ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

GAMONDI AKIANDAA DOZI NDANI YA AVIC TOWN AKIWA NA KIKOSI CHAKE | TAZAMA HAPA ILIVYOKUWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

ความคิดเห็น • 174

  • @ramadhanimzonge8217
    @ramadhanimzonge8217 หลายเดือนก่อน +21

    Mwenyezi mungu awaongoze kwakila jambo wt 2seme Aminiiiiii

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 หลายเดือนก่อน +44

    Yaan nawaombea kwa Mungu awalinde mweze kufanya mazoezi yenu mwanzo mwisho bila kupata shida yoyote

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t หลายเดือนก่อน +29

    Mungu awe pamoja nanyi nyote katika maandalizi yenu yakapate kuzaa matunda mazuri msim utakapoanza tukafanikiwe zaid ya msim uliopita🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤

  • @levislwamba5695
    @levislwamba5695 หลายเดือนก่อน +10

    My team yanga afrika Mungu awalinde ktk mazoezi nakufanya vzr zaidi

  • @hafidhkikocho9161
    @hafidhkikocho9161 หลายเดือนก่อน +11

    kwa mtazamo Wang mm naona kocha anafundisha kila mchezaji ajuae kukaba nampa big up Gamond ni bonge la kocha.

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e หลายเดือนก่อน +2

    Ee mora muumba mbingu na ardhi, twakukabidi wachezaji wote pamoja na makocha wote,viongozi wetu wote mkononi mwako, uwapatie ulinzi wako mzazi mtakatifu, popote pale walipo, uwaongoze makocha wetu,viongozi wetu, uwasisimamie katika majukumu yawo, kawapangie kira kitu wafayacho, uyafanikishe ww YESU, ww ndo temegezi na tumaini letu la mwisho katika mipango yetu yote aminaaaaaaaaa

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 หลายเดือนก่อน +20

    Allah awaepushie husda

  • @Muck_tz
    @Muck_tz หลายเดือนก่อน +13

    Waloona chemistry nzuri ya Aziz ki na chama like hapa za kutosha

  • @user-fj8un6mc9m
    @user-fj8un6mc9m หลายเดือนก่อน +7

    Jamani mimi naomba tarehe nane ifike nimemisi kuiona yanga inatoa dozi yatano na kuendelea 💚💚💚💚💚💛💛

  • @adamsaad3005
    @adamsaad3005 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu atuongoze msimu uwe wenye matunda

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko pambaneni tuko nanyi kwa maombi

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian หลายเดือนก่อน +36

    Wakwanza nipeni like zangu🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo หลายเดือนก่อน +11

    Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 หลายเดือนก่อน +9

    Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @AnithaStanley-t9q
    @AnithaStanley-t9q หลายเดือนก่อน +8

    Mungu awatie nguvu vija n

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g หลายเดือนก่อน

    Chama pole na mazoezi ya yanga utayazoea tu mdogo mdogo 💚💛💛💛💛💛💛💛🙏🙏🙏🙏

  • @user-ib5qd9hu8j
    @user-ib5qd9hu8j หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa afya njema, hekima na busara katika kila hatua ili tuweze kufanya vizuri tunawategemea saana mashujaa wetu mtupe furaha tena club bingwa tubebe kombe ili tuzidi kujiwekea heahima zaid

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 หลายเดือนก่อน

    Ukawe msimu bora insha'Allah 🙏👏🔰💚💚

  • @user-xe5mc3gt4g
    @user-xe5mc3gt4g หลายเดือนก่อน

    Aina kupoa hy nakubal master "GAMOND" daima mbele nyuma mwiko one love✌️

  • @IsrahMachota
    @IsrahMachota หลายเดือนก่อน +6

    Look the way our players doing nice physical exercises

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo หลายเดือนก่อน +3

    Ukiwa na nia na kitu basi jitihada lazima nausihofie msimamo wako Mungu akupeni afia njema amin

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian หลายเดือนก่อน +3

    Gamondi amempenda sana Chama

  • @NwakaMwangajapho-p3h
    @NwakaMwangajapho-p3h หลายเดือนก่อน +3

    kazi kazi wazee amna kuremba

  • @law93king
    @law93king หลายเดือนก่อน +1

    wazee wa kazi💚

  • @user-fv1vd8xt1g
    @user-fv1vd8xt1g หลายเดือนก่อน +6

    Forza Yanga

    • @spkaprotas
      @spkaprotas หลายเดือนก่อน

      Yanga ya nguvu yaani force Yanga or physical Yanga

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 หลายเดือนก่อน +2

    Allah awalinde wachezaji wetu na hasadi 🙏

  • @erickpaschal1639
    @erickpaschal1639 หลายเดือนก่อน +2

    Kocha Msahidizi nae hayupo na Daktari wa timu pia namuona mmoja tu.
    Viongozi Mpambane Timu yote iwepo kwa ajili ya maandalizi ya Msimu hujao

  • @maulidimgawe6823
    @maulidimgawe6823 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga blood

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga 💚💚💚💛💛💛🔰

  • @mbagochallange3882
    @mbagochallange3882 หลายเดือนก่อน +2

    Chama ameanza kufundishwa jinsi ya ku_press. 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley หลายเดือนก่อน

    Mashallah 💚💛🇹🇿

  • @UssinisualeChomar
    @UssinisualeChomar หลายเดือนก่อน +10

    wakwaza nipeni laik zangu

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk หลายเดือนก่อน

    Mda wa🔋💚🔋💪

  • @ShabanPaschal
    @ShabanPaschal หลายเดือนก่อน

    Allah waepushe na majeruhi🙏🏼🙏🏼

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES หลายเดือนก่อน +2

    Huu uwanja kama huna d mbili huwezi just hapo wanakabiliana na viwanja vyovyote especially isamuhyo stadium au wanayanga wenzangu mmejizima mkongo wa taifa😅😅😅😅

  • @AmashaMchelemi-bq9yv
    @AmashaMchelemi-bq9yv หลายเดือนก่อน +4

    Namba moja oyoo

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awape nguvu

  • @SalimKulwa
    @SalimKulwa หลายเดือนก่อน +3

    Wakwanza meme jamani 😅

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 หลายเดือนก่อน +3

    Chama kazoea mfumo wa yanga tayari🎉🎉 na boka, pia na wenginewe

  • @HappySaid-n7b
    @HappySaid-n7b หลายเดือนก่อน +2

    Mm wakwanza naomben lake zang

  • @eliadausen3025
    @eliadausen3025 หลายเดือนก่อน +3

    Swap ina like yangaaaa

  • @CheruVitus
    @CheruVitus หลายเดือนก่อน +1

    Napatwa na ugwadu jamani me na yanga yangu niacheni

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 หลายเดือนก่อน

    Inshaallah tutashinda kila mchezo na inshaallah ubingwa tutachukuwa

  • @ZainabuHassani-fe8ur
    @ZainabuHassani-fe8ur หลายเดือนก่อน

    Tupo pamoja sana ❤❤❤

  • @KarrimAlly
    @KarrimAlly หลายเดือนก่อน +2

    Mi wa kwnza leoooo

  • @cosmasdominic9129
    @cosmasdominic9129 หลายเดือนก่อน +2

    Wa kwanza ku comment leo😅😅

  • @rogersiddy
    @rogersiddy หลายเดือนก่อน +1

    Kila nikiangalia Musonda simuoni kabisa sijui ndo washamuuza dah jamaa mshambuliaji lakini anajua kusaidia timu inaposhambuliwa nikikumbuka mechi mbili na MAMELODI alijua kumpa shughuli MUDAU

  • @barakadalba8732
    @barakadalba8732 หลายเดือนก่อน +1

    No. 1

  • @yassinsaid-p4l
    @yassinsaid-p4l หลายเดือนก่อน

    Kwel mbarikiwe san

  • @RichardAmosi-hz3nm
    @RichardAmosi-hz3nm หลายเดือนก่อน

    Chama chama baba weee

  • @mkoladavid9095
    @mkoladavid9095 หลายเดือนก่อน

    💚💚💛💛

  • @BarakakimarioEvance
    @BarakakimarioEvance หลายเดือนก่อน

    Hongereni wacjesßs red to

  • @user-tb5gp4wi4e
    @user-tb5gp4wi4e หลายเดือนก่อน +1

    Chama la wana

  • @EDWADYKAPINGA
    @EDWADYKAPINGA หลายเดือนก่อน +1

    ❤ yanga naipenda kupindukia❤

    • @EDWADYKAPINGA
      @EDWADYKAPINGA หลายเดือนก่อน

      Timu ya msimu huu sijui kama atakula kumi

  • @Dopa5115
    @Dopa5115 หลายเดือนก่อน

    Kila atua dua wachezaji wetu🙏🙏🙏

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj หลายเดือนก่อน

    Mungu awalinde amiin

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba หลายเดือนก่อน

    Miguu ya aziziii imekomaaaaaaaaaa😅😅😅 vigimbi

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤kika la kheri kwenyewe mandalizi ya msimu ujao ❤

  • @GASHFALIVINGSTONE-yy4zc
    @GASHFALIVINGSTONE-yy4zc หลายเดือนก่อน +1

    Yanga bingwa

  • @raymondswed7358
    @raymondswed7358 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu bariki chama la wana hili😅😂😂

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 หลายเดือนก่อน

    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 🎉🎉🎉🎉

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 หลายเดือนก่อน +2

    Debora FC msilete team uwanjani mtalia 😂😂😂😂😂

  • @LembrisTikoini
    @LembrisTikoini หลายเดือนก่อน

    Eti Aziz Ananda Simba hiyo ninani

  • @MTUMZIMADAWA
    @MTUMZIMADAWA หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SelemanFeisal
    @SelemanFeisal หลายเดือนก่อน

  • @emanuelijabu
    @emanuelijabu หลายเดือนก่อน

    🔰

  • @user-tp2lq4bd7o
    @user-tp2lq4bd7o หลายเดือนก่อน

    Mliosema chama hajui mpila wa kukimbizana Sasa ananolewa kazi mnayo

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule หลายเดือนก่อน

    Kama Ndoto Kumuona Chama Yupo Yanga Jaman Rais Kapambana Sana Nasi Tulipe Ada Kwa Wakat

  • @othumanjambia9698
    @othumanjambia9698 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmm hapa wataisha

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 หลายเดือนก่อน

    Kwani musonda kaachwa msimu huu

  • @EliudVicenti
    @EliudVicenti หลายเดือนก่อน +1

    Chama mwenyewe anashangaa mbona Simba tulikwa hatufanyi ivi jamani!!!!

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere หลายเดือนก่อน +1

    Uwanja wa mazoezi siyo rafiki kwa afya ya wachezaji hukuna nyasi

  • @Awadhiahmady
    @Awadhiahmady หลายเดือนก่อน

    Aucho wp

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi564 หลายเดือนก่อน

    Yanga Bingwa Tena

  • @raymlowe6309
    @raymlowe6309 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥

  • @yollah
    @yollah หลายเดือนก่อน

    BACCA MBONA SIMUONI WADAU 😢

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 หลายเดือนก่อน

      Yuko kavaa jezi no 4

  • @Edsonmutalemwa
    @Edsonmutalemwa หลายเดือนก่อน

    Wa kwanzq mie

  • @AnnaJayden-k4m
    @AnnaJayden-k4m หลายเดือนก่อน

    Kazeni misuri mmlegea sana sijui ndo uzee😂yanga yetu imekuwa ya wazee Angalieni mfano kwa majiran zetu

  • @blairmangani2341
    @blairmangani2341 หลายเดือนก่อน

    MUNGU naomba wabaliki hawa vijana,waepushe na majeraha

  • @MohamedMalik-g6d
    @MohamedMalik-g6d หลายเดือนก่อน +1

    Anaandaliwa mtu goli 10 mara hii

  • @erickmbise1063
    @erickmbise1063 หลายเดือนก่อน +2

    Hii yanga inatufanya tuwe youtube kila saa saaa 😂😂

  • @MustafaKiwelu
    @MustafaKiwelu หลายเดือนก่อน

    Me cjaelewa why DUKE ABUYA wakati tuna namba 10 wanne why tusisajili mawinga kwamba mwaka huu hakuna mfumo wa kutumia mawinga apo napingana napo 😮

  • @LightMeck
    @LightMeck หลายเดือนก่อน

    Huyu gamond na chama ni kama kuna kitu

  • @user-fk2ul5ux1c
    @user-fk2ul5ux1c หลายเดือนก่อน

    Unaweka nn kelele mingi xn xo badilika kk japo nami ni mwananchi kelele xo pw

  • @davidmassawe9288
    @davidmassawe9288 หลายเดือนก่อน

    Uwanja tope dadekii😅😅

  • @felixmoris8501
    @felixmoris8501 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 หลายเดือนก่อน

    Mbna uwanja umechakaa sana hawa wamiliki walikua wanafanya kazi gani wakat wa ligi kuisha

  • @Elizakindole
    @Elizakindole หลายเดือนก่อน

    Tinawayakia heri

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 หลายเดือนก่อน

    Baka lile goli alilofunga Michael Kublan hatutaki tena ulijiangusha kizembe hata eli capitano Mwamnyeto hakuwa makini na shap kuzuia shut

  • @AshaAli-px3ln
    @AshaAli-px3ln หลายเดือนก่อน

    Allah afanye muwe waislam nyote

  • @user-wz2rx2qy5u
    @user-wz2rx2qy5u หลายเดือนก่อน

    Mazoezi ya ku press na jinsi ya kuzuia mpira usiingie kwa mpinzani na jinsi ya kuvunja ukuta wa mpinzani yaani penetration pass🙌🙌

  • @abuuswabr1781
    @abuuswabr1781 หลายเดือนก่อน

    💚💚💚

  • @Elizakindole
    @Elizakindole หลายเดือนก่อน

    Wazee baba yako

  • @AhmedChitenda
    @AhmedChitenda หลายเดือนก่อน

    Hiyo kutu noma

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 หลายเดือนก่อน

    Naona Kuna timu inakufa hamsini msimu huu

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 หลายเดือนก่อน +1

    Mboni chama mvivu wa kukaba apo

  • @WilsonCharles-lr1ko
    @WilsonCharles-lr1ko หลายเดือนก่อน

    Wachezaji wakunwa ila Vifaa vya mazoezi viongozi hakuna.. Timu ina train kawaida sana. Tuslozike na watu tukaacha kuboresha mazingira ya mazoezi

  • @IssackJackson
    @IssackJackson หลายเดือนก่อน

    Ebu tuone kidogo hapo angalia uwanja wanao fanyia mazoez makolo halaf uangalie na wanao fanyia simba mnyama utangundua kitu

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 หลายเดือนก่อน

    Bwana awe naanyiii