Inaweza kaka zahir hizo dawa za tb zinanguvu sana sana inataka kula vizuri na maziwa kupunguza nguvu yadawa kama hulivizuri inaharibu ini mafigo tumuombeeni mungu ampe nguvu ainuke ishallah lazima apate chakula vizuri
Kuna mambo yanaumiza moyo sana, nikitizama Viongozi wanavyo timba nchi na raia walivyokuwa na shida nashindwa kuwaelewa hivi wanauchungu kweli na wananchi ?haswa pale wanapotumia fedha kwa vitu ambavyo sio muhimu kuliko huduma za matibabu kwa watanzania wasiojiweza ila wao wanawaza kujenga makumbusho kujengea maraisi wastaafu, kupeleka wacheza sinema nje ya nchi na matamasha kongamano kila kukicha 😭
Dawa za tb ni kali sana, kama alikua hanywi vidonge vya protection ya vitu vya ndani ni hatari na bongo wengi hawajui wanapewa dawa bila hivyo vidonge, ni shida tupu yaani mmh😢
For Life transfer Factors sio dawa za kutibu nikuzuia magonjwa flani ni supplements hazitibu,nilikuwa nazo na sikuwa mgonjwa wa ini,maskini hajui ,wampeleke hosi apewe dawa hizo ako nazo sio zakutibu
Aiiii jameni ulimwengu wote hamna kama mama ,mama mzaxi atakushikila ady kaburini mungu alusaidie upone kaka na mama mungu akuoe maishia marefu
Pole sana kaka kuugua sio kufa utapona kwa uwezo wa allah🙏
Pole kaja Allah Ashifk. Kwauwezo wake kuugua siyo ndiyo mwisho wakuishi. Allah akuoesubra kaka na mamayako
Kaka pole sana utapona kikubwa kinywa dawa vizuri na kula vizuri
Receive healing in Jesus name 🙌 🙏
Inaweza kaka zahir hizo dawa za tb zinanguvu sana sana inataka kula vizuri na maziwa kupunguza nguvu yadawa kama hulivizuri inaharibu ini mafigo tumuombeeni mungu ampe nguvu ainuke ishallah lazima apate chakula vizuri
Zahiri mwambie uyo mama avae grops homa yaini mbaya sana sana inaambukiz ata kwajasho
Nimrwaambia tayari
@@maximumtvonline oky
Allah akupe wepes kaka
Kuna mambo yanaumiza moyo sana, nikitizama Viongozi wanavyo timba nchi na raia walivyokuwa na shida nashindwa kuwaelewa hivi wanauchungu kweli na wananchi ?haswa pale wanapotumia fedha kwa vitu ambavyo sio muhimu kuliko huduma za matibabu kwa watanzania wasiojiweza ila wao wanawaza kujenga makumbusho kujengea maraisi wastaafu, kupeleka wacheza sinema nje ya nchi na matamasha kongamano kila kukicha 😭
Pole sana baba utapowa na utapowa mzima. No Mtihani Tu as ALLA Lkn utapowa.
Pole sana nakuombea Mungu akuponye
Pokea uponyaji ukiamini mungu ndio kila kitu kakaangu
Dawa za tb ni kali sana, kama alikua hanywi vidonge vya protection ya vitu vya ndani ni hatari na bongo wengi hawajui wanapewa dawa bila hivyo vidonge, ni shida tupu yaani mmh😢
Pole Sana ndugu yetu mungu yu mponyaji wetu🙏🏿
For Life transfer Factors sio dawa za kutibu nikuzuia magonjwa flani ni supplements hazitibu,nilikuwa nazo na sikuwa mgonjwa wa ini,maskini hajui ,wampeleke hosi apewe dawa hizo ako nazo sio zakutibu
Pole saana kaka Allah akufanyie wepesi killa penye uzuto Alhamdoulillahi aala kullihali ya Allah
Pole sana kaka Allah atakufanyia wepesi
Mungu akupone kaka yangu
Pole san mungu akusimamie upone😢
Yarabbi yarabbi yarabbi alamina mnyanjue huyo kaka yaa llahu
Ugonjwa wa tb unatakiwa ule chakula cha kutosha na maji mengi Lita mbili mpaka Tatu akiweza, na dawa usiwache hata siku moja
Sio kwamba amekuambukiza yawezekana wewe ndie uliyemwambukiza! Ila pole ndugu yangu
Pole Sana kaka
😢😢kwakweli inaumaa Mungu wew ndie Mfalme wa killa ki2 ya Allah wafanyie wepesi wagonjwa wote😢😢
Aammiinn
Mola akufanyie wepesi
Mungu tupe mwisho mwema pole kaka
Pole san kaka Allah atakupa shifaa ishaallah
Allah akuponyeshe
Kama ana TB anywe dawa.
Kama ana HIV anywe dawa
Atakuwa vizuri tu 🙏🏻🙏🏻
Mungu ampe nguvu uyo itakua dawa za hiv alimeza miakamingi jumlisha za tb inaletaga sana matatizo ya ini au moyo allah ampe nguvu
Aaaminayaarabi
@@SalmanMughal-lq5lt 🙏
Duuh Mungu tuepushie haya maradhi mabaya
Mungu Akufanyie wepesi kaka
Yesu akuponye bro
😢😢😢😢😢
Mungu mwema, hivi ndugu yetu TR msigwa hawezi kutupa ufumbuzi wa hili tatizo? Zahili ebu wasiliana na TR msigwa
Sawa
Damu ya yesu ikuponye
🤲🤲🤲🤲
NI MAOMBI TUU YATAWEZA KUPANGUA NA KUFUTA IYO UGONJWA
Yani wewe upo gizani sana maombi yapi yatatoa ugonjwa haya ya mapasta wa uongo au
Ni matibabu na kusimama na MUNGU sio maombi ya uongo
Pole kk yng utapona
Pole sn