REV. DR. ELIONA KIMARO: IWENI NA UNYENYEKEVU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2022
- IBADA YA JUMAPILI 28/08/2022
SOMO: IWENI WANYENYEKEVU
Mathayo 23 : 32 - 35
Mathayo 23 : 32 - 35
32 Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.
33 Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
34 Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulibisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;
35 hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habili, yule mwenye haki, hata damu ya Zakaria bin Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhabahu.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
e-mail: rev.kimaroe1@gmail.com
Hekima na maarifaa aliyokupa mungu tunamshukuru.akuinue viwango vingine.akupe uwemfalme watanzania
Amen, ubarikiwe sanaaaa Baba kwa ujumbe, nabarikiwa nikiwa mkoa wa Ruvuma
"Kwa kuwa umejisifu namna hii mbele ya MADHABAHU hii, basii ...." mwimbaji mwenye kiburi alitamkiwa na mchungaji. Naye haku perfom completely anywhere
....ooooo kama yuko aje kuomba msamaha kwanpastor. Ndiyo salama yake.
Mungu akubariki mtukufu ulietukuka Rv Dr Eliona Kimaro mheshimiwa mpakwa mafuta ww peke yako ni mfano wa kuigwa Nakufuatilia sn Mungu kaweka kitu ndani yako kwaajili ya wengine. Binafsi salut kwako
Asante mch. Mbona kama napata hisia ya muimbaji fulani...
ILa kiburi Mungu atuondolee jamani
Asante baba Eliona Kimaro kwa mahubiri ya mafundisho kweli. Umenifundisha jambo nzuri sana , kunyenyekea !nafuatilia kutoka kenya
Kwer mie na kiburi hasira dharau
Du!Mungu anifungue aisee
Mafundisho yako yamenipeleka hatua nyingine kwa kipindi hiki kigumu cha ugonjwa,namshukuru Mungu wetu aliekuona kama alivyomwona Daudi machungani
yaan natamani hili fundisho wangesikiliza hawa wararabu labda wangejua umuhimu wa kulea.l
huku mtoto anaogopewa hapigwi hafokewi
ee Mungu nipe unyenyekevu
Wakati nasikiliza nilikuwa nasinzia sinzia ila habari ya uyo muimbaji imenikata usingizi wote na kujisikia vibaya sn, Mungu awasaidie waimbaji wote, waache kujiinua
Mungu Mungu niondolee kiburi 2024
ubarikiwe baba nimejifunza juu ya unyenyekevu.....Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu
Barikiwa sana kwa Neno la uzima kamwe halita futika katika maisha ya msikilizaji barikiwa sana mtumishi
Asante Mchj
Duuu
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Asante sana Padre....Ubarikiwe sana kwa kunijenga kiroho
Nabarikiwa sana🙏🙏
We love u and your true preaching 👏 be blessed and live long .🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Mbavu zimekosa gris, shauri kiburi sasa WENGINE wanapumua kwa shida! Duu MTU asijiinue kana kwamba wewe ni wewe tu, jamani. BABANGU nakushukuru kwa somo hili. MUNGU AZIDI KUKUPA AFYA utufunike kwenye mbawa zako zako BABANGU.
Aksante kwa mafundisho
Amina mtumishi unafundisha vizuri
Mungu nipe kunyenyekea mbele zako bila kuyatafakari ya wanadamu yanayoturudisha nyuma na kuiacha kwel yako, Mungu azidi kukupandisha utukufu hadi utukufu mtumishi wake nas tuzidi kujifunza
Nimejifunza Sana hapa, Asante sana baba kwa mafundisho yako
Barikiwa baba mchungaji naomba nafasi ya kukuona
Mungu akupe kuishimiaka mingi sana
Mungu nifundishe unyenyevu
Mungu skulinde mchungaji
Ubarikiwe saana mch.
Mimi nmekua n kiburi sana lakini leo hii umeniponya baba kwasababu nimepoteza vingi kwasababu y kiburi tangu leo nmbadilika kweli
Eeee Mungu nijalie unyenyekevu Asante mtumishi wa mungu
Nimebarikiwa amina
Mtumishi Mungu akubariki sana. ni ombi langu Mungu aniondolee kiburi🙏🏼🙏🏼
Mungu ni jaze unyenyekevu maishani mwangu
Amen Mchungaji Mungu akubariki sana na hio neema ya ufunuo mafundisho mazuri sana Amen Amen
Ameni Ameni
Amen na ubarikiwe Mchungaji
Asante mungu akubariki
Mungu niondolee kiburi
Amen mchungaj napokea kwa jna la yesu
Mungu akubariki. Asante baba kwa mahubiri yenye mafunzo.
Barikiwa mtumishi
Nimebarikiwa Sana na hili
Thanks for the word of GOD and good teachings that we may overcome unyenyekevu utuongoze. Be blessed father of the church.
Ni kweli mungu atausaidie
Ni kweli kabisa asiyejua kupata kapata, nimebarikiwa sana.
Mungu nifundishe niwe na unyenyekevu katika maisha ya Kwangu
May the Lord help us 🙏🙏🙏
Mungu na atupe kunyenyekea siku zote
Asante sana ujumbe mzuri mmmno nimebarikiwa AMEN. AMEN
Eeeh Mungu Tusaidie tuwe wanyenyekevu nipo Darasani Mchungaji najifunza kila siku kwako kila siku inayoitwa leo!Eeh Mungu nipe uvumilivu!
I love your sermon, they are a blessings to me.
It was King Belshazzar who saw the hand not Nebuchadnezar
Daniel 5:5-12.
God bless. Mungu atupe unyenyekevu
Amina
Asante Mungu neno lako limetufikia kwa wakati.Stay blessed Pr.
Ubarikiwe mtumishi wa mungu umetufudisha
Very true,,May God's grace be there for us
Mchungaji
ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa somo hili
Baba mungu akupe kuishi miakamingi mchungaji
Ubarikiwe sana tena sana mtumishi wa Mungu
God,help us to get rid of any pride in ourselves, let us yearn to be humble in and at all times. God bless you Rev. Kimaro.
Cm to be my
Asante mchungaji dunia ya mazombie confusion era ... Yaani malezi uozo ukiwaambia watu wananuna
L
Asante Yesu wangu Kwa ujumbe huu
Barikiwa mtumishi kwa somo
Amen
Kiburi kaburi!
Mtoto ana Allergy 🤣🤣🤣,mayai mayai
MUNGU alimtengua Yakobo mguu, alishindana na NABII wa MUNGU lkn akabadilishiwa HATA jina akaitwa Israel. Ee MUNGU NISAIDIE juu ya wanangu Allan na ANGELA.
Ndio ujue jinsi wanawake hawapendi kuambiwa ukweli kwa maana mada inagusa kila kona. Vigelegele hamna...
Message/sindano imeingia nguvu ya kushangilia tutoe wapi 🤦🤦🤦
@@dadarehema tumeuchuna🤣🤣🤣
0
Mwenye nayo watsap pls share
Ebeneza
Mungu wa Elia akutunze
wimbo number wimbo number wimbo number..nimecheka mno