ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
HIGHLIGHTS: Vitalo FC 0 - 4 Yanga SC Highlights CAF CL.Yanga TV
มุมมอง 20K
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"BBC News Swahili
มุมมอง 142K
ไฮไลท์เจลีก คอนซาโดเล่ ซัปโปโร เปิดบ้านถล่ม ซางัน โทสุ 5-3 | 16.08.24Siamsport
มุมมอง 167K
Running With Bigger And Bigger FeastablesMrBeast
มุมมอง 70M
[LIVE] : ONE ลุมพินี 75 | คู่เอก "คมเพชร vs โอมาร์"Ch7HD
มุมมอง 568K
Константин Сивков | Курск: Анализ ситуации | Окружение и вытеснение группировкиАбстрактное Понимание
มุมมอง 173K
#CAFCL: Mu Myitozo iri Hejuru, Abakinnyi Biyemeje Gutanga Byose Imbere ya AZAM FC i Dar Es SalaamAPR FANBASE OFFICIAL
มุมมอง 114
When A Gang Leader Confronted Muhammad AliBoxing After Dark
มุมมอง 7M
AYO TV YATINGA KAMBINI KWA MAMA MZAZI WA BACCA, FAHAMU USIOYAJUA "YEYE PIA NI AFANDE"Millard Ayo
มุมมอง 502K
เด็กปั๊มโดดเกาะรถชิ่งค่าน้ำมัน 2,500 บาท | สำนักข่าววันนิวส์ข่าวช่องวัน
มุมมอง 1.7M
น้าครับ..ผมรักน้า EP.04 - ปีกแดงเดอะซีรีส์2024[ฟินมาก] บทซีรีส์สร้างขึ้นเพื่อความบันเทิงเท่านั้นเอ็มวีดี ซีรีส์ม่วน MVD系列很有趣
มุมมอง 85K
นนท์เดอะซีรีส์ EP.23 ตอน ห่าก้อม โคตรปอบมนต์ดำ | หลอนไดอารี่หลอนไดอารี่
มุมมอง 1.1M
ถือของห้ามปล่อย 10 นาที ได้ 500 บาท #aum_ccp #shortsAUM_CCP
มุมมอง 99K
อดีตตำรวจเตะเณรปากแตก ข้อหาซุกเมียผม ลั่นเคลียร์มาให้จบจะเอายังไง l EP.1738 l 16 ส.ค.67โหนกระแส [Hone-Krasae] official
มุมมอง 1.2M
FANART แลกโรบัคฟรี! แต่กลับได้เจอเรื่องสุดโหด!! #เกมกับshorts #roblox #freerobuxWinrockeR ChanneL WKC ヅ
มุมมอง 132K
Mwenyezi mungu awaongoze kwakila jambo wt 2seme Aminiiiiii
Yaan nawaombea kwa Mungu awalinde mweze kufanya mazoezi yenu mwanzo mwisho bila kupata shida yoyote
Ameen
Amina
Ameen
Amina
Amen!
Mungu awe pamoja nanyi nyote katika maandalizi yenu yakapate kuzaa matunda mazuri msim utakapoanza tukafanikiwe zaid ya msim uliopita🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Amina kubwa
Aminaaaaaaa!
Amen
Aminaaaa kubwaa
Amina
My team yanga afrika Mungu awalinde ktk mazoezi nakufanya vzr zaidi
kwa mtazamo Wang mm naona kocha anafundisha kila mchezaji ajuae kukaba nampa big up Gamond ni bonge la kocha.
Ee mora muumba mbingu na ardhi, twakukabidi wachezaji wote pamoja na makocha wote,viongozi wetu wote mkononi mwako, uwapatie ulinzi wako mzazi mtakatifu, popote pale walipo, uwaongoze makocha wetu,viongozi wetu, uwasisimamie katika majukumu yawo, kawapangie kira kitu wafayacho, uyafanikishe ww YESU, ww ndo temegezi na tumaini letu la mwisho katika mipango yetu yote aminaaaaaaaaa
Allah awaepushie husda
Waloona chemistry nzuri ya Aziz ki na chama like hapa za kutosha
M nmeona biology
Jamani mimi naomba tarehe nane ifike nimemisi kuiona yanga inatoa dozi yatano na kuendelea 💚💚💚💚💚💛💛
Mungu atuongoze msimu uwe wenye matunda
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko pambaneni tuko nanyi kwa maombi
Wakwanza nipeni like zangu🎉
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Mungu awatie nguvu vija n
Chama pole na mazoezi ya yanga utayazoea tu mdogo mdogo 💚💛💛💛💛💛💛💛🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa afya njema, hekima na busara katika kila hatua ili tuweze kufanya vizuri tunawategemea saana mashujaa wetu mtupe furaha tena club bingwa tubebe kombe ili tuzidi kujiwekea heahima zaid
Ukawe msimu bora insha'Allah 🙏👏🔰💚💚
Aina kupoa hy nakubal master "GAMOND" daima mbele nyuma mwiko one love✌️
Look the way our players doing nice physical exercises
Ukiwa na nia na kitu basi jitihada lazima nausihofie msimamo wako Mungu akupeni afia njema amin
Gamondi amempenda sana Chama
kazi kazi wazee amna kuremba
wazee wa kazi💚
Forza Yanga
Yanga ya nguvu yaani force Yanga or physical Yanga
Allah awalinde wachezaji wetu na hasadi 🙏
Kocha Msahidizi nae hayupo na Daktari wa timu pia namuona mmoja tu.
Viongozi Mpambane Timu yote iwepo kwa ajili ya maandalizi ya Msimu hujao
Yanga blood
Yanga 💚💚💚💛💛💛🔰
Chama ameanza kufundishwa jinsi ya ku_press. 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Mashallah 💚💛🇹🇿
wakwaza nipeni laik zangu
Mda wa🔋💚🔋💪
Allah waepushe na majeruhi🙏🏼🙏🏼
Huu uwanja kama huna d mbili huwezi just hapo wanakabiliana na viwanja vyovyote especially isamuhyo stadium au wanayanga wenzangu mmejizima mkongo wa taifa😅😅😅😅
Namba moja oyoo
Mungu awape nguvu
Wakwanza meme jamani 😅
Chama kazoea mfumo wa yanga tayari🎉🎉 na boka, pia na wenginewe
Mm wakwanza naomben lake zang
Swap ina like yangaaaa
Napatwa na ugwadu jamani me na yanga yangu niacheni
Inshaallah tutashinda kila mchezo na inshaallah ubingwa tutachukuwa
Tupo pamoja sana ❤❤❤
Mi wa kwnza leoooo
Wa kwanza ku comment leo😅😅
Kila nikiangalia Musonda simuoni kabisa sijui ndo washamuuza dah jamaa mshambuliaji lakini anajua kusaidia timu inaposhambuliwa nikikumbuka mechi mbili na MAMELODI alijua kumpa shughuli MUDAU
No. 1
Kwel mbarikiwe san
Chama chama baba weee
💚💚💛💛
Hongereni wacjesßs red to
Chama la wana
❤ yanga naipenda kupindukia❤
Timu ya msimu huu sijui kama atakula kumi
Kila atua dua wachezaji wetu🙏🙏🙏
Mungu awalinde amiin
Miguu ya aziziii imekomaaaaaaaaaa😅😅😅 vigimbi
❤❤❤❤kika la kheri kwenyewe mandalizi ya msimu ujao ❤
Yanga bingwa
Mungu bariki chama la wana hili😅😂😂
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 🎉🎉🎉🎉
Debora FC msilete team uwanjani mtalia 😂😂😂😂😂
Eti Aziz Ananda Simba hiyo ninani
🎉🎉🎉🎉🎉
❤
🔰
Mliosema chama hajui mpila wa kukimbizana Sasa ananolewa kazi mnayo
Kama Ndoto Kumuona Chama Yupo Yanga Jaman Rais Kapambana Sana Nasi Tulipe Ada Kwa Wakat
Mmmm hapa wataisha
Kwani musonda kaachwa msimu huu
Chama mwenyewe anashangaa mbona Simba tulikwa hatufanyi ivi jamani!!!!
😂😂
Uwanja wa mazoezi siyo rafiki kwa afya ya wachezaji hukuna nyasi
Aucho wp
Yanga Bingwa Tena
🔥🔥🔥🔥
BACCA MBONA SIMUONI WADAU 😢
Yuko kavaa jezi no 4
Wa kwanzq mie
Kazeni misuri mmlegea sana sijui ndo uzee😂yanga yetu imekuwa ya wazee Angalieni mfano kwa majiran zetu
MUNGU naomba wabaliki hawa vijana,waepushe na majeraha
Anaandaliwa mtu goli 10 mara hii
Hii yanga inatufanya tuwe youtube kila saa saaa 😂😂
Me cjaelewa why DUKE ABUYA wakati tuna namba 10 wanne why tusisajili mawinga kwamba mwaka huu hakuna mfumo wa kutumia mawinga apo napingana napo 😮
Huyu gamond na chama ni kama kuna kitu
Unaweka nn kelele mingi xn xo badilika kk japo nami ni mwananchi kelele xo pw
Uwanja tope dadekii😅😅
❤❤❤❤
Nice
Mbna uwanja umechakaa sana hawa wamiliki walikua wanafanya kazi gani wakat wa ligi kuisha
Tinawayakia heri
Baka lile goli alilofunga Michael Kublan hatutaki tena ulijiangusha kizembe hata eli capitano Mwamnyeto hakuwa makini na shap kuzuia shut
Allah afanye muwe waislam nyote
Mazoezi ya ku press na jinsi ya kuzuia mpira usiingie kwa mpinzani na jinsi ya kuvunja ukuta wa mpinzani yaani penetration pass🙌🙌
💚💚💚
Wazee baba yako
Hiyo kutu noma
Naona Kuna timu inakufa hamsini msimu huu
Mboni chama mvivu wa kukaba apo
Wachezaji wakunwa ila Vifaa vya mazoezi viongozi hakuna.. Timu ina train kawaida sana. Tuslozike na watu tukaacha kuboresha mazingira ya mazoezi
Ebu tuone kidogo hapo angalia uwanja wanao fanyia mazoez makolo halaf uangalie na wanao fanyia simba mnyama utangundua kitu
Bwana awe naanyiii