@@mms9158 kama unaamini mazinge ana kitu umekwisha ...binafsi mi nikimpa challenge hapa ndani ya hyohyo Quran yenu atabaki kuduwaa tu...we mfatilie vema kuna siku nimewah kumsikiliza hadi alijikuta amewasapoti wakristo pasipo yeye kujua...ila akatengeneza mazingira ya kuipamba hoja, ila siku hyo alilemewa
@@mussamalekela2107 ...Wacha niamini ujinga,ila kuna wakati Mungu yeye mwenyewe atatuonesha ukwel uko wapi..Yani Mimi nkwambie kwa.hyo.imani yako..kama hujui sabato,hujui maana ya Chukizo la uharibifu,hujui maana ya Alama ya mnyama.. nakwambia ukweli una safari ndefu ya kusafiri kiroho,,,bisha Hadi upige mieleka ila ukweli ndo ulivo
Pia kumbuka kwamba majini wanaishi hapa hapa duniani maeneo ya baharini, mapangoni,kwenye miti mikubwanamajengo yalio hamza na wao ndio manzoni Allah kuwaleta duniani kabla ya nabii Adam na mkewe bibi hawaa kuletwa
@@Visitezavecramso...:: Hapa tutabaki kubishana tu maana nachoamini Mimi siku zote Imani kwa mtu asietaka kujua ni lazima iwe na nguvu kuliko ukwel halisi,,ko wewe endelea kuamini uanchokiamini,,sababu hujanielewa,,au labda nikuulize kwa njia rahisi,Je majini ndiyo SHETANI/LUCIFER.?...Ikiwa jibu lako ni ndyo Basi utakuwa umeelewa kule juu nmemaanisha Nini,lakini kama jibu lako ni hapana basi Imani unayoiamini bado haijakusaidia kitu na Wala hatutaelewana Hadi Siku ya kiyama
Wakati alikua tumboni yesu mungu alikua naini ivi munajua kuwa miezi 9 sio kidogo 😂😂😂😂 mungu gani alikua akiongoza ulimwengu na ndoman Ndacha akakukimbia safi san Ustath Mazinge
@@Emmanuel-q8l uma amuma umeharibu watu Sana ,sayansi ya Kiroho ni tofauti na kimwili au kiakili zako ,Roho unaweza kufanya lolote kwa wakati wote ,labda mfano huu utakusaidia mchawi anao uwezo wa kusafiri na kitandani kaacha mwili na kule alikokwenda anawaloga watu Sana na kuwachanja chale ,na ameingia ndani kwa watu bila hodi na milango imefungwa ,hapo inakuaje ,haya mambo yanawatatiza Sana kutokana na Mungu wenu mmemfanya kua dhaifu Sana ,hamjui uwezo wake , kama mchawi anajigeuza kua paka ,mbwa ,nyoka nk inamshinda Nini Mungu wa kweli kua au kufanya apendavyo? Yaani Hilo swali lako hata mazinge analipendaga Sana na hiyo inaonyesha kua ufahamu wako na yeye ni mapacha.
Angalia huyu yesu ni mtoto wa mungu au mtume ndiyo maana maandiko yanasema kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu ndipo akamtoa mwanawe wa pekee ili kila mtu amwaminie asipotee
Shafi wewe ni moto ndacha Hana hoja analuka Luka maneno awezi uyoo mashekhe zetu Allah awajalie maisha malefu maisha mazri apa duniani kabrini nakeshi akhera tunawapenda sana mashekhe zetu
FROM BURUNDI: VITABO HIVYO NIVYA ZAMANI SANA, IMEKUWA HISTORIA TU. HADI LEO MWENYEZIMUNGU YUKO KAZINI, ANAONGEA . ILA VITABU HIVI VYA ZAMANI, VINAWAPA FAIDA WAKU WA DINI. KAMA MAFARISAYO NA WAKU WA DINI, WALIKATA KU MWAMINI KRISTO KWA FAIDA YAO. ACENI BYASHARA HIYO, TAFUTENI NI NINI MWENYEZIMUNGU YKO ANAONGEA LEO NA ANATENDA ...
Sasa kama ingekua hivyo inamaana gn M/mungu anamaana Gani kuumba pepo na moto??Wakati kila anaefuata dini yake yupo sahihi?Amefanya hivyo ili akawachome wale wote waliokwenda kinyume na dini yake nayo ni UISLAMU. "Wala usiseme jambo ambalo huna ujuzi nalo,Hakiki ya masikio macho na nyoyo hivyo ni vyenye kuulizwa".so,kua makini ndugu yangu puumzi zisikuhadae.
@@zahorsuleyman7617 Dini kitu gn!? mwatetea dini zlozoja wazinzi,wezi,waongo,waabudu sanamu na kila aina ya uchafu🤔😥.. Ili uweze itetea din yako,hakikisha haina mtenda baya hata m1.. Kwa Mungu hakna din.. Kna KUTUBU NA KUIAMIN INJILI(hbr njema),baas..!
A fool reasons like you, if the missionaries didn't bring Christianity to Africa or Muhammad dispersed the Swahabas to different destinations of the world . ..... How would have these reached us?
@@jamesgasper6764 Biblia siyo phylosopy kaka,ni wewe tu huelewi,,,Mi niseme tu ukwel hata ningekua mjinga wa mwisho kwenye hii Dunia,,siwezi kumtafuta Mungu kwa lugha isiyoeleweka,Yan Mungu kweli nimtafute kwa lugha za watu zsizoeleweka na Hapo ndo mlipigwa,,,ila kwa vile tyr ni Iman Iko ndani yenu,,endeleeni kuamini,mi nachoamini ishara za mwisho wa dunia ztawathibitishia anachokisema ndacha,,mf: Alama ya mnyama,,,Yan hapa mtanielewa anachokisema Leo hii
Sioni ugumu wa swali hilo,,swali ni wakati Yesu alikuwa tumboni mwa Mariamu Mungu alikuwa wapi??.Sasa na mimi naomba niwaulizeni swali(ikiwa mnakataa kuwa Yesu sio mwana wa Mungu ✍️basi kwa nini Yesu alizaliwa na mwanamke ambaye alikuwa Bikira hakuwahi jua mwanamume katika maisha yake mbona asingezaliwa kama mitume wakawaida walio pita??
Unaweza kupima akili yk km kuzaliwa kw nabii issa bila baba kwko imekua miujiza kiasi cha kuona ni mungu ss ww unamtazamaje adamu na eva tuazie apo ndugu unayepima mamb kw akili kisodo afu angalia mbigu na nanchi afu zipo miaka yote amna nguzu na zimepoa wee mjinga embu fungua akil afu uje ujibu haya maswala
Ningependa kusema mazinge unakutuna na watu wasio jua ningependa nimuweke kwenye meza moja na DK Shamon au aje hapa uingeleza kwenye sehemu inaitwa Debate corner
Yaani duniani kuna wa pumbavu wengi ila wa Africa tumezidi, kipi kigumu kuelewa kwamba kila mwanadamu ataukumiwa kutokana na Kitabu chake na matendo yake pia. Sasa huo usumbufu wa kila siku unasaidia nini? Fanyeni Kazi ongezeni Kipato cha taifa
Jibu lake Yesu alivo kua tumbon mwa malia mungu alikua nimungu baba ila mung dunian alikuja kupitia mwili wamwanaee yesu christo ku komboa ulimwengu kila amfataee apate kukombolewa nakila ampingaee mota wajeanam niwake kama wew mazingee nawafas wakowote wakufatao kufata
Hawa mabwege nawauliza na mimi ivi waty wa mwanzo kuumbwa duniani alikua akiabudu nini? Namaanisha adam na hawa ....baaada ya majibu kutoka nawaambia waache ujinga waache upotovu ....nawakaribisha kwenye uislamu
Yaaan nyie wote siwaelewi hv mnajadili vitu vilivyokuwepo au vilivyopangwa hata kabla ya kuumbwa ulimwengu mnafikiri majibu yenu niyakweli? Ishini vema2 mtabarikiwa mnaweza kuwa na majibu yenu lkn msiishi kile mnachokizungumza.
wakati YESU yupo tumboni kwa mama yake MARIA....MUNGU ALIKUA NANI,,,,,,,,,Mazingeeee mungu anakuona ujue......hahahahhha Yaani hilo swali halihitaji hata aliekuwa darasa la saba
Wewe na huyo mazinga hamueleweki yesu ni mtoto wa mungu au mtume,ndiyo maana maandiko yanasema kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili kila mtu amwaminie asipotee bali awe na uzima wa milele
Uliza maswali ya kiroho ulizingatia dini huwezi uliza eti Yesu alipokuwa tumboni Mungu alikuwa nani Hiyo ina maana tayari humtambui Mungu wakati yt? Ndo kaumba dunia We ni mjinga sana
Hivi mfano wakristo wa Sasa ingetokea wameishi kipindi mama Mariamu Ana mimba ya YESU, halafu anatokea mtu anakuuliza MUNGU wako yuko wapi? Ungenyoosha kidole kwenye tumbo la mariamu au Ungenyoosha kidole chako juu kuhashiria MUNGU yupo juu?
Naomba jibu kwa swali langu.,Je mkristo Ndacha anaamini Quran?kama anaiamini asilimu.Kama haiamini Quran...awache kutafuta usaidizi kwa Quran kusaidia mada zake.
Soma yote sio kuchaguliwa pakusoma kanisani yule pastor wa Nigeria nawafuasi wake walisilimu,ingia youtube utafute wale wachungaji walikuwa na ndacha mchungaji WAZIRI namwenzake alokuwa mwalimu wa ndacha wamesilimu baki ww na ujuha wako
Kafiri ni wewe usiye Enda chooni bila Maji.. Uchafu wa Moyo na Uchafu wa tabiya Munayo.. kwaKufuru kwenu MwenyeziMungu, ina wafanya Mukuwe watu Wasiyo jieelewa
NDACHA NI mwalimu wa waislamu wote duniani. Ila nampendaga MAZINGE kwa sababu ni mtu ambaye hakimbii miadhara kama SHAFII na anakubali vitabu kusomwa ijapo ni comedian😂😂😂😂😂
Kuna vitu vingi sana havikuandikwa kwa kuruani.Lakini yote haya ni Warabu na Wazungu ndio wanaacha Wafrika wahubiri wa kislamu na kristo kukosana.Na wataendelea kukosana coz Wafrica hawajielewi ndio nama mpaka sasa wanatawaliwa na Wazungu na Warabu.
Ishi miaka mingi shekhe mazinge allah akufanyie wepesi inshaallah
AA'MIIN!!!
Masha Allah Masha Allah Tabarak Rahman,, vipenzi vya Allah..tuko pamoja mkono kwa mkono had pepeni.. amiin 🤲
😂😂😂 ostadh masha allah❤❤❤
Mashalaa Mashehe wetu Mwenyezi Mungu awape maisha marefu . Awape Leo na kesho Ahera Kwa huruma zake na uwezo wake .
Mwenyezimungu akufanyie wepesi mzee wetu mazinge Allah akuzidishie umri uzidi kufanya daawa 🎉
Shaf umeshindwa mudaharoooo😅😅😅😅aibu
Mansha allah Mungu akizidishie umuri mwingi Mazinge wetu
Shekhe mazinge wewe poa kwenye masuala Alla akupe afia yako daima
Mazinge hamna kitu
@@mms9158 kama unaamini mazinge ana kitu umekwisha ...binafsi mi nikimpa challenge hapa ndani ya hyohyo Quran yenu atabaki kuduwaa tu...we mfatilie vema kuna siku nimewah kumsikiliza hadi alijikuta amewasapoti wakristo pasipo yeye kujua...ila akatengeneza mazingira ya kuipamba hoja, ila siku hyo alilemewa
Nani ana kitu hapo!au ushabiki Tu WA kikristo!
Aamiiin
Amiiiin
Ustadh Shafi Allah akulinde na akupe nguvu ulinde uislam
Ameen
Shafi ni hatar walahi nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh shafii
Shafiii ❤❤❤❤ nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah akupe umri mrefu shekh mazinge
nakuaminia mazingeee auna bayaa we ni kiboko umesoma unajua allah akulipe kheri
Mazinge shehewetu. Kwani kofia zako unanunuawapi😂 ilamaashaallah nawapenda waadhili Allah akupeni uri mlefu wenye heri nanyi
Allah akbar ❤
😂😂😂😂 ety mchez wa kukimbia anao sana
Swali zuri sana Mazinge 'Wakati Yesu yupo tumboni Mungu alikuwa nani?'
@@davisadawson14hilonalo swali Gani? Mizimu ndio vitu Gani! Bado TU unaamini ujinga
@@mussamalekela2107 ...Wacha niamini ujinga,ila kuna wakati Mungu yeye mwenyewe atatuonesha ukwel uko wapi..Yani Mimi nkwambie kwa.hyo.imani yako..kama hujui sabato,hujui maana ya Chukizo la uharibifu,hujui maana ya Alama ya mnyama.. nakwambia ukweli una safari ndefu ya kusafiri kiroho,,,bisha Hadi upige mieleka ila ukweli ndo ulivo
@@davisadawson14hueleweki tatizo cjui umeuliza nn halafu mungu kaumba majini sio mizimu,sio mapepo wala shetani kwahyo jipange utajibiwa
Pia kumbuka kwamba majini wanaishi hapa hapa duniani maeneo ya baharini, mapangoni,kwenye miti mikubwanamajengo yalio hamza na wao ndio manzoni Allah kuwaleta duniani kabla ya nabii Adam na mkewe bibi hawaa kuletwa
@@Visitezavecramso...:: Hapa tutabaki kubishana tu maana nachoamini Mimi siku zote Imani kwa mtu asietaka kujua ni lazima iwe na nguvu kuliko ukwel halisi,,ko wewe endelea kuamini uanchokiamini,,sababu hujanielewa,,au labda nikuulize kwa njia rahisi,Je majini ndiyo SHETANI/LUCIFER.?...Ikiwa jibu lako ni ndyo Basi utakuwa umeelewa kule juu nmemaanisha Nini,lakini kama jibu lako ni hapana basi Imani unayoiamini bado haijakusaidia kitu na Wala hatutaelewana Hadi Siku ya kiyama
Wakati alikua tumboni yesu mungu alikua naini ivi munajua kuwa miezi 9 sio kidogo 😂😂😂😂 mungu gani alikua akiongoza ulimwengu na ndoman Ndacha akakukimbia safi san Ustath Mazinge
Kwa hiyo una maanisha Mungu akiwa tumboni hawezi kuwa mahali nyingine.
@@Emmanuel-q8l uma amuma umeharibu watu Sana ,sayansi ya Kiroho ni tofauti na kimwili au kiakili zako ,Roho unaweza kufanya lolote kwa wakati wote ,labda mfano huu utakusaidia mchawi anao uwezo wa kusafiri na kitandani kaacha mwili na kule alikokwenda anawaloga watu Sana na kuwachanja chale ,na ameingia ndani kwa watu bila hodi na milango imefungwa ,hapo inakuaje ,haya mambo yanawatatiza Sana kutokana na Mungu wenu mmemfanya kua dhaifu Sana ,hamjui uwezo wake , kama mchawi anajigeuza kua paka ,mbwa ,nyoka nk inamshinda Nini Mungu wa kweli kua au kufanya apendavyo? Yaani Hilo swali lako hata mazinge analipendaga Sana na hiyo inaonyesha kua ufahamu wako na yeye ni mapacha.
Angalia huyu yesu ni mtoto wa mungu au mtume ndiyo maana maandiko yanasema kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu ndipo akamtoa mwanawe wa pekee ili kila mtu amwaminie asipotee
Allah akibr
jazaka llah lkhair❤❤❤
Shafi wewe ni moto ndacha Hana hoja analuka Luka maneno awezi uyoo mashekhe zetu Allah awajalie maisha malefu maisha mazri apa duniani kabrini nakeshi akhera tunawapenda sana mashekhe zetu
We shekh humuwezi ndacha we boya mno
Subhanallah
FROM BURUNDI: VITABO HIVYO NIVYA ZAMANI SANA, IMEKUWA HISTORIA TU. HADI LEO MWENYEZIMUNGU YUKO KAZINI, ANAONGEA . ILA VITABU HIVI VYA ZAMANI, VINAWAPA FAIDA WAKU WA DINI. KAMA MAFARISAYO NA WAKU WA DINI, WALIKATA KU MWAMINI KRISTO KWA FAIDA YAO. ACENI BYASHARA HIYO, TAFUTENI NI NINI MWENYEZIMUNGU YKO ANAONGEA LEO NA ANATENDA ...
Mola akuongoze shehk wetu daima
Kweli Shaffih mbugila mbugila
Wanamacho lakin hawaoni Wana maskio lakini hawaskii nyoyo zao Zina vizibo
Mwongo wewe Mazinge,Ndacha ni kichwa humwezi
Shafiiiiii...Kwahiyo Unatuambia Kwamba Ukishasoma Maandiko Ya Mtume Paulo Ndo Tayari Umeshasoma Utume Wake?
UZEE NI SHIDAA MAZINGEE.HEBU WAACHIE VIJANAA
Alah akbar
Mashaallah Allah awafanyie wepesi
Kila mwanadamu ataenda kumwabudu mungu kupitia dini yake na si kulazimishana bila faida yoyote.
Hujalazimishwa.kua muelewa.
Umepata wapi hiyo kila mwana Adamu afuate dini yake na wote wafaulu wewe nikipofu wa moyo
Sasa kama ingekua hivyo inamaana gn M/mungu anamaana Gani kuumba pepo na moto??Wakati kila anaefuata dini yake yupo sahihi?Amefanya hivyo ili akawachome wale wote waliokwenda kinyume na dini yake nayo ni UISLAMU. "Wala usiseme jambo ambalo huna ujuzi nalo,Hakiki ya masikio macho na nyoyo hivyo ni vyenye kuulizwa".so,kua makini ndugu yangu puumzi zisikuhadae.
@@zahorsuleyman7617 Dini kitu gn!? mwatetea dini zlozoja wazinzi,wezi,waongo,waabudu sanamu na kila aina ya uchafu🤔😥.. Ili uweze itetea din yako,hakikisha haina mtenda baya hata m1.. Kwa Mungu hakna din.. Kna KUTUBU NA KUIAMIN INJILI(hbr njema),baas..!
A fool reasons like you, if the missionaries didn't bring Christianity to Africa or Muhammad dispersed the Swahabas to different destinations of the world . ..... How would have these reached us?
Mashallh allh awazidishie mashekhe wetu namshauri mchungaji ndacha nawenzako musilimu tu
Ndacha mjanja mjanja tu ila hajui dini yeye anabase ktk philosophy ambayo imeandikwa na binadam(wazungu) ila sio mandiko ya mungu.
Moton wew
@@jamesgasper6764 umekwisha wewe
Ko nyiee mnasoma alicho andika mwalabu
@@jamesgasper6764 Biblia siyo phylosopy kaka,ni wewe tu huelewi,,,Mi niseme tu ukwel hata ningekua mjinga wa mwisho kwenye hii Dunia,,siwezi kumtafuta Mungu kwa lugha isiyoeleweka,Yan Mungu kweli nimtafute kwa lugha za watu zsizoeleweka na Hapo ndo mlipigwa,,,ila kwa vile tyr ni Iman Iko ndani yenu,,endeleeni kuamini,mi nachoamini ishara za mwisho wa dunia ztawathibitishia anachokisema ndacha,,mf: Alama ya mnyama,,,Yan hapa mtanielewa anachokisema Leo hii
muenyezi mungu afanyeni wepesi amina
Amin amin nawaambieni hakuna mtu ataiona mbingu kwa kushabikia dini au mitume kwa kumlidhisha mwanadamu mwenzio...........
Kafili wewe
Sioni ugumu wa swali hilo,,swali ni wakati Yesu alikuwa tumboni mwa Mariamu Mungu alikuwa wapi??.Sasa na mimi naomba niwaulizeni swali(ikiwa mnakataa kuwa Yesu sio mwana wa Mungu ✍️basi kwa nini Yesu alizaliwa na mwanamke ambaye alikuwa Bikira hakuwahi jua mwanamume katika maisha yake mbona asingezaliwa kama mitume wakawaida walio pita??
Unaweza kupima akili yk km kuzaliwa kw nabii issa bila baba kwko imekua miujiza kiasi cha kuona ni mungu ss ww unamtazamaje adamu na eva tuazie apo ndugu unayepima mamb kw akili kisodo afu angalia mbigu na nanchi afu zipo miaka yote amna nguzu na zimepoa wee mjinga embu fungua akil afu uje ujibu haya maswala
Adam Hana baba Wala mama hao vip nao
Mazinge wewe ni mpuuzi tu
Ndacha hajawahi kushindwa na swali lolote lile.
Sasa mbona mmehoji upande mmoja? 😂😂😂😂😂
Ningependa kusema mazinge unakutuna na watu wasio jua ningependa nimuweke kwenye meza moja na DK Shamon au aje hapa uingeleza kwenye sehemu inaitwa Debate corner
Mazinge mwongo sana
Kaonga nn?
Uongo wake ni gani?
Hembu tuambie uongo wake ni upi😂
alikudanganya nini
Ndacha mtt mdogo sana kwa mazinge kielim labda wajiomgeze ukoo mzm pamoja na nyie wote makafir na bado amfikii😅
Amini unacho kiamin dini zote zimeletwa sio zetu
Wewe Mzee hunakazi yakufanya kitabu Gani kimeandika kubishana mambo ya dini
Allah awalipe malipo makubwa walim Aamin 🙏
Tatizo sio kusoma ,tatizo kuelewa.wengi hatuelewi ila tunajua kusoma.. mfano neno mungu na neno mungu mwenyez au baba kuyatumia hatujui
Nasi ni wingi NAMI ni umoja. Shaffi, nasi tumekutuma na Allah ni shahidi, nasi ni akina nani
Wewe kama walimu wako wamekubali wewe simbumbumbu tu
Wewe kasome kwanza.Mungu akijisema hutumia wingi kwa heshima yake.
Alhamd lill alah sifa zote tukufu ni za mwenyezimungu
Sijawahi kuelewa Uislamu hubishia nini Ukristo ukizingatia huo Uislamu umekuja miaka 500 baada ya Kristo.
Huu mdaharo upo maeneo gani
Yaani duniani kuna wa pumbavu wengi ila wa Africa tumezidi, kipi kigumu kuelewa kwamba kila mwanadamu ataukumiwa kutokana na Kitabu chake na matendo yake pia. Sasa huo usumbufu wa kila siku unasaidia nini? Fanyeni Kazi ongezeni Kipato cha taifa
Assailants alaykum Niko naswali
Wana fanyia sehem gan huo mdahalo?
Allah Akibar
Kaswida
Maswali mepesi yanakosa majibu kwa ndacha.....dah
Ukabila udini sio sera ztu zatanzania.Hyo aliyasema nyerere tunayaishi mpka leo.Bishaneni nje yabox.Nanyie waandishi wahabari tafute hbari zamsingi zakuhoji watu,mnatuchanganya tu.
Nyerere mwenyewe yupo motoni hakufa katika dini ya sahihi
Wewe jidanganye ivo ivo, ivi unafikiria umeumbwa Uje ufanye ujinga hapa duniani, amba nyerere kasema ushindwe kuelimika kwa maneno ya Quran,uelimike kwa ujinga.
Jibu lake Yesu alivo kua tumbon mwa malia mungu alikua nimungu baba ila mung dunian alikuja kupitia mwili wamwanaee yesu christo ku komboa ulimwengu kila amfataee apate kukombolewa nakila ampingaee mota wajeanam niwake kama wew mazingee nawafas wakowote wakufatao kufata
Hv ww unamuona mungu km bongo movie hyo cinema umeisoma wap...
Tena unajiita yusuph hehehe
Acha uongo Mungu haonekani yesu hawezi kuwa Mungu ila ni mtume kama wengine
Utasikia eee baba yesu ...asa yesu ni mungu au baba yenu???huyo ni issa bin maryam mtume wa ALLAH
Kweli wenye macho tumeona
Waisilam hamwezi kujibu
Ya wakiristo
Ndacha ni mtu anaweza kushindwa kujibu unavyotaka.YESU anabaki kuwa BWANA wa Mabwana Mfalme,njia kweli na uzima.AMEN👏👏👏
Ndacha hajawahi kumkimbia mtu acha unafiki
Hawa mabwege nawauliza na mimi ivi waty wa mwanzo kuumbwa duniani alikua akiabudu nini? Namaanisha adam na hawa ....baaada ya majibu kutoka nawaambia waache ujinga waache upotovu ....nawakaribisha kwenye uislamu
Alah akbar
Yaaan nyie wote siwaelewi hv mnajadili vitu vilivyokuwepo au vilivyopangwa hata kabla ya kuumbwa ulimwengu mnafikiri majibu yenu niyakweli? Ishini vema2 mtabarikiwa mnaweza kuwa na majibu yenu lkn msiishi kile mnachokizungumza.
wakati YESU yupo tumboni kwa mama yake MARIA....MUNGU ALIKUA NANI,,,,,,,,,Mazingeeee mungu anakuona ujue......hahahahhha Yaani hilo swali halihitaji hata aliekuwa darasa la saba
Wewe na huyo mazinga hamueleweki yesu ni mtoto wa mungu au mtume,ndiyo maana maandiko yanasema kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili kila mtu amwaminie asipotee bali awe na uzima wa milele
mazingeee
Uliza maswali ya kiroho ulizingatia dini huwezi uliza eti Yesu alipokuwa tumboni Mungu alikuwa nani
Hiyo ina maana tayari humtambui Mungu wakati yt? Ndo kaumba dunia
We ni mjinga sana
Maznge👍
Hivi mfano wakristo wa Sasa ingetokea wameishi kipindi mama Mariamu Ana mimba ya YESU, halafu anatokea mtu anakuuliza MUNGU wako yuko wapi? Ungenyoosha kidole kwenye tumbo la mariamu au Ungenyoosha kidole chako juu kuhashiria MUNGU yupo juu?
Siku nyingine tunaomba mtupe sisi audience kuwauliza maswali maana sisi tunamaswali mengi tofauti na hivyo mnavyojadiliana.
Uyo mtangazaji wenu vp anashanga Shanga sana mskilize unae muoji Kenge wewe
Mbona duniani kuna imani nyingi why kupinga uKristo tu, mti wenye matunda ndo wapigwa mawe nimekubali
Naomba jibu kwa swali langu.,Je mkristo Ndacha anaamini Quran?kama anaiamini asilimu.Kama haiamini Quran...awache kutafuta usaidizi kwa Quran kusaidia mada zake.
Mazinge kwa uongo bhana , siku zote mmeshindwa hoja na wala hamuwezi danganya watu kua eti mmeshinda mjadala,
Tatizo lako unafata mkumbo huna hoja kwasabbu huna elimu
@@user-uy5ue2tz6g hivi unajuaga maana ya elimu Nini??
Huyu jamaa anabwetabweta tu. Ndacha kiboko braza. Hamumuwezi huyo. Ukweli you ndani ya Biblia takatifu tu.
Soma yote sio kuchaguliwa pakusoma kanisani yule pastor wa Nigeria nawafuasi wake walisilimu,ingia youtube utafute wale wachungaji walikuwa na ndacha mchungaji WAZIRI namwenzake alokuwa mwalimu wa ndacha wamesilimu baki ww na ujuha wako
Nyie kama akilizenu nikukaa nakubishana mambo ya dini hamna kazie kalimeni muongeze Pato lata ifa
pumbavu
Mashallah
Hii midahalo kuna wakati anasimamia shetwani tena nikupotoka
😂😂😂😂😂 mazinge pia 😏😏😏😏 hana kiti anajua 😂😂😂😂
Sisi kazi yetu kutoa mawaidha ni juu ya wasikikizaji.kuamua.
Ndacha kila NCHI anaxo enda hukimbia Tu Hana majibu kulingana na maswali ya waislam
Mazinge ni muongo mkubway
Waislam ni makafiri
Hee asa wakristo watakua nani
Kafiri ni wewe usiye Enda chooni bila Maji.. Uchafu wa Moyo na Uchafu wa tabiya Munayo.. kwaKufuru kwenu MwenyeziMungu, ina wafanya Mukuwe watu Wasiyo jieelewa
❤🙏🏽
❤
Ukiacha mpira napenda sana miadhala
Sasa io abari ya shaffi mimi sielewi😊
Humuwezi Ndacha wewe
Ajui chochote uyo ndacha wako sule kam buluza.aongei chochote
Huyo ndacha kelelezote mwisho namuona akisilim,
Labda umeumia wew sio wakristo
NDACHA NI mwalimu wa waislamu wote duniani. Ila nampendaga MAZINGE kwa sababu ni mtu ambaye hakimbii miadhara kama SHAFII na anakubali vitabu kusomwa ijapo ni comedian😂😂😂😂😂
😂😂😂😂.....Sasa Yesu sio Mwalimu wako ni ndacha sio 😂😂 Ayaa nenda akuoe maana mnarusiwa kuowana😂😂
Umasikini wa ufahamu ni mubaya
Waislamu hawawezi kujibu hoja za wakristo acha uongo mzee. Waliomtuma Muhammed awe mtume Mungu akiwa anaangalia ni akina nani ❓❓
Kaeni kwa kutulia hamna hoja nyie
Wewe Mazinge ni mjinga,sasa Bar yesu ndio Bwana Yesu?ebu irudie hiyo Matendo 13:6-11
Saivi walokole kazi mnayo inapo endea tutawasilimisha hata kiulazima kama hamtaki kusilimu kwa hiyarii asee
Kuna yesuu kristo n'a yesuu yusto na Bari yesuu kwanini kupoteza watu
Kuna vitu vingi sana havikuandikwa kwa kuruani.Lakini yote haya ni Warabu na Wazungu ndio wanaacha Wafrika wahubiri wa kislamu na kristo kukosana.Na wataendelea kukosana coz Wafrica hawajielewi ndio nama mpaka sasa wanatawaliwa na Wazungu na Warabu.
Kwenye kutawala weka wazungu, mkoloni alikuwa mzungu na ndio alikuwa mkoloni ! Muarabu hakufanya ukoloni
Lusekelo
Ndacha debe tupu.
Huyu anatapatapa tu, Ndacha hawamuwezi kabisa, ni kiboko yao
😂😂😂...Emu mwabie uyoo ndacha wako aseme Mathaoo et Madhayooo😂😂😂 sas uyu ndo unamuita Mwalimu 😂😂