MKE WANGU AMEFARIKI KWA HIV |NAMI NAMFATA |AMENIAMBUKIZA |TB NA INI VINANIMALIZA KITANDANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 48

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b 19 วันที่ผ่านมา +7

    Aiiii jameni ulimwengu wote hamna kama mama ,mama mzaxi atakushikila ady kaburini mungu alusaidie upone kaka na mama mungu akuoe maishia marefu

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 19 วันที่ผ่านมา +6

    Pole sana kaka kuugua sio kufa utapona kwa uwezo wa allah🙏

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 19 วันที่ผ่านมา +4

    Pole kaja Allah Ashifk. Kwauwezo wake kuugua siyo ndiyo mwisho wakuishi. Allah akuoesubra kaka na mamayako

  • @JullianaJuma
    @JullianaJuma 19 วันที่ผ่านมา +4

    Kaka pole sana utapona kikubwa kinywa dawa vizuri na kula vizuri

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 19 วันที่ผ่านมา +4

    Receive healing in Jesus name 🙌 🙏

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 8 วันที่ผ่านมา

    Inaweza kaka zahir hizo dawa za tb zinanguvu sana sana inataka kula vizuri na maziwa kupunguza nguvu yadawa kama hulivizuri inaharibu ini mafigo tumuombeeni mungu ampe nguvu ainuke ishallah lazima apate chakula vizuri

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 19 วันที่ผ่านมา +12

    Zahiri mwambie uyo mama avae grops homa yaini mbaya sana sana inaambukiz ata kwajasho

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  19 วันที่ผ่านมา +2

      Nimrwaambia tayari

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 19 วันที่ผ่านมา

      @@maximumtvonline oky

  • @jazirajazira8116
    @jazirajazira8116 19 วันที่ผ่านมา +6

    Allah akupe wepes kaka

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna mambo yanaumiza moyo sana, nikitizama Viongozi wanavyo timba nchi na raia walivyokuwa na shida nashindwa kuwaelewa hivi wanauchungu kweli na wananchi ?haswa pale wanapotumia fedha kwa vitu ambavyo sio muhimu kuliko huduma za matibabu kwa watanzania wasiojiweza ila wao wanawaza kujenga makumbusho kujengea maraisi wastaafu, kupeleka wacheza sinema nje ya nchi na matamasha kongamano kila kukicha 😭

  • @AmiriHumudi-hn6pt
    @AmiriHumudi-hn6pt 19 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana baba utapowa na utapowa mzima. No Mtihani Tu as ALLA Lkn utapowa.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 15 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana nakuombea Mungu akuponye

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 19 วันที่ผ่านมา +4

    Pokea uponyaji ukiamini mungu ndio kila kitu kakaangu

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 19 วันที่ผ่านมา +2

    Dawa za tb ni kali sana, kama alikua hanywi vidonge vya protection ya vitu vya ndani ni hatari na bongo wengi hawajui wanapewa dawa bila hivyo vidonge, ni shida tupu yaani mmh😢

  • @zakiaferuz4561
    @zakiaferuz4561 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pole Sana ndugu yetu mungu yu mponyaji wetu🙏🏿

  • @Janemuthoni289
    @Janemuthoni289 19 วันที่ผ่านมา +1

    For Life transfer Factors sio dawa za kutibu nikuzuia magonjwa flani ni supplements hazitibu,nilikuwa nazo na sikuwa mgonjwa wa ini,maskini hajui ,wampeleke hosi apewe dawa hizo ako nazo sio zakutibu

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 18 วันที่ผ่านมา

    Pole saana kaka Allah akufanyie wepesi killa penye uzuto Alhamdoulillahi aala kullihali ya Allah

  • @maryammo-gd3me
    @maryammo-gd3me 19 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana kaka Allah atakufanyia wepesi

  • @edinafaustinez8514
    @edinafaustinez8514 19 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akupone kaka yangu

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pole san mungu akusimamie upone😢

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v 13 วันที่ผ่านมา

    Yarabbi yarabbi yarabbi alamina mnyanjue huyo kaka yaa llahu

  • @NAWALSALIM-h9v
    @NAWALSALIM-h9v 4 วันที่ผ่านมา

    Ugonjwa wa tb unatakiwa ule chakula cha kutosha na maji mengi Lita mbili mpaka Tatu akiweza, na dawa usiwache hata siku moja

  • @nasramohamedi4095
    @nasramohamedi4095 19 วันที่ผ่านมา +5

    Sio kwamba amekuambukiza yawezekana wewe ndie uliyemwambukiza! Ila pole ndugu yangu

  • @HijaMulla-cl8yo
    @HijaMulla-cl8yo 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pole Sana kaka

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 18 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢kwakweli inaumaa Mungu wew ndie Mfalme wa killa ki2 ya Allah wafanyie wepesi wagonjwa wote😢😢

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 13 วันที่ผ่านมา

    Mola akufanyie wepesi

  • @Atb300
    @Atb300 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu tupe mwisho mwema pole kaka

  • @AshuraMhamad
    @AshuraMhamad 18 วันที่ผ่านมา

    Pole san kaka Allah atakupa shifaa ishaallah

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 19 วันที่ผ่านมา +2

    Allah akuponyeshe

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 13 วันที่ผ่านมา

    Kama ana TB anywe dawa.
    Kama ana HIV anywe dawa
    Atakuwa vizuri tu 🙏🏻🙏🏻

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ampe nguvu uyo itakua dawa za hiv alimeza miakamingi jumlisha za tb inaletaga sana matatizo ya ini au moyo allah ampe nguvu

  • @AmaniManase-x1i
    @AmaniManase-x1i 18 วันที่ผ่านมา

    Duuh Mungu tuepushie haya maradhi mabaya

  • @NeemaSungura-w1w
    @NeemaSungura-w1w 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu Akufanyie wepesi kaka

  • @SalomeRenatusi
    @SalomeRenatusi 18 วันที่ผ่านมา

    Yesu akuponye bro

  • @SadiAmisi-s8w
    @SadiAmisi-s8w 19 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢😢😢😢

  • @OlipaMsemwa
    @OlipaMsemwa 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu mwema, hivi ndugu yetu TR msigwa hawezi kutupa ufumbuzi wa hili tatizo? Zahili ebu wasiliana na TR msigwa

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 18 วันที่ผ่านมา

    Damu ya yesu ikuponye

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 19 วันที่ผ่านมา +1

    🤲🤲🤲🤲

  • @SmilingApron-zw6ne
    @SmilingApron-zw6ne 18 วันที่ผ่านมา +1

    NI MAOMBI TUU YATAWEZA KUPANGUA NA KUFUTA IYO UGONJWA

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 18 วันที่ผ่านมา +1

      Yani wewe upo gizani sana maombi yapi yatatoa ugonjwa haya ya mapasta wa uongo au

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 18 วันที่ผ่านมา +1

      Ni matibabu na kusimama na MUNGU sio maombi ya uongo

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pole kk yng utapona

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pole sn