BAGA uso kwa uso na NAGWA ona majibu ya BAGA kuhusu NAGWA kujiita Rais wa masela

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • #nyundotv #Nagwa #bagamteme

ความคิดเห็น • 216

  • @SaumuSebarua-yc2vf
    @SaumuSebarua-yc2vf หลายเดือนก่อน +1

    Baga for life 😅

  • @LevocatusClevo
    @LevocatusClevo 4 หลายเดือนก่อน +8

    Baga before nilikua nakuchukia kmb una kitu ndani yako nimekukubari sana una ekima njema bro mungu akupe maisha malefu yenye fulaha

  • @VictorMsodoki
    @VictorMsodoki 4 หลายเดือนก่อน +50

    Ila mchiz baga umefanna mno na harmonize. Anae amini ilo gonga like apa twende saw 24:54

    • @WilliamNathan-hm7nk
      @WilliamNathan-hm7nk 4 หลายเดือนก่อน +1

      Duu nlizani ni mm pekeangu nnae mfananisha na konde

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 4 หลายเดือนก่อน

      Urongo huo

    • @FakikhAsmah
      @FakikhAsmah 3 หลายเดือนก่อน

      Mm nilizani niyeye kaacha mziki😂😂

    • @FaridadumaDumaduma
      @FaridadumaDumaduma 2 หลายเดือนก่อน

      Wanafanana

  • @Mejakitengo
    @Mejakitengo หลายเดือนก่อน +1

    Broo mi ni moja ya mashabik zako nakubal sanaaaaa

  • @VedastinaVedarian
    @VedastinaVedarian 3 หลายเดือนก่อน +2

    Baga ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @khamadizoseif4029
    @khamadizoseif4029 4 หลายเดือนก่อน +8

    Izooooo manzese apa show love Kaka nagwa mchumba tu msela naturel awezi kukata viuno no forever my blood

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 4 หลายเดือนก่อน +19

    Nakukubari sana BAGA

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho 4 หลายเดือนก่อน +11

    Baga kwenyegem kitambo sana ❤❤❤

  • @japhetleonard
    @japhetleonard 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nicee sana Baga ukoo vizurii mhnii smart na akiliii piaa

  • @MshanJoshua
    @MshanJoshua 4 หลายเดือนก่อน +9

    Itikeli kali salute nagwa 💯

  • @balistaKivike-ne4jh
    @balistaKivike-ne4jh 4 หลายเดือนก่อน +7

    Oyah we baga asifananishwe na vitu vya hivyo baga mwamba😂💪

  • @HASSANTL-m7c
    @HASSANTL-m7c 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nisaidie buku 2 ya nauli😂😂😂😂

  • @OmaryAisha
    @OmaryAisha 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baga ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 4 หลายเดือนก่อน +6

    Baga Mteme anaweza bana

  • @BonifaceMzurikwao
    @BonifaceMzurikwao 4 หลายเดือนก่อน +7

    😅😅😅😅😅😅 wali kula ww makoko tuachie meipenda hyo baga

  • @meckimecki-h2l
    @meckimecki-h2l 3 หลายเดือนก่อน +1

    pamoja sana kaka

  • @CresensiaEnock
    @CresensiaEnock 4 หลายเดือนก่อน +12

    Hahahaha raisi ni mama tu dadek 😂😂

  • @GodloveKilasi-yv3jl
    @GodloveKilasi-yv3jl 4 หลายเดือนก่อน +32

    Naombeni like jaman kwa baga🙏🤲

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mi nacheka😅😅😅😅😅

  • @RashidAlly-r4x
    @RashidAlly-r4x 4 หลายเดือนก่อน +4

    Namkubali huyoo jama baga

  • @WingoAsake
    @WingoAsake 4 หลายเดือนก่อน +15

    Tunao mkubali BAGA 👍👍

  • @MlekwaHashimu-l1n
    @MlekwaHashimu-l1n 4 หลายเดือนก่อน +5

    Baga fundi sana nagwa kwa baga bado sana

  • @RahimuMsabah
    @RahimuMsabah 4 หลายเดือนก่อน +7

    Good bro pamoja sana

  • @shivodon7388
    @shivodon7388 4 หลายเดือนก่อน +7

    Bagaaa mwambaaa

  • @EdsonManga
    @EdsonManga 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nakubali sana mzee baga

  • @Kevworx
    @Kevworx 4 หลายเดือนก่อน +9

    Mwanangu sana Baga nakubali achana na mchumba mmoja huyo bado hata mitaa haimjui analazimisha

  • @thctorleonguday8942
    @thctorleonguday8942 4 หลายเดือนก่อน +4

    Msela baga maneno kdg vitendo ving

  • @dokx_mediaAfricanschoice
    @dokx_mediaAfricanschoice 4 หลายเดือนก่อน

    Naqbar sana Baga respect sana mtaa tunajua kaz zako

  • @AdamoissaIssa
    @AdamoissaIssa หลายเดือนก่อน

    You is good men

  • @hansdaud4874
    @hansdaud4874 19 วันที่ผ่านมา

    Mwanang wa Moro Icon mxela uyo bagaa

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani 4 หลายเดือนก่อน +19

    Rahisi wa iyo sector n kitale pekeyake

    • @salummbarouk4011
      @salummbarouk4011 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika waambie

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 4 หลายเดือนก่อน

      Saana kiatale pekeakee

    • @SabraDivele
      @SabraDivele 2 หลายเดือนก่อน

      Wa elfu mbili weweee

  • @Nasma-eb4ef
    @Nasma-eb4ef หลายเดือนก่อน

    Baga anafanana sana na harmonize

  • @FrankNyagawa-s2w
    @FrankNyagawa-s2w 4 หลายเดือนก่อน

    Bagaaaaa fresh kaka safi saana

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 หลายเดือนก่อน +7

    Kweri mzee baga maana
    Umeongea ukwel kinoma
    Utasikia ooh 26 number mala
    Oh sijui nn ni ujinga tupu

  • @SKELETON-m9e
    @SKELETON-m9e 4 หลายเดือนก่อน +39

    Baga anaheshima sana kazi anafanya bzuri sana ila anajua kabla ya yeye kuna mkubwa ambae nikitale hivyo baga hatakama anafanya vizuri kuliko nagwa ila bado anaheshima hivyo heshima kwako mzee baga achana nao wanao ongea ongea sana we fanya kazi mzee tupate kula Kaka

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 4 หลายเดือนก่อน +2

      Huyo kitale wako kapita mikono ya baga labda uwe mtoto wa buku 2 ndio utakuwa hauelewi

    • @jemimabakari
      @jemimabakari 4 หลายเดือนก่อน +1

      Baga yupo kabla ya Kitale

    • @abrahamnyangwa3298
      @abrahamnyangwa3298 4 หลายเดือนก่อน +1

      Baga ni noma

    • @jkifutu7936
      @jkifutu7936 4 หลายเดือนก่อน +2

      Baga msulimoto

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 4 หลายเดือนก่อน

      @@jkifutu7936 Toka enzi za Jumba la Dhahabu watoto wadodo hawawezi kuelewa hiyo

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 4 หลายเดือนก่อน +1

    ANEJIITA RAISI MAMA

  • @Mr_kim_joh
    @Mr_kim_joh 4 หลายเดือนก่อน +3

    😂Nagwa ni jinga kubwa sana halijui,kuwa na uhalisia tofauti pia upumbavu wake anataka kuufanya kwa watu wote,,,ipo siku atakutana na hamnazo,,msanii ni kioo cha jamii siyo kwamba yale unayo igiza ndiyo uwe nayo mtaani utaonekana kituko

  • @sudiwachira3492
    @sudiwachira3492 2 หลายเดือนก่อน

    Baga uko vizuri babu

  • @HatibuHiza
    @HatibuHiza หลายเดือนก่อน

    Nakubali sana nagwa

  • @BeatriceMtuy-w3d
    @BeatriceMtuy-w3d 4 หลายเดือนก่อน +5

    Nakukubali san kwenye mv ya chado master👍

  • @KipendoMatimbwa
    @KipendoMatimbwa 4 หลายเดือนก่อน

    Baga unatisha Baba huwezi fananishwa na wengine we noma Sana Mzee unajua

  • @AbdullahMohammed-i4q
    @AbdullahMohammed-i4q 4 หลายเดือนก่อน +1

    sema nagwa ni rais wa masela wa sasa ila baga ilo limeliwa kitambo

  • @RamaAbdhallah
    @RamaAbdhallah 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nakubali Baga saloot Raisi ni mama 2

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 3 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥 baga

  • @omarokech7395
    @omarokech7395 4 หลายเดือนก่อน

    Anayekukojoza humjui
    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sakinamsafiri8660
    @sakinamsafiri8660 4 หลายเดือนก่อน

    Nampenda sana Baga😘

  • @BeatriceLuciana
    @BeatriceLuciana 4 หลายเดือนก่อน

    Baga,💥💥

  • @RukiaJeu
    @RukiaJeu 4 หลายเดือนก่อน +3

    Baga anajua mpaka anakera

  • @SKELETON-m9e
    @SKELETON-m9e 4 หลายเดือนก่อน +2

    Madini kutoka kwa Baga oa mzee umetema madini sana kama nagwa anashindwa kujifunza hapa badi hatapata mwalim tena wakumfundisha

  • @MohamedAthuman-n1v
    @MohamedAthuman-n1v 4 หลายเดือนก่อน

    Wote wakali 💯

  • @neemamayco1051
    @neemamayco1051 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu baga kumbe mstaarabu hv jamani ukimuona kwenye movie utamuogopa hana ushamba kam wa nagwa saa zote ubabe ubabe usio na maan ujinga tu 😅😅

  • @HamisNjaidi
    @HamisNjaidi 4 หลายเดือนก่อน +2

    Baga yupo juu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 4 หลายเดือนก่อน

    Nagwa nakukubali sana❤

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nmekukubali sana kwa kusema ukweli wa life yako ongera sana

  • @HairuIssa-f9y
    @HairuIssa-f9y 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hhhhh baga no 1

  • @MofatNgonya-k8j
    @MofatNgonya-k8j 4 หลายเดือนก่อน

    Kama unamwerewa nagwa gonga like apa

  • @Achuzy
    @Achuzy 4 หลายเดือนก่อน +16

    Baga ni msela wama sela..nagwa ni msela wa kina mama

  • @WingoAsake
    @WingoAsake 4 หลายเดือนก่อน +17

    Tunae muona baga kufanana na harmonize like

    • @EllyjTengeneza
      @EllyjTengeneza 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nimekupa bure like yangu kweli kbs sema kasoro kiingereza

    • @Nurdinimwakisale
      @Nurdinimwakisale 4 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 4 หลายเดือนก่อน +1

      Saana anafanana na harmonizer

    • @MlekwaHashimu-l1n
      @MlekwaHashimu-l1n 4 หลายเดือนก่อน

      Nimdogo wake ulikua ujui

    • @maryamantony-u8p
      @maryamantony-u8p 4 หลายเดือนก่อน

      Sijui nduguuu

  • @FATMARAHMA12
    @FATMARAHMA12 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baga kwenye mission impossible duu unatisha😂😂😂😂😂

  • @JumaYasini-g2t
    @JumaYasini-g2t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baga kitambo kwenye game nagwa anapaswa kumuheshimu sana tunamjuwah baga toka kwenye movie yake ya escape 2013 au 2014 kam sijakosea

  • @AnaMaman-sx6ru
    @AnaMaman-sx6ru 4 หลายเดือนก่อน

    utile sheliaaaa😅😅😅😅

  • @kiustaa7701
    @kiustaa7701 3 หลายเดือนก่อน

    Mkiskia nimetoa nyimbo tena mniite mbwa 😢

  • @NeemaMarandu-x1s
    @NeemaMarandu-x1s 4 หลายเดือนก่อน

    Good boy

  • @niyonkururobert5667
    @niyonkururobert5667 4 หลายเดือนก่อน

    Nagwa no 1

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤🔥

  • @alabizoshazb5678
    @alabizoshazb5678 4 หลายเดือนก่อน +2

    nangwa unazengua umesahau kina kitale wamekutangulia kucheza usela?banga yuko vizuri kwenye gam pia wazamani#baga🔥

  • @CHIEF_WA_BUJONDE
    @CHIEF_WA_BUJONDE 4 หลายเดือนก่อน +2

    napenda sana iwe Kiki wasilogane tu

  • @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
    @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mi binafsi naona nagwa hailimishi anafundisha huni tu kwa jamii mtu utakuta hanatumia nguvu nyingi mpaka povu ninamtoka ndo nini sasa

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ilaaa bagga

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baga nyota yake ni kali sana

  • @RahmaDulla-u6o
    @RahmaDulla-u6o 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kitale ndo rais wa maselaa imeisha hyooo

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 4 หลายเดือนก่อน

    weka sawa maneno tatizo gubu Au na nguvu za kiume Auna 😂😂😂

  • @DiarlifeDMB
    @DiarlifeDMB 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nagwa dunga mawe hatari

  • @kale_maga
    @kale_maga 3 หลายเดือนก่อน

    naimani sikumoja ntafika hii atua 🤲 god

  • @Manenomsumle
    @Manenomsumle 4 หลายเดือนก่อน

    Baga kinachomsevu heshima na utambuzi wa mambo sio kujitia chiz jumla Kama mwenzie Hadi mtaan anaekt usela

  • @OliverTwist-m3j
    @OliverTwist-m3j 10 วันที่ผ่านมา

    Baga ndio kusema

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 หลายเดือนก่อน

    Urais ndio kinawafanya mpige mipasho mitandaoni sio 😮

  • @SohanaSohana-x3v
    @SohanaSohana-x3v 4 หลายเดือนก่อน +1

    Laisi wa wahuni ni kitale wengine wana vaa viatu vyaketu lkn banga m badala wa kitale alafu ndo nangwa

  • @Kitufeactorfilm
    @Kitufeactorfilm 4 หลายเดือนก่อน +3

    Eti amjuwi nagwa 🤣🤣🤣👋

  • @KhalistMkonya
    @KhalistMkonya 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baga anajua

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 4 หลายเดือนก่อน

    Manzese midizini umenikumbusha nyumbani nakufatilia baga nikiwa dubai Al rashidiyya Street upo sahihi mtu wangu hata mmi mtu wa uswahilini nakukubali sanaa

  • @arimtekerdivalwamadush7517
    @arimtekerdivalwamadush7517 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nawakubali wote sana kwanza baga

  • @RjRj-p3e
    @RjRj-p3e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila me namkubali sana baga kwamala ya kwanza nilimuona kwenye elimu mtaani duh aliua kinoma

  • @E_mwafrica-dc2zm
    @E_mwafrica-dc2zm 4 หลายเดือนก่อน +3

    Usela co lazma uwe sura ngum km nagwa wakuu kuna babe face kbao lkn wahun knoma yan

  • @JeniAlex-e4v
    @JeniAlex-e4v หลายเดือนก่อน

    Ila baga najua we konde ila acha battle ns nagwa

  • @Nurdinimwakisale
    @Nurdinimwakisale 4 หลายเดือนก่อน

    Baga yup pow sana

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs 4 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥

  • @HamisFadhili-wf3qv
    @HamisFadhili-wf3qv 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo nagwa mwenyewe siyo muhuni ila msela mavi wauni hawapo kama alivyo

  • @RashidSalum-i3n
    @RashidSalum-i3n 4 หลายเดือนก่อน

    Baga nagwa wote wakali Ila kitale ndyo mkali wenu

  • @allyissahoti
    @allyissahoti 3 หลายเดือนก่อน

    ila babylon upo kimya sana kwenye move

  • @Isalm-u7u
    @Isalm-u7u 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Oyaa acheni masiala baga muhuni jamaa mm mkenya apa nadai ivo

  • @hagaingailo8100
    @hagaingailo8100 4 หลายเดือนก่อน +4

    yaan kichwa cha habar eti uso kwa uso hivi waandishi mnatuchukuliaje nyie eti mbna baga ata msingeandika ivo watu tunampenda tunaview tu jamn kwan kuandika ukweli wa baga ingeharibu nn mnazingua mjue🤧🤧🤧

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 4 หลายเดือนก่อน +7

    Baga mtaalam nakubali sana

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 4 หลายเดือนก่อน

    Baga namkubali sana

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nagwa kwa sasa Tanzania haijalishi nani kaanza nagwa ni best kwa kuekt uhuni

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 4 หลายเดือนก่อน

      Anaekti uchizi yule sio uhuni

    • @dullahbatuf9223
      @dullahbatuf9223 4 หลายเดือนก่อน

      @@Rolemodel_wa_taifa vyote vyote vile bt kwa ss nagwa the best

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 4 หลายเดือนก่อน

      @@dullahbatuf9223 Kwa machizi wenzake sio kwa Tz yote

  • @AlifaHamis
    @AlifaHamis 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waandishi wengine bwana eti uso kwa uso

  • @StephenLukangu-sc8km
    @StephenLukangu-sc8km 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kenya tunajua rais wa masela ni kitale

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwan nyinyi jaman watu
    Mulie soma hapa dar es salaam
    Munasema muliogopa umande
    Kwan hapa town dsm kuna manyasi
    Njia zake munipe majibu au
    Umande amuujui hee!

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @mttz4155
    @mttz4155 4 หลายเดือนก่อน +2

    Muandishi hii ndo uso kwa uso kuma la mama ako

  • @omanhh2875
    @omanhh2875 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuaminia kamanda baga we kama mimi tabia yko