BABA AVUNJA NYUMBA ZAKE 2 ILI WATOTO WAKE WASIISHI, ADAI WALITAKA KUMUUA "WALINIFUNGIA NDANI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2022

ความคิดเห็น • 549

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 ปีที่แล้ว +96

    Hongera sana baba! Majitu hayataki kutafuta vyao

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +5

      safi sana sana

    • @shemelaruhinda6113
      @shemelaruhinda6113 2 ปีที่แล้ว +4

      Safi mzee

    • @ziadamashallah447
      @ziadamashallah447 2 ปีที่แล้ว +4

      Safi maamuzi mazuli pole sana

    • @GMD820
      @GMD820 2 ปีที่แล้ว +1

      Wangoja wazazi wafe

    • @ishipalemypasco2567
      @ishipalemypasco2567 2 ปีที่แล้ว +3

      Umeona eeh.unalikuta limtu zima mindevu kama osama ila kutoka hom halitaki

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 2 ปีที่แล้ว +53

    Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 2 ปีที่แล้ว

      Hakika kuzaa sio kupata, kwa hili lililotokea.

    • @veronicajoseph2675
      @veronicajoseph2675 2 ปีที่แล้ว +2

      Eti jamn imagine ivi mtu ajenge nyumba yake kwa pesa zake wewe mugombanie kwer ivi watu wakoje

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e 3 หลายเดือนก่อน

      Laana Hii...

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 ปีที่แล้ว +22

    Subhanallah maskini baba wa watu mungu akusaidie nyie watoto mtizameni baba yenu imani hamna wallahi

  • @leilahhassanomary7189
    @leilahhassanomary7189 2 ปีที่แล้ว +41

    Jaman kuzaa sio kupata ! so sad 😢

  • @itNeza
    @itNeza 2 ปีที่แล้ว +32

    Mzee Heshima Yako Kabisa. ❤️

  • @succesjabari4618
    @succesjabari4618 2 ปีที่แล้ว +10

    Da nimekupenda bure wewe baba!......much respect 🙏 👏

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 2 ปีที่แล้ว +10

    Afu lile Toto lilikua lnahojiwa lkadai halijui knachoendelea kumbe wao ndo wauwaji wapuuz kabisa! Safi mzee kwa uamuz wakatafute vyao

  • @isunga1964
    @isunga1964 20 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo kwenye maviiiiiiiii hongera sana babu uamuzi mzuri na uza kiwanja kabisa kula pesa zako

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 ปีที่แล้ว +15

    Safi sana ,baba umeweza..ila ungeziuza zote halafu ukahama mkoa/nchi ukaenda zako mbali kula bata na bebez🤣🤣🤣🤣

    • @misswilson7135
      @misswilson7135 2 ปีที่แล้ว

      Jaman😂😂😂😂

    • @frankub8107
      @frankub8107 2 ปีที่แล้ว

      From MALAWI 🇲🇼 home Burundi 🇧🇮 yani mwenyew nawez fany hivy

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 ปีที่แล้ว +1

    Aiseeh!kauli tata sana hii nimejifunza mola wangu nipe moyo w huruma niwahurumie wazee wangu
    "Mtoto miaka 7 "20 ni mwenzako

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว +1

    Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi na vizazi vyetu yaarabi. Mungu akusamehe kwa hilo neno ulio sema wewe NI maskini jeuri mwenyezi mungu hapendi neno hilo ingawa wewe NI mwisilam

  • @femiaw.mgongolwa3928
    @femiaw.mgongolwa3928 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana baba.... Wewe mzee wa shoka... Wakatafute vyao...

  • @janethmichael4690
    @janethmichael4690 2 ปีที่แล้ว +12

    Mimi ninavyotamani baba yangu angekuwa hai daah rest in peace my daddy engineer Michael 😢I still remember you six years now Ni Kama Jana ungekuwa hai akika ningekutuza baba tunakukumbuka and tunakupenda Sana ❤️❤️

    • @user-jl9ko3nl9o
      @user-jl9ko3nl9o 2 หลายเดือนก่อน

      safi sana

    • @NeemaMateleka
      @NeemaMateleka หลายเดือนก่อน

      Pole sana wanakichezea kwa sababu kipo kikitoweka he watajajutia

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 ปีที่แล้ว +2

    Abdalah tafuta pesa usitafute laana kwa mzazi utakuja ujutie haya maisha broo haya mie napita nshasema omba msamaha angali hai🙏🏽 🙋‍♀️🚶‍♀️

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 ปีที่แล้ว +1

    Subhannahllah pole sana baba angu

  • @ibraahmfw1147
    @ibraahmfw1147 2 ปีที่แล้ว +4

    A lesson , mtegemea cha Ndugu

  • @ahmedanwar1210
    @ahmedanwar1210 2 ปีที่แล้ว

    SUBHANA-ALLAH 😭😭😭😭🥺🥺🥺 twaelekea wapi vijana ALLAH AKUPE UMRI MREFUUU Mzee uzaa kila kitu

  • @jumaame37
    @jumaame37 2 ปีที่แล้ว

    💪👍👌✌️Babu pamoja sana nimependa iyo.ukosahihi.

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 2 ปีที่แล้ว +10

    Safi sana babu amemwaga mboga umemwaga ugali tafuteni vyenu acheni kukaa kusubiri vya urithi tafuta mtu uza viwanja vyako kapambane mbele watakuua hao watoto.

  • @kimaronemes5689
    @kimaronemes5689 2 ปีที่แล้ว +9

    Dah hao watoto wa kiume wamekosa subra kabisa ona sasa dada yao anaenda kula mavumba na mumewe kiulani baada kuuzwa hiyo nyumba na ikiwezekana washtakiwe kwa jaribio la kuua..huyo mzee ana akili nyingi sana ni legend

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 2 ปีที่แล้ว +37

    Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j 2 ปีที่แล้ว +2

      Asilimia 90 ndivyowalivyo. Halafu itakuwa watoto wakiume ndio wakorofi sana

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 2 ปีที่แล้ว

      @@user-po8hz7xw9j mtihan kwel

    • @veronicajoseph2675
      @veronicajoseph2675 2 ปีที่แล้ว

      Kabisaaaa yaniii

    • @aishambise6529
      @aishambise6529 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 2 ปีที่แล้ว

      @@aishambise6529 hawajui kwamba tupo tuliokosa Cha kurisi isipokua majina ya ukoo.

  • @maisarah6819
    @maisarah6819 2 ปีที่แล้ว +10

    Mtoto akiwa na miaka 5,7 n mwanao,akifikisha miaka 20 sio mwanao tena nimwenzio...nmejifunza kitu babaangu apa🙆

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 2 ปีที่แล้ว

      Hata mm nimejifunza Jambo kubwa Sana kwahuyu mzee mtoto akifikisha miaka 20 anakua mwenzio😭😭so,sad

    • @aminamavura6834
      @aminamavura6834 2 ปีที่แล้ว

      Nimependa hiyo big ap kwa babuu

    • @valeriaally6584
      @valeriaally6584 2 ปีที่แล้ว

      Mai sarah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa keel

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e 3 หลายเดือนก่อน

      Sawa Mzee Nimekubali

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 ปีที่แล้ว +1

    Babu wewe ni mwanajeshi hongera. Ila ungeuza ulebata na mwanao .Asie fanya kazi na asile mbwa awo mashetani

  • @science_fact93
    @science_fact93 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah ni htr Sana aise mzee amechukua maamuzi mzr kbs waende wakatafute vitu vyao hao hawana utu kbs

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 2 ปีที่แล้ว +4

    Allah alishatuonya, hakika Mali zenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 ปีที่แล้ว +6

    Saiz uko kwa mtoto wakike iyo mitoto yakiume inakulisha kinyes kwa mtu mwenye akili utajifunza kitu watot wakike wana loh nzul

  • @ynyynyyny
    @ynyynyyny 2 ปีที่แล้ว +11

    Safi sana mzee, keep it up

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 ปีที่แล้ว

    Allah Akusimamie Baba yetu....In sha Allah.

  • @zainayolamu6486
    @zainayolamu6486 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mzeeeee nimekupenda bule

  • @macharosandra9467
    @macharosandra9467 2 ปีที่แล้ว +13

    Vijana tufanyeni kazi, tutafute vya kwetu

  • @laynerngole2119
    @laynerngole2119 2 ปีที่แล้ว +10

    😭😭😥😥😥jamani watoto khaaa,unamfanyiaje mzazi mmmh 🙌,bora umebomoa tu,watafute zao

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว +2

      Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว

      @@Mpakauseme hujaelewa alichoongea mzee

    • @rukaiyamohamed1764
      @rukaiyamohamed1764 2 ปีที่แล้ว

      @@Mpakauseme sasa si wangoje mpaka pale khatma yake itakapofika ndio wachukue nyumba kwann watake kumuua mtu kwa mali zake mwenyewe 🥺🥺🥺

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 2 ปีที่แล้ว

      @@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.

  • @floramarinyo3517
    @floramarinyo3517 2 ปีที่แล้ว +1

    Uza baba Julie pesa wakatafte uko madam mpenzi wako alishafariki hahaha

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 2 ปีที่แล้ว +8

    Baba kwanza pole.ila kwenye kula mavi umetupiga. Na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣🤣.na ghafla amekuwa mwandishi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka lkn pole baba angu

  • @zulekhakhassun730
    @zulekhakhassun730 2 ปีที่แล้ว

    Subhanallah,,,YaaRabbi Subhanallah

  • @muharamimpawane4667
    @muharamimpawane4667 2 ปีที่แล้ว

    Mzee yupo sahihi sana uyo Abdallah msenge sana uwezi kufosi kulithi kitu kinguvu au kutaka kufanya mauwaji ya baba yke

  • @ashuramussa2011
    @ashuramussa2011 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera baba

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 ปีที่แล้ว

    Asante Sana mzee bomoa na uwanja uza

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 ปีที่แล้ว +2

    Amezeeka ila ana maamuzi magumu je alipokua kijana.big up sana mzee wangu kilichobaki sasa ukiona umeezeka sana hujiwezi tena na mitoto ndo kama hio uza kula vyote vikiisha kunywa sumu ufe na vyako

  • @yunislemnge5558
    @yunislemnge5558 2 ปีที่แล้ว

    Babu uko.vizuri safin sana mitoto haitaki kufanya kazi

  • @saleheheda4537
    @saleheheda4537 2 ปีที่แล้ว

    Dah! Pole Sana Mzee

  • @africa7479
    @africa7479 2 ปีที่แล้ว

    mariam mungu akulindeeeeee

  • @hadijahassan6467
    @hadijahassan6467 ปีที่แล้ว +1

    Mzee anaongea Kwa uchungu,jmn huyo kaka badala ya kutafuta vya kwake unakaa unawaza vya baba

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 2 ปีที่แล้ว +11

    Makubwa hii Dunia imeisha,,, upendo wa wengi utapoa ndo tushafka ivo

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 ปีที่แล้ว +12

    Duuuuu mungu wangu

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 ปีที่แล้ว +4

    Ama kweli tuko siku za kiama hizi😪. Pole sana mzee wetu.

  • @kulwarahmu5031
    @kulwarahmu5031 2 ปีที่แล้ว +3

    Safi Sana babu nimecheka 😁Bora ulivyoivunja iyo nyumba wakome

  • @deusdedithjoseph7588
    @deusdedithjoseph7588 2 ปีที่แล้ว

    Aiseeee pole sana mzee

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 ปีที่แล้ว +4

    Safi mzee

  • @naomimiddleton1989
    @naomimiddleton1989 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mzee wangu kwa maamuzi hayo wacha watafute Mali zao wangeweza hata kukuua

  • @isabelanjesa8117
    @isabelanjesa8117 2 ปีที่แล้ว +23

    Anaegombania Mali za wazazi ana akili finyu sana

  • @bennyjohn1412
    @bennyjohn1412 2 ปีที่แล้ว

    Pole Sana Baba kwa Kula Mavi Bora yawe Mavi tuu

  • @deborachedieliy8501
    @deborachedieliy8501 2 ปีที่แล้ว

    Maziz upo vzuri wajenge yakwao

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 2 ปีที่แล้ว +1

    Uamuzi mzuri Sana watafute vyao,pumbavu wanangoja urithi Safi Sana baba

  • @ZenaMsumagilo
    @ZenaMsumagilo หลายเดือนก่อน

    Saluti kwako baba,........... Umejua kuwashikisha adabu nyang'au wakubwa hao waliokosa haya hata hofu ya MUNGU hawana

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahahaaaaa nimechekaa kafanya vizuri

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana Babu ,,kuzaa sio kupata uwiiii jaman

  • @peterbaton1729
    @peterbaton1729 2 ปีที่แล้ว

    Safi Sana Mzee Jitu lishakuwa Baba Zima bhado linategemea Wazee Safi Sana Mzee

  • @fransiscaliberati4220
    @fransiscaliberati4220 2 ปีที่แล้ว

    Pole Sana baba yangu

  • @muddymiusic1624
    @muddymiusic1624 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee upo sawa

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 2 ปีที่แล้ว

    Umefanya vizuri mzee

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee yupo sawa mafala hao watafute zao

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 2 ปีที่แล้ว

    safi mzee baba vzr sana wakatafute yao pumbavuuuu kbsa tna shenzi kbsaa sio watoto hao bali barazulii hao kenge wahid majan ya chai taka taka

  • @simiondaniel6010
    @simiondaniel6010 2 ปีที่แล้ว

    Pole mzee wetu

  • @selemanshechonge5456
    @selemanshechonge5456 2 ปีที่แล้ว

    Safi babu vijana tuchape kazi

  • @chifumapro5066
    @chifumapro5066 2 ปีที่แล้ว

    Yesu kristo 🙏🙏 pole San

  • @samilhafidh6071
    @samilhafidh6071 2 ปีที่แล้ว

    Masikini allah akufanyie wepes

  • @mrishohashimujumajuma8539
    @mrishohashimujumajuma8539 ปีที่แล้ว

    Kazzee nimekuerewa xana mtafute ela kazi kamali tu

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 หลายเดือนก่อน

    Masawe namwomba Mungu akubariki!

  • @saidaramadhan2099
    @saidaramadhan2099 2 ปีที่แล้ว

    Mwenyezimungu baliki watoto wa kike wazidi kuwa na mapenzi na wazazi wao

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 2 ปีที่แล้ว +4

    Mtihani kweli kweli

  • @josephinangomba.7816
    @josephinangomba.7816 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie

  • @Zahrazahra-ue7bp
    @Zahrazahra-ue7bp 2 ปีที่แล้ว

    Fanya araka mzee tena ningekuepo ningekusaidia kutafuta mteja💯💯💯

  • @emmanuelchamba08
    @emmanuelchamba08 2 ปีที่แล้ว +1

    Baba pole sana.... Daaah

  • @abdulrahimomar8554
    @abdulrahimomar8554 2 ปีที่แล้ว

    subhana Allah

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 ปีที่แล้ว

    Subhanallah

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 ปีที่แล้ว

    Subhaanallah liadhim

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 2 ปีที่แล้ว +13

    Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana mzee

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 ปีที่แล้ว

    Uko sawa mze

  • @abasishabani1151
    @abasishabani1151 2 ปีที่แล้ว +3

    Daaaaaaah hatari vijana sisi

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 2 ปีที่แล้ว +2

    Sukupingi mzee iddi big up Sana atafute kama ulitafuta wewe

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana Baba, ni Huzuni.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wanguuu!!!

  • @maisaaalawy8064
    @maisaaalawy8064 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana baba

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 ปีที่แล้ว +11

    DUNIA IMEISHA
    WATOTO WAMEKUWA WANYAMA WAOVU KULIKO HATA SIMBA!!
    TUNAOMBA ALLAH ATUNUSURU NA VITIMBI VYAO!!
    POLE SANA MZEE WETU,!INATIA HUZUNI!!

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 ปีที่แล้ว +1

      Watoto Ni wema.. Ila ikitokea wamekuwa wanyama kimbia.. kajifiche. Na watoto wanaofanya hayo inawezekana Ni wale waliopendwa saana na mzazi.

  • @neemaiman1402
    @neemaiman1402 2 หลายเดือนก่อน

    Saf sana Mzee.

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee anavituko 🤣🤣🤣😂😂 ety anavuta sauti kama anasoma habari 😂😂😂😂😂😂

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly1488 2 ปีที่แล้ว +24

    🤣🤣🤣 Heshima yako mzee wangu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +2

      mzee ana akili sana pongezi kwake

    • @hussenhemed1050
      @hussenhemed1050 2 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j 2 ปีที่แล้ว +2

      Wazeee kama hawa ndio tunawahitaji wawanyoooshw watoto kqmq hao

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 2 ปีที่แล้ว

    Mhhm subhana Allah. Dunia imeisha

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 ปีที่แล้ว

    Sawa sawa babu🤝🤝

  • @aishakhamis2996
    @aishakhamis2996 2 ปีที่แล้ว

    Vizur Sana mzazi

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 2 ปีที่แล้ว

    pole sana

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m 3 หลายเดือนก่อน

    Safi Mzee kufa nachako

  • @bentali5773
    @bentali5773 2 ปีที่แล้ว

    Subhanalia

  • @doreenkaiza8037
    @doreenkaiza8037 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana baba nime kupenda sana

  • @joycetairo8933
    @joycetairo8933 2 ปีที่แล้ว

    Kusema ukweli mtoto wa kike ana huruma sana juu ya wazazi wake. Mimi ninaweza fanya chcht ili mradi tu baba na mama yangu wasilie au kuteseka. Mungu atusaidie tunafundishwa Mungu wa pili duniani Ni wazazi.

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 2 ปีที่แล้ว

    Mtoto wangu wa kikeeee nilikula maviiiiii mzee ana swaga adi rahaa

  • @mariamtitu9332
    @mariamtitu9332 2 ปีที่แล้ว

    Fanyeni kazi vijana

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 2 ปีที่แล้ว

    😂😂😂safi sana mzee

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 2 ปีที่แล้ว

    Pole baba angu vijana wasikuhizi nihatari sana