Huu ujumbe ni Wa kweli Na si mara ya Kwanza kuletewa si wanadamu .yesu tusaidie wamama wengi tumepotea tukijiona kwamba tko Katika njia sahihi.asante dada .
Ww unayepinga maono angalia sana na uombe rehema,hyu alikuwa ktk roho na mkristo yeyote aliyempokea Yesu yeye ni roho,Munguni roho nae amwabudie inampasa kumwabudu ktk rohona kweli,.Nawatumishi baadhi walikuwa wakichukuliwa ktk roho na kuandika kwenye bibilia,mfano nalikuwa ktk roho nikaona,na hyu aliona ktk roho.Tofauti na hapo itakuwa ni roho ya mpinga kristo inayopinga haya maono.
Ujumbe huu ni wa huongo watu someni neno ili musipotezwe, Yesu alituombea kwa Baba atutakase kwa ile kweli neno la Mungu ndilo kweli. akuna mtu anaekwenda mbinguni sote tunamsubiri Yesu atupeleke kwa Baba.
Mung akusamehe san ndug yesu anakupenda ndugu tubu nawe utauona ufalme wa mung mbingun huingii kw neema bal ni kuacha yte mabaya na kufany mapenz ya mung ubarikiwe sana 🙏🙏
Siku tukienda huko mbinguni ndio itajulikana idadi ya walioenda kwa sasa watu bado wanokoka na wendine wanajitakasa hatuwezi kupata idadi kabla mwisho haujafika wapendwa wangu tusiogope ila kila mtu aokoke na kuzishika amri za Mungu
Sikubari shuhuda hii, kwani sasa hakuna mtu ambae Mungu anaweza kumpeleka mbinguni lamda kwà ulimwengu wa Roho. Na wote walio lala usingizi wa mauti wanasubili ujio wapili wa yesu kristo ,
Amen asante Bwana wetu Yesu Kristo kwaku tuandalia mazuri sisi wanaowako tuliyo duniani tujalie tuweze shinda hii dunia hii ya muovu chetani tushushie malaika zako wapate kuongoza🙏
Enyi watu wa dunia mtamwamini nani bc.?kila mtu mwamuona muongo.mnataka nn bc enyi kizazi Cha nyoka kilichopotoka zaidi ya dodoma.?bc subirieni atakuja mwenyewe na huo mda mtakuwa mmechelewa.barikiwa sana dada🙏🙏
Wanawake wivu ndo KBS,MTU haweziuliza jinsi umefanikiwa ili umwinue.lkn utasikia kakusema kakusengenya na wivu uzaa mauti,kaini alimwua ndugu take kwa kupitia wivu.
Uongo uongo uongo ujinga na ujinga na ujinga na upumbavu, kwanza unatakiwa kujua maandiko yanasemaje, anasema aliona roho je kwa mjibu wa maandiko Mbiguni kutakuwa na roho? Au kutakuwa na watu hapo mtu ananukuu kitabu cha ufunuo akaongeza na yakwe kidogo ili mmwamini
Matendo ya uovi na dhambi za mtu pia zitafanana, wacheni kijidanganya mioyo yenu hiyo ni kubadilishwa miili Kwa wako tenda mema,bali kama ulitenda uovo jehanamu inakuhusu yeyote yule
Hakuna ukweli wowote hapo, jindae kwa ujio wa yes kwa mala yapili , maana hakuna mwanadamu aliko mbinguni hadi atakapo kuja bwana wa mavuno kuitenga ngano na magugu
Biblia inasema tukifika mbinguni tutabadishwa miili yetu, tutakuwa kama malaika, kutakuwa hakuna kuoa wala kuolewa na mambo yote ya duniani tutayaacha huku.tutakuwa tukisifu na kuabudu. Sasa mimi sijaelewa kama tutaweza kutambua huyu ni mwanaume au mwanamke. Mimi bado sijaelewa
Tutajulikana kwa vazi. Mfano aliyekuwa mwanaume duniani vazi lake lina mkanda mmoja kiunoni Na aliyekuwa mwanamke duniani vazi lake lina mikanda miwili.
Naomba nifahamishwe,maana ninachanganyikiwa nikisikia kila shuhuda za walioenda Mbinguni wanakuta watu motoni au mbinguni.Kinachonichanganya ni kwamba,miili yetu tukifainazikwa kaburini na kuoza,sasa ni miili gani tena inayopatikana motoni ikiungua na mbinguni ikiburudika?
Mwana damu amegawanyika sehemu mbili ,mwili na rohon, ambapo nafisi yake ndiyo uhalisia wa mwanadamu hivyo nafsi ambayo ndo wewe bada ya kufa nafsi hufaa mwili mpya ama kwa ajili ya hukumu au kwenda mbinguni
Muasherati ni mtu anayefanya ngono Ikiwa bado hayuko kwenye ndoa, na mzinzi ni mtu anayefanya ngono na mtu mwingine ambaye sio mume au mke wake wakati yupo kwenye ndoa
Huu ujumbe ni Wa kweli Na si mara ya Kwanza kuletewa si wanadamu .yesu tusaidie wamama wengi tumepotea tukijiona kwamba tko Katika njia sahihi.asante dada .
aki Mungu anisaidie mimi kama mwanamke nimepungukiwa kwa ajili ya dhambi nyingi☺,thanks for the testimony it has thought me something
Mungu nisamehe kwa maovu yangu yoto niliyo fanya, nauniajalie neema.😭😭
Kuhusu wanaweke wachache mbinguni n kwel kabsaa coz wanawake hatupend kuacha mapambo umbea uzush Asiraa .vitu vidgovdgo ndo vtafanya wanawake weng tukose mbingu😢.YESU tusaidie pale tunaposikia NENO lako tulifanyie Kaz n cyo kusikiliza tu.
Amen
Maandiko yanasema hivi tutakuwa na mwili mmoja kwaiyo hatujajua ni kiume au kike
Amen🙏
Mbinguni hakuna jinsia watu wote ni jinsia Moja
Haleluya mbinguni
Ubarikiwe Kwa kazi nzuri ya Mungu
Mungu nisaidie na unitie nguvu katika Kila Hali,za tabu na raha nisije nikakutenda dhambi na kuukosa urithi wa uzima wa milele,Baki nami🙏🙏
Ww unayepinga maono angalia sana na uombe rehema,hyu alikuwa ktk roho na mkristo yeyote aliyempokea Yesu yeye ni roho,Munguni roho nae amwabudie inampasa kumwabudu ktk rohona kweli,.Nawatumishi baadhi walikuwa wakichukuliwa ktk roho na kuandika kwenye bibilia,mfano nalikuwa ktk roho nikaona,na hyu aliona ktk roho.Tofauti na hapo itakuwa ni roho ya mpinga kristo inayopinga haya maono.
Asante sana kwa ujumbe huu, ubarikiwe mjakazi wa baba aliye juu
Amen aliye towa mimba na aliye shiriki wote wana pashwa kuomba musamaha mbele ya Mungu asante kwa ulizo
Hapo kweli maana yote hayo tulitenda kwa kupotoshwa....mungu tuhurumie😭
Ehe mungu tusaidie sana wanawake mudamwingine tunajiona tukosaw kumbetumepoea katika ufalme wambinguni
Ujumbe huu ni wa huongo watu someni neno ili musipotezwe, Yesu alituombea kwa Baba atutakase kwa ile kweli neno la Mungu ndilo kweli. akuna mtu anaekwenda mbinguni sote tunamsubiri Yesu atupeleke kwa Baba.
Ukweli
Ni matamshi tu kwa lugha nyepesi alionyeshwa Mbinguni ndo maana tunaita maono.
Mung akusamehe san ndug yesu anakupenda ndugu tubu nawe utauona ufalme wa mung mbingun huingii kw neema bal ni kuacha yte mabaya na kufany mapenz ya mung ubarikiwe sana 🙏🙏
Mungu nisamehee kwa maovu yangu mm ninakili kuwa ni mwenye zambi ninaomba rehema kwako mungu wangu
Amen God bless you
Mungu samehe zambi zangu 🙏😭😭🙏🙏
Mungu. Akurinde. Naakutunze
Asante sana kwa ujumbe mtumishi
Amen BWANA wamajeshi atusaidiye
Tubu, dhambi zako haijalishi umetoa mimba mungu nimwingi warehema simwepesi, wahasira hivyo utasamehewa
Amina🙏
nimekuenda bule amen balikiwe
Mungu atusaidie kanisan tupo wengi mbinguni tupo wachache mungu atusaidie
Amen sana 🙏 ❤
Siku tukienda huko mbinguni ndio itajulikana idadi ya walioenda kwa sasa watu bado wanokoka na wendine wanajitakasa hatuwezi kupata idadi kabla mwisho haujafika wapendwa wangu tusiogope ila kila mtu aokoke na kuzishika amri za Mungu
Sikubari shuhuda hii, kwani sasa hakuna mtu ambae Mungu anaweza kumpeleka mbinguni lamda kwà ulimwengu wa Roho. Na wote walio lala usingizi wa mauti wanasubili ujio wapili wa yesu kristo ,
Kama huamini haupo kwenye safar y kwenda mbinguni wew n mpinga kristo,huijui Dunia wala mbingu. Soma neno utaelewa ushuhuda huu😢 22:22
Nakupa pole
Nduguyangu kwann huamina
Ubarikiwe kwa kazi ya Mungu Yesu kristo akubariki sana
Amen Asante
Amin❤
Kinacho nifanya kuskiliza hushuuda wako unatupa na maandiko ya biblia nakusoma ..mungu akubariki dada yangu endelea nakutupa hushuuda unatufanya kuwokoka nakuacha mabayaaa
Amen amen utukufu kwa yesu
Amen asante Bwana wetu Yesu Kristo kwaku tuandalia mazuri sisi wanaowako tuliyo duniani tujalie tuweze shinda hii dunia hii ya muovu chetani tushushie malaika zako wapate kuongoza🙏
Mungu niurumie
Amen ,be blessed
mtu ambae haelewi hushuhuda huu hamjui mungu Wala halijui neno l mungu wakristo somen neno l mungu .mnamkataa mungu je nani mnamwamini?
Enyi watu wa dunia mtamwamini nani bc.?kila mtu mwamuona muongo.mnataka nn bc enyi kizazi Cha nyoka kilichopotoka zaidi ya dodoma.?bc subirieni atakuja mwenyewe na huo mda mtakuwa mmechelewa.barikiwa sana dada🙏🙏
Mungu atuhurumie sana kwakweli wanawake tumetekwa😔
Amen mungu atudaidie
Amen
Asante dadangu zidi kubarikiwa
Amina asantee
Wewe unaepinga maono Mungu akusaidie kama we unaona niuongo basi
amen
Amen tumeipokea huo ujumbe.
❤❤
Hata Mimi nilikuwa najiuliza hii swali .lasma wanawake wawe wachache Sana binguni..sanabu ya mambo Yao..sio kama Mimi ninakamilika
Mungu wa mbinguni akubariki Sana
Amina Barikiwa Sana
Mungu atusaidie
Ameen ❤
Kanisan wanaume wachache mbinguni wapo wengi ee mungu tuinue tupe wepes
Wanawake wivu ndo KBS,MTU haweziuliza jinsi umefanikiwa ili umwinue.lkn utasikia kakusema kakusengenya na wivu uzaa mauti,kaini alimwua ndugu take kwa kupitia wivu.
Mungu tunaomba rehema zako
amin❤️❤️❤️❤️
Amen and amen 🙏🙏🙏
Uongo uongo uongo ujinga na ujinga na ujinga na upumbavu, kwanza unatakiwa kujua maandiko yanasemaje, anasema aliona roho je kwa mjibu wa maandiko Mbiguni kutakuwa na roho? Au kutakuwa na watu hapo mtu ananukuu kitabu cha ufunuo akaongeza na yakwe kidogo ili mmwamini
Dada naomba niongoze salatatoba naitwa dorini naomba uniongoze salayatoba na uniombee
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mungu ni mwema siku zote kutuibia siri
Mbinguni hakuna mwanamke wala mwanamke utajuaje kama huyu ni mwanake au huyu ni mwanaume ?
Amén🙏
Mbinguni hakuna mwanamke wala mwanaume sisi some ni mabibi Alusii
mbinguni akuna kuoa wala kuolewa hama kuoana je jinsia hizo zatoka wapi enyi mafarisoyo wa uhaba wa neno ?
Mbona msieke watangazaji wawe wawili, wa kike na wakiume
😢😢mungu nisaidie
Ubarikiwe Fabi
Blessed my lovely sister kwa testimony of evening❤
Amina asantee
Nisamehe lakini kile na jua ni akuna mwana ume ama mtoto ama mwanamke wote wanafanana lakini sijui
Matendo ya uovi na dhambi za mtu pia zitafanana, wacheni kijidanganya mioyo yenu hiyo ni kubadilishwa miili Kwa wako tenda mema,bali kama ulitenda uovo jehanamu inakuhusu yeyote yule
Amen ujumbe tumepokea
Amen ❤
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Eee BWANA YESU utusaidie watoto wako
Hivyo kutakuwa hamna wanawake
Usiache kutuombea na sisi wakosefu
Amen 🙏 🙏
Hakuna ukweli wowote hapo, jindae kwa ujio wa yes kwa mala yapili , maana hakuna mwanadamu aliko mbinguni hadi atakapo kuja bwana wa mavuno kuitenga ngano na magugu
Usipende kuhukumu kaa kimya ni dhambi ajuae ukweli ni mungu wa mbinguni pekeeee
Jidanganye ndugu mbngun huingii kw neema huingii ukiwa mchafu tubu nawe utauona ufalme wa mbngun...hat yesu akirud atakuja kupepeta magugu na ngano kwhyo tujiwek tayr barikiwa 🙏
Biblia inasema tukifika mbinguni tutabadishwa miili yetu, tutakuwa kama malaika, kutakuwa hakuna kuoa wala kuolewa na mambo yote ya duniani tutayaacha huku.tutakuwa tukisifu na kuabudu. Sasa mimi sijaelewa kama tutaweza kutambua huyu ni mwanaume au mwanamke. Mimi bado sijaelewa
Tutajulikana kwa vazi. Mfano aliyekuwa mwanaume duniani vazi lake lina mkanda mmoja kiunoni
Na aliyekuwa mwanamke duniani vazi lake lina mikanda miwili.
Roho mtakatifu tuelekeze sisi wamama
Nobody who knows the secrets of heaven and heaven there's no genda so don't lie people with fun things read your Bible well
Cv
Uongo wa Asilimia 100
ASANTE KWA USHUHUDA NIMEBAINI BADO SIPO KATIKATI NJIA SAHIHI
Doto za kuzama katika maji.
Mmmmh acha uongo wewe..sabato ni siku gani
Naomba nifahamishwe,maana ninachanganyikiwa nikisikia kila shuhuda za walioenda Mbinguni wanakuta watu motoni au mbinguni.Kinachonichanganya ni kwamba,miili yetu tukifainazikwa kaburini na kuoza,sasa ni miili gani tena inayopatikana motoni ikiungua na mbinguni ikiburudika?
Kuna miili ya duniani na miili ya milele
Mwana damu amegawanyika sehemu mbili ,mwili na rohon, ambapo nafisi yake ndiyo uhalisia wa mwanadamu hivyo nafsi ambayo ndo wewe bada ya kufa nafsi hufaa mwili mpya ama kwa ajili ya hukumu au kwenda mbinguni
Iyi nehema na ipenda sana ,mungu Léo amefanya nehema iyi ya kwenda kuzimu na mbinguni ,kurudi Ku twambia mambo ilioko
Roho yako ndoinaenda mbinguni na mwili ndounao oza
Mungu akiwa amekusudia kufundisha lazima uwaone tu
Mkumbuke tajiri na baba ibrahimu
🙏🙏🙏🙏🙏
KUHUSU WANAWAKE KUWA WACHACHE NI KWELI
Makafiri hawaendi peponi
Wewe utakwenda
Mtu aliyetoa mimba na mtu aliyeshikiri kutoa mimba atafanya nn ili awe salama ?
Ni kujitakasa na kujitolea dhabihu ya maombi
Ukiomba toba ya kweli usijihukum tena upo huru mungu husamehe na kusahau
Mh niuongo😂😂😂
Pole
Mapambo yatatughalimu
😂😂
Nisaidieni wapendwa hivi uasherati ndo upoje
Muasherati ni mtu anayefanya ngono Ikiwa bado hayuko kwenye ndoa, na mzinzi ni mtu anayefanya ngono na mtu mwingine ambaye sio mume au mke wake wakati yupo kwenye ndoa
Umebadili uasherati ni yule mwenye ndoa ila achepuka, Uzinzi ni wale wafanyao tendo la ndoa kabla ya ndoa
...... Uasherati ni kwa wanandoa,
Real, tofauti kati ya uzinzi na uasherati ni nin?
Thank u Lord for your voice. Father Lord forgive all my deeds,help me to your Way. Amem
Amen
AMEN AMEN 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤
Amina sana
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Aman sana dada
Amn
Amen
Amen
Amina asantee