Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi na vizazi vyetu yaarabi. Mungu akusamehe kwa hilo neno ulio sema wewe NI maskini jeuri mwenyezi mungu hapendi neno hilo ingawa wewe NI mwisilam
Mimi ninavyotamani baba yangu angekuwa hai daah rest in peace my daddy engineer Michael 😢I still remember you six years now Ni Kama Jana ungekuwa hai akika ningekutuza baba tunakukumbuka and tunakupenda Sana ❤️❤️
Dah hao watoto wa kiume wamekosa subra kabisa ona sasa dada yao anaenda kula mavumba na mumewe kiulani baada kuuzwa hiyo nyumba na ikiwezekana washtakiwe kwa jaribio la kuua..huyo mzee ana akili nyingi sana ni legend
Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!
Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo
Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu
@@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.
Amezeeka ila ana maamuzi magumu je alipokua kijana.big up sana mzee wangu kilichobaki sasa ukiona umeezeka sana hujiwezi tena na mitoto ndo kama hio uza kula vyote vikiisha kunywa sumu ufe na vyako
Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure
Kusema ukweli mtoto wa kike ana huruma sana juu ya wazazi wake. Mimi ninaweza fanya chcht ili mradi tu baba na mama yangu wasilie au kuteseka. Mungu atusaidie tunafundishwa Mungu wa pili duniani Ni wazazi.
Hongera sana baba! Majitu hayataki kutafuta vyao
safi sana sana
Safi mzee
Safi maamuzi mazuli pole sana
Wangoja wazazi wafe
Umeona eeh.unalikuta limtu zima mindevu kama osama ila kutoka hom halitaki
Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢
Hakika kuzaa sio kupata, kwa hili lililotokea.
Eti jamn imagine ivi mtu ajenge nyumba yake kwa pesa zake wewe mugombanie kwer ivi watu wakoje
Laana Hii...
Subhanallah maskini baba wa watu mungu akusaidie nyie watoto mtizameni baba yenu imani hamna wallahi
Jaman kuzaa sio kupata ! so sad 😢
Mzee Heshima Yako Kabisa. ❤️
Da nimekupenda bure wewe baba!......much respect 🙏 👏
Afu lile Toto lilikua lnahojiwa lkadai halijui knachoendelea kumbe wao ndo wauwaji wapuuz kabisa! Safi mzee kwa uamuz wakatafute vyao
Hapo kwenye maviiiiiiiii hongera sana babu uamuzi mzuri na uza kiwanja kabisa kula pesa zako
Safi sana ,baba umeweza..ila ungeziuza zote halafu ukahama mkoa/nchi ukaenda zako mbali kula bata na bebez🤣🤣🤣🤣
Jaman😂😂😂😂
From MALAWI 🇲🇼 home Burundi 🇧🇮 yani mwenyew nawez fany hivy
Aiseeh!kauli tata sana hii nimejifunza mola wangu nipe moyo w huruma niwahurumie wazee wangu
"Mtoto miaka 7 "20 ni mwenzako
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi na vizazi vyetu yaarabi. Mungu akusamehe kwa hilo neno ulio sema wewe NI maskini jeuri mwenyezi mungu hapendi neno hilo ingawa wewe NI mwisilam
Safi sana baba.... Wewe mzee wa shoka... Wakatafute vyao...
Mimi ninavyotamani baba yangu angekuwa hai daah rest in peace my daddy engineer Michael 😢I still remember you six years now Ni Kama Jana ungekuwa hai akika ningekutuza baba tunakukumbuka and tunakupenda Sana ❤️❤️
safi sana
Pole sana wanakichezea kwa sababu kipo kikitoweka he watajajutia
Abdalah tafuta pesa usitafute laana kwa mzazi utakuja ujutie haya maisha broo haya mie napita nshasema omba msamaha angali hai🙏🏽 🙋♀️🚶♀️
KBS🚶🚶
Subhannahllah pole sana baba angu
A lesson , mtegemea cha Ndugu
SUBHANA-ALLAH 😭😭😭😭🥺🥺🥺 twaelekea wapi vijana ALLAH AKUPE UMRI MREFUUU Mzee uzaa kila kitu
💪👍👌✌️Babu pamoja sana nimependa iyo.ukosahihi.
Safi sana babu amemwaga mboga umemwaga ugali tafuteni vyenu acheni kukaa kusubiri vya urithi tafuta mtu uza viwanja vyako kapambane mbele watakuua hao watoto.
Dah hao watoto wa kiume wamekosa subra kabisa ona sasa dada yao anaenda kula mavumba na mumewe kiulani baada kuuzwa hiyo nyumba na ikiwezekana washtakiwe kwa jaribio la kuua..huyo mzee ana akili nyingi sana ni legend
Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!
Asilimia 90 ndivyowalivyo. Halafu itakuwa watoto wakiume ndio wakorofi sana
@@user-po8hz7xw9j mtihan kwel
Kabisaaaa yaniii
Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo
@@aishambise6529 hawajui kwamba tupo tuliokosa Cha kurisi isipokua majina ya ukoo.
Mtoto akiwa na miaka 5,7 n mwanao,akifikisha miaka 20 sio mwanao tena nimwenzio...nmejifunza kitu babaangu apa🙆
Hata mm nimejifunza Jambo kubwa Sana kwahuyu mzee mtoto akifikisha miaka 20 anakua mwenzio😭😭so,sad
Nimependa hiyo big ap kwa babuu
Mai sarah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa keel
Sawa Mzee Nimekubali
Babu wewe ni mwanajeshi hongera. Ila ungeuza ulebata na mwanao .Asie fanya kazi na asile mbwa awo mashetani
Dah ni htr Sana aise mzee amechukua maamuzi mzr kbs waende wakatafute vitu vyao hao hawana utu kbs
Allah alishatuonya, hakika Mali zenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.
Saiz uko kwa mtoto wakike iyo mitoto yakiume inakulisha kinyes kwa mtu mwenye akili utajifunza kitu watot wakike wana loh nzul
Ni kweli...
Safi sana mzee, keep it up
Allah Akusimamie Baba yetu....In sha Allah.
Safi sana mzeeeee nimekupenda bule
Vijana tufanyeni kazi, tutafute vya kwetu
😭😭😥😥😥jamani watoto khaaa,unamfanyiaje mzazi mmmh 🙌,bora umebomoa tu,watafute zao
Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu
@@Mpakauseme hujaelewa alichoongea mzee
@@Mpakauseme sasa si wangoje mpaka pale khatma yake itakapofika ndio wachukue nyumba kwann watake kumuua mtu kwa mali zake mwenyewe 🥺🥺🥺
@@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.
Uza baba Julie pesa wakatafte uko madam mpenzi wako alishafariki hahaha
Baba kwanza pole.ila kwenye kula mavi umetupiga. Na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣🤣.na ghafla amekuwa mwandishi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka lkn pole baba angu
Subhanallah,,,YaaRabbi Subhanallah
Mzee yupo sahihi sana uyo Abdallah msenge sana uwezi kufosi kulithi kitu kinguvu au kutaka kufanya mauwaji ya baba yke
Hongera baba
Asante Sana mzee bomoa na uwanja uza
Amezeeka ila ana maamuzi magumu je alipokua kijana.big up sana mzee wangu kilichobaki sasa ukiona umeezeka sana hujiwezi tena na mitoto ndo kama hio uza kula vyote vikiisha kunywa sumu ufe na vyako
Nimecheka😃
Babu uko.vizuri safin sana mitoto haitaki kufanya kazi
Dah! Pole Sana Mzee
mariam mungu akulindeeeeee
Mzee anaongea Kwa uchungu,jmn huyo kaka badala ya kutafuta vya kwake unakaa unawaza vya baba
Makubwa hii Dunia imeisha,,, upendo wa wengi utapoa ndo tushafka ivo
Duuuuu mungu wangu
Ama kweli tuko siku za kiama hizi😪. Pole sana mzee wetu.
Safi Sana babu nimecheka 😁Bora ulivyoivunja iyo nyumba wakome
kumbe hii story inachekesha ???
Aiseeee pole sana mzee
Safi mzee
Hongera sana mzee wangu kwa maamuzi hayo wacha watafute Mali zao wangeweza hata kukuua
Anaegombania Mali za wazazi ana akili finyu sana
Pole Sana Baba kwa Kula Mavi Bora yawe Mavi tuu
Maziz upo vzuri wajenge yakwao
Uamuzi mzuri Sana watafute vyao,pumbavu wanangoja urithi Safi Sana baba
Saluti kwako baba,........... Umejua kuwashikisha adabu nyang'au wakubwa hao waliokosa haya hata hofu ya MUNGU hawana
Hahahahahaaaaa nimechekaa kafanya vizuri
Pole sana Babu ,,kuzaa sio kupata uwiiii jaman
Safi Sana Mzee Jitu lishakuwa Baba Zima bhado linategemea Wazee Safi Sana Mzee
Pole Sana baba yangu
Mzee upo sawa
Umefanya vizuri mzee
Mzee yupo sawa mafala hao watafute zao
safi mzee baba vzr sana wakatafute yao pumbavuuuu kbsa tna shenzi kbsaa sio watoto hao bali barazulii hao kenge wahid majan ya chai taka taka
Pole mzee wetu
Safi babu vijana tuchape kazi
Yesu kristo 🙏🙏 pole San
Masikini allah akufanyie wepes
Kazzee nimekuerewa xana mtafute ela kazi kamali tu
Masawe namwomba Mungu akubariki!
Mwenyezimungu baliki watoto wa kike wazidi kuwa na mapenzi na wazazi wao
Mtihani kweli kweli
Mungu atusaidie
Fanya araka mzee tena ningekuepo ningekusaidia kutafuta mteja💯💯💯
Baba pole sana.... Daaah
subhana Allah
Subhanallah
Subhaanallah liadhim
Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure
Safi sana mzee
Uko sawa mze
Daaaaaaah hatari vijana sisi
Sukupingi mzee iddi big up Sana atafute kama ulitafuta wewe
Pole sana Baba, ni Huzuni.
Mungu wanguuu!!!
Safi sana baba
DUNIA IMEISHA
WATOTO WAMEKUWA WANYAMA WAOVU KULIKO HATA SIMBA!!
TUNAOMBA ALLAH ATUNUSURU NA VITIMBI VYAO!!
POLE SANA MZEE WETU,!INATIA HUZUNI!!
Watoto Ni wema.. Ila ikitokea wamekuwa wanyama kimbia.. kajifiche. Na watoto wanaofanya hayo inawezekana Ni wale waliopendwa saana na mzazi.
Saf sana Mzee.
Mzee anavituko 🤣🤣🤣😂😂 ety anavuta sauti kama anasoma habari 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 Heshima yako mzee wangu
mzee ana akili sana pongezi kwake
🤣🤣🤣🤣🤣
Wazeee kama hawa ndio tunawahitaji wawanyoooshw watoto kqmq hao
Mhhm subhana Allah. Dunia imeisha
Sawa sawa babu🤝🤝
Vizur Sana mzazi
pole sana
Safi Mzee kufa nachako
Subhanalia
Safi sana baba nime kupenda sana
Kusema ukweli mtoto wa kike ana huruma sana juu ya wazazi wake. Mimi ninaweza fanya chcht ili mradi tu baba na mama yangu wasilie au kuteseka. Mungu atusaidie tunafundishwa Mungu wa pili duniani Ni wazazi.
Mtoto wangu wa kikeeee nilikula maviiiiii mzee ana swaga adi rahaa
Fanyeni kazi vijana
😂😂😂safi sana mzee
Pole baba angu vijana wasikuhizi nihatari sana