USHUHUDA WA MCHUNGAJI ALIYE TAFUTWA NA FREEMASON ILI KUWA MCHUNGAJI CHINI YAO ILI KUTEKA WAKRISTO .

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • kwa maswali maombi na ushauri 0673081038

ความคิดเห็น • 60

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 ปีที่แล้ว +1

    Halleluyah Yesu ni Bwana! Aliye ndani yako ni mkuu kushinda aliyeko duniani

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 ปีที่แล้ว +10

    Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa kusimama na ukweli wa Mungu

  • @ngwanafabian4612
    @ngwanafabian4612 2 ปีที่แล้ว +3

    Mbembe DRC tribe. Mungu akubariki sana mtumishi. Akina Mwamp... hapa Tanzania wanakokota jeshi kubwa la watu kuwapeleka kuzimu na watu wanadhania uponyaji ndiyo kielelezo kuwa Mungu wa kweli anaabudiwa hapo. Wanasahau hata waganga wa kienyeji hutibu na watu kupona.

  • @noellanduwimana51
    @noellanduwimana51 2 ปีที่แล้ว +4

    Barikiwa baba mucungaji tutawashinda kwa damu ya yesuuuu ubarikiwe na Mungu akuongeze nguvu na uzidi kuniombea baba yangu tunateseka sana

  • @shaphats2437
    @shaphats2437 ปีที่แล้ว +1

    Ushuhuda unajenga. Ubarikiwe mno. Tutamshinda Ibilisi kwa nguvu ya damu na Jina la Yesu Kristo.

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 2 ปีที่แล้ว +5

    Amen
    Hatumwachi Yesu magumu tunapita lakini tunashinda na zaidi ya kushinda

  • @elvamasherano8122
    @elvamasherano8122 2 ปีที่แล้ว +5

    sasa ninawashakiya watumishi wengi na mungu atufunguwe macho ya kiroho tupate kuwatambuwa ,
    Asante kwa ushuhuda wake na mungu azidi kukushindia amen. mungu wetu ni mwaminifu hatakuwacha

  • @shuhudazakweli3406
    @shuhudazakweli3406  2 ปีที่แล้ว +10

    Shalom ukiona imekata sogeza mbeli kidogo utaendelea na ushuhuda huu

  • @Alex_Anania
    @Alex_Anania 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Sana mtumishi wa Mungu.Nimebarikiwa Sana,songa mbele.Kazi yako Ni njema sana

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongeraa,mtumishi kWa kushinda vita,kumbe wokovu ni garama,umenitia moyo ktk kumtumikia Mungu kumbe mwanzo ni mgumu,

  • @graceesau6843
    @graceesau6843 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana mchungaji kwa huu ushuhuda.Umenitia moyo sana

  • @andreamchome9541
    @andreamchome9541 2 ปีที่แล้ว +6

    Amina sana natamani ningejua hayo maneno wanayotamka manabii fake hao

  • @getruderichard2801
    @getruderichard2801 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki sana nakukutunza

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 2 ปีที่แล้ว +5

    Atamaisha yawe mangumu Mimi nitasonga na yesu wangu 🙏🙏

  • @tabithajeremiah2657
    @tabithajeremiah2657 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera mtumishi, kwa kushinda jaribu hilo.Mungu akiwa upande wetu ni nani aliyejuu yeti?

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 2 ปีที่แล้ว +5

    Duh kweli jamani Mungu atuponye

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 8 หลายเดือนก่อน

    Amina baba, Mungu Anaweza,shikiliya imani ya kristo yeye ni mushindi

  • @editarichard3590
    @editarichard3590 2 ปีที่แล้ว +4

    Amina ubarikiwe

  • @jeniphaledaschali4594
    @jeniphaledaschali4594 2 ปีที่แล้ว +8

    Jamani mwenye yesu amxhike

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye kit wangu wa zamani wa vijna c,a,s..krt . blessed tumemis ving kutok kwako mwenye kit wetu.ambye Sasa n pastor Erick.

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki mtumishi.

  • @Nenolamaarifa
    @Nenolamaarifa 2 ปีที่แล้ว +5

    Be blessed

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 ปีที่แล้ว

    Aisee, umenifungua kweli. Ubarikiwe.

  • @swinenanjala3175
    @swinenanjala3175 2 ปีที่แล้ว

    Vita tunavio watoto wa.mungu tutashinda kwaimani mana tunae mungu barikiwa San mtumshi wa mungu amen

  • @PastorJoshua_Njombe
    @PastorJoshua_Njombe 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi wa kweli wa Mungu lazima apitie maandalizi mazito kabla ya Mungu kumuinua lakini watumishi wa shetani wanaotumia mwamvuli wa jina la Yesu wanainuliwa haraka Kwa kiini macho Kwa ajili yakuzivuna roho nyingi ziende kuzimu lakini pia wao wenyewe roho zao wameshaziuza Kwa yule mkuu wa Giza na ukishaingia Huko kutoka sahau ni wawili Kwa kumi wanaoweza kuchomoka na wakabaki salama sio watu wakuwasogelea hata kidogo na wanawatafuta sana watumishi wa Mungu wa ukweli walioitwa na Mungu ili wawaangushe

  • @emmanuelzani2889
    @emmanuelzani2889 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu aliye hai. Asante.

  • @kersirukangika2440
    @kersirukangika2440 2 ปีที่แล้ว +4

    Watoto wa Yesu wako kwenye vita kubwa sana •

  • @jeniphaledaschali4594
    @jeniphaledaschali4594 2 ปีที่แล้ว +6

    Mmmh!!!! Mungu mkubwa

  • @elizalaya7887
    @elizalaya7887 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa ushuhuda mzito sana

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki

  • @ruthsamwel671
    @ruthsamwel671 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen

  • @kapizoenoban8717
    @kapizoenoban8717 2 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli

  • @elvamasherano8122
    @elvamasherano8122 2 ปีที่แล้ว +4

    amen

  • @shedrackbenjamin7917
    @shedrackbenjamin7917 ปีที่แล้ว

    Amen ungetoa hata Namba ya cm

  • @mwigarleysaid5406
    @mwigarleysaid5406 2 ปีที่แล้ว +2

    Vunja maagano ya giza haiwezekani Shetani awe na Nguvu Kiasi hicho kwako ukiwa na YESU Kristo

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 ปีที่แล้ว

    Mungu nimwema sana

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 9 หลายเดือนก่อน

    A.en nipo Singida nakufahamu Sanaa nilikuonga njia panda Himo kaza mwendo mtumishi ww ni jembe kweli kweli

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 ปีที่แล้ว +2

    JIPE MOYO MTUMISHI YESU YUPO UPANDE WAKO NA HIVYO NI VITISHO TU HAWATAGUSA UZAO WAKO MAANA NI WATOTO WA AHADI NA MUNGU KAMWE HAWEZI KURUHUSU HILO YESU AKUSAIDIE USIMAME KWA UAMINIFU NA YESU ATAKUWA MWAMINIFU KWAKO
    BADO KITAMBO KIDOGO YATAKWISHA YESU YUPO NA KAMWE HAWEZI KUKUACHA KATIKA HILO JARIBU

  • @selemanjackson3979
    @selemanjackson3979 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa

  • @pastornchimbi2947
    @pastornchimbi2947 2 ปีที่แล้ว

    Mungu huruhusu hayo Ili ufikie dhamani ya ubora wa dhahabu so kwamba Mungu hayupo pampja nawe kaza buti

  • @deusmoris3036
    @deusmoris3036 ปีที่แล้ว

    Kazi mnayo watanzania mmewekewa mikono na wachawi rudini upande wa Yesu hukuhuku kwenye makanisa mliyoyakimbia karibu tena bila hivyo mnakwenda motoni

  • @angelalaizer3895
    @angelalaizer3895 2 ปีที่แล้ว

    AMEN.

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 ปีที่แล้ว +2

    BWANA YESU TUNAMSHUKURU KWA KUTUFUNULIA HILI.

  • @paullwangili2235
    @paullwangili2235 ปีที่แล้ว

    Sijapoteza muda Bure na bando kukusikiliza,uwe hodari usirudi nyuma.

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 ปีที่แล้ว

    Pia wanasema kwa jina la yes na sio YESU

  • @angelalaizer3895
    @angelalaizer3895 2 ปีที่แล้ว

    YESU KRISTO AKULINDE.

  • @Faraja2023
    @Faraja2023 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni nani huyu nabii tumjue ,ili tusiabudu huko

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 ปีที่แล้ว

    Nabii bushiri, hubert Angel, bulldozer

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 6 หลายเดือนก่อน

    Na Wacongo Hapo ndo Kwao Kumbe ni Nguvu za Giza

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 ปีที่แล้ว

    Kama namfananisha ivi

  • @judywarui8237
    @judywarui8237 ปีที่แล้ว

    Na huyo wa Tanzania ni mgani?

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 ปีที่แล้ว

    Ile ni lugha ya kuzimu ni kilatini cha freemason, sio KILA anenae kwa lugha unena lugha ya malaika wengi unena lugha ya freemason

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt ปีที่แล้ว

    Mtumishi umefanana na mwamposa sana ila wewe ni mweupe

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 6 หลายเดือนก่อน

    tayari Baba yako alikuwa mshirikina tu

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 ปีที่แล้ว

    Kuna yule wa arusha ndie anaewasajili watu kuzimu

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 yupi tena