Ila ikitokea huyu mwamba akawa waziri wananchi wataikumbuka vita ya Uganda make hanahuruma kabisa viongozi kama hawa ikitokea ametumbuliwa lazima akimbilie kanisani ajifanye mwema kumbe hakuna k2 ahsante mungu kwakuweka hukumu
Huyu jamaa Dar hapamfai wamrudishe kwao huwezi ukajenga gorofa kama yale ukaweka Mitaa moja ya maji watu wachangie bills ni upigaji naamini magorofa yale yangekamilika Chuma akiwepo yangekua na ubora zaidi
Mbona kaongea point sana za msingi msikilizen vizur msichukue vipande tu ki ujumla hata mim ningekuwa rais ningebomoa baadhi ya maeneo ningejenga magorofa wananchi wakae Kwa Kodi nafuu najiji linakuwa vizur dunia Iko ivyo
Kauli ya Rc siyo kiongozi anajisahau kuwa cheo ni dhamana na hao anawqongeatena kwa dharau ni wananchi tena mwenye ownership ya nchi yao; kiongozi kuna njia ya kuongea na kila mwanqnchi akakuelewa Unaweza kuwa na quality za uongozi ukakosa kauli kumbuka kila unachotoa mdomoni kinachukua nafasi kubwa saaaana kwa wale wanaopokea!!! Viongozi kuweni makini kwa jinsi ya ku covey msg kwa wananchi!!!
Nilichogundua watz wengi hatupendi ukweli, mbona Kiongoz amesema ukweli. Ifike sehemu tuambiane ukweli ili nchi yetu isonge, sasa kuna ulazima gani mtu ug'ang'anie kweny ghorofa wakt uwezo wako bado?
Hakuna cha Nape hapo jamaa kazungumza ukweli. Weng wetu wa watz hatupendi kuambiwa ukweli. Maneno kama sisi ni wanyonge sijui nini ni upuuzi mtupu! Ishi kwa hadhi yako usizeeke mapema!
Hana heshima hata kidogo, inabidi atumbuliwe chap
Watu sasa hivi hawampendi kwa kauli zake ndio maana anasema oyee watu kimya
Kauri mbaya sana charamira
Ila ikitokea huyu mwamba akawa waziri wananchi wataikumbuka vita ya Uganda make hanahuruma kabisa viongozi kama hawa ikitokea ametumbuliwa lazima akimbilie kanisani ajifanye mwema kumbe hakuna k2 ahsante mungu kwakuweka hukumu
Huyu jamaa Dar hapamfai wamrudishe kwao huwezi ukajenga gorofa kama yale ukaweka Mitaa moja ya maji watu wachangie bills ni upigaji naamini magorofa yale yangekamilika Chuma akiwepo yangekua na ubora zaidi
Mbona kaongea point sana za msingi msikilizen vizur msichukue vipande tu ki ujumla hata mim ningekuwa rais ningebomoa baadhi ya maeneo ningejenga magorofa wananchi wakae Kwa Kodi nafuu najiji linakuwa vizur dunia Iko ivyo
Daraja ni uraisishaji, huna mawazo mshamba
Siku zote ukweli huwa ni mchungu.Kwenye hilo hana shida.
Sijapenda kaulinya kibaguzi ya aliyenacho na asiyenacho kiongozi kubainisha ubaguzi kama huu tena hadharani ni mbaya sana
Kaongea ukweli mtupu,sema watz waliishazoea kubembelezwa na ndio maana tumekwama tena
Mama Samia huyu kwako ni nani mbona anakauli za hivyo sana
KWANI DARAJA LA KIGAMBONI NANI KAJENGA NA NI FEDHA ZA NANI NA DARAJA LA SALENDER NA NI AMEJENGA ACHENI KUONGOPEA WANANCHI
Muhuni anamaanisha watu maskini kafichatu ya moyon
Ujenzi huo magu alisema maskini kwanza
Kauli ya Rc siyo kiongozi anajisahau kuwa cheo ni dhamana na hao anawqongeatena kwa dharau ni wananchi tena mwenye ownership ya nchi yao; kiongozi kuna njia ya kuongea na kila mwanqnchi akakuelewa Unaweza kuwa na quality za uongozi ukakosa kauli kumbuka kila unachotoa mdomoni kinachukua nafasi kubwa saaaana kwa wale wanaopokea!!! Viongozi kuweni makini kwa jinsi ya ku covey msg kwa wananchi!!!
Bashungwa nikiongozi making sana namwamini sana
Kwa hiyo wewe unafikiri wote wanauwezo wa kulipa? Au unamfundisha kazi waziri? Mbaguzi wewe.
Hajielewi huyu rc
Wewe Chalamila Huna Mawazo Mbadala Wa Ubunifu Kwenye Ujenzi Wa Miundo Mbinu.
😊
Wahuni ni wale wasionacho haka kajamaa kana dharau sana sana
Nilicomet ivyo kabla sijasoma ciment yako uyu mshamba sana
Huyu kaisha lewa madaraka!!
RIP Magu
Nape 2
Mimi namsapoti chalamila anacho sema ndio maendeleo ya jiji
Hilo daraja limejengwa kwa kodi za wananchi...pia chunga hizo kauli zako za dharau ,we unatakiwa umfuate nape
😢
Hao wahuni sindio huwa mnakula na kunywa nao
Madalali ni wahuni kumbe
Ujenzi holela ndio Dar huwa chafu
Jamani kauli za kutokuogopana ni za nini?
Umesema ukweli wako..ila serikali hawataki ukweli..wanataka uwadanganye mf samia hapendwi kwa sababu ya dini yake,
Huyu atatumbuliwa tu tena
Nilichogundua watz wengi hatupendi ukweli, mbona Kiongoz amesema ukweli. Ifike sehemu tuambiane ukweli ili nchi yetu isonge, sasa kuna ulazima gani mtu ug'ang'anie kweny ghorofa wakt uwezo wako bado?
Huyu jamaa kitamkuta Cha Nape
Hakuna cha Nape hapo jamaa kazungumza ukweli. Weng wetu wa watz hatupendi kuambiwa ukweli. Maneno kama sisi ni wanyonge sijui nini ni upuuzi mtupu! Ishi kwa hadhi yako usizeeke mapema!
Yeye mwenyewe ni mhuni sasa sijuwi anaongea nini?
Kwa hiyo wewe unafikiri wote wanauwezo wa kulipa? Au unamfundisha kazi waziri? Mbaguzi wewe.
Kwa hiyo wewe unafikiri wote wanauwezo wa kulipa? Au unamfundisha kazi waziri? Mbaguzi wewe.