sina chakusema tena juu yakkyetu Maisha chamsingi nikumuombea kila baada yaswala Allah amsamehe kilaalo fanya na muepushe na moto na adabu yakaburi Amiin amiin amiin

  • @momobakari1225
    @momobakari1225 4 ปีที่แล้ว

    Innalillahi wainnailaihi rajeun, ALLAH akulaze pema peponi MAISHA, imeniuma sana hadi nimelia, ALLAH ajaalie kaburi lako liwe na nuru, ajaalie malaika wema wawe pembezoni mwako, AMIIN YA RABBAL ALAMIN🙏🙏

  • @angelluanda4221
    @angelluanda4221 4 ปีที่แล้ว +3

    Kiukweli nimelia sana allah akupe kauli thabiti

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana anafatilia mungu Awatie nguvu na ww rafiki wa marehe mungu Akutie nguvu Nimelia sn nimemukumbuka rafiki yangu nae nilimuunguza sinza Akanifika mikononi mwangu nilikuwa cjui ndug zake rkn mungu Akafanya njia pasipokuwa na njia nikasafirisha msiba hadi iringa Rl.p maisha R.l.p Victoria hakika nitakukumbuka daima

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +2

    Innalillahi wainnailaihii rajiun poleni sana ndugu jamaa na marafiki wote Ameen

  • @hopechriss8739
    @hopechriss8739 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana wew mtangazaji MUNGU akubariki kwa kaz zako

  • @neemamtangi368
    @neemamtangi368 4 ปีที่แล้ว +7

    Asante kk. Kwakutuza. Maisha mungu ampe Lauri dhabiti lnshaa Allah

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 4 ปีที่แล้ว +8

    kaka unamoyo wew mungu atakulipa Insha Allah usichoke kutenda mema ujira wako utaukuta kwa Allah..Zahir anahema kwa ajili ya mwendo pole kaka.

  • @aminashafi3066
    @aminashafi3066 4 ปีที่แล้ว +14

    Wallah huyo ndie rafiki wa maisha maana amesimama nae mpaka dakika za mwisho

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 4 ปีที่แล้ว +4

      Yule.mkaka alikuwa anaumwa lkn maskini alikuwa anavumilia maradhi.allah amsameh makosayake

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma7831 4 ปีที่แล้ว +3

    kk mwandishi honger sn kwa kazi uliyo ifanya mungu akuzidishie moyo huo huo pia azid kukulinda kk

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka Zahir kwa kutuwakilisha msibani Asante na nyie wote mliosafiri kwenda msibani Mungu atawalipa🙏🙏🙏Poleni familia Mungu awatie nguvu

  • @ashamedia9821
    @ashamedia9821 4 ปีที่แล้ว +9

    Nimelia sana nilitamani apone dah ugonjwa ulimuondoa kaka yangu pia mungu awalaze mahala pema peponi

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 ปีที่แล้ว +10

    Vzr sana ZAHIR na Maximum tv kwa ujumla, nimefurahi sana kuona mmekwenda msibani huko, mungu awape moyo huo huo wa ushirikiano

  • @guwileguwileyasini758
    @guwileguwileyasini758 4 ปีที่แล้ว

    Innalillah waina lillah rajunni poni nas wafiwa wote na uyo kk arokuwa anamuuguza maisha allah alipe jana filidaus in shaallah kuwana moyo uwowo tumekupa pongezi san allah kakupa imani kubwa sn indeleya kuwa na imani in shaallah

  • @zaitunmaarufu3371
    @zaitunmaarufu3371 4 ปีที่แล้ว +3

    Innallillah wainna illah rajin'guun. Yani nimeumia sn. Maana zahr nakufatiliya sn. ALLAH akufanyie wepesi katika kazi yako. Unafanya kazi kubwa. Zahri naihusiya nafsi yangu pamoja na kuisiya nafsi yako tufanye ibada tumche ALLHA. Kwani dunia hii tunapita.

  • @edsboresha2571
    @edsboresha2571 4 ปีที่แล้ว

    Haya maisha haya, wanaozikwa kwa ufahari na wanaozikwa bila mbwembwe wote njia yetu ni moja, Hongera Martin wewe ndio rafiki wa kweli

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 4 ปีที่แล้ว +3

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiun poleni kwa msiba Allah awape subra wenzetu wa tz

  • @alajmialajm8794
    @alajmialajm8794 4 ปีที่แล้ว +1

    Hata mm nmelia jaman. Mungu awape faraja

  • @esterester5612
    @esterester5612 4 ปีที่แล้ว +8

    Masikin rafik ake anaumia sana 😢😢

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwenyezi Mungu awajalie kwa upendo wenu

  • @hadijamwanana2471
    @hadijamwanana2471 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana kaka nawafiwa wote

  • @halimaswaheli1495
    @halimaswaheli1495 4 ปีที่แล้ว +11

    Polen Familia polen nanyinyi waandishi mungu Ata walipa 😭😭😭😭😭

  • @erickmother3973
    @erickmother3973 4 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana Mungu awape nguvu

  • @frankyunia1809
    @frankyunia1809 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana mungu awape faraja

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 4 ปีที่แล้ว

    Mpumzika kwa amani maisha mwenyez mungu akupe pepo ya daraja poleni Sana wana familia, Ni kaz ya mungu Haina makosa

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimelia sana sana,,pole rafiki ya maisha endelea na moyo huo huo hata wengine ,maisha mungu kampenda zaidi inauma sana wallah nimeshinda nikilia jamani.

    • @pendomunis4673
      @pendomunis4673 4 ปีที่แล้ว

      Jamn maisha mungu akufungulie milango ya pepon

  • @brighteenrobby7074
    @brighteenrobby7074 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele

  • @halishmwarua2957
    @halishmwarua2957 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyezimungu amrehemu in sha Allah inauma bt hatuna budi tulimpenda sana mungu halimpenda zaidi halikuwa mpole na mcheshi nimeishiwa nguvu leo kabisa 😭😭😭😭😭 mbele yke nyuma yetu

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 4 ปีที่แล้ว

    poleni sana wafiwa ,,Ee baba mwenyezi mpumzishe kijana wako mahala pema peponi ,Amen .

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana wazazi,ndg na rafiki aliyekuwa anamuuguza pamoja na jamaa wote Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho. Na pia pole kaka Zahir kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kupambania uhai wa maisha ,wewe ndiye umefanya tumujue Maisha Mungu akubariki sana uendelee kuwa na moyo huo wa kujitoa kwa ajili ya wengine .R.I.P Maisha mbele yako nyuma yetu.

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 ปีที่แล้ว +1

      Amen..amen.. Amen.. ubarikiwe sana nawe pia kwa kuwa pamoja nami

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 4 ปีที่แล้ว

    INAUMA SANA tenaa sana mungu atawalipa kwa wote mliojotolea kwa kijana mwenzetu poleni na safar ndefu marafik na mtangazaji

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 4 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji mungu akupe nguvu uzima kwayale unayo fanya mungu atakupa swawabu zako

  • @zainabmkomwa2064
    @zainabmkomwa2064 4 ปีที่แล้ว

    Innalillah wainailayhi rajiun poleni sana jaman sote njia yetu ni moja na kwake Allah tutarejea Allah awazidishie subra n uvumivu familia

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 ปีที่แล้ว

    Innalilah wainnalilah rajiuun! Poleni wafiwa !

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwambie mzee baba maisha amtolee sadaka marehemu maisha

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 4 ปีที่แล้ว +16

    inalililah waina ilah rajion Allahuma ghufrillahu waramnahu wasaknhu fee jannah

  • @pillyomary6127
    @pillyomary6127 4 ปีที่แล้ว +2

    Innallilah wainnallah rajuun Allah ampe kauli thabiti inshallah zahir kila la khery katika kazi zako inshallah

  • @rashidahassani7432
    @rashidahassani7432 4 ปีที่แล้ว +7

    Pole sanaaa wafiwa jmn rohoo imeniumaa sana

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 4 ปีที่แล้ว +1

      Zahir allah akuzidishie upendo kakaangu pia wafiwa poleni sana mbele yake nyuma yetu wote tutarejea

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani3076 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwenyeezi mungu amlaze mahali pema peponi na ampunguzie Adhabu ya kaburini sote njia moja ulale kwa Amani

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 4 ปีที่แล้ว +26

    poleni wanafamilia na uongoz wa maximum tv njia yetu sote tofaut mda tu

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 ปีที่แล้ว +3

      Asante sana

    • @hadijahmwajombe9588
      @hadijahmwajombe9588 4 ปีที่แล้ว +2

      @@maximumtvonline poleni sana jamani maximum tv online tv poleni sana

    • @dottnatt7110
      @dottnatt7110 4 ปีที่แล้ว +1

      Innalillah wa inna illah rajuuqun😭😭

    • @ashahaji6786
      @ashahaji6786 4 ปีที่แล้ว +3

      Inna lillah wainna ilayhi raajiuun. Kwa kweli inauma sana lkn ni qadar ya Allah

    • @salehalbasam41
      @salehalbasam41 4 ปีที่แล้ว +2

      Kabisa njia ya sote

  • @aminasaid7657
    @aminasaid7657 4 ปีที่แล้ว

    Poleni Wana Familia Allah akujalie pepo akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia

  • @AnnKk-sj8ij
    @AnnKk-sj8ij 4 ปีที่แล้ว

    Imeniuma kweli, lala salama pumsika kwa amani manisha , pole kwa family ,relatives and friends take heart .From saudia Arabia

    • @lookman8452
      @lookman8452 4 ปีที่แล้ว

      Pumnzika kwa amani kaka mbele yako nyuma yetu mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabli

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman6402 4 ปีที่แล้ว +2

    Najikuta nalia jamaniii inauma sana mbele yako kaka Allah akujalie ktk kabuli lako liwe miongon mwa viwanja vya peponi!

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 4 ปีที่แล้ว +1

    Lala mahala pema, Mungu baba msamehe dhambi zake.

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 4 ปีที่แล้ว +4

    Pole rafik yke allh atakupa rafiki mwengine wakweli kabisa kikubwa muombee mungu amsameh

  • @zitoniebrahem3174
    @zitoniebrahem3174 4 ปีที่แล้ว

    mungu ampunzishe pema peponi innshallh

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 4 ปีที่แล้ว +2

    Innalillah waina alayhim ragiun nimeumia allah ailaze roho ya marem pema peponi amin,nimeumia sana hakika ahad za mwenyez mungu ni bora kuliko ya mwanadamu,zahir na huyo kijana mwingine allah awape moyo wa iman awape kheri duniani na kesho akhera😭😭

  • @maidevrasumbura1880
    @maidevrasumbura1880 4 ปีที่แล้ว +1

    shukrani sana Allah wape kheri nyingi

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe kauli thabiti maisha

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 4 ปีที่แล้ว

    Mungu amrehemu.jamani wana maisha magumu saana.hebu mkienda tena arubaini tufahamisheni tuwasaidie chochote.yaaani nyumba wanaoishi Subhana Llhaa.

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 4 ปีที่แล้ว

    Daaa! inauma sana.

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa6683 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana familia kweli inauma

  • @kadijajaseem5148
    @kadijajaseem5148 4 ปีที่แล้ว

    mungu msafishie madhabi yake aiyeke maali pema peponi amin

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 4 ปีที่แล้ว

    Kaka ambaye ni rafiki wa marehemu...umekuwa rafiki mwema sana kwake.. Mungu akubariki pale ulipotoa kwa msaidia Mungu atakulipa kwa wema wako..🙏🏿🙏🏿😢😢😢😢😢🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿ama kwa hakika hii ndo maana halisi ya urafiki wa shida na raha

  • @zaituniyasini8629
    @zaituniyasini8629 3 ปีที่แล้ว

    Poleni Sana ndugu jamaa na marafiki

  • @josephineasiza7888
    @josephineasiza7888 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana brother

  • @zitterkatery1094
    @zitterkatery1094 4 ปีที่แล้ว

    Nimelia sana adi na wanangu wamelia wakiuliza mama nani kafaaa wamelia kama vile wanamjua maisha ,daaaaa nenda salama maisha naamini ipo siku tutakutana

  • @alawabalwahaibi5323
    @alawabalwahaibi5323 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana family

  • @jasminegabriel4247
    @jasminegabriel4247 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu alaze roho ya marehemu pema peponi amina

  • @namirial4509
    @namirial4509 4 ปีที่แล้ว

    Zahri munguakuweke ndogo wanguuu shukranii sanaa polesanaaa

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 ปีที่แล้ว

      Amiin Amiin inshallah amiin ubarikiwe sana

  • @zaharaallymwndelezotunatak818
    @zaharaallymwndelezotunatak818 4 ปีที่แล้ว +4

    Poleni sana wafiwa allah ampe makaz mema inshaallah

  • @joiceqtr4215
    @joiceqtr4215 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana ss sote tutarejea kwake Mungu awape nguvu wakati huu mgumu

  • @lunt0747
    @lunt0747 4 ปีที่แล้ว

    Maximum Tv mola akupe umri mrefu poleni sana Allah ampe kauli tabithi na apokee kitabu chake kwa mkono wa kulia amulikiye kaburi lake nuru mbele yake nyuma yetu sote tutaregea ila siku wakti na mahali polen sana

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 4 ปีที่แล้ว

    Mungu hamulaze mahali pema Ameen

  • @daviesiwakwi686
    @daviesiwakwi686 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana wana family na asante sana maximum TV kwa kutu fahamisha nasama asante mungu amulaze peponi maisha

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atawalipa mna upendo wa kweli

  • @raiye5621
    @raiye5621 4 ปีที่แล้ว +7

    Allah amsahem makosa yke amtilie nour kabur lkni wallah maut hayamaut agh😭😭😭😭😭 anajuwa ninani alie kwenda kbrin ila hana kauli tna maskin 😭😭😭😭😭😭

  • @estherwafula6932
    @estherwafula6932 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana mungu awatie nguvu kwa wakati huu wa machozi

  • @omarjuma2988
    @omarjuma2988 4 ปีที่แล้ว

    Inaumasan kikubwa dua tu mungu ampe kauridhabit andako mbele yake yumayetu amen kak zahri mungu akupe afy njema hatun chakukiripa ira mungu tu ndio mlipajiwako endelea kuna roho mzuri ivyoivyo asant

  • @zaitunilucas7133
    @zaitunilucas7133 4 ปีที่แล้ว +1

    We noma mshkaji wangu unafata mbaka maiti M/Mungu akulinde baba uwe na moyo uwo uwo

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 4 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 4 ปีที่แล้ว

    Inalilah wainailah rajiun ,, Allah ampokee mja wake naapunguzie Adhab ya kabr,, pole sana zahir Allah akutie nguv na family wote

  • @mariamselemani5208
    @mariamselemani5208 4 ปีที่แล้ว

    Zahiri mwenyezi mungu azidi kukuweka ili siku moja uje kuwa mfano wa kuigwa ubarikiwe sana . Mwemyezi mungu ailaze mahali pema peponi

  • @maryndomba7028
    @maryndomba7028 4 ปีที่แล้ว

    Zahir Mwenyez Mungu abariki kazi ya mikono yako,,na polen sana

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 ปีที่แล้ว

    Kaka zahir na kikosi chako allah akufanyie wepes, unajitahidi sana kujitolea allah akupe hitaji la moyo wako

  • @scolasticamasanja4378
    @scolasticamasanja4378 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutunze kaka zahiri

  • @aishasaid7426
    @aishasaid7426 4 ปีที่แล้ว +1

    Inalilah wa inailaih rajiun poleni Sana kwa msiba

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 4 ปีที่แล้ว

    Kweke mwenyezi mungu tulitoka na kwake mwenyezi mungu tutarejea

  • @habibasaidi984
    @habibasaidi984 4 ปีที่แล้ว

    Mungu amlave mahalii pema peponi

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 4 ปีที่แล้ว +2

    Innah lillah wainnah illah rajiuna, ndio maana alikuwa anasema akirud kijijin atakwenda kufa kwakukosa matibabu.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @salmaally1831
    @salmaally1831 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 ปีที่แล้ว

    Allah akuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema mbele yako nyuma yetu mdogo wangu kazi ya mungu haina makosa Allah awape subra familia yote kwaujumla

  • @husnanetto4154
    @husnanetto4154 4 ปีที่แล้ว

    Mungu ailaze roho yamarehem pema pepon😭😭

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 4 ปีที่แล้ว +3

    Kaka zahir mungu Abariki kazi unayoifanya malipo utayakuta mbinguni lnshallha

  • @innaaahmad8176
    @innaaahmad8176 4 ปีที่แล้ว

    Allahumma ghfirlahum warhamhum wamaskanahum filjanna

  • @christayohanayohanangepe1625
    @christayohanayohanangepe1625 4 ปีที่แล้ว

    Poleni.sana familia kwa msiba.huo mzito

  • @asiaidd8996
    @asiaidd8996 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu amuweke pepon amin

  • @RahmaRahma-xp9jr
    @RahmaRahma-xp9jr 4 ปีที่แล้ว

    Poleni Sana wafiwa ongela Kaka zaili kwakazi kumbwa unayo yafanya

  • @christayohanayohanangepe1625
    @christayohanayohanangepe1625 4 ปีที่แล้ว

    Mungu.akuongezee.moyo wa imani kaka Zahir uishi miaka mingi uweze kuwasaidia.wenye matatizo.mbalimbali inshaallah.
    Apumzike kwa amani amina

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  4 ปีที่แล้ว +1

      Amen..Amen ..Amen..mungu akubariki sana

  • @shaimaaaheresi8165
    @shaimaaaheresi8165 4 ปีที่แล้ว +1

    Innalilah wainnailayhi rajiun hakika sote njia yetu moja na kwakwe tutarejea Allah amrehem na amsamehee makosa yake

  • @farhatislam6550
    @farhatislam6550 4 ปีที่แล้ว

    Poleni wanafamiliya wote mwenye ezimungu awape subra na Imani kwani hiyo ni njia ya haki sote chutaipichia

  • @rahmachihoma9808
    @rahmachihoma9808 4 ปีที่แล้ว

    Jamani poleni sana ndugu zangu na msiba

  • @buthaymaahmad557
    @buthaymaahmad557 4 ปีที่แล้ว

    Tuzitafute thawabu popote pale, Allah amjalie kauli thabit, kaka zahir Allah akutangulie akuongoze akuepushe na maradhi inshaallah